Duru za Siasa: Marekani (U.S) Chini ya Donald J. Trump

Naomba pia kuuliza maana ya neno "GOP"
Nimekuwa nikilisoma mara kwa mara kwenye siasa za marekani.
GOP inasimama badala ya maneno Grand old party ambayo ni Republicans
Ni jina la utani ambalo lilianzia na maneno gallant old party, nyumbani kwa wahafidhina(conservatives) hawa ukisikia neno right wing au bawa la kulia ndio wenyewe
Ukisikia left au bawa la kushoto ni Democrats

Conservatives ni watu wanaolinda thamani zao za asili wasiokubali mabadiliko kirahisi

Kwa Marekani wengi ni waumini au kwa jina lingine utawasikia 'evangelical''
Hao ndio wasiotaka kusikia abortion au ushoga at least kwa nyakati hizo za real GOP

GOP wanaamini katika fiscal conservatism na fiscal policy ambazo zinaundwa na vitu kama kodi , serikali ndogo , soko huria na uangalifu katika madeni n.k.
Lakini si hilo pia ni ''waumini' wazuri wa sera za ulinzi na ubabe

Hapo nyuma nimekueleza kuhusu iliyokuwa GOP kwa kuangalia zama hizo si hizi za Trump
Ni kwanini!
- Trump si conservative , huyu aliwahi kuwa Democrats na wala hajulikani anasimamia wapi
-Soko huria kwasasa siyo soko la maana iliyokusudiwa.
Kuna monopoly ndiyo maana unaona mtifuano kuhusu biashara.
Hapa kuna element za ubabe,nguvu ya Marekani haipo katika jeshi tu, ipo katika uchumi pia
-Abortion, haieleweki Rais Trump anasimamia wapi, leo anasema hili kesho anasema lile
- Ubabe ni kama unaouona sasa kwa mizengwe dhidi ya Iran

Orodha ni ndefu, inatosha kusema zile thamani na misingi ya GOP hazijulikani.

Kwa mfano, serikali ya sasa ina madeni makubwa kufika kiwango cha ''debt ceiling''

Kwa bahati mbaya wahafidhina waliomsumbua sana Rais Obama , sasa wamekaa kimya hata pale misingi na thamani za Republicans zikigeuzwa kulia kushoto na Trump

Republican iliyopo ni ile ya mfano wa GOP siyo hii Republican ya Trump

Arguably, kutokana na mabadiliko ya nyakati na jamii ''demographic' GOP wanapaswa pia kubadilika wakisimama katika misingi yao kwa kuzingatia hali ya wakati uliopo

Kwa mfano, siku za nyuma kidogo GOP walianza kujipenyeza katika ngome za Democrats kama vile watu wa rangi mbali mbali, kushirikisha akina mama na hata kufikiria namna ya umiliki wa silaha kutokana na matukio.

Walianza kushirikisha vijana na kuondoka katika zama za wazee weupe ili kuvuta kundi hilo

Republicans ya Trump haieleweki ipo wapi. Hili ndilo linawapa taabu sana kama ilivyokuwa katika chaguzi ya 2018 ambapo vijana wengi wa Dems waliwatupa nje wazee wa GOP

Sasa kama ni hivyo, swali linalokuja inakuwaje Trump ameshinda uchaguzi?

Kuna sababu nyingi sana ikiwemo uwepo wa wahafidhina wa vijijini ambao huwaelezi kitu
Hawa ni wale walioaminisha ''Mexico italipa gharama za ukuta'' wakashangilia kwa nguvu

Ukiangalia ramani ya uchaguzi utaona vijijini ni GOP na mijini ni Democrats
Kosa la Democrats hasa uchaguzi uliopita ni kutoingia vijijini wakijua mijini tu inatosha

Kosa la pili ni kujiamisha kuhusu majimbo. Kwa mfano, uchaguzi uliopita walipoteza Indiana au Michigan. Kumbuka uchaguzi wa Marekani siyo popular vote ni electoral college
Kwahiyo hesabu hufanyika si kushinda tu bali wapi pa kushinda

Pamoja na hayo,Russia ilichangia kubadilisha matokeo. Hakuna takwimu za wapi walifanikiwa kwa namba ingawa leo May 14 kuna taarifa za ''hacking' za Russia kule Florida

Kuathiri matokeo si kuiba kura, ni pamoja na kitu kinaitwa voters suppression kwamba kuna ushawishi kwa wapiga kura kutoshiriki kwa kulenga makundi kadhaa
Uchaguzi uliopita uliona hilo kwa upande wa Democrats ambapo wengi hawakupiga kura

Voters suppression ilionekana maeneo ambayo Republicans walikuwa na magavana kwa kufanya gerrymandering, kudai vitambulisho, ukazi na kuweka vituo mbali sana ili wapiga kura wasiweze kwenda hasa maeneo ya watu wa rangi

Huu ni mtazamo wa jumla na si lazima ushabihiane na maoni mengine

Tusemezane
 
VIUNGANI DC NA YANYOJIRI

AG BARR ANYWEA, SASA KUTOA RIPOTI YA MUELLER ZAIDI
FLYNN ALIKUWA NA ''TAPE'' INAYOMGUSA RAIS TRUMP

Mambo yanazidi kubadilika viungani DC kila uchao. Mbinu ya kushambulia Iran ilikuwa kupoteza hoja ya Mueller. Kwa hali iliyotengenezwa na AG Barr, ngoma ni mbichi na fukuto ni kubwa

Siasa za viunga vya DC ni kubwa na zinahitaji wajuvi. Rejea bandiko 856 la Mag3 aliyegusia kuhusu Mueller kutawanya kesi. Kilichosemwa ndicho kinajidhihiri taratibu

Taarifa ya Mueller ilikuwa na mambo yote kwa ujumla. Kwa kujua mbinu za kutaka kuificha, Mueller akapeleka kesi zingine katika ngazi ya state na si federal ambako AG Barr ana ushwishi

Katika mabandio ya nyuma tulieleza kwa kirefu kuhusu underlying evidence. Tulisema si kauli ''zilizopigiwa mstari'' kama alivyoshadidia mwenzetu mmoja.
Tukasema inaweza kuwa ni memo, tape n.k.

Katika kesi alizopeleka katika state, moja ni ile ya mshauri wa usalama wa Rais Trump M.Flynn

Flynn alitoa ushirikiano wa kutosha kwa mchunguzi Mueller ambaye alipeleka vidhibiti vya kila kilichotokea. Moja ya mambo yaliyojitokeza ni wanasheria wa Trump kuwasiliana na Flynn wakieleza mtazamo wa ''Mzee Trump'' katika kuweka ''mambo saw'' Hii ipo katika tape

Hawa walimtaka Flynn adanganye ambalo ni kosa achilia mbali kosa la obstruction of justice

Taarifa ya Mueller ina yote hayo lakini AG Barr aliyaficha kwa kisingizio cha grand jury material

Hakimu ameamuru redacted katika mahakama ya itolewe. Hii maana yake ripoti ya Mueller inaanikwa kitaalamu ikimwacha AG Barr akiwa anashangaa. Tulisema itatoka ni suala la muda

Kwa kuchelea hilo AG Barr sasa ameamua ile less redacted itolewe kwa House members

Hilo halitasaidia kwani chair Nadler anataka na underlying evidence kama tape

Nadler alipokataa kataka kusoma taarifa nusu akitaka underlying evidence alijua anataka nini

Kwa kuangalia kesi 12 zilizoko mahakamani na mabazo ushahidi utahitajika kutolewa hadharani, ile taarifa ya Mueller iliyofichwa na Barr sasa inamegwa vipande vipande na kuanikwa

Tuwakumbushe wasomaji, tuliposema kuna uchafu unafichwa, haya yanayotokea ni sehemu tu, kuna habari nzito zitafuata. Barr sasa kanywea na inaonekana jahazi linazidi kujaa maji

Tusemezane
 
Taarifa ya Mueller ilikuwa na mambo yote kwa ujumla. Kwa kujua mbinu za kutaka kuificha, Mueller akapeleka kesi zingine katika ngazi ya state na si federal ambako AG Barr ana ushwishi
Mueller anamjua Trump ndani na nje. Alijua toka awali ripoti yake itakavyochakachuliwa na hivyo alijipanga vilivyo.
Taarifa ya Mueller ina yote hayo lakini AG Barr aliyaficha kwa kisingizio cha grand jury material
Barr kama nilivyosema hapo mwanzo...aliyakoroga na sasa itabidi ayanywe. Alitoa ripoti ya uongo Congress na sasa ni kweli anajuta.
Hakimu ameamuru redacted katika mahakama ya itolewe. Hii maana yake ripoti ya Mueller inaanikwa kitaalamu ikimwacha AG Barr akiwa anashangaa. Tulisema itatoka ni suala la muda
Na hili litafanyikwa hadi ripoti nzima iliyokuwa redacted imeanikwa wazi hadi wale wazito wa kuamini waisome kwa macho yao jinsi alivyoachwa uchi Trump.
Nadler alipokataa kataka kusoma taarifa nusu akitaka underlying evidence alijua anataka nini
Mimi naamini Spika Pelosi tayari anajua mengi yaliyomo ndani ya ripoti na ndiyo maana anawaomba wenzake waende taratibu huku nguruwe akijikaanga kwa mafuta yake mwenyewe na ndiyo maana alisema na nanukuu, "Trump is self-impeaching". Hata Nadler kwa sasa ameshawishika baada ya kumsikiliza Pelosi.
Kwa kuangalia kesi 12 zilizoko mahakamani na mabazo ushahidi utahitajika kutolewa hadharani, ile taarifa ya Mueller iliyofichwa na Barr sasa inamegwa vipande vipande na kuanikwa
Hakuna kilichofichwa hakitafichuliwa na ni swala la muda tu. Kwa sasa hakuna hata haja ya kumwita Mueller kwani uongo wa Barr utaanikwa hadi vipofu wauone na ndio maana Pelosi anasema na naukuu, "Barr lied to Congress!"
Tuwakumbushe wasomaji, tuliposema kuna uchafu unafichwa, haya yanayotokea ni sehemu tu, kuna habari nzito zitafuata. Barr sasa kanywea na inaonekana jahazi linazidi kujaa maji
Mueller alijua kuna udanganyifu utafanyika na alichukua hatua ya kuhakikisha ukweli hauzikwi. Barr aliingia kichwa kichwa kwenye mtego na sasa kanasa...chezea Marekani!
 
Michael Flynn told Mueller people connected to Trump admin or Congress attempted to influence him


BIUNGANI DC NA YANYOJIRI

AG BARR ANYWEA, SASA KUTOA RIPOTI YA MUELLER ZAIDI
FLYNN ALIKUWA NA ''TAPE'' INAYOMGUSA RAIS TRUMP

Mambo yanazidi kubadilika viungani DC kila uchao. Mbinu ya kushambulia Iran ilikuwa kupoteza hoja ya Mueller. Kwa hali iliyotengenezwa na AG Barr, ngoma ni mbichi na fukuto ni kubwa

Siasa za viunga vya DC ni kubwa na zinahitaji wajuvi. Rejea bandiko 856 la Mag3 aliyegusia kuhusu Mueller kutawanya kesi. Kilichosemwa ndicho kinajidhihiri taratibu

Taarifa ya Mueller ilikuwa na mambo yote kwa ujumla. Kwa kujua mbinu za kutaka kuificha, Mueller akapeleka kesi zingine katika ngazi ya state na si federal ambako AG Barr ana ushwishi

Katika mabandio ya nyuma tulieleza kwa kirefu kuhusu underlying evidence. Tulisema si kauli ''zilizopigiwa mstari'' kama alivyoshadidia mwenzetu mmoja.
Tukasema inaweza kuwa ni memo, tape n.k.

Katika kesi alizopeleka katika state, moja ni ile ya mshauri wa usalama wa Rais Trump M.Flynn

Flynn alitoa ushirikiano wa kutosha kwa mchunguzi Mueller ambaye alipeleka vidhibiti vya kila kilichotokea. Moja ya mambo yaliyojitokeza ni wanasheria wa Trump kuwasiliana na Flynn wakieleza mtazamo wa ''Mzee Trump'' katika kuweka ''mambo saw'' Hii ipo katika tape

Hawa walimtaka Flynn adanganye ambalo ni kosa achilia mbali kosa la obstruction of justice

Taarifa ya Mueller ina yote hayo lakini AG Barr aliyaficha kwa kisingizio cha grand jury material

Hakimu ameamuru redacted katika mahakama ya itolewe. Hii maana yake ripoti ya Mueller inaanikwa kitaalamu ikimwacha AG Barr akiwa anashangaa. Tulisema itatoka ni suala la muda

Kwa kuchelea hilo AG Barr sasa ameamua ile less redacted itolewe kwa House members

Hilo halitasaidia kwani chair Nadler anataka na underlying evidence kama tape

Nadler alipokataa kataka kusoma taarifa nusu akitaka underlying evidence alijua anataka nini

Kwa kuangalia kesi 12 zilizoko mahakamani na mabazo ushahidi utahitajika kutolewa hadharani, ile taarifa ya Mueller iliyofichwa na Barr sasa inamegwa vipande vipande na kuanikwa

Tuwakumbushe wasomaji, tuliposema kuna uchafu unafichwa, haya yanayotokea ni sehemu tu, kuna habari nzito zitafuata. Barr sasa kanywea na inaonekana jahazi linazidi kujaa maji

Tusemezane
 
JIMBONI WASHINGTON NA VIUNGA VYAKE DC

RAIS TRUMP ASHANGAA KUTOAMBIWA YA FLYNN

Chururu chururu za habari zinaendelea kuvuja katika viunga vya DC zikimwandama Rais Trump
Zile habari nyeti zilizochimbiwa taratiibu zinavuja na kumwacha mtupu

Watu husema wanasiasa ni waongo na hilo si geni, hata hivyo Rais Trump ni kiboko
Ana uwezo wa kuongopa bila kupepesa macho tena akiwangaaliwa wahanga wake bila haya
Rekodi zake za karibuni zilifikia uongo 10,000 tangu aingine madarakani, ya leo ni kali zaidi

Rais Trump leo ame tweet akilaumu kuwa akiwa yeye na Hillary kama wagombea hakuambiwa matatizo yaliyokuwa yanamkabili mshauri wake wa usalama bw Michael Flynn

Nyaraka zinaonyesha timu ya wanasheria wa Trump ikimsihi Flynn agangamare kwani kinyume chake itakuwa dhalili kwa Rais Trump. Hapa ni baada ya Flynn kukubali kutoa ushirikiano na Mueller na kwamba sasa tape ipo wazi itaanikwa wiki ijayo

Huu ni uongo mkuwa kwani Rais Trump akiwa mgombewa alitahadhrishwa na vyombo vya usalama kuwa Flynn alikuwa anachunguzwa kwa deal zake na ni mtu asiyefaa katika wadhifa

Aliyekuwa Acting AG, Sally Yates alimtahadharisha Trump na WH kuwa Flynn alikuwa compromised na Russia na ni vema akae naye mbali
Gharama za kauli za Yates ilikuwa kutimuliwa kazi na Rais Trump

Timu ya Trump iliwahi kukiri kuwa baada ya uchaguzi Rais Obama alikutana na Rais Trump na kumtahadhirisha kuhusu Michael Flynn.

Msemaji wa kampeni ya Trump aliwahi kusema Obama ametoa ushauri huo kwasababu Flynn alikuwa critic mkubwa wa Utawala wake

Leo Rais ana tweet mchana kweupe kwamba hakuambiwa au kutahadharishwa

Hili si jambo la bahati mbaya, Trump anajua ule utitiri unaomfuata bila kuzijua siasa za DC utamsikiliza tu na kuamini. Hata hivyo kwa kiwango alichofikia, hii ni dhalili kubwa achilia mbali kashfa inayotokana na kauli za Flynn

Tusemezane
 
GOP inasimama badala ya maneno Grand old party ambayo ni Republicans
Ni jina la utani ambalo lilianzia na maneno gallant old party, nyumbani kwa wahafidhina(conservatives) hawa ukisikia neno right wing au bawa la kulia ndio wenyewe
Ukisikia left au bawa la kushoto ni Democrats

Conservatives ni watu wanaolinda thamani zao za asili wasiokubali mabadiliko kirahisi

Kwa Marekani wengi ni waumini au kwa jina lingine utawasikia 'evangelical''
Hao ndio wasiotaka kusikia abortion au ushoga at least kwa nyakati hizo za real GOP

GOP wanaamini katika fiscal conservatism na fiscal policy ambazo zinaundwa na vitu kama kodi , serikali ndogo , soko huria na uangalifu katika madeni n.k.
Lakini si hilo pia ni ''waumini' wazuri wa sera za ulinzi na ubabe

Hapo nyuma nimekueleza kuhusu iliyokuwa GOP kwa kuangalia zama hizo si hizi za Trump
Ni kwanini!
- Trump si conservative , huyu aliwahi kuwa Democrats na wala hajulikani anasimamia wapi
-Soko huria kwasasa siyo soko la maana iliyokusudiwa.
Kuna monopoly ndiyo maana unaona mtifuano kuhusu biashara.
Hapa kuna element za ubabe,nguvu ya Marekani haipo katika jeshi tu, ipo katika uchumi pia
-Abortion, haieleweki Rais Trump anasimamia wapi, leo anasema hili kesho anasema lile
- Ubabe ni kama unaouona sasa kwa mizengwe dhidi ya Iran

Orodha ni ndefu, inatosha kusema zile thamani na misingi ya GOP hazijulikani.

Kwa mfano, serikali ya sasa ina madeni makubwa kufika kiwango cha ''debt ceiling''

Kwa bahati mbaya wahafidhina waliomsumbua sana Rais Obama , sasa wamekaa kimya hata pale misingi na thamani za Republicans zikigeuzwa kulia kushoto na Trump

Republican iliyopo ni ile ya mfano wa GOP siyo hii Republican ya Trump

Arguably, kutokana na mabadiliko ya nyakati na jamii ''demographic' GOP wanapaswa pia kubadilika wakisimama katika misingi yao kwa kuzingatia hali ya wakati uliopo

Kwa mfano, siku za nyuma kidogo GOP walianza kujipenyeza katika ngome za Democrats kama vile watu wa rangi mbali mbali, kushirikisha akina mama na hata kufikiria namna ya umiliki wa silaha kutokana na matukio.

Walianza kushirikisha vijana na kuondoka katika zama za wazee weupe ili kuvuta kundi hilo

Republicans ya Trump haieleweki ipo wapi. Hili ndilo linawapa taabu sana kama ilivyokuwa katika chaguzi ya 2018 ambapo vijana wengi wa Dems waliwatupa nje wazee wa GOP

Sasa kama ni hivyo, swali linalokuja inakuwaje Trump ameshinda uchaguzi?

Kuna sababu nyingi sana ikiwemo uwepo wa wahafidhina wa vijijini ambao huwaelezi kitu
Hawa ni wale walioaminisha ''Mexico italipa gharama za ukuta'' wakashangilia kwa nguvu

Ukiangalia ramani ya uchaguzi utaona vijijini ni GOP na mijini ni Democrats
Kosa la Democrats hasa uchaguzi uliopita ni kutoingia vijijini wakijua mijini tu inatosha

Kosa la pili ni kujiamisha kuhusu majimbo. Kwa mfano, uchaguzi uliopita walipoteza Indiana au Michigan. Kumbuka uchaguzi wa Marekani siyo popular vote ni electoral college
Kwahiyo hesabu hufanyika si kushinda tu bali wapi pa kushinda

Pamoja na hayo,Russia ilichangia kubadilisha matokeo. Hakuna takwimu za wapi walifanikiwa kwa namba ingawa leo May 14 kuna taarifa za ''hacking' za Russia kule Florida

Kuathiri matokeo si kuiba kura, ni pamoja na kitu kinaitwa voters suppression kwamba kuna ushawishi kwa wapiga kura kutoshiriki kwa kulenga makundi kadhaa
Uchaguzi uliopita uliona hilo kwa upande wa Democrats ambapo wengi hawakupiga kura

Voters suppression ilionekana maeneo ambayo Republicans walikuwa na magavana kwa kufanya gerrymandering, kudai vitambulisho, ukazi na kuweka vituo mbali sana ili wapiga kura wasiweze kwenda hasa maeneo ya watu wa rangi

Huu ni mtazamo wa jumla na si lazima ushabihiane na maoni mengine

Tusemezane
Maelezo mazuri sana mkuu.

Nashukuru mno.
 
Mueller awatosa Democrats

Mueller amezungumza na waandishi wa habari leo kuhusiana na ripoti yake na suala la kuhojiwa Congress.

Katika mambo ya msingi aliyozungumzia, amemsafisha AG Barr tofauti na wenzetu humu walivyokuwa wakimponda kuwa anaficha taarifa kwa lengo la kumsaidia Trump.

Hawa wenzetu humu walitumia barua ya huyuhuyu Mueller kumponda AG Barr. Leo Mueller amemshukuru Barr kwa kutoa taarifa yake hadharani na kusema hana wasiwasi na nia ya Barr. Hapa Mueller kawatosa Democrats waliokuwa wakimsubiri amkaange AG Barr.

"At one point in time I requested that certain portions of the report be released, the attorney general preferred to make the entire report public all at once and we appreciate the attorney general made the report largely public and I certainly do not question the attorney general's good faith in that decision"

Mueller pia amesititiza kuwa haamini kuwa ni sahihi yeye kuzungumzia tena suala la ripoti yake, kwamba anategemea hayo mazungumzo ya leo ndiyo yawe ya mwisho na kwamba hayo ni maamuzi yake binafsi. Hili ni pigo lingine kwa Democrats wa Congress waliokuwa wakimsubiri kwa hamu kumtumia kumdidimiza Trump kisiasa.

"I do not believe it is appropriate for me to speak further about the investigation or to comment on the actions of the Justice Department or congress

I hope and expect this to be the only time that I speak to you on this matter. I am making that decision myself, no one has told me whether I can or should testify or speak further about this matter".


Mueller amesema ripoti yake ndio ushahidi wake na kwamba ushahidi wowote kutoka ofisini kwake kwenda Congress hautaenda nje ya ripoti yake na yeye binafsi hatatoa taarifa yoyote mpya ambayo umma haujui tayari. Pigo lingine kwa Dems waliokuwa wakimtegema Mueller aende mbali na ripoti yake.

"There has been discussion about an appearance before Congress. Any testimony from this office would not go beyond our report. It contains our finding, and analysis, and the reasons for the decisions we made. We chose the words carefully and the work speaks for itself. And the report is my testimony, I would not provide information beyond that which is already public in any appearance before Congress".

Kingine, kuhusiana na "underlying evidence", Mueller amesisitiza kuwa hilo halihusu ofisi yake. Kwa maana nyingine amewaambia Dems kuwa hilo suala liko chini ya AG Barr.

"In addition, access to our underlying work product is being decided in a process that does not involve our office"
 
Mueller awatosa Democrats

Mueller amezungumza na waandishi wa habari leo kuhusiana na ripoti yake na suala la kuhojiwa Congress.

Katika mambo ya msingi aliyozungumzia, amemsafisha AG Barr tofauti na wenzetu humu walivyokuwa wakimponda kuwa anaficha taarifa kwa lengo la kumsaidia Trump.

Hawa wenzetu humu walitumia barua ya huyuhuyu Mueller kumponda AG Barr. Leo Mueller amemshukuru Barr kwa kutoa taarifa yake hadharani na kusema hana wasiwasi na nia ya Barr. Hapa Mueller kawatosa Democrats waliokuwa wakimsubiri amkaange AG Barr.

"At one point in time I requested that certain portions of the report be released, the attorney general preferred to make the entire report public all at once and we appreciate the attorney general made the report largely public and I certainly do not question the attorney general's good faith in that decision"

Mueller pia amesititiza kuwa haamini kuwa ni sahihi yeye kuzungumzia tena suala la ripoti yake, kwamba anategemea hayo mazungumzo ya leo ndiyo yawe ya mwisho na kwamba hayo ni maamuzi yake binafsi. Hili ni pigo lingine kwa Democrats wa Congress waliokuwa wakimsubiri kwa hamu kumtumia kumdidimiza Trump kisiasa.

"I do not believe it is appropriate for me to speak further about the investigation or to comment on the actions of the Justice Department or congress

I hope and expect this to be the only time that I speak to you on this matter. I am making that decision myself, no one has told me whether I can or should testify or speak further about this matter".


Mueller amesema ripoti yake ndio ushahidi wake na kwamba ushahidi wowote kutoka ofisini kwake kwenda Congress hautaenda nje ya ripoti yake na yeye binafsi hatatoa taarifa yoyote mpya ambayo umma haujui tayari. Pigo lingine kwa Dems waliokuwa wakimtegema Mueller aende mbali na ripoti yake.

"There has been discussion about an appearance before Congress. Any testimony from this office would not go beyond our report. It contains our finding, and analysis, and the reasons for the decisions we made. We chose the words carefully and the work speaks for itself. And the report is my testimony, I would not provide information beyond that which is already public in any appearance before Congress".

Kingine, kuhusiana na "underlying evidence", Mueller amesisitiza kuwa hilo halihusu ofisi yake. Kwa maana nyingine amewaambia Dems kuwa hilo suala liko chini ya AG Barr.

"In addition, access to our underlying work product is being decided in a process that does not involve our office"
Nadhani wewe hukumwelewa na nadhani pia hujasoma ripoti yake na kuilinganisha na tamk na summary ya AG. Katika dakika tisa alizozungumza, amemponda sana AG kiasi kuwa White House imezubaa na kuishia kusema tu case closed. Ni kwa vile alichagua maneno yake kwa busara sana ndiyo maana unadhani kuwa amewatosa Congress. Kuna prosecutors takriban 500 ambao baada ya kusoma ripoti hiyo walipinga conclusion ya Barr. Na yeye alichosistiza zaidi ni kupinga conclusion iliyotolewa na Barr. Zaidi zaidi ame strengthen arguments za Democrats kwa kusema sentensi hizi ambazo zote zinapingana kabisa na kauli za Barr.
  1. .....if we had had confidence that the President clearly did not commit a crime, we would have said so. ..
  2. ....Charging the president with a crime was, therefore, not an option we could consider.
  3. ....the Constitution requires a process other than the criminal justice system to formally accuse a sitting President of wrong doing.
 
Nadhani wewe hukumwelewa na nadhani pia hujasoma ripoti yake na kuilinganisha na tamk na summary ya AG. Katika dakika tisa alizozungumza, amemponda sana AG kiasi kuwa White House imezubaa na kuishia kusema tu case closed. Ni kwa vile alichagua maneno yake kwa busara sana ndiyo maana unadhani kuwa amewatosa Congress. Kuna prosecutors takriban 500 ambao baada ya kusoma ripoti hiyo walipinga conclusion ya Barr. Na yeye alichosistiza zaidi ni kupinga conclusion iliyotolewa na Barr. Zaidi zaidi ame strengthen arguments za Democrats kwa kusema sentensi hizi ambazo zote zinapingana kabisa na kauli za Barr.
  1. .....if we had had confidence that the President clearly did not commit a crime, we would have said so. ..
  2. ....Charging the president with a crime was, therefore, not an option we could consider.
  3. ....the Constitution requires a process other than the criminal justice system to formally accuse a sitting President of wrong doing.
Mkuu Kichuguu, ahsante kwa ufafanuzi wako.

Tulieleza baada ya Barr kutupa kile kikaratasi (bandiko 765) ambacho baadhi ya buffoon walikishangilia kama mwenge wa Uhuru kwamba ngoma ilikuwa mbichi, walilishwa tango pori

Mkuu mwenzetu tunamjua, ana ID mbilijamvini. Kwakweli kuna suala la kuelewa habari, halafu kuna suala la kuelewa nini kinaendelea duniani na mwisho tathmini ya vyote
Nadhani kuna tatizo la weledi, anajitutumua lakini siasa za viunga vya DC ni nzito kwakwe.
Tulishaambiwa ''underlying evidence'' maana yake ni ushahidi uliopigiwa mstari katika taarifa!!

Mkuu, Statement ya Mueller ni mbaya sana kwa Trump.
Kwanza, amefafanua kiufundi sana upotoshaji wa Barr na Trump wanaosema hakuna collusion

Mueller anasema, hakuna enough evidence za kuleta mashtaka ya conspiracy
Neno la muhimu hapo ni conspiracy ambalo Rais wa US hapaswi kunasibishwa nalo

Pili, Mueller kasema uliyoyaeleza katika bandiko lako.
Mueller anasema ikiwa kungekuwa na ushahidi wa Rais kutotenda kosa tungesema hivyo!
Kwahiyo taarifa yake haija 'exonerate' Trump bali inampaka sana. Lugha ya Mueller ni ya lawyer

Alipokwenda mbali ni pale alipowataka kila Mmarekani aangalie jambo hilo kwa umakini

Kwa maneno mengine ameonyesha wazi kuwa congress inajukumu la kuangalia taarifa hiyo
Mueller kamuumbua Barr aliyesema hakufikia conclusion na kwamba suala alichiwa yeye Barr

Huko nyuma tulifafanua vizuri kwa kusema haiwezekani Mueller na timu yake wakiwa ndani ya DOJ wakamshtaki Rais kwasababu OLC ilieleza taratibu.

Hata hivyo Mueller alilitupa suala hilo kwa congress kiufundi.
Leo kaenda mbali na kuwaambia hata ushahidi na vidhibiti vihifadhiwe.
Hapa alimaanisha sakata hili bado na hata kama litapoa litaibuka tu

Kwanini anataka ushahidi uhifadhiwe! Kuna kesi 12 SDNY ambazo Mueller alizigawa makusudi kabisa akijua uhuni wa akina Trump na Barr.

Kesi hizo zitakuwa na connections na evidence zinazotakiwa na hivyo amesisitiza zihifadhiwe

Republicans hakuna anayekuja na hoja mbadala dhidi ya Mueller, wote wanasema ''move on'

Move on maana yake suala liachwe. Wanajua obstruction of justice ni kubwa sana na itaondoka na Trump ikiendekezwa. Wanajua Barr amefukia nini kwa kutumia grand jury material
 
Nadhani wewe hukumwelewa na nadhani pia hujasoma ripoti yake na kuilinganisha na tamko na summary ya AG.

Unaelewa Mueller anachomaanisha kupitia maneno haya?

At one point in time I requested that certain portions of the report be released, the attorney general preferred to make - preferred to make the entire report public all at once and we appreciate the attorney general made the report largely public and I certainly do not question the attorney general's good faith in that decision


Katika dakika tisa alizozungumza, amemponda sana AG kiasi kuwa White House imezubaa na kuishia kusema tu case closed.

Unaweza kutuwekea nukuu ya maneno aliyotumia Mueller "kumponda sana" AG Barr?

Ni kwa vile alichagua maneno yake kwa busara sana ndiyo maana unadhani kuwa amewatosa Congress.

Kwanza, Mueller amechagua maneno yake kwa "makini" na sio kwa "busara"

"We chose those words carefully, and the work speaks for itself"

Pili, nimesema Mueller amewatosa "Dems walio Congress", sijasema ametosa "Congress" kwa sababu Dems ndio wameshikilia bango.

Tatu, ili twende sawa jitahidi uwe unaelewa kabla ya kujibu kwa sababu sipendi kurudia maelezo mara mbilimbili. Nimesema Mueller amewatosa "Dems walio Congress" na nimetoa mifano na wala sio suala la uchaguzi wa maneno.

(i) Dems walitaka kumkaanga Barr kutumia barua ya Mueller, Mueller amesema hana wasiwasi na nia ya Barr kwenye maamuzi yake.

(ii) Dems walimtaka Mueller aende Congress kuhojiwa, Mueller amesema si sahihi kwake kwenda Congress kuhojiwa au kuzungumzia tena ripoti yake.

(iii) Dems walitaka Mueller akienda Congress azungumze mbali na ripoti yake, Mueller amesema hatafanya hivyo na hatatoa taarifa ambao haipo kwa umma tayari.

(iv) Dems walisema serikali ya Trump ndio inamzuia Mueller kwenda Congress, Mueller amesema hayo ni maamuzi yake binafsi.

(v) Dems walitaka Mueller awapelekee underlying evidence, Mueller amesema ofisi yake haihusiki na hilo suala.

Wewe unatakiwa upinge hizi scenario zangu tano na kusema sio mtoso kwa Dems.

Kuna prosecutors takriban 500 ambao baada ya kusoma ripoti hiyo walipinga conclusion ya Barr.

Tunaomba ututhibitishie kwa kutuletea ripoti kamili ya survey iliyowahoji hao prosecutors takriban 500 waliompinga Barr?

Na yeye alichosistiza zaidi ni kupinga conclusion iliyotolewa na Barr.

Kwanza, Mueller hajatoa 'conclusion' mpya leo ambayo ni tofauti na iliyo kwenye ripoti yake.

Pili, conclusion ya Barr alisema hamna 'obstruction', hebu tupe nukuu ya Mueller alipompinga Barr kwa kusema 'obstruction' ipo!

Zaidi zaidi ame strengthen arguments za Democrats kwa kusema sentensi hizi ambazo zote zinapingana kabisa na kauli za Barr.
1. .....if we had had confidence that the President clearly did not commit a crime, we would have said so. ..

Keyword hapo ni "clearly". Kama ulisoma ripoti ya Mueller utaelewa kwanini alilitumia.

Lakini kazi ya Prosecutor ni kum-prove mtu guilty, mtu anakuwa assumed 'innocent' hadi athibitishe vinginevyo kwa kutumia ushahidi uliopo na sio kum-prove mtu 'innocent'.


2......Charging the president with a crime was, therefore, not an option we could consider.
Unaelewa maana ya hii nukuu ya maelezo ya Mueller ?

"And beyond Department policy, we were guided by principles of fairness. It would be unfair to potentially accuse somebody of a crime when there can be no court resolution of an actual charge".

Unajua "actual charge" anayozungumzia Mueller hapo ni ipi?

3.....the Constitution requires a process other than the criminal justice system to formally accuse a sitting President of wrong doing.

Hiyo sentensi ukiisoma kwa makini kama ilivyoandikwa, utaelewa kwamba Mueller ameshindwa sio tu kumtuhumu bali pia kumpata Trump na hatia "clearly" kwenye "criminal justice system", na amekimbia maswali na hataki kuhojiwa. Ila Katiba inaruhusu mfumo mwingine kumtuhumu Rais aliye madarakani.

Maana yake Dems walio Congress wakitaka kumtuhumu Trump kwa kosa fulani wanaweza hata bila ripoti wala ushahidi wa Mueller na kwa kutumia sababu yoyote ambayo inaruhusiwa kikatiba.
 
Unaelewa Mueller anachomaanisha kupitia maneno haya?

At one point in time I requested that certain portions of the report be released, the attorney general preferred to make - preferred to make the entire report public all at once and we appreciate the attorney general made the report largely public and I certainly do not question the attorney general's good faith in that decision




Unaweza kutuwekea nukuu ya maneno aliyotumia Mueller "kumponda sana" AG Barr?



Kwanza, Mueller amechagua maneno yake kwa "makini" na sio kwa "busara"

"We chose those words carefully, and the work speaks for itself"

Pili, nimesema Mueller amewatosa "Dems walio Congress", sijasema ametosa "Congress" kwa sababu Dems ndio wameshikilia bango.

Pili, ili twende sawa jitahidi uwe unaelewa kabla ya kujibu kwa sababu sipendi kurudia maelezo mara mbilimbili. Nimesema Mueller amewatosa "Dems walio Congress" na nimetoa mifano na wala sio suala la uchaguzi wa maneno.

(i) Dems walitaka kumkaanga Barr kutumia barua ya Mueller, Mueller amesema hana wasiwasi na nia ya Barr kwenye maamuzi yake.

(ii) Dems walimtaka Mueller aende Congress kuhojiwa, Mueller amesema si sahihi kwake kwenda Congress kuhojiwa au kuzungumzia tena ripoti yake.

(iii) Dems walitaka Mueller akienda Congress azungumze mbali na ripoti yake, Mueller amesema hatafanya hivyo na hatatoa taarifa ambao haipo kwa umma tayari.

(iv) Dems walisema serikali ya Trump ndio inamzuia Mueller kwenda Congress, Mueller amesema hayo ni maamuzi yake binafsi.

(v) Dems walitaka Mueller awapelekee underlying evidence, Mueller amesema ofisi yake haihusiki na hilo suala.

Wewe unatakiwa upinge hizi scenario zangu tano na kusema sio mtoso kwa Dems.



Tunaomba ututhibitishie kwa kutuletea ripoti kamili ya survey iliyowahoji hao prosecutors takriban 500 waliompinga Barr?



Kwanza, Mueller ametoa 'conclusion' mpya leo ambayo ni tofauti na iliyo kwenye ripoti yake?

Pili, conclusion ya Barr alisema hamna 'obstruction', hebu tupe nukuu ya Mueller alipompinga Barr kwa kusema 'obstruction' ipo!



Keyword hapo ni "clearly". Kama ulisoma ripoti ya Mueller utaelewa kwanini alilitumia.

Mueller aliposema amechagua maneno kwa makini, alimaanisha.


Unaelewa maana ya hii nukuu ya maelezo ya Mueller ?

"And beyond Department policy, we were guided by principles of fairness. It would be unfair to potentially accuse somebody of a crime when there can be no court resolution of an actual charge".

Unajua "actual charge" anayozungumzia Mueller hapo ni ipi?



Hiyo sentensi ukiisoma kwa makini kama ilivyoandikwa, utaelewa kwamba Mueller ameshindwa sio tu kumtuhumu bali pia kumpata Trump na hatia "clearly" kwenye "criminal justice system" na ndio maana hataki tena kuzungumzia hili suala. Ila Katiba inaruhusu mfumo mwingine kumtuhumu Rais aliye madarakani.

Maana yake Dems walio Congress wakitaka kumtuhumu Trump kwa kosa fulani wanaweza hata bila ripoti wala ushahidi wa Mueller na kwa kutumia sababu yoyote ambayo inaruhusiwa kikatiba.[/U]
Uelewa wako wa mambo una mushkheli; hata hivyo, first ammendment rights zako ziko preserved!!
 
Tulieleza baada ya Barr kutupa kile kikaratasi (bandiko 765) ambacho baadhi ya buffoon walikishangilia kama mwenge wa Uhuru kwamba ngoma ilikuwa mbichi, walilishwa tango pori

Mkuu, hebu kuwa specific useme tango pori kwenye ile barua (#765) ni ipi!

Mkuu mwenzetu tunamjua, ana ID mbilijamvini. Kwakweli kuna suala la kuelewa habari, halafu kuna suala la kuelewa nini kinaendelea duniani na mwisho tathmini ya vyote
Nadhani kuna tatizo la weledi, anajitutumua lakini siasa za viunga vya DC ni nzito kwakwe.

Kufikiria kuhusu IDs nadhani ni 'too low' kwako mkuu!
Mi nasimamia FACTS tu kila mara, zitakaponipeleka ndio hukohuko, nipo neutral! Wewe weka hoja then tetea hoja yako kwa FACTS.

Tulishaambiwa ''underlying evidence'' maana yake ni ushahidi uliopigiwa mstari katika taarifa!!

Kila mara unarudia hii sentensi sijui unanihusisha nalo au mtu mwingine? Maana kama ni mimi, unaweza kuonyesha bandiko ambalo nimesema hivyo? Ukishindwa kuonyesha kubali kuitwa muongo.

Republicans hakuna anayekuja na hoja mbadala dhidi ya Mueller, wote wanasema ''move on'

Move on maana yake suala liachwe. Wanajua obstruction of justice ni kubwa sana na itaondoka na Trump ikiendekezwa. Wanajua Barr amefukia nini kwa kutumia grand jury material

Kesi ya "obstruction" ingekuwa kubwa sana kama unavyotaka kuaminisha watu humu, Nancy Pelosi asingesema jana kuwa "Democrats 35 au 38 katika ya 238" ndio wanaoshabikia "impeachment" ya Trump. Pelosi asingewalaumu waandishi wa habari kubeba mawazo ya watu 38 dhidi ya watu 200+ ambao hawataki "impeachment".

Ukiulizwa una uhakika upi kama AG Barr ameficha vitu kwenye grand jury materials, hutakuwa na FACT yoyote zaidi ya hisia. Jaribu kuelewa Federal Rules of Criminal Procedure 6(e) kwa upana wake, usiseme tu ni lugha za kisheria, bila kuzielewa hizo hutaacha kutumia hisia.
 
Uelewa wako wa mambo una mushkheli; hata hivyo, first ammendment rights zako ziko preserved!!
Kama ulishindwa kutetea hoja zako au kujibu zangu ungeweza kutumia busara ukakaa tu kimya na sio ku-quote kila kitu bila "substance" ili kuonyesha kuwa angalau umejibu.

Kama uelewa wako ndio sahihi kuliko, ungeuonyesha kwa kupangua hoja zangu kwa kutumia ukweli halisi na sio kuandika vitu visivyojenga hoja zako!
 
The introduction to the Volume 2 of our report explains that decision. It explains that under long-standing department policy, a president cannot be charged with a federal crime while he is in office. That is unconstitutional. Even if the charge is kept under seal and hidden from public view, that, too, is prohibited.

A special counsel's office is part of the Department of Justice, and by regulation, it was bound by that department policy. Charging the president with a crime was therefore not an option we could consider. The department's written opinion explaining the policy makes several important points that further informed our handling of the obstruction investigation. Those points are summarized in our report and I will describe two of them for you.

First, the opinion explicitly permits the investigation of a sitting president because it is important to preserve evidence while memories are fresh and documents available. Among other things, that evidence could be used if there were co-conspirators who could be charged now.

And second, the opinion says that the Constitution requires a process other than the criminal justice system to formally accuse a sitting president of wrongdoing.

And beyond department policy, we were guided by principles of fairness. It would be unfair to potentially — it would be unfair to potentially accuse somebody of a crime when there can be no court resolution of the actual charge.

So that was Justice Department policy. Those were the principles under which we operated. And from them, we concluded that we would not reach a determination one way or the other about whether the president committed a crime. That is the office's final position and we will not comment on any other conclusions or hypotheticals about the president.

We conducted an independent criminal investigation and reported the results to the attorney general, as required by department regulations. The attorney general then concluded that it was appropriate to provide our report to Congress and to the American people. At one point in time, I requested that certain portions of the report be released and the attorney general preferred to make — preferred to make the entire report public all at once and we appreciate that the attorney general made the report largely public. And I certainly do not question the attorney general's good faith in that decision.

Now, I hope and expect this to be the only time that I will speak to you in this manner. I am making that decision myself. No one has told me whether I can or should testify or speak further about this matter.

There has been discussion about an appearance before Congress. Any testimony from this office would not go beyond our report. It contains our findings and analysis and the reasons for the decisions we made. We chose those words carefully and the work speaks for itself. And the report is my testimony. I would not provide information beyond that which is already public in any appearance before Congress.


Kwa kifupi ni kwamba;
i) Mueller alikuwa hana MANDATE ya kufungua mashitaka against raisi aliyeko madarakani, alikuwa anafanya kazi chini ya DOJ.
ii) Waliamua kutofikia uamuzi wowote wa kumkuta na hatia au la... hii haimsafishi
iii) Kumshitaki raisi alieko madarakani mchakato wa KIKATIBA hence ni jukumu la congress kufanya hivyo sio yeye.
iv) Ushahidi wake wote unapatikana kwenye ripoti yake na hana cha ziada cha kuongezea
v) Kwa mujibu wa sheria za DOJ, rais aliepo madarakani hawezi kushitakiwa kwa kosa la jinai akiwepo bado madarakani

Sasa hapa sijui hapa Trump amesafishwa kivipi au amewatosa kivipi Democrats??

Sana sana amerudisha mpira kwao kwamba wakitaka kufungua mashitaka kumuimpeach Trump wanaweza kuendelea na ushahidi wote uko kwenye ripoti yake!
 
Sasa hapa sijui hapa Trump amesafishwa kivipi au amewatosa kivipi Democrats??
Hamna aliyesema Trump amesafishwa! bali nilisema Barr amesafishwa. Hata hivyo Trump hajachafuliwa pia.

Hivi ndivyo Dems walivyotoswa;

(i) Dems walitaka kumkaanga Barr kutumia barua ya Mueller, Mueller amesema hana wasiwasi na nia ya Barr kwenye maamuzi yake.
(ii) Dems walimtaka Mueller aende Congress kuhojiwa, Mueller amesema si sahihi kwake kwenda Congress kuhojiwa au kuzungumzia tena ripoti yake.
(iii) Dems walitaka Mueller akienda Congress azungumze mbali na ripoti yake, Mueller amesema hatafanya hivyo na hatatoa taarifa ambao haipo kwa umma tayari.
(iv) Dems walisema serikali ya Trump ndio inamzuia Mueller kwenda Congress, Mueller amesema hayo ni maamuzi yake binafsi.
(v) Dems walitaka Mueller awapelekee underlying evidence, Mueller amesema ofisi yake haihusiki na hilo suala.

Scenario ipi ni ya uongo hapo?
 
The introduction to the Volume 2 of our report explains that decision. It explains that under long-standing department policy, a president cannot be charged with a federal crime while he is in office. That is unconstitutional. Even if the charge is kept under seal and hidden from public view, that, too, is prohibited.

A special counsel's office is part of the Department of Justice, and by regulation, it was bound by that department policy. Charging the president with a crime was therefore not an option we could consider. The department's written opinion explaining the policy makes several important points that further informed our handling of the obstruction investigation. Those points are summarized in our report and I will describe two of them for you.

First, the opinion explicitly permits the investigation of a sitting president because it is important to preserve evidence while memories are fresh and documents available. Among other things, that evidence could be used if there were co-conspirators who could be charged now.

And second, the opinion says that the Constitution requires a process other than the criminal justice system to formally accuse a sitting president of wrongdoing.

And beyond department policy, we were guided by principles of fairness. It would be unfair to potentially — it would be unfair to potentially accuse somebody of a crime when there can be no court resolution of the actual charge.

So that was Justice Department policy. Those were the principles under which we operated. And from them, we concluded that we would not reach a determination one way or the other about whether the president committed a crime. That is the office's final position and we will not comment on any other conclusions or hypotheticals about the president.

We conducted an independent criminal investigation and reported the results to the attorney general, as required by department regulations. The attorney general then concluded that it was appropriate to provide our report to Congress and to the American people. At one point in time, I requested that certain portions of the report be released and the attorney general preferred to make — preferred to make the entire report public all at once and we appreciate that the attorney general made the report largely public. And I certainly do not question the attorney general's good faith in that decision.

Now, I hope and expect this to be the only time that I will speak to you in this manner. I am making that decision myself. No one has told me whether I can or should testify or speak further about this matter.

There has been discussion about an appearance before Congress. Any testimony from this office would not go beyond our report. It contains our findings and analysis and the reasons for the decisions we made. We chose those words carefully and the work speaks for itself. And the report is my testimony. I would not provide information beyond that which is already public in any appearance before Congress.


Kwa kifupi ni kwamba;
i) Mueller alikuwa hana MANDATE ya kufungua mashitaka against raisi aliyeko madarakani, alikuwa anafanya kazi chini ya DOJ.
ii) Waliamua kutofikia uamuzi wowote wa kumkuta na hatia au la... hii haimsafishi
iii) Kumshitaki raisi alieko madarakani mchakato wa KIKATIBA hence ni jukumu la congress kufanya hivyo sio yeye.
iv) Ushahidi wake wote unapatikana kwenye ripoti yake na hana cha ziada cha kuongezea
v) Kwa mujibu wa sheria za DOJ, rais aliepo madarakani hawezi kushitakiwa kwa kosa la jinai akiwepo bado madarakani

Sana sana amerudisha mpira kwao kwamba wakitaka kufungua mashitaka kumuimpeach Trump wanaweza kuendelea na ushahidi wote uko kwenye ripoti yake!
Kwakuwa sio mara ya kwanza kwa Rais wa US kuchunguzwa, imekuwa ni kawaida kulinganisha uchunguzi wa Mueller na chunguzi zilizofanyika kipindi cha nyuma, hasa uchunguzi wa Ken Starr dhidi ya Rais Clinton na uchunguzi wa Leon Jaworski dhidi ya Rais Nixon.

Bob Mueller na Ken Starr wote wamekuwa Special counsels kwenye chunguzi dhidi ya Marais walio madarakani.

Sera za DOJ za kutomshitaki Rais aliye madarakani kwa kutenda kosa zilizingatiwa na wote wawili katika chunguzi zote mbili. Na Mueller na Starr wote walizingatia kuwa katiba imeweka utaratibu wa kumtuhumu Rais aliye madarakani.

Baada ya chunguzi walitoa hitimisho katika ripoti za chunguzi zao.

Mueller anahitimisha hivi:

“Because we determined not to make a traditional prosecutorial judgement, we did not draw ultimate conclusions about the President’s conduct....if we had had confidence that the president clearly did not commit a crime, we would have said so. We did not, however, make a determination as to whether the president did commit a crime...Accordingly, while this report does not conclude that the president committed a crime, it also does not exonerate him.”

Ken Starr alihitimisha hivi:

“Office of the Independent Counsel hereby submits substantial and credible information that President William Jefferson Clinton committed acts that may constitute grounds for an impeachment.”

Ukiangalia conclusion za hawa Special Counsels wawili na rahisi kuona nani anaeleweka vizuri kwenye maelezo yake.

Ken Starr anahitimisha, anatoa mapendekezo na kuzungumzia "impeachment," wakati Mueller haihitimishi, hatoi mapendekezo na hazungumzii "impeachment" kabisa. Hitimisho la Mueller linaweza kumaanisha chochote unachotaka kiwe kwa jinsi alivyoiandika.

Mueller anazungumzia utaratibu wa kumtuhumu Rais aliye madarakani kama maoni ya OLC aliyozingatia wakati wa uchunguzi wake na wala sio kama jambo analopendekeza lifanyike baada ya uchunguzi wake.

Ndio maana pamoja na kusoma ripoti ya Mueller, Dems bado walitaka kusikia kutoka kwa Mueller kama alipendekeza "impeachment" au lah!. Ina maana kwenye ripoti hilo halipo.

Hata jana Mueller hakutoa pendekezo bali jambo alilozingatia wakati wa uchunguzi wake. Lakini hilo lilitosha kuamsha Dems 38 kati ya 238 kubeba mabango ya "impeachment."

Swali la muhimu, kwanini Bob Mueller hakupendekeza "impeachment" ya Trump kwenye hitimisho lake kama Ken Starr alivyofanya? Jibu ni fupi, hakuona grounds za impeachment.

Ken Starr alieleza katika uchunguzi wake kuwa kuna crimes zinaweza kuwa zimefanyika na kwamba Congress inanzishe impeachment hearings dhidi ya Clinton. Mueller kwa upande wake hatoi pendekezo lolote na kuacha kila kitu kinaelea hewani ili msomaji wa ripoti yake aelewe chochote anachotaka kuelewa, yeye amemaliza.

Mwingine anaweza kudhani kwamba kimantiki Mueller na Starr wanapendekeza "impeachment", lakini sio kweli, Ken Starr anasema tumepata taarifa inayoweza kutumiwa kwenye impeachment lakini Congress mtaamua, Mueller anasema siwezi kuamua kama ana hatia au hana, msomaji utaamua.

Ni rahisi kuona kwanini Mueller hataki maswali wala kuhojiwa na Congress kuhusiana na ripoti yake. Lakini uchunguzi wake umeisha na hataki ku-testify na hamna Dems wakumlima subpoena.

Impeachment talk imebaki siasa tu, hamna kipya, wamarekani wengi na Democrats wengi wala hawakubaliani nayo. CASE CLOSED.
 
Impeachment talk imebaki siasa tu, hamna kipya, wamarekani wengi na Democrats wengi wala hawakubaliana nayo. CASE CLOSED.

Impeachment is a POLITICAL PROCESS in the first place sio suala la kisheria la DOJ au Mueller, sio wao ndio wanafungua mashitaka. Wenye mamlaka ya kumshitaki raisi alieko madarakani ni Bunge.

“Because we determined not to make a traditional prosecutorial judgement, we did not draw ultimate conclusions about the President’s conduct....if we had had confidence that the president clearly did not commit a crime, we would have said so. We did not, however, make a determination as to whether the president did commit a crime...Accordingly, while this report does not conclude that the president committed a crime, it also does not exonerate him.”

Ukisoma kauli hii haina maana kwamba Mueller amemsafisha kutokana na makosa bali amewaachia bunge ndio waamue. Whether wataendelea na impeachment au la hio ni juu yao!
 
Impeachment is a POLITICAL PROCESS in the first place sio suala la kisheria la DOJ au Mueller, sio wao ndio wanafungua mashitaka. Wenye mamlaka ya kumshitaki raisi alieko madarakani ni Bunge.

“Because we determined not to make a traditional prosecutorial judgement, we did not draw ultimate conclusions about the President’s conduct....if we had had confidence that the president clearly did not commit a crime, we would have said so. We did not, however, make a determination as to whether the president did commit a crime...Accordingly, while this report does not conclude that the president committed a crime, it also does not exonerate him.”

Ukisoma kauli hii haina maana kwamba Mueller amemsafisha kutokana na makosa bali amewaachia bunge ndio waamue. Whether wataendelea na impeachment au la hio ni juu yao!

Mwalimu , nani amesema Mueller amemsafisha Trump? Kwa sababu lazima uwe na basis ya hoja yako!

What happened to 'reading'? Unaona jinsi unavyohangaika kuelewa alichomaanisha Mueller, ndicho exactly nilichoongelea kwenye post #876. Umesoma conclusions na mapendekezo ya Ken Starr? Unayalinganishaje na ya Mueller?

Je, unaweza kutupa nukuu ya maneno ya Mueller akipendekeza "impeachment" dhidi ya Trump kwenye ripoti au statement yake?
 
Mwalimu , nani amesema Mueller amemsafisha Trump? Kwa sababu lazima uwe na basis ya hoja yako!

What happened to 'reading'? Unaona jinsi unavyohangaika kuelewa alichomaanisha Mueller, ndicho exactly nilichoongelea kwenye post #876. Umesoma conclusions na mapendekezo ya Ken Starr? Unayalinganishaje na ya Mueller?

Je, unaweza kutupa nukuu ya maneno ya Mueller akipendekeza "impeachment" dhidi ya Trump kwenye ripoti au statement yake?

Kwa hio kwa sababu Mueller "hajapendekeza" impeachment specifically kama alivofanya Starr ina maana case closed? Unatumia ripoti ya Ken Starr kama kipimo kwamba Mueller nae alipaswa kuandika kwa muundo ule ule ndio uridhike?

Naona unataka tu kuendeleza ligi ya ubishi usio na maana yoyote.
 
Impeachment is a POLITICAL PROCESS in the first place sio suala la kisheria la DOJ au Mueller, sio wao ndio wanafungua mashitaka
Unamaanisha nini unaposema "impeachment" sio suala la kisheria bali ni "political process"?
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom