BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,045
- 10,473
- Thread starter
- #21
I remember walimwita Mandela wa Zanzibar na mmoja wa wachangiaji alisema toka kuzaliwa kwake hajawahi kuona mazishi yaliyohudhuria na watu wengi Kama ya maalim Sasa huo Kama sio unafiki Ni nini?Taarifa zake za habari za msiba wa mpendwa ilikuwa ni kupondaponda tu, ila yule wa upinzani alipofariki aliandaliwa kipindi cha meza duara na akasemwa vizuri sana