Ni Kweli watusaidie kulitoa
Absolutely he's.DW: Huyu ni dikteta mpya Afrika? Wanachama thelathini na nane wa chama kikuu cha upinzani ikijumuisha wanasheria wamewekwa korokoroni wiki moja kufuatia uchaguzi. Nani bado mshabiki wa Rais Magufuli?
Na wale wapinzani 38 wamewekwa ndani kwa sanabu zipi??Hao DW ni wapuuzi kama wupuuzi wengine
wasisahau uchumi wa magharibi ulijengwa na
Pyracy Plundering and Rooting wasijifanye
wao ndio wastaarabu pumbav zao
Jifanye wewe ni mmoja ya wale walioko mahabusu au ndugu yao na hakimu akidai anaumwa!Huwa wanatumia njia hizi hizi kuchafua,,,,nchi nyingi za kiafrika zimeingia kwenye matatizo kwa sababu ya mambo haya [HASHTAG]#Wanafanikisha[/HASHTAG] haya kwa kuungwa mkono na wapumbavu wachache ambao wanadhani ukifanya kosa ukashughulikiwa, kosa linawekwa kando na siasa kuwa agenda kuu,,,,, napambana na hali yangu
Dikteta huyu kila mtanzania anatakiwa kumpingaDW: Huyu ni dikteta mpya Afrika? Wanachama thelathini na nane wa chama kikuu cha upinzani ikijumuisha wanasheria wamewekwa korokoroni wiki moja kufuatia uchaguzi. Nani bado mshabiki wa Rais Magufuli?
Kwanini watanzania wazalendo wanapigwa risasi mchana hadharani sehemu yenye ulinzi?Wamekosa cha kuandika..
Wanatafuta Kiki kupitia Mkulu tu.
Watazidi kuisoma namba.. JPM ni habari nyingine
Magufuli oyeeeeee