JWANY DA KING
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 201
- 183
Mmmh ngumu kumesa! Mbona sijaelewa kabisa au Ni hi bangi nilovuta asubuhi inanichanganya.
Mimi mwenyewe saivi Niko bia ya nne hapa naendelea kuzipiga sijui ndo ntaelewa au ntalewa bia tu.Alie elewa anieleweshe maana hii kichwa yangu siku hizi hata siielewi elewi.
Dingi atamla.
Wakuu heshima kwenu, Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika yote mnayopitia zaidi neema yake ikawe juu yenu.
Jana yamenikuta kijana mwenzenu, Shemeji yenu mtarajiwa anafanya kazi ofisi moja na bamkwe wake ila hawajatambulishwa tuu.... Sasa katika mishe za maisha huyu mtarajiwa alifanya matumizi ya kiofisi bila utaratibu sasa wakafanya mpango pamoja na mwenzake waombe hela nyingine kupitia kwa bamkwe ili kuziba hilo gepu, Basi pesa ilipotoka shemeji yenu kamfuata bamkwe kwamba apewe hiyo hela akazibe hilo gepu mzee wa watu akakaza kutoa hela kwamba hawezi kuruhusu hiyo pesa ifanye matumizi mengine.
Bhasi baada ya kikao chao nashangaa natumiwa sms kwamba mimi sina adabu na nidhamu yangu ni ndogo pia simuheshimu na nimkome Kama chu..😂pi.
Kama biblia inavyotuasa kwamba Ishini nao kwa akili bhasi nikakausha sikujibu sms baada ya muda natumiwa sms, Sitaki kusikia chochote kutoka kwako done.😁😂😁😂
Baadae mshua kaniita home akaanza kunieleza kwa makini sana kisa cha kumnyima mkwe wake hela, Nilivyosikia kutoka kwa mshua na sms nilizotumiwa hata sikutaka kumpinga yoyote ila nikamjibu mshua aachane na upuuzi wao, Kama alikula hela za watu arudishe Kama alifanya matumizi apeleke risiti.
Shida inaanzia hapa, mshua anampenda mkwe wake maana Kuna siku nilienda nae usiku home so alihisi tunamahusiano na alichomfanyia kazini ni sahihi ila anahisi amemuumiza na ndio sababu ya kuniita ili kuniambia hayo ila kwangu Mimi nimeshaambiwa nisimuongeleshe namimi nikajibu SAWAAA KWA HERUFI KUBWA.
Katika hili nimejifunza kitu ndio maana nimekuja kushare nanyi, Naamini utajifunza kitu
Ila WAHA wajuaji sanaa😂😂😂
Kuna mawili...Mzee wako unampelekea mkwe usiku?
Basi SAWAAAAA KWA HERUFI KUBWAAAA.
Kwa pamoja, Mimi nawewe. ...mtoa mada hawezi kutuelewa.Naamini tayari mshua keshamla!
Jamaa ana mchumba ambae kala pesa za ofisi, sasa mchumba wake kamuomba pesa baba yake na baba hataki kutoa...Aliyeelewa atanielewesha
Kumbe ndio ipo hivyo nina maswali ya kuuliza ila acha niishie hapaJamaa ana mchumba ambae kala pesa za ofisi, sasa mchumba wake kamuomba pesa baba yake na baba hataki kutoa...
Naomba uniulize miongozo ipo...Kumbe ndio ipo hivyo nina maswali ya kuuliza ila acha niishie hapa
Kweli nitakuchosha bwanaNaomba uniulize miongozo ipo...
Yeye na mkwewe hua wanakunywa pombe pamoja bar...Kweli nitakuchosha bwana
Sasa ye na mkwewe wapo vipi yaani
Mkwe unywe nae barYeye na mkwewe hua wanakunywa pombe pamoja bar...
Unataka kusema jamaa na baba mkwe...Mkwe unywe nae bar
Mbona kama mtu na mkwewe wanakulana
Nikajua mdada na mkwewe kumbe jamaa anisamehe bureUnataka kusema jamaa na baba mkwe...
Amesema wanawake nuksi tuishi nao kwa akilihata sijaelewa lol.
Wakuu heshima kwenu, Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika yote mnayopitia zaidi neema yake ikawe juu yenu.
Jana yamenikuta kijana mwenzenu, Shemeji yenu mtarajiwa anafanya kazi ofisi moja na bamkwe wake ila hawajatambulishwa tuu.... Sasa katika mishe za maisha huyu mtarajiwa alifanya matumizi ya kiofisi bila utaratibu sasa wakafanya mpango pamoja na mwenzake waombe hela nyingine kupitia kwa bamkwe ili kuziba hilo gepu, Basi pesa ilipotoka shemeji yenu kamfuata bamkwe kwamba apewe hiyo hela akazibe hilo gepu mzee wa watu akakaza kutoa hela kwamba hawezi kuruhusu hiyo pesa ifanye matumizi mengine.
Bhasi baada ya kikao chao nashangaa natumiwa sms kwamba mimi sina adabu na nidhamu yangu ni ndogo pia simuheshimu na nimkome Kama chu..😂pi.
Kama biblia inavyotuasa kwamba Ishini nao kwa akili bhasi nikakausha sikujibu sms baada ya muda natumiwa sms, Sitaki kusikia chochote kutoka kwako done.😁😂😁😂
Baadae mshua kaniita home akaanza kunieleza kwa makini sana kisa cha kumnyima mkwe wake hela, Nilivyosikia kutoka kwa mshua na sms nilizotumiwa hata sikutaka kumpinga yoyote ila nikamjibu mshua aachane na upuuzi wao, Kama alikula hela za watu arudishe Kama alifanya matumizi apeleke risiti.
Shida inaanzia hapa, mshua anampenda mkwe wake maana Kuna siku nilienda nae usiku home so alihisi tunamahusiano na alichomfanyia kazini ni sahihi ila anahisi amemuumiza na ndio sababu ya kuniita ili kuniambia hayo ila kwangu Mimi nimeshaambiwa nisimuongeleshe namimi nikajibu SAWAAA KWA HERUFI KUBWA.
Katika hili nimejifunza kitu ndio maana nimekuja kushare nanyi, Naamini utajifunza kitu
Ila WAHA wajuaji sanaa😂😂😂