Steven mushi mushi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 533
- 737
haitabadili ukweli ni binadamu..........Mkuu kuna binadamu unawaona kwa macho lakn uhalisia wao sio binadamu...
Mm nitakataa milele endapo nikiambiwa huyo ni binadamu
haitabadili ukweli ni binadamu..........
Wale ni mashetani ya kimilakwa hiyo na wale wanaocheza ngoma zao na nyoka utawaitaje
Kwahyo mshana sio binadamuKwa macho ya kawaida ni binadamu lakn kwa jicho la mshana jr hao sio binadamu
mmmmh kwa nini iwe kwa nyoka tu, vipi kwa wanyama wengine bona watu wanaishi nao vizuri na hatuwahofiiWale ni mashetani ya kimila
Labda!!! Ngoja akipita hapa atatuelezaKwahyo mshana sio binadamu
Hilo unaonge ww nmemuongelea mshana jr kwakuwa ndiye kiboko Wa mambo ya wanaojiita wataalamuKwahyo mshana sio binadamu