field marshall1
JF-Expert Member
- Sep 17, 2017
- 1,171
- 2,730
Wetu hayupo kajificha. Hatujaambiwa sababu kwanini hakuhudhuria????????
Wewe mtoto huna adhabu na heshima, hiyo ndiyo shida ya watoto wa dot. Com.
How can you expose your prezdwa in such a way??!!
[/QUOTE
Wewe.......... nimesoma naye UDSM!
Ungejaribu kutafuta atakayekutafsiria ujue content ya mkutano huo.Kikao cha harusi hicho
Harusi ya mtoto wa nani kati ya hao??Kikao cha harusi hicho
Wanajuana wenyeweHarusi ya mtoto wa nani kati ya hao??
Akili ndogo kama ya baba yake huyo kufikiria kuoa tu.Wanajuana wenyewe
Aliyesema ni kikao cha Harusi ni wewe! Sasa hao "wanaojuana wenyewe" wanahusika vipi??Wanajuana wenyewe
Hakuna impact yoyote toka kwa hao viherehere tulishawazoeaUngejaribu kutafuta atakayekutafsiria ujue content ya mkutano huo.
Wao si ndiyo wametufungia siyo sisi, kwa taarifa yako kwa kukusaidia tu sisi ndiyo tunakataliwa kila mahali....Kumbe hujaelewa. Magufuli amefanya nchi yetu imekuwa ya hovyo...Anatuma ndege kufuata mitishamba ambayo inapatikana hapa Tanzania, rais mwamini uchawi. VIpi kujifukiza haifai tena??Hakuna impact yoyote toka kwa hao viherehere tulishawazoea
Lockdown,kufunga mipaka waliamua wenyewe,sasa mambo.magumu wanataka vikao
Ulienda wapi ukakataliwa?Wao si ndiyo wametufungia siyo sisi, kwa taarifa yako kwa kukusaidia tu sisi ndiyo tunakataliwa kila mahali....Kumbe hujaelewa. Magufuli amefanya nchi yetu imekuwa ya hovyo...Anatuma ndege kufuata mitishamba ambayo inapatikana hapa Tanzania, rais mwamini uchawi. VIpi kujifukiza haifai tena??
Waliokaa ndio wanajua harusi ya nani,kwani nimeingia humo?Aliyesema ni kikao cha Harusi ni wewe! Sasa hao "wanaojuana wenyewe" wanahusika vipi??
Kwan kuoa ni dhambi kamanda?Akili ndogo kama ya baba yake huyo kufikiria kuoa tu.