E-FM rudieni mahojiano mliyoyafanya na Fatuma Karume

Jacobus

JF-Expert Member
Mar 29, 2011
4,681
1,698
Wakuu, juzi kati kupitia kipindi cha asubuhi wanakiita Joto la Asubuhi Gerald Hando alikuwa na mahojiano na mwanasheria Fatuma Karume 'Shangazi'.

Nilibahatika kusikiliza kama dakika 30 hivi za mwishoni lakini nilivutiwa mno kwa namna ya ueledi uliooneshwa na pande zote yaani kati wa mtangazaji na mwanasheria.

Sijui kama wana utaratibu wa kurejea kipindi (mahojiano) kama hicho chenye mvuto.
 
Nilisikiliza majadiliano ya fatma karume na salama jabir , asee the lady is miles ahead anajua kuongea na kuchambua mambo, salama naye alijitahidi sana kwenda sawa na shangazi , ila alionekana dhahiri kuzidiwa uwezo na fatuma.

Shangazi alielezea jinsi ma Ded walivyochukua nafasi ya usimamizi wa uchaguzi ,badala ya maafisa wa tume , unaona kabisa mkapa hakuwa na lengo la kuleta democracy.
 
Fatma Karume na Tundu Lissu Mwenyezi azidi kuwabariki, siku wakija kuwa serikalini hawa hakutakuwa na vilaza tena Tanzania. Lazima wahakikishe vichwa vyao vizaliwe kwa wingi
 
Fatma Karume na Tundu Lissu Mwenyezi azidi kuwabariki, siku wakija kuwa serikalini hawa hakutakuwa na vilaza tena Tanzania. Lazima wahakikishe vichwa vyao vizaliwe kwa wingi
🤣🤣🤣 hubadilika kama tunavowaona wengi tu sasa waliokuwa wakipigania Katiba mpya inayotokana na rasim ya mzee Warioba.
 
Some people are blessed!
Mm naona sio kuwa blessed tu, bali pia wameandaliwa vizuri kuanzia elimu bora kila kitu ...sasa ukisema blessed hata kiongozi anajiita bajaji na yy pia ni blessed lkn ndio hamna kitu ktk mamlaka ya medula na oblangata maandalizi duni ya elimu mara sijui memkwa sijui u risit kisha udumbukie ktk siasa
 
Mjingamjinga tu huyo, Bahati mbaya ni kuwa kazungumza Yale uliyotamani kusikia. Ila huyo bibi hamna kitu humo
 
Mjingamjinga tu huyo, Bahati mbaya ni kuwa kazungumza Yale uliyotamani kusikia. Ila huyo bibi hamna kitu humo
Si wakati wote mtu anakuwa mjinga mkuu. Ukisikiliza kipindi hicho utawakubali wote wawili yaani mtangazaji na mwanasheria jinsi maswali na majibu yenye mashiko yakiendeshwa.
 
Back
Top Bottom