Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Toka Jana tumeshuhudia Umahari wa Jeshi letu la Wananchi Jinsi linavyo rusha ndege zao huku Dodoma.
Ila Duu unaweza toka mbio yaani anaishusha na inaachia mlio wa kurusha Roho... Natamani ningekuwa mimi ndiyo naziendesha..
Ila Duu unaweza toka mbio yaani anaishusha na inaachia mlio wa kurusha Roho... Natamani ningekuwa mimi ndiyo naziendesha..