TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,075
Pole ndugu yangu TUJITEGEMEE...Russian collusion inaingiaje hapa? Je unajua Roger Stone anashtakiwa kwa makosa gani? Je unajua masharti ya dhamana aliyopewa?
Shukrani Mkuu kwa maswali yako. Kwa mujibu wa mtandao wa BBC nanukuu sehemu ya taarifa kutoka mtandao huo kama majibu ya maswali yako. Karibu.Pole ndugu yangu TUJITEGEMEE...Russian collusion inaingiaje hapa? Je unajua Roger Stone anashtakiwa kwa makosa gani? Je unajua masharti ya dhamana aliyopewa?
Sasa kulingana na source zako (RT?) unadhani kwa nini alivamiwa usiku na FBI na kuchukuliwa akiwa tu na nguo zake za kulala? Ushahidi alio nao Mueller hakuna anayeujua nje ya ofisi yake..."I intend to fight for my life," Mr Stone said as he launched a fundraiser for his legal battle. "There's no circumstance under which I would plead guilty to these charges.
"There's no circumstance under which I would bear false witness to the president."
He added: "Once again, there is no evidence of Russian collusion, Wikileaks collaboration and I'm not charged with doing anything inappropriate or illegal to assist in his [Mr Trump's] election."
Howard Schultz, Starbucks' outgoing executive chairman, singled out the national debt as the biggest domestic threat to the U.S. in a critique that spared neither Democrats nor the Trump administration's economic policies.
Duh, Cohen hakumung'unya maneno, kamwita bosi wake wa zamani ambaye sasa ni Rais wa Marekani mbaguzi wa rangi (a racist), tapeli (a conman) na mdanganyifu (a cheat).Kamati za Bunge za House zinazoongozwa na Democrats na ile ya senate zimemhoji aliekuwa mwanasheria wa Trump kwa zaidi ya miaka 10. Mr Cohen anasubiri kwenda magereza
Cohen alieleza mambo mazito akimkaanga boss wake vilivyo hadharani na nyuma ya pazia
Anamweleza Boss wake katika kila nyanja zote zinazozungumziwa iwe racism, Russia n.k.
Huu ni Mchango wa Ndugu yetu SirChiefNext election labda wamsimamishe Joe Biden,huyu ndo anaweza kupambana na Trump.Sio hawa wapiga domo kina Kamala Haris na awengine.Yaani umsimamishe Trump na Kamala Harris utegemee Trump ashindwa,Dems bana.Ben Senders kidogo anaweza,sema alishapoteza Taste baada ya kukosa kusimamishwa mwaka 2016.
Halafu nimegundua wala Trump hachukiwi marekani kama Media zinavyoaminisha watu.
Facts:Mid term elections zote huwa zinakuwa mbaya kwa marais walio madarakani,Lakini mwaka jana,Trump alipoteza viti 19 bunge la wawakilishi(House of representative),compared to Obama alipoteza viti 65+,alipoteza both senate na House of Reps.But Trump alifanikiwa Ku retain bunge la senate kwa mara ya Pili.Sasa inahitaji akili za malaika ku convinse kwamba Trump anachukiwa na wamarekani kuliko Wengine waliopita,Kwa USA midterm ndo kipimo cha kuonyesha performance ya Marais wakiwa madarakani.