Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,408
- 31,392
- Thread starter
- #101
GEN. FLYNN AACHIA NGAZI
Aya ya mwisho ya bandiko hapo juu tulisema 'suala la Russia na Gen. Flynn' litaleta tatizo
Tayari tatizo limetokea, mshauri wa usalama wa Trump Gen Flynn amelazimika kujiuzulu
Ni baada ya habari zaidi kuhusu maongezi yake na balozi wa Russia kubainika
Habari zinamweka VP Pence katika wakati mgumu kwani alisimama kumtetea kwa hilo
Kulikuwa na kiwewe, Kellyanne Conaway tuliyesema ni wa kupuuzwa, alisema Rais anasimama na Flynn. Masaa machache Spicer kaeleza Rais kutathmini suala la Flynn
Habari zilikuwa nzito zikimwelekea Trump siku nzima
Kwanza, tweet ya Trump baada ya Obama kuweka vikwazo kwa Russia
Wengi wanahoji uhusiano wa mshauri wa ulinzi na Russia na kama alitumwa na Trump
Pili, state dept chini ya S.Yates aliyefukuzwa(act AG) inaonyesha WH ilitaarifiwa kuhusu Flynn.
Tatu, kwanini kulikuwa na maongezi ya kidiplomasia ya Team Trump, Obama akiwa Rais
Swali, Trump alijua lini kuhusu Flynn na kwanini kulikuwa na cover up ya suala zima
Hapa panaunganishwa na suala la Russia hacking ambalo linachunguzwa.
Kujiuzulu kwa Flynn ni damage control lakini damage yenyewe bado na itasumbua sana
Watu wanajiuliza sana kuhusu uhusiano wa Trump na Russia! kulikoni?
Tutawajuza kinachoendelea
Aya ya mwisho ya bandiko hapo juu tulisema 'suala la Russia na Gen. Flynn' litaleta tatizo
Tayari tatizo limetokea, mshauri wa usalama wa Trump Gen Flynn amelazimika kujiuzulu
Ni baada ya habari zaidi kuhusu maongezi yake na balozi wa Russia kubainika
Habari zinamweka VP Pence katika wakati mgumu kwani alisimama kumtetea kwa hilo
Kulikuwa na kiwewe, Kellyanne Conaway tuliyesema ni wa kupuuzwa, alisema Rais anasimama na Flynn. Masaa machache Spicer kaeleza Rais kutathmini suala la Flynn
Habari zilikuwa nzito zikimwelekea Trump siku nzima
Kwanza, tweet ya Trump baada ya Obama kuweka vikwazo kwa Russia
Wengi wanahoji uhusiano wa mshauri wa ulinzi na Russia na kama alitumwa na Trump
Pili, state dept chini ya S.Yates aliyefukuzwa(act AG) inaonyesha WH ilitaarifiwa kuhusu Flynn.
Tatu, kwanini kulikuwa na maongezi ya kidiplomasia ya Team Trump, Obama akiwa Rais
Swali, Trump alijua lini kuhusu Flynn na kwanini kulikuwa na cover up ya suala zima
Hapa panaunganishwa na suala la Russia hacking ambalo linachunguzwa.
Kujiuzulu kwa Flynn ni damage control lakini damage yenyewe bado na itasumbua sana
Watu wanajiuliza sana kuhusu uhusiano wa Trump na Russia! kulikoni?
Tutawajuza kinachoendelea