virginity
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 882
- 907
Sifa zote za hapo juu anazoMmmh!Labda nikuulze ww virginity kwa nn unahis ni shigongo?
Sifa zote za hapo juu anazoMmmh!Labda nikuulze ww virginity kwa nn unahis ni shigongo?
Anyway turud kwenye point je kwa unavoelewa ww nyuma ya utajir kuna ushirikina nje ya Afrika lknSifa zote za hapo juu anazo
Upo kwa %ndogo sanaAnyway turud kwenye point je kwa unavoelewa ww nyuma ya utajir kuna ushirikina nje ya Afrika lkn
Saf umesomek mkuu nimejifunz kituUpo kwa %ndogo sana
Sawa kabisa cyo kwa maneno rahisi rahisi hivyo.Thibitisha kwa hoja kuntu mkuu
Si dhani tajiri mkubwa bongo awe Shigongo kweli!Unamzungumzia nani? Shigongo au?
yeah mkuuSawa kabisa cyo kwa maneno rahisi rahisi hivyo.
Duuh! Sikujua kama ushirikina umeshika hatamu kias hikiHakuna nchi iliyobobea kwenye ushirikina kama South Africa. Hivi sasa wanaomba mswada watambuliwe na masomo yafundishwe vyuoni.
Kwa hiyo tukio la kufa kwake lilihusiana na ushirikina mkuu?Mzee shinyanga halifariki alipoenda kufata pesa zake zilizokuwa ndani ya nyumba (guest house) mwanza mjini iliyokuwa inaungua sasa baada ya hapo ndo majanga tena yakafuata mzee wa watu akawa marehemu
Mbn hakuna jina la mtu lililotajwa mkuuOhoo naona mmeamua kuwataja matajiri washirikina
kwenye maoni ya wadau hapa ndo wametaja mkuuMbn hakuna jina la mtu lililotajwa mkuu