EAC kuwa na visa moja bila ya Tanzania ni dhalili tosha kuwa Tz tumetengwa rasmi na EAC!!

Mungi,

..we dont need these ppl as much as u think.

..rejea jarida la New York Times ambalo limeeleza kuwa ktk nchi 45 duniani, Tanzania ni namba 7 kwa vivutio vya utalii. Uganda imeshika nambari 32, Kenya na Rwanda sikuziona kabisa.

..tunachopaswa kufanya ni kuimarisha VIWANJA VYA NDEGE, kujenga HOTELI nzuri zaidi, na kuimarisha MIUNDOMBINU inayoelekea ktk mbuga zetu za wanyama na vivutio vingine. pia tunapaswa kuongeza TRAINING kwa wafanyakazi ktk sekta ya utalii. Tu-train watumishi toka wale wa ubalozini wanaotoa visa, maofisa uhamiaji wanaopokea wageni ktk viwanja vya ndege, mpaka kwa mtu wa mwisho anayehudumia mtalii.

..zaidi tunapaswa kufungua UKANDA WA KUSINI, na KUSINI MAGHARIBI, kwa utalii. Kwa mfano, kuna mbuga kama Selous, Udzungwa,Ruaha, etc etc ambazo bado hazijulikani kama zile za Serengeti, Ngorongoro, na Manyara.

..EAC siyo muarubaini wa matatizo yetu wa-Tanzania. Mwanzoni tuliambiwa jumuiya itamaliza tatizo la ajira Tanzania, 10 yrs down the road tumegundua kwamba siyo kweli.

..WATANZANIA TUCHAPE KAZI. HAKUNA MJOMBA WALA JIRANI ATAKAYEKUJA KUTULETEA MAENDELEO.

cc Geza Ulole, Ngongo

Hahaha who is laughing now ?
 
Last edited by a moderator:
Mungi,

..we dont need these ppl as much as u think.

..rejea jarida la New York Times ambalo limeeleza kuwa ktk nchi 45 duniani, Tanzania ni namba 7 kwa vivutio vya utalii. Uganda imeshika nambari 32, Kenya na Rwanda sikuziona kabisa.

..tunachopaswa kufanya ni kuimarisha VIWANJA VYA NDEGE, kujenga HOTELI nzuri zaidi, na kuimarisha MIUNDOMBINU inayoelekea ktk mbuga zetu za wanyama na vivutio vingine. pia tunapaswa kuongeza TRAINING kwa wafanyakazi ktk sekta ya utalii. Tu-train watumishi toka wale wa ubalozini wanaotoa visa, maofisa uhamiaji wanaopokea wageni ktk viwanja vya ndege, mpaka kwa mtu wa mwisho anayehudumia mtalii.

..zaidi tunapaswa kufungua UKANDA WA KUSINI, na KUSINI MAGHARIBI, kwa utalii. Kwa mfano, kuna mbuga kama Selous, Udzungwa,Ruaha, etc etc ambazo bado hazijulikani kama zile za Serengeti, Ngorongoro, na Manyara.

..EAC siyo muarubaini wa matatizo yetu wa-Tanzania. Mwanzoni tuliambiwa jumuiya itamaliza tatizo la ajira Tanzania, 10 yrs down the road tumegundua kwamba siyo kweli.

..WATANZANIA TUCHAPE KAZI. HAKUNA MJOMBA WALA JIRANI ATAKAYEKUJA KUTULETEA MAENDELEO.

cc Geza Ulole, Ngongo

Mkuu kuna kitu Tanzania imekidharau na ni utajiri kuliko Gas, ni kuruhusu ujenzi wa mahoteli katika visiwa kibao vinavyuzunguuka Dar na sehemu yote ya Bahari ukiondoa Zanzibar ambako hata juu ya jabali la baharini wameruhusiwa waweke japo mikahawa, isipoikuwa wajenge bila kupasua mwamba Inviromentally Friendly Construction, airport tayari ipo ya Dar, wageni VIP wangerushwa kwa helikopta direct to Bongoya/Mbudya na mengineo, ajira kibao ghafla zingepatikana na Dar kujaa watalii ambao wengi wakija kurelax katika beach huku weekend wakirushwa mikumi, wengi wao ni watu wa maana kwao, wanaweza kuwa chanzo cha uwekezaji endapo wataona utajiri wa Tanzania
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kuna kitu Tanzania imekidharau na ni utajiri kuliko Gas, ni kuruhusu ujenzi wa mahoteli katika visiwa kibao vinavyuzunguuka Dar na sehemu yote ya Bahari ukiondoa Zanzibar ambako hata juu ya jabali la baharini wameruhusiwa waweke japo mikahawa, isipoikuwa wajenge bila kupasua mwamba Inviromentally Friendly Construction, airport tayari ipo ya Dar, wageni VIP wangerushwa kwa helikopta direct to Bongoya/Mbudya na mengineo, ajira kibao ghafla zingepatikana na Dar kujaa watalii ambao wengi wakija kurelax katika beach huku weekend wakirushwa mikumi, wengi wao ni watu wa maana kwao, wanaweza kuwa chanzo cha uwekezaji endapo wataona utajiri wa Tanzania
Democracy999,

..sekta ya utalii inaingiza about Usd 1.2 billion. we can do better than that, but I dont think visa ya pamoja is the answer.

..angalia viwanja vya ndege vya Kenya na vyetu vya hapa Tanzania, utapata jibu kwanini ndege nyingi zinatua Kenya kuliko Tanzania.

..nenda katika balozi zetu mbalimbali uone huduma utakayopewa. huduma ni mbaya sana, hao watalii tunaowapata kwa kweli ni kudura tu za mwenyezi MUNGU.

..Kwa kifupi ni kwamba wa-Tanzania tunapaswa kujiangalia wenyewe internally kabla ya kujipeleka huko kwenye EAC na SADC.

..Kwa mfano, what are we doing internally kuhakikisha kwamba we erase the trade deficit btn Tanzania and Kenya?? Kwa mtizamo wangu suala hilo linatakiwa kutuumiza vichwa kuliko hata hili suala la visa ya pamoja.

..Au, kwanini biashara kati ya Kenya na Rwanda ni kubwa kuliko biashara kati ya Tanzania na Rwanda kabla hata "hawajatutenga"?

..Zaidi, kwanini vijana wetu hawafanyi vizuri ktk soko la ajira la East Africa? What is being done to address suala hilo? Je, shule za kata ndiyo jibu letu??
 
Last edited by a moderator:
nilikutana sehemu na afisa mwandamizi wa wizara ya mambo ya nje ya nchi fulani ya Ulaya ambaye kazi yake ni specifically ana deal na issues za Tanzania ingawa yuko based in Europe...akaniuliza hivi kwa nini Tz hamtaki kushirikiana na wenzenu EAC wakati mmekubali kushirikiana na SADC...nikamjibu 'inabidi tufanye research'....maana najua hawa watu wengi ni mashushu...

Akaanza kubwabwaja mwenyewe...katika kimoja alichosema ni kuwa Kenya walituzidi akili muungano wa kwanza kwa hiyo tumekuwa hatuna imani nao...akaongelea vitega uchumi vya then Umoja wa Africa Mashariki vilibaki kuwafaidisha watu wa Kenya...alitaja Airport...(sikuwa najua kama Kenyatta Airport tulijenga wote...is it true?)

Kumbe mataifa 'partners' nao wanafuatilia kwa ukaribu na umakini mkubwa actions na reactions za Tz...(kwa maslahi yao ingawa sijuhi ni kivipi wanafaidika au ku loose kwa sie kujiunga au kutokujiunga).
 
Mbona umemwaga utumbo ambao sijawahi kuuona tangia nijiunge humu JF. Rais wetu yuko makini sana, huwezi mchakato wa mambo hayo bila ridhaa ya wananchi. Akifanya hivyo , kesho nyie nyie mtakuja humu JF nakusema Rais anaendesha mambo kidikteta. Mbona hamna jema nyie ? Mmeumbwaje? Mkoje? Mnatumika na nani? Kwa faida ya nani? Acheni uzandiki, unafiki na uongo. Tusifanye mambo kwa shinikizo la wengine. Nia Za hawa watu nikutaka ardhi yetu na inajulikana, Leo hii wewe na uwezo wako mdogo wa kufikiri unataka tuwa support. Shame on you !

Kwanza usijumuishe kila mtu kwa utashi wako mwenyewe. Mzandiki na muongo ni wewe na kikwete wako.
 
Hapo kwenye bold ndio lipi hilo soko?


Unajuan wa Tz tuna mapenzi na nchi yetu...ni wachache (kama wapo) wenye mzuka kwa kwenda kuishi kenya au kutafuta kazi huko...sasa umetumia vigezo vipi kusema wa Tz wanafanya vibaya ...ni wangapi walienda tafuta kazi nchi za EA wakakosa?


Democracy999,

..sekta ya utalii inaingiza about Usd 1.2 billion. we can do better than that, but I dont think visa ya pamoja is the answer.

..angalia viwanja vya ndege vya Kenya na vyetu vya hapa Tanzania, utapata jibu kwanini ndege nyingi zinatua Kenya kuliko Tanzania.

..nenda katika balozi zetu mbalimbali uone huduma utakayopewa. huduma ni mbaya sana, hao watalii tunaowapata kwa kweli ni kudura tu za mwenyezi MUNGU.

..Kwa kifupi ni kwamba wa-Tanzania tunapaswa kujiangalia wenyewe internally kabla ya kujipeleka huko kwenye EAC na SADC.

..Kwa mfano, what are we doing internally kuhakikisha kwamba we erase the trade deficit btn Tanzania and Kenya?? Kwa mtizamo wangu suala hilo linatakiwa kutuumiza vichwa kuliko hata hili suala la visa ya pamoja.

..Au, kwanini biashara kati ya Kenya na Rwanda ni kubwa kuliko biashara kati ya Tanzania na Rwanda kabla hata "hawajatutenga"?

..Zaidi, kwanini vijana wetu hawafanyi vizuri ktk soko la ajira la East Africa? What is being done to address suala hilo? Je, shule za kata ndiyo jibu letu??
 
Bila EAC hainiondolei usingizi!

juzi nilikuwa barabarani masopakyindi. masam tela ya mizigo kutoka nchi za nje kuelekea dar es Salaam yameongezeka zaidi ya mara dufu. makambako malori yalikuwa kwenye foleni ya kupimwa kwenye mzani wa pale katika msululu wenye urefu wa kadri ya kilometa moja na ushee. njiani idadi ya maloli ni kubwa sana.

Nadhani bandari ya dar es salaam itakuwa inashindwa kupumua. dhana yangu hisia ni kwamba wafanyabiashara wanawaza tofauti na wanasiasa kuhusu utegemezi wa eneo hili kwa nchi hii. tusubiri tuone kama pana uwiano wa fikra kati ya siasa na biashara kwenye eneo hili
 
Hapo kwenye bold ndio lipi hilo soko?


Unajuan wa Tz tuna mapenzi na nchi yetu...ni wachache (kama wapo) wenye mzuka kwa kwenda kuishi kenya au kutafuta kazi huko...sasa umetumia vigezo vipi kusema wa Tz wanafanya vibaya ...ni wangapi walienda tafuta kazi nchi za EA wakakosa?

..soko la ajira ya EAC lina-include Tanzania pia.

..malalamiko kwamba vijana wetu wanapigwa chini halafu kazi wanapewa wa-Kenya yamekuwa mengi.

..hata Wachina nao wanatoka kwao na kuja kuchukua kazi ambazo zinapaswa kufanywa na wa-Tanzania.

..naamini hii ni combination ya maandalizi hafifu ktk mfumo wetu wa elimu, na kupuuzwa kwa sheria zetu za ukaazi na uajiri wa watu toka nje.

..nauliza: kwanini katika masuala ya ajira hapa Tanzania, "mcheza kwao hatunzwi"???

cc Geza Ulole, Kubwajinga, Mdondoaji
 
Last edited by a moderator:
Mbona kama post hii imerudiwa...... Au naota? Sasa hivi Kenya wanahaha kwa sababu in June or July 2013, South Sudan walikuwa wanafanya upembuzi yakinifu kuangalia cost benefit analysis za bomba la mafuta kupitia Kenya, Ethiopia au Djibouti. Na sasa hivi tayari wameanza harakati za kujenga mtambo wa kusafisha mafuta Upper Nile State na kijiografia Upper Nile na Unity States zipo mbali sana na Lamu na ndizo zenye kuzalisha mafuta kwa wingi
 
uingereza hadi leo ipo ndani ya european union lakini inatumia hela yake pound starling, na masharti ya visa za ya shengeni kama zilivyo nchi zingine, hivyo hata sisi tunaweza kuwepo tu kwenye muungano lakini mtu akitoka kenya akitaka kuja tz lazima apate visa kama vile hata kama uingereza ipo EU ukitoka ufaransa ambayo pia ipo EU kwenda uingereza unatakiwa visa mpya kabisa.
 
Wakuu,
Tanzania kutengwa kiuchumi na nchi za jumuiya ya afrika mashariki ni aibu na fedheha kubwa sana kwa nchi yetu, ni jinsi gani tulivyozubaa hatuko kiuchumu.

Rais wetu yupo busy na safari za nje huku nchi za maziwa makuu ambazo kimsingi ni mtaji zinashawishiwa na rafiki yetu na jirani yetu Kenya kujiondoa kibiashara na Tanzania.

Kujiondoa kwa nchi hizi zinasababisha kupungua kwa ukusanyaji kodi, jambo ambalo serikali ya Kikwete kwa uwezo wake mdogo kulazimisha wananchi kukatwa kodi zisizo la lazima hapo baadaye, mfano kodi ya kutembea barabarani (pedestrians license) nk, ili kufidia kodi itakayokosekana kutokana na kujitoa kwa Rwanda, Burundi and Uganda.

Wakuu wa EA jana walikaa na kukubaliana kuanzisha the so called coaltion of the willing, and is in the process of unvailing a single visa for tourists! No one mentioned tz including UK!
This seems Tz is officially sidelined by the other EA states which is really bad. And was surprised jana that the minister here denied the obvious!

To harmonize the situation, Kikwete has to get TZ on the federation for the better of Tz. Just imagine if there is a single visa for tourists for kenya, uganda, Rwanda and Burundi...most tourists wil flock to those countries which is bad for tz economy!! The Government needs to do something about this and quick!!

Otherwise tutaendelea kuamini kwamba Kikwete ni Rais dhaifu haikapata kutokea tangia uhuru!!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Acha bangi wewe.....!
 
Nini kutengwa na EAC bana hao jamaa ni manyang'au wakubwa,udongo wetu wanautolea udenda vibaya na ndio kitu walichokuwa wanakiwinda,sasa wamekikosa wanajifanya kututenga hawafai kabisa hao.
 
Nashukuru kama umejua haya mambo ya ajira kwa hapa Tanzania ni more than competency ...kwa sababu nchi nyingi za Africa (including giants kama Nigeria) zinalalamikia viwango vya graduates wao... Hivi kama umepata bahati ya kusoma na wa western darasa moja kuna uliloona wanakuzidi? kuna lots of politics including brainwashing (labda hao natural scientist kwa kuwa wana mahabara za nguvu)... na tukijua kuna wakenya wangapi wameajiriwa Tz hapo ndio tutaanza kujenga hoja ya kulikoni...sana sana utakuta mmoja au wawili kwenye foreign companies..
..soko la ajira ya EAC lina-include Tanzania pia.

..malalamiko kwamba vijana wetu wanapigwa chini halafu kazi wanapewa wa-Kenya yamekuwa mengi.

..hata Wachina nao wanatoka kwao na kuja kuchukua kazi ambazo zinapaswa kufanywa na wa-Tanzania.

..naamini hii ni combination ya maandalizi hafifu ktk mfumo wetu wa elimu, na kupuuzwa kwa sheria zetu za ukaazi na uajiri wa watu toka nje.

..nauliza: kwanini katika masuala ya ajira hapa Tanzania, "mcheza kwao hatunzwi"???

cc Geza Ulole, Kubwajinga, Mdondoaji
 
..but tanzanians opposition openly supported raila odinga.

..do u think uhuru kenyatta will forgive them for that??

..also, have u thought about kaguta museveni? Do you think he will side with ccm or the opposition?

..my reading is that, museveni is the one pushing for political federation. He is aiming at becoming the first president of east africa.
i remember i saw magufuli during raila's odm nomination, is he also from opposition?
 
Waache waende zao.They are doing it on paper but they know it for sure that on the ground is impracticable.
 
Na hakuna mtu nayemuona opportunist kama mkenya...yani urafiki wao ni kwa manufaa si bure bure hata katika maisha ya kila siku...sipendi watu wanaopenda kunyonya wenzao...na wanaojiona wako juu wakati hakuna kitu...yani wote sasa hivi mimacho imewatoka wanataka ardhi yetu...maana Uganda land tenure system yao iko complicated kwa mgeni kuivamia kirahisi...sisi tukiwaruhusu tu tumekwisha...
Nini kutengwa na EAC bana hao jamaa ni manyang'au wakubwa,udongo wetu wanautolea udenda vibaya na ndio kitu walichokuwa wanakiwinda,sasa wamekikosa wanajifanya kututenga hawafai kabisa hao.
 
Wakuu,
Tanzania kutengwa kiuchumi na nchi za jumuiya ya afrika mashariki ni aibu na fedheha kubwa sana kwa nchi yetu, ni jinsi gani tulivyozubaa hatuko kiuchumu.

Rais wetu yupo busy na safari za nje huku nchi za maziwa makuu ambazo kimsingi ni mtaji zinashawishiwa na rafiki yetu na jirani yetu Kenya kujiondoa kibiashara na Tanzania.

Kujiondoa kwa nchi hizi zinasababisha kupungua kwa ukusanyaji kodi, jambo ambalo serikali ya Kikwete kwa uwezo wake mdogo kulazimisha wananchi kukatwa kodi zisizo la lazima hapo baadaye, mfano kodi ya kutembea barabarani (pedestrians license) nk, ili kufidia kodi itakayokosekana kutokana na kujitoa kwa Rwanda, Burundi and Uganda.

Wakuu wa EA jana walikaa na kukubaliana kuanzisha the so called coaltion of the willing, and is in the process of unvailing a single visa for tourists! No one mentioned tz including UK!
This seems Tz is officially sidelined by the other EA states which is really bad. And was surprised jana that the minister here denied the obvious!

To harmonize the situation, Kikwete has to get TZ on the federation for the better of Tz. Just imagine if there is a single visa for tourists for kenya, uganda, Rwanda and Burundi...most tourists wil flock to those countries which is bad for tz economy!! The Government needs to do something about this and quick!!

Otherwise tutaendelea kuamini kwamba Kikwete ni Rais dhaifu haikapata kutokea tangia uhuru!!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

hivi katika haka kamfumo ka visa moja, kapesa ka gharama ya visa hata kama ni kadogo tutagawana au katachukuliwa na mwenyekiti wa umoja wa visa?
 
Waache waende zao kwani tanzania nilazima wawe na biashara na uganda kenya na ruanda tutafanya biashara na nji nyingine.
 
Mkuu Mungi

Asikudangaye mtu huo muungano "Coalition of willing" isikutishe kabisa kati ya mambo ninayomuunga mkono Rais Kikwete hili linashika nafasi ya kwanza kabisa sioni wala sisikii.

Lazima utazame kwa umakini mkubwa huo muungano wa Kenya,Uganda na Rwanda na pengine Burundi una faida gani na hasara gani kwa taifa letu ninachokiona ni hasara kuliko faida.

a. Tanzania imependekeza shirikisho lazima lipate baraka za wananchi na si viongozi pekee yao kama inavyoonekana sasa.Rais Uhuru Rais M7 na Kagame wanaamua mambo makubwa bila ridhaa ya wananchi wao.Msimamo wa Tanzania kati hili unafaa kuungwa mkono na waTanzania wote bila kujali itikadi za vyama.

b. Single visa ni hasara kwa Tanzania kuliko unavyofikiri ndugu yangu.Lazima ufahamu zaidi ya 3/4 ya watalii wote wanaotembelea Tanzania wanapitia Kenya kwa hiyo Kenya ina nafasi kubwa ya kukusanya mapato yatokanayo na visa kuliko nchi nyingine za EA loser hapa ni Tanzania inayopokea idadi kubwa ya watalii inayokaribiana na Kenya.

b : 1 Mgawanyo wa mapato ya visa ni tatizo kubwa hasa ukizingatia Tanzania inatumia fedha nyingi kujitangaza eg ligi ya UK,mechi zote za Sunderland zinatanagaza vivutio vya Tanzania.

b : 2 Tanzania ina vivutio vingi na vya kipekee ukilinganisha na nchi wanachama wa EA.Mfano Selous Game Reserves ( Sq km 44,800) ni kubwa kuliko nchi ya Rwanda (Sq km 26,338),Mbuga ya wanyama ya Serengeti (Sq km 14,763) ni zaidi ya nusu ya nchi ya Rwanda.Hapa bado sijaweka Ngorongoro,Kilimanjaro,Manyara,Mikumi,Tarangire,Katavi,Saadani na nk

b : 3 Kenya kwa muda mrefu imekuwa ikitumia ulaghai kwamba Mlima Kilimanjaro upo Kenya,imekuwa pia ikidanganywa kwamba mbuga ya wanyama ya Serengeti ipo kwao.Iwapo Tanzania itaingia mkenge wa visa moja uwezekano wa ulaghai utaweza kujirudia tena.Tanzania ipo sahihi kukataa visa moja.

b : 4 Mbuga za wanyama Kenya zimeshazidiwa na idadi kubwa ya watalii per sq km kwa upande wa Tanzania bado hatujafikia hata robo ya wa talii per sq km ukilinganisha na nchi ya Kenya.

b : 5 Idadi ya watalii inayotembelea Tanzania imekuwa ikipanda mwaka hadi mwaka.Mpaka sasa fedha za utalii kwa upande wa Tanzania ni nyingi ulikinganisha na upande wa Kenya.

c. Coalition of willing isikutishe msingi wake unajengwa juu ya ulaghai na ujanja wa M7 na ndugu yake Kagame bila Tanzania EA ni bure.Kenya imeshakimbiwa na South Sudan bandari yake ya Mombassa uenda ikaibakiza Uganda pekee yake kwasababu nchi za Burundi na Rwanda economically lazima zitumie bandari ya Dar na baadae Bagamoyo.

d. Tanzania ina kila kitu kinachikosekana ni uongozi bora mkuu wangu kuikimbiza Tanzania katika muungano wa kijinga ni kuongeza mzigo mwingine usio na sababu.

Well said mkuu! What do we stand to loose tusipojiunga na M23!!
 
Back
Top Bottom