TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Nikiri kuwa sikupitia makablasha yangu vizuri kabla ya kuleta habari hii ya Rex. Na kuna details nyingi nilizi'overlook'! Nimekubali kukosolewa.Alimshauri Trump kuhusu NK na mazungumzo, kitu ambacho Trump sasa amekubali tena bila kumshirikisha. Kuhusu Iran, Rex anamuuliza Trump, option ipi iliyopo mezani ?
Climate change, Rex aliyeongoza kampuni ya mafuta anakubali.
Kuhusu deep state unayosema, nina shaka kama kweli umeielewa ni nini
Mike Pompeo unafahamu ametokea wapi? Gina Haspel unajua ametokea wapi?
Unajua wamefanya nini siku za nyuma kiasi cha kutishia confirmation yao leo hii?
Mwisho, Trump alisema ana 'hire' smart people. Je, aliachukua deep state? Na Rex unaamini ni deep state? Mabadiliko anayofanya ni kutokana na teuzi zake mwenyewe! Huoni tatizo hapo mkuu
Pia na ungana na wamarekani wanaomshangaa rais wao kukaa kimya kuhusu hotuba ya kikakamavu ya Rais Putin. Yaani Trump alikosa hata mstari mmoja wa tweet kuzungumzia 'mkwara' wa Putin? Yaani hapa na mimi nimebaki sielewi? Sawa baada ya siku kama nne hivi Ndiyo Pentagon na DoD walitoa tamko lakini 'ilionekana' kabisa Walishtushwa na Tangazo la Putin la 'Sasa lazima wasikilize'.