Amani kwenu waungwana,
Aisee nilipoteza simu ikiwa na laini ambayo nilikuwa nimeunganisha kwenye e-mail address yangu kwa ajili ya verification. Kwa bahati mbaya wakati najaribu ku-renew ile namba nikaona tayari kuna mtu mwingine anaitumia.
Nimejaribu mara nyingi kumsihi anitumie zile code zinazotumwa kwake wakati najaribu kuingia kwenye e-mail yangu lakini amekataa kabisa tena na matusi juu.
Naombeni mwenye maarifa ya ziada ya kuweza ku-recover e-mail address yenye shida kama yangu anisaidie.
Natanguliza shukrani.
Aisee nilipoteza simu ikiwa na laini ambayo nilikuwa nimeunganisha kwenye e-mail address yangu kwa ajili ya verification. Kwa bahati mbaya wakati najaribu ku-renew ile namba nikaona tayari kuna mtu mwingine anaitumia.
Nimejaribu mara nyingi kumsihi anitumie zile code zinazotumwa kwake wakati najaribu kuingia kwenye e-mail yangu lakini amekataa kabisa tena na matusi juu.
Naombeni mwenye maarifa ya ziada ya kuweza ku-recover e-mail address yenye shida kama yangu anisaidie.
Natanguliza shukrani.