Tunarudi nyuma tuliposema ugomvi wake na media na jinsi anavyo zi attack si jambo zuriBreaking News: 8 jaw-dropping lines from Trump’s phone calls with Mexico and Australia!
Simu alizopiga Rais Donald Trump kwa Marais wa Mexico na Australia baada tu ya kuapishwa mwezi Januari mwaka huu zimeanza kuvuja na zinatia aibu kweli kweli. Vuteni subira...
Donald Trump...Rais dhaifu na mwoga kuwahi kutokea nchini Marekani!
Je ni kwa nini Trump anamuogopa Putin kiasi hicho?
Tusemezane.
alikiuka vikwazo hivyo kisirisisri, kwa hiyo anajua kuwa ikijulikana basi atakuwa na kesi inayoweza kuwa katika level ya high crimes and misdemeanorsBaada ya mzozo wa Ukraine kuna vikwazo viliwekwa zikiwemo Bank za Russia
Breaking News: 8 jaw-dropping lines from Trump’s phone calls with Mexico and Australia!
Simu alizopiga Rais Donald Trump kwa Marais wa Mexico na Australia baada tu ya kuapishwa mwezi Januari mwaka huu zimeanza kuvuja na zinatia aibu kweli kweli. Vuteni subira...
Unaweza kututajia jina la hiyo 'benki ya serikali ya Urusi iliyompatia mkopo' Trump kwa ajili ya biashara zake.Mkopo aliopata kutoka benki ya serikali ya Urusi kwa ajili ya biashara zake.
Donald Trump...Rais dhaifu na mwoga kuwahi kutokea nchini Marekani!
Rais wa Marekani Donald Trump kadhihirisha kwamba yeye ni kiongozi mwoga na dhaifu kuliko viongovi wote waliomtangulia na inaonekana anayemtia hofu zaidi si mwingine bali ni Rais wa Urusi Vladimir Putin. Trump aliingia madarakani kwa mbwembwe na kuanza kusaini maagizo ya kiutendaji (executive orders) hadharani huku akiwa amezungukwa na wasaidizi wake pamoja na waandishi wa habari. Lakini leo kasain mswada wake wa kwanza mkubwa uliopitishwa kwa kishindo na Congress ya Marekani kwa kificho bila mbwembwe kama kawaida yake.
Je ni kitu gani kinamtia woga hadi aufyate kama alivyofanya leo?
Jibu ni Vladimir Putin. Wamarekani walio wengi wanajiuliza ni kitu gani kimemsibu Rais wao hadi ashindwe kutoa hata tamko Wamarekani zaidi ya 700 walipotimulia nchini Urusi na balozi yao kutiwa hekaheka? Ingekuwa imetokea katika nchi yoyote ile Trump hangenyamaza ama kwa vyombo vya habari au mtandaoni kwenye twitter lakini hapa kabana kimya. Mswada ambao amelazimika kuusign ni ule unaoiwekea Russia vikwazo na amefanya hivyo shingo upande huku akiitupia Congress lawama kwa kuchukua hatua kama hiyo.
Je ni kwa nini Trump anamuogopa Putin kiasi hicho?
Tusemezane.
Siwezi kuwatajia kwani mimi siyo mchunguzi, ila kuwa na subira kidogo; sijui kama unakumbuka kuwa katika mojawapo wa mikutano ya Don Jr na warusi iliyokuwa imefichwa ni ule wa Meneja wa Benki ya serikali ya urusi. Ukisibiri kidogo tu basi utasikia mengi; leo hii grand jury imeitishwa kufumua swala hilo. Isingekuwa hili, Trump asingekwa na wasiwasi namna ile kiasi cha kuficha tax return zake muda wote huu. Inawezekana kuwa special counsel tayari alishapata nakala za returns hizo kutoka IRS na zinaashiria mambo mabaya ndiyo maana akaitisha grand jury.Unaweza kututajia jina la hiyo 'benki ya serikali ya Urusi iliyompatia mkopo' Trump kwa ajili ya biashara zake.
Ilimpatia kiasi gani?
Mkuu Tujitegemee, stock market index ni kipimo cha wastani wa bei za hisa kadhaa. Huo wastani ndio watu hutumia kuangalia performance ya soko kwa ujumla.1. Nadhani zilikuwa chini kuliko kiwango kilichovukwa leo
2. January wamesema ilikuwa 20,000-point mark
------
Hata hivyo huku kwenye masuala ya miamala ya fedha ama forex, yaani walimu wangu, inabidi mfanye kazi ya ziada kunifundisha maana niko shallow mno. Ombi hili limfikie hata na mwalimu wangu wa masomo ya zaida El Jefe
Siwezi kuwatajia kwani mimi siyo mchunguzi, ila kuwa na subira kidogo; sijui kama unakumbuka kuwa katika mojawapo wa mikutano ya Don Jr na warusi iliyokuwa imefichwa ni ule wa Meneja wa Benki ya serikali ya urusi. Ukisibiri kidogo tu basi utasikia mengi; leo hii grand jury imeitishwa kufumua swala hilo. Isingekuwa hili, Trump asingekwa na wasiwasi namna ile kiasi cha kuficha tax return zake muda wote huu. Inawezekana kuwa special counsel tayari alishapata nakala za returns hizo kutoka IRS na zinaashiria mambo mabaya ndiyo maana akaitisha grand jury.
El Jefe, kumbuka kwamba hapa hatuongelei theluthi mbili za kura, hapana, tunaongelea kura 98-2 sawa na asilimia 98% za Senate na 419-3 sawa na asilimia 99% za House halafu Rais asite ku-sign...hii haijawahi kutokea!Ieleweke kwamba Rais Tump sio Rais wa kwanza wa US ku-sign bill asiyoipenda kisa tu ina veto proof votes (two-third kwa House na Senate).
Hangethubutu kui-veto hata kama haipendi na huu ni ushahidi mwingine kwamba kuna a very serious issue hapa...analinda nini hadi apinge maamuzi ya asilimia 98% ya Congress?Angeweza kui-veto lakini ingekuwa kazi bure maana kwa hizo idadi za kura ingerudi Congress wangeipitisha kuwa sheria bila hata saini yake.
Sera yake? Una maana gani mwenzangu...kwamba sera za Trump zinapingana na sera za chama chake? Kweli unajua unachokizungumza? Kwamba Rais wa Marekani ana nguvu za kuweza kufanya maamuzi yanayopingana na Congress? Kwanza kaukwaa Urais si kwa kupata popular votes za Wamarekani, kapata Urais kwa kushinda electoral votes ingawa wapiga kura walio wengi walimkataa.Kila mtu alitegemea Russia ange-respond. Sasa wewe ulitaka Trump asifu Congress kwa kazi nzuri walioifanya? Hoja ya Trump ni kuwa hizo additional sanctions zinaharibu sera yake ya ku-get along with Russia.
Toka mwaka 1917 Marekani haijawahi ku-get along na Russia na hakuna wakati unaweza kudai mahusiano yalikuwa mazuri. Wanavumiliana tu.Lakini tukumbuke pia kuwa US waliwahi ku-get along with Russia before. Kwa mfano kipindi cha JFK na Ronald Reagan. Kwahiyo Trump sio Rais wa kwanza wa US kutaka mahusiano mazuri baina ya nchi yake na Russia.
Usiwe na haraka ndugu yangu...kama unaamnini uchunguzi unaofanyika ni witch-hunt, vuta subira. Bila shaka unaona Trump anavyojaribu kumpiga vita Special Counsel Muller, je anaogopa nini? Leo kahutubia base yale huko West Virginia na hotuba nzima anatafuta huruma ya wapenzi wake (wale wale aliodai hata akimpiga mtu risasi hadharani hawawezi kumuacha). Woga mkubwa umeanza kumuingia kipenzi chako na kwa sasa ni swala la muda tu.Political witch hunt ya 'Russia collusion' ndio imewaharibu members wa Congress. Uchunguzi wa 'Russia collusion' ni kitu ambacho Trump, team yake na kila mtu angetaka kuona inaisha haraka huku Mueller akiwa fair kwenye hitimisho lake.Naamini baada ya hapo Trump ataweza kuimarisha uhusiano baina ya US na Russia.
Ya Obama yalikuwa tofauti kwani wakati huo Congress haikuwa mikononi mwa chama chake tofauti na sasa ambapo Congress yote iko mkononi mwa GOP. Trump hakutoa sababu yoyote zaidi ya kulialia kuwa inamweka pabaya yeye na wafadhili wake wa Kirusi.Trump amekuwa calm na kutoa lawama kwa Congress kwa kuharibu sera yake, ni kitu cha kawaida. Hata Obama aliwahi kulaumu Congress mara kibao kwa kumletea bills alizoona hazifai (bahati nzuri hazikuwa na veto-proof votes). Rais anapo-veto au kusaini bill asiyoipenda anapaswa kutoa maelezo na ndicho Trump alichokifanya.
Hakuna kiongozi wa Marekani aliyewahi kukaa kimya huku taifa kama Urusi ikiwafukuza raia wake kama alivyofanya Putin. Tukumbuke pia jinsi Trump alivyomsifia Putin kwa kutojibu mapigo Obama alipowafukuza Warusi kwa tuhuma za ujasusi. What hold has the Russian President over the US President Donald Trump?Katika mazingira kama hayo ulitegemea Trump awaambie nini Russia ambao nao wame-respond?. Ni kwamba jitihada zake za kuboresha uhusiano na Russia zimerudishwa nyuma zaidi.
Siwezi kuwatajia kwani mimi siyo mchunguzi, ila kuwa na subira kidogo;
sijui kama unakumbuka kuwa katika mojawapo wa mikutano ya Don Jr na warusi iliyokuwa imefichwa ni ule wa Meneja wa Benki ya serikali ya urusi.
Ukisibiri kidogo tu basi utasikia mengi; leo hii grand jury imeitishwa kufumua swala hilo.
Isingekuwa hili, Trump asingekwa na wasiwasi namna ile kiasi cha kuficha tax return zake muda wote huu.
Special counsel kuitisha grand jury ni sehemu ya process, inayoashiria uchunguzi unaelekea mwishoni.Inawezekana kuwa special counsel tayari alishapata nakala za returns hizo kutoka IRS na zinaashiria mambo mabaya ndiyo maana akaitisha grand jury.
Uchunguzi kwa sasa umejikita zaidi katika mambo matatu yanayomhusu Donald Trump...Siwezi kuwatajia kwani mimi siyo mchunguzi, ila kuwa na subira kidogo; sijui kama unakumbuka kuwa katika mojawapo wa mikutano ya Don Jr na warusi iliyokuwa imefichwa ni ule wa Meneja wa Benki ya serikali ya urusi. Ukisibiri kidogo tu basi utasikia mengi; leo hii grand jury imeitishwa kufumua swala hilo. Isingekuwa hili, Trump asingekwa na wasiwasi namna ile kiasi cha kuficha tax return zake muda wote huu. Inawezekana kuwa special counsel tayari alishapata nakala za returns hizo kutoka IRS na zinaashiria mambo mabaya ndiyo maana akaitisha grand jury.
Uchunguzi kwa sasa umejikita zaidi katika mambo matatu yanayomhusu Donald Trump...
- Collusion with Russia
- Obstruction of Justice
- Financial dealings (crimes)
El Jefe, kumbuka kwamba hapa hatuongelei theluthi mbili za kura, hapana, tunaongelea kura 98-2 sawa na asilimia 98% za Senate na 419-3 sawa na asilimia 99% za House halafu Rais asite ku-sign...hii haijawahi kutokea!
Hangethubutu kui-veto hata kama haipendi na huu ni ushahidi mwingine kwamba kuna a very serious issue hapa...analinda nini hadi apinge maamuzi ya asilimia 98% ya Congress?
Sera yake? Una maana gani mwenzangu...kwamba sera za Trump zinapingana na sera za chama chake? Kweli unajua unachokizungumza? Kwamba Rais wa Marekani ana nguvu za kuweza kufanya maamuzi yanayopingana na Congress? Kwanza kaukwaa Urais si kwa kupata popular votes za Wamarekani, kapata Urais kwa kushinda electoral votes ingawa wapiga kura walio wengi walimkataa.
Toka mwaka 1917 Marekani haijawahi ku-get along na Russia na hakuna wakati unaweza kudai mahusiano yalikuwa mazuri. Wanavumiliana tu.
Usiwe na haraka ndugu yangu...kama unaamnini uchunguzi unaofanyika ni witch-hunt, vuta subira. Bila shaka unaona Trump anavyojatibu kumpiga vita Special Counsel Muller, je anaogopa nini? Leo kahutubia base yale huko West Virginia na hotuba nzima anatafuta huruma ya wapenzi wake (wale wale aliodai hata akimpiga mtu risasi hadharani hawawezi kumuacha). Woga mkubwa umeanza kumuingia kipenzi chako na kwa sasa ni swala la muda tu.
Ya Obama yalikuwa tofauti kwani wakati huo Congress haikuwa mikononi mwa chama chake tofauti na sasa ambapo Congress yote iko mkononi mwa GOP. Trump hakutoa sababu yoyote zaidi ya kulialia kuwa inamweka pabaya yeye na wafadhili wake wa Kirusi.
Hakuna kiongozi wa Marekani aliyewahi kukaa kimya huku taifa kama Urusi ikiwafukuza raia wake kama alivyofanya Putin. Tukumbuke pia jinsi Trump alivyomsifia Putin kwa kutojibu mapigo Obama alipowafukuza Warusi kwa tuhuma za ujasusi. What hold has the Russian President over the US President Donald Trump?
Hapana, unakosea, ilipita bila kupingwa ndiyo lakini haikupigiwa kura. The original vote was passed by a voice vote not requiring individual lawmakers to record their positions.Ilishawahi kutokea tena sio mbali, mwaka jana (2016), kipindi cha Rais Obama. Bill ya Justice Against Sponsors of Terrorism Act (JASTA) ilipitishwa Senate bila kupingwa hata na Senator mmoja (unanimously), yaani ilipita kwa 100%....
Obama alitaka a recorded vote of the positions of all lawmakers...kura ipigwe na kuhesabiwa ili kuweka rekodi sahihi kwa sababu alijua hiyo ya asilimia 100% haikuwa sahihi na kweli iliporudishwa ilipitishwa na Congress kwa asilimia 79% tu.Obama alikuwa analinda nini kupinga maamuzi ya asilimia 100% kwenye JASTA? Na sio tu alithubutu, bali alii-veto maamuzi ya 100% ya Congress.
Simu ya Trump haikuwa classified na hiyo siyo classified information.El Jefe, post: 22646257, member: 387168"]Leaking of classified information kwenda kwenye media ina-represent failure ya US Intelligence community.
Hapa ndipo Rais Trump anatakiwa ku 'drain the swamp' Hapaswi kulalamika bali kufanyia kaziKwa IC kushindwa kuzuia leaks kunahatarisha usalama wa US. Leaks zinafanyika WH ambapo maamuzi mengi yanafanywa kila siku sidhani kama ni jambo la kushabikia.
Kuna msemo 'Hakuna siri Washington'Hopefully uchunguzi unaoendelea wa kamati za Judiciary na Intelligence kwenye House na Senate utakuja na solution.
John McCain alipozungumza senate chamber alisema 'Leg branch and exec branch' zipo at par hakuna aliyejichimbia ardhini zaidiSenators push bill to protect Mueller - CNNPolitics.com
Hakuna mhimili uliojichimbia chini zaidi kuliko mwingine! Ebo! Rais anaweza kuwekewa kipingamizi cha kutimiza uchwara wake.