El Jefe
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 293
- 364
Barr jana kashemsha vibaya sana manake maswali mengi aliokuwa anaulizwa hata yale straight forward ya kujibu NDIO au HAPANA amekuwa akizungusha maneno na kupiga chenga bila kutoa majibu...
Kwa mfano swali gani AG Barr "alizungusha maneno na kupiga chenga bila kutoa majibu"?