Tonge
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 695
- 12
Kwa watanzania wengi madaraka yamekuwa ulevi, mtu akipata madaraka basi kazi yake ni kujiona yuko juuuuuuuu juuuuuuuuu kabisaaa kuliko wengine matokeo yake ni kuwanyanyasa wengine, mfano ni pale mkuu (ADMIN and FINANCE) kuamua kufunga geti la kuingia main campus kwa muda mrefu kisha kuwalazimisha watu wenye magari kupita njia mbaya ambazo kutwa magari hasa madogo huumia au kuharibika na wengine wamepata ajali, ni miezi kadhaa sasa (3) geti kuu linafanyiwa matengenezo je ni la IKULU au Versity? na watu huteseka, hivi kutengeneza deviasion karibu na hilO geti ambayo ni rahisi na salama ingekuaje au kwa kuwa anatumia VX V8? hapati hii adha?. Hayo madaraka yana mwisho ndugu yangu. Mjirekebishe na ulevi huu wa madaraka viongozi manaopewa dhamana ya kuongoza wenzenu.
Wana JF nimelisema hili kama mpita njia kwenye hiki chuo, kwani limenikera sana na limewakera wengi kama mtu ataona si jema basi anisamehe ila hapa JF ndio mahala pangu pa kutoa madukuduku yangu sina pengine kwani nafasi hio sijapewa.Natumaini meseji sent.
Wana JF nimelisema hili kama mpita njia kwenye hiki chuo, kwani limenikera sana na limewakera wengi kama mtu ataona si jema basi anisamehe ila hapa JF ndio mahala pangu pa kutoa madukuduku yangu sina pengine kwani nafasi hio sijapewa.Natumaini meseji sent.