East Africa head of States Minute meeting and Agenda

field marshall1

JF-Expert Member
Sep 17, 2017
1,171
2,730
East African Meetings1.jpg

First page.jpg

EAC2.jpg
EAC3.jpg
 
Hakuna impact yoyote toka kwa hao viherehere tulishawazoea
Lockdown,kufunga mipaka waliamua wenyewe,sasa mambo.magumu wanataka vikao
Wao si ndiyo wametufungia siyo sisi, kwa taarifa yako kwa kukusaidia tu sisi ndiyo tunakataliwa kila mahali....Kumbe hujaelewa. Magufuli amefanya nchi yetu imekuwa ya hovyo...Anatuma ndege kufuata mitishamba ambayo inapatikana hapa Tanzania, rais mwamini uchawi. VIpi kujifukiza haifai tena??
 
Wao si ndiyo wametufungia siyo sisi, kwa taarifa yako kwa kukusaidia tu sisi ndiyo tunakataliwa kila mahali....Kumbe hujaelewa. Magufuli amefanya nchi yetu imekuwa ya hovyo...Anatuma ndege kufuata mitishamba ambayo inapatikana hapa Tanzania, rais mwamini uchawi. VIpi kujifukiza haifai tena??
Ulienda wapi ukakataliwa?
Kijijini kwenu hamjifukizi?
Aliekwambia miti shamba ni uchawi ni nani?
Nitajie sehemu.kwenye jamhuri hii ambako hawatumii mitishamba
 
Back
Top Bottom