jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,247
- 1,634
Jumuiya ya Afrika Mashariki hauhusiki kutatua mgogoro wa nchi viongoz wanao ng’ang’ania madaraka?
Hapa tunazo kama Uganda, Rwanda na Burundi.
Hapa tunazo kama Uganda, Rwanda na Burundi.
Kila nchi na KATIBA yake, SOVEREIGNTY.
Wote ndio hao hao. Tz tumeokolewa na Mungu tu, ilikuwa tunaelekea huko huko jinsi tulivyo wajinga.Lakini ina athiri jumuiya
Itatua kwa kuwaongezea muda wa miaka 99.
‘Atake asitakeeeeeeeeeeeeee’.
Jumuiya ya Afrika Mashariki hauhusiki kutatua mgogoro wa nchi viongoz wanao ng’ang’ania madaraka?
Hapa tunazo kama Uganda, Rwanda na Burundi.
Kuna binadamu vinga'nga'nizi sana...