EAC Tanzania kinara kuvutia Wa-USA

Samia yupo kwenye njia sahihi. Tatizo pekee ni kuendekeza haya mambo ya kipuuzi ya kubambikia watu kesi za kijinga.

Ujinga wa kubambikia kesi auache ufe na akina Siro na wajinga wengine. Tuingie kwenye utawala wa kistaarabu. Utawala wa kutumia akili, weledi, maarifa na busara. Ule utawala primitive, wa kuongoza kama unaswaga ng'omba iwe ni mwiko.
 
Kuna watu wanapenda kudharau watu toka Mataifa yaliyoendelea kama Marekani na mengineyo kwa kuwaita eti wao ni "Mabeberu " kitu ambacho sichema kwa ustawi wa nchi na kwanchi zinazotuletea biashara na ajira kama hizi kuwaita "Mabeberu " japo hii sio hoja yangu wacha twende kwenye hoja.

Marekani ni nchi iliyowekeza Tanzania karibu maratatu ya Jumla ya kiasi ilichowekeza Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi,hadi mwaka 2019 Jumla ya uwekezaji wa Marekani kwa Tanzania ulifikia US$1.5BL sawa na TZS 3.45Trilioni ikifuatiwa na Kenya US$353M, Uganda $42M, Rwanda $11M na Burundi US$1M uwekezaji huu wa,Kenya, Uganda,Rwanda na Burundi ni sawa na Jumla ya $407M au TZS 936.1BL.

Baraza la Biashara Africa Mashariki The East African Business Council ( EABC ) tayari limesaini makubaliano (MoU) na Kituo cha Kibiashara cha Africa na Dunia cha The Africa Global Chamber of Commerce (AGCC) ili kuuvuta zaidi uwekeji wa Marekani uje kwa wingi Ukanda huu wa Africa ya Mashariki.

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imejipambanua kujali na kuthamini kila mwekezaji awe wa nje au wandani kwani sekta binafsi kwa mujibu wa taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi kwa Tanzania inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi.

Tangu Rais Samia aingie madarakani majarida mbalimbali yamekuwa yakiitaja Tanzania kama Sehemu salama zaidi ya kuwekeza kwa mwaka 2021 ikiwa kwenye nafasi ya kumi bora pamoja na Kenya na Rwanda pengine hii ndio inasukuma zaidi kusainiwa kwa hii MoU kati ya AGCC na EABC itakayofungua milango kwa Wamarekani wanaomiliki 25% ya Uchumi wote wa Dunia ambayo ulifikia US$ 84.54Ttrilioni mwaka 2020 kutiririka Africa Mashariki hasahasa Tanzania kwaajili ya kuwekeza zaidi,endelea kujisomea hapo chini..

View attachment 2011191
Hongera Sana mama,
 
Kuna watu wanapenda kudharau watu toka Mataifa yaliyoendelea kama Marekani na mengineyo kwa kuwaita eti wao ni "Mabeberu " kitu ambacho sichema kwa ustawi wa nchi na kwanchi zinazotuletea biashara na ajira kama hizi kuwaita "Mabeberu " japo hii sio hoja yangu wacha twende kwenye hoja.

Marekani ni nchi iliyowekeza Tanzania karibu maratatu ya Jumla ya kiasi ilichowekeza Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi,hadi mwaka 2019 Jumla ya uwekezaji wa Marekani kwa Tanzania ulifikia US$1.5BL sawa na TZS 3.45Trilioni ikifuatiwa na Kenya US$353M, Uganda $42M, Rwanda $11M na Burundi US$1M uwekezaji huu wa,Kenya, Uganda,Rwanda na Burundi ni sawa na Jumla ya $407M au TZS 936.1BL.

Baraza la Biashara Africa Mashariki The East African Business Council ( EABC ) tayari limesaini makubaliano (MoU) na Kituo cha Kibiashara cha Africa na Dunia cha The Africa Global Chamber of Commerce (AGCC) ili kuuvuta zaidi uwekeji wa Marekani uje kwa wingi Ukanda huu wa Africa ya Mashariki.

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imejipambanua kujali na kuthamini kila mwekezaji awe wa nje au wandani kwani sekta binafsi kwa mujibu wa taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi kwa Tanzania inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi.

Tangu Rais Samia aingie madarakani majarida mbalimbali yamekuwa yakiitaja Tanzania kama Sehemu salama zaidi ya kuwekeza kwa mwaka 2021 ikiwa kwenye nafasi ya kumi bora pamoja na Kenya na Rwanda pengine hii ndio inasukuma zaidi kusainiwa kwa hii MoU kati ya AGCC na EABC itakayofungua milango kwa Wamarekani wanaomiliki 25% ya Uchumi wote wa Dunia ambayo ulifikia US$ 84.54Ttrilioni mwaka 2020 kutiririka Africa Mashariki hasahasa Tanzania kwaajili ya kuwekeza zaidi,endelea kujisomea hapo chini..

View attachment 2011191
Mama piga kazi, Watu wamekuelewa mno
 
Kuna watu wanapenda kudharau watu toka Mataifa yaliyoendelea kama Marekani na mengineyo kwa kuwaita eti wao ni "Mabeberu " kitu ambacho sichema kwa ustawi wa nchi na kwanchi zinazotuletea biashara na ajira kama hizi kuwaita "Mabeberu " japo hii sio hoja yangu wacha twende kwenye hoja.

Marekani ni nchi iliyowekeza Tanzania karibu maratatu ya Jumla ya kiasi ilichowekeza Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi,hadi mwaka 2019 Jumla ya uwekezaji wa Marekani kwa Tanzania ulifikia US$1.5BL sawa na TZS 3.45Trilioni ikifuatiwa na Kenya US$353M, Uganda $42M, Rwanda $11M na Burundi US$1M uwekezaji huu wa,Kenya, Uganda,Rwanda na Burundi ni sawa na Jumla ya $407M au TZS 936.1BL.

Baraza la Biashara Africa Mashariki The East African Business Council ( EABC ) tayari limesaini makubaliano (MoU) na Kituo cha Kibiashara cha Africa na Dunia cha The Africa Global Chamber of Commerce (AGCC) ili kuuvuta zaidi uwekeji wa Marekani uje kwa wingi Ukanda huu wa Africa ya Mashariki.

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imejipambanua kujali na kuthamini kila mwekezaji awe wa nje au wandani kwani sekta binafsi kwa mujibu wa taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi kwa Tanzania inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi.

Tangu Rais Samia aingie madarakani majarida mbalimbali yamekuwa yakiitaja Tanzania kama Sehemu salama zaidi ya kuwekeza kwa mwaka 2021 ikiwa kwenye nafasi ya kumi bora pamoja na Kenya na Rwanda pengine hii ndio inasukuma zaidi kusainiwa kwa hii MoU kati ya AGCC na EABC itakayofungua milango kwa Wamarekani wanaomiliki 25% ya Uchumi wote wa Dunia ambayo ulifikia US$ 84.54Ttrilioni mwaka 2020 kutiririka Africa Mashariki hasahasa Tanzania kwaajili ya kuwekeza zaidi,endelea kujisomea hapo chini..

View attachment 2011191
Ngoja tuone kama ni kweli au uongo,
 
Kuna watu wanapenda kudharau watu toka Mataifa yaliyoendelea kama Marekani na mengineyo kwa kuwaita eti wao ni "Mabeberu " kitu ambacho sichema kwa ustawi wa nchi na kwanchi zinazotuletea biashara na ajira kama hizi kuwaita "Mabeberu " japo hii sio hoja yangu wacha twende kwenye hoja.

Marekani ni nchi iliyowekeza Tanzania karibu maratatu ya Jumla ya kiasi ilichowekeza Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi,hadi mwaka 2019 Jumla ya uwekezaji wa Marekani kwa Tanzania ulifikia US$1.5BL sawa na TZS 3.45Trilioni ikifuatiwa na Kenya US$353M, Uganda $42M, Rwanda $11M na Burundi US$1M uwekezaji huu wa,Kenya, Uganda,Rwanda na Burundi ni sawa na Jumla ya $407M au TZS 936.1BL.

Baraza la Biashara Africa Mashariki The East African Business Council ( EABC ) tayari limesaini makubaliano (MoU) na Kituo cha Kibiashara cha Africa na Dunia cha The Africa Global Chamber of Commerce (AGCC) ili kuuvuta zaidi uwekeji wa Marekani uje kwa wingi Ukanda huu wa Africa ya Mashariki.

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imejipambanua kujali na kuthamini kila mwekezaji awe wa nje au wandani kwani sekta binafsi kwa mujibu wa taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi kwa Tanzania inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi.

Tangu Rais Samia aingie madarakani majarida mbalimbali yamekuwa yakiitaja Tanzania kama Sehemu salama zaidi ya kuwekeza kwa mwaka 2021 ikiwa kwenye nafasi ya kumi bora pamoja na Kenya na Rwanda pengine hii ndio inasukuma zaidi kusainiwa kwa hii MoU kati ya AGCC na EABC itakayofungua milango kwa Wamarekani wanaomiliki 25% ya Uchumi wote wa Dunia ambayo ulifikia US$ 84.54Ttrilioni mwaka 2020 kutiririka Africa Mashariki hasahasa Tanzania kwaajili ya kuwekeza zaidi,endelea kujisomea hapo chini..

View attachment 2011191
Tuko vizuri Sana, Kaziiendelee
 
Wewe naye eti unafurahi wamewekeza badala ya kusikitika ona gesi yetu wanapora,migodini ndo hao wanakwepa kodi,nawewe unajisikia vibaya wakiitwa mabeberu🤣🤣🤣
 
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.

Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.

Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.



Natangaza rasmi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan,
 
Kuna watu wanapenda kudharau watu toka Mataifa yaliyoendelea kama Marekani na mengineyo kwa kuwaita eti wao ni "Mabeberu " kitu ambacho sichema kwa ustawi wa nchi na kwanchi zinazotuletea biashara na ajira kama hizi kuwaita "Mabeberu " japo hii sio hoja yangu wacha twende kwenye hoja.

Marekani ni nchi iliyowekeza Tanzania karibu maratatu ya Jumla ya kiasi ilichowekeza Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi,hadi mwaka 2019 Jumla ya uwekezaji wa Marekani kwa Tanzania ulifikia US$1.5BL sawa na TZS 3.45Trilioni ikifuatiwa na Kenya US$353M, Uganda $42M, Rwanda $11M na Burundi US$1M uwekezaji huu wa,Kenya, Uganda,Rwanda na Burundi ni sawa na Jumla ya $407M au TZS 936.1BL.

Baraza la Biashara Africa Mashariki The East African Business Council ( EABC ) tayari limesaini makubaliano (MoU) na Kituo cha Kibiashara cha Africa na Dunia cha The Africa Global Chamber of Commerce (AGCC) ili kuuvuta zaidi uwekeji wa Marekani uje kwa wingi Ukanda huu wa Africa ya Mashariki.

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imejipambanua kujali na kuthamini kila mwekezaji awe wa nje au wandani kwani sekta binafsi kwa mujibu wa taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi kwa Tanzania inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi.

Tangu Rais Samia aingie madarakani majarida mbalimbali yamekuwa yakiitaja Tanzania kama Sehemu salama zaidi ya kuwekeza kwa mwaka 2021 ikiwa kwenye nafasi ya kumi bora pamoja na Kenya na Rwanda pengine hii ndio inasukuma zaidi kusainiwa kwa hii MoU kati ya AGCC na EABC itakayofungua milango kwa Wamarekani wanaomiliki 25% ya Uchumi wote wa Dunia ambayo ulifikia US$ 84.54Ttrilioni mwaka 2020 kutiririka Africa Mashariki hasahasa Tanzania kwaajili ya kuwekeza zaidi,endelea kujisomea hapo chini..

View attachment 2011191
Eleza, wamewekeza kwenye miradi gani/sekta zipi?
 
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
Kuna watu wanapenda kudharau watu toka Mataifa yaliyoendelea kama Marekani na mengineyo kwa kuwaita eti wao ni "Mabeberu " kitu ambacho sichema kwa ustawi wa nchi na kwanchi zinazotuletea biashara na ajira kama hizi kuwaita "Mabeberu " japo hii sio hoja yangu wacha twende kwenye hoja.

Marekani ni nchi iliyowekeza Tanzania karibu maratatu ya Jumla ya kiasi ilichowekeza Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi,hadi mwaka 2019 Jumla ya uwekezaji wa Marekani kwa Tanzania ulifikia US$1.5BL sawa na TZS 3.45Trilioni ikifuatiwa na Kenya US$353M, Uganda $42M, Rwanda $11M na Burundi US$1M uwekezaji huu wa,Kenya, Uganda,Rwanda na Burundi ni sawa na Jumla ya $407M au TZS 936.1BL.

Baraza la Biashara Africa Mashariki The East African Business Council ( EABC ) tayari limesaini makubaliano (MoU) na Kituo cha Kibiashara cha Africa na Dunia cha The Africa Global Chamber of Commerce (AGCC) ili kuuvuta zaidi uwekeji wa Marekani uje kwa wingi Ukanda huu wa Africa ya Mashariki.

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imejipambanua kujali na kuthamini kila mwekezaji awe wa nje au wandani kwani sekta binafsi kwa mujibu wa taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi kwa Tanzania inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi.

Tangu Rais Samia aingie madarakani majarida mbalimbali yamekuwa yakiitaja Tanzania kama Sehemu salama zaidi ya kuwekeza kwa mwaka 2021 ikiwa kwenye nafasi ya kumi bora pamoja na Kenya na Rwanda pengine hii ndio inasukuma zaidi kusainiwa kwa hii MoU kati ya AGCC na EABC itakayofungua milango kwa Wamarekani wanaomiliki 25% ya Uchumi wote wa Dunia ambayo ulifikia US$ 84.54Ttrilioni mwaka 2020 kutiririka Africa Mashariki hasahasa Tanzania kwaajili ya kuwekeza zaidi,endelea kujisomea hapo chini..

View attachment 2011191
Mama aluta continue .....
 
Walimuuwaje tena mkuu?
Madikteta wote duniani huwa wanakula sahani moja na mabeberu ili wasurvive katika utawala wao ila Bwana Chato alijimwambafy kwa mabeberu.
16388762.jpg
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom