Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,393
- 31,344
- Thread starter
- #521
YANAYOJIRI
Rais Trump alikuwa na hotuba ya state of union akiongelea masuala mbali mbali kwa mustakabali wa nchi
Hakukuwepo na jambo geni zaidi ya siasa za kawaida za Washngton. Tutaiangalia hotuba tutakapojadili mbeleni
MEMO
Habari inayozunguka ni ile memo iliyopo WH kwasasa. Memo inachanganya wengi wakidhani ni 'memo' kama ilivyo kutoka FBI. Memo imeandikwa na Republican kutoka katika nyaraka kurasa 50-60 wakichagua na kubaki na kurasa 4.
Mwenyekiti wa kamati Nunes amekiri kutosoma nyaraka nyingine na hata waliopiga kura katika kamati hawakusoma nyaraka bali memo
Nunes ni yule aliyewahi kwenda WH akisema ana habari mpya kuhusu tatizo la uchunguzi wa Russia, habari ambayo aliipata WH na hivyo kusema anayo wakati ilikuwepo WH. Nunes akaji 'recuse'. Ilikuwa ni March 2017 kwa habari ile ya memo ya leo
FBI chini ya mteule wa Trump wamesema hawajaona lolote lenye tatizo na hivyo wanomba memo waipitie nao
Nunes amekataa kuwapa. Pamoja na hayo, utaratibu wa classified information kujadiliwa unahusisha national security agencies. Nyaraka ilitoka kamati na kwenda WH !!
Dems wametaka kutoa yao kwa jambo lile lile, kamati imekataa na bado inasubiriwa
Kwanini Nunes hakuwapa FBI? Kwanini security agencies hazikushirikishwa?
Wataalaam wanasema hilo linaweza ku debunk memo na kuharibu mpango uliokusudiwa
FBI Dir amekwenda WH kushauri isitolewe. Huyu ni mteule wa Trump mbadala wa Comey
DOJ juzi na jana imekataa kuhusu kutolewa memo.Ni dept ya Sessions na wateule wa Trump
Hofu si contents za memo bali mambo mawili.
Kwanza, inaweza ku expose habari za kiusalama kwa vyanzo vyake
Pili, inaweza kuzua mjadala na ikibainika iliandikwa kwa 'namna'
Rais Trump anayo na ana siku 5 za ku declassify kwa public.
Hilo litafungua mjadala mzima wa FISA Warrant na huenda yakajulikana mengine yasiyotakiwa kwasababu itakuwa ni declassified, na mengi kutoka court yatajulikana
Najaribu kuangalia jambo hili na mwenendo. Kwanza aliyetuhumiwa alikuwa Susan Rice mshauri wa obama wa mambo ya usalama kwamba ali unmask majina ya waliochunguzwa.
Ilikuwa habari kubwa, Susan akaitwa mbele ya kamati. Alichokisema hakuna anayemzungumzia tena
GPS walituhumiwa na dossier ya uongo. Waliitwa mbele ya kamati, mjadala umekwisha
Tena GPS wakata majadiliano ndani ya kamati yawekwe wazi, habari haikuwa nzuri GOP
Kwa nyakati fulani memo imesaidia kubadili mjadala wa Russia Republican wakiitumia
Wanasheria wa Trump wamekataa asihojiwe na Mueller kwani haja meet threshold
Yote yanalenga kuzuia uchunguzi wa Russia. Kumfukuza Mueller litakuwa ni tatizo kubwa
Don McGahn alimshauri Trump asifanye. Uwezo wa kumfukuza anao, je ataweza vishindo vyake?
Mathalani, katika seneti kuna 'margin of error' finyu sana.
Congress na Intel community wanaamini Russia ilihusika katika kuingilia mchakato wa demokrasia
Hapa ndipo baadhi wanachanganya mambo kwa kuzungumzia jambo wasilolielewa.
Congress na Intel community zinathibitisha hilo,hakuna ubishi ila kwa Trump na base yake inayoamini asemacho
Si kila mmoja ataelewa, kuna walioamini Obama alifanya surveillance Trump Tower
Dept of Justice chini ya Sessions mteule wa DJ imethibitisha hakuna upuuzi kama huo
Wapo walioamini kuwa wapiga kura milioni 5 ambao leo kamati ya Trump haikuweza na imefutwa
Na wapo walioamini Mexico italipa Ukuta, leo wanaolipa ni US.
Kinachoangaliwa ni kuwa, Russia walifanya hayo wenyewe au wakiwa na msaada wa watu wa ndani?
Kuna uthbitisho wa collusions kwa kuangalia watu na kampeni hasa mkutano wa Trump Tower
Hata hivyo collusion si crime kwa mujibu wa wanasheria. Crime ni itakapokuwa ni conspiracy
Tusemezane
Rais Trump alikuwa na hotuba ya state of union akiongelea masuala mbali mbali kwa mustakabali wa nchi
Hakukuwepo na jambo geni zaidi ya siasa za kawaida za Washngton. Tutaiangalia hotuba tutakapojadili mbeleni
MEMO
Habari inayozunguka ni ile memo iliyopo WH kwasasa. Memo inachanganya wengi wakidhani ni 'memo' kama ilivyo kutoka FBI. Memo imeandikwa na Republican kutoka katika nyaraka kurasa 50-60 wakichagua na kubaki na kurasa 4.
Mwenyekiti wa kamati Nunes amekiri kutosoma nyaraka nyingine na hata waliopiga kura katika kamati hawakusoma nyaraka bali memo
Nunes ni yule aliyewahi kwenda WH akisema ana habari mpya kuhusu tatizo la uchunguzi wa Russia, habari ambayo aliipata WH na hivyo kusema anayo wakati ilikuwepo WH. Nunes akaji 'recuse'. Ilikuwa ni March 2017 kwa habari ile ya memo ya leo
FBI chini ya mteule wa Trump wamesema hawajaona lolote lenye tatizo na hivyo wanomba memo waipitie nao
Nunes amekataa kuwapa. Pamoja na hayo, utaratibu wa classified information kujadiliwa unahusisha national security agencies. Nyaraka ilitoka kamati na kwenda WH !!
Dems wametaka kutoa yao kwa jambo lile lile, kamati imekataa na bado inasubiriwa
Kwanini Nunes hakuwapa FBI? Kwanini security agencies hazikushirikishwa?
Wataalaam wanasema hilo linaweza ku debunk memo na kuharibu mpango uliokusudiwa
FBI Dir amekwenda WH kushauri isitolewe. Huyu ni mteule wa Trump mbadala wa Comey
DOJ juzi na jana imekataa kuhusu kutolewa memo.Ni dept ya Sessions na wateule wa Trump
Hofu si contents za memo bali mambo mawili.
Kwanza, inaweza ku expose habari za kiusalama kwa vyanzo vyake
Pili, inaweza kuzua mjadala na ikibainika iliandikwa kwa 'namna'
Rais Trump anayo na ana siku 5 za ku declassify kwa public.
Hilo litafungua mjadala mzima wa FISA Warrant na huenda yakajulikana mengine yasiyotakiwa kwasababu itakuwa ni declassified, na mengi kutoka court yatajulikana
Najaribu kuangalia jambo hili na mwenendo. Kwanza aliyetuhumiwa alikuwa Susan Rice mshauri wa obama wa mambo ya usalama kwamba ali unmask majina ya waliochunguzwa.
Ilikuwa habari kubwa, Susan akaitwa mbele ya kamati. Alichokisema hakuna anayemzungumzia tena
GPS walituhumiwa na dossier ya uongo. Waliitwa mbele ya kamati, mjadala umekwisha
Tena GPS wakata majadiliano ndani ya kamati yawekwe wazi, habari haikuwa nzuri GOP
Kwa nyakati fulani memo imesaidia kubadili mjadala wa Russia Republican wakiitumia
Wanasheria wa Trump wamekataa asihojiwe na Mueller kwani haja meet threshold
Yote yanalenga kuzuia uchunguzi wa Russia. Kumfukuza Mueller litakuwa ni tatizo kubwa
Don McGahn alimshauri Trump asifanye. Uwezo wa kumfukuza anao, je ataweza vishindo vyake?
Mathalani, katika seneti kuna 'margin of error' finyu sana.
Congress na Intel community wanaamini Russia ilihusika katika kuingilia mchakato wa demokrasia
Hapa ndipo baadhi wanachanganya mambo kwa kuzungumzia jambo wasilolielewa.
Congress na Intel community zinathibitisha hilo,hakuna ubishi ila kwa Trump na base yake inayoamini asemacho
Si kila mmoja ataelewa, kuna walioamini Obama alifanya surveillance Trump Tower
Dept of Justice chini ya Sessions mteule wa DJ imethibitisha hakuna upuuzi kama huo
Wapo walioamini kuwa wapiga kura milioni 5 ambao leo kamati ya Trump haikuweza na imefutwa
Na wapo walioamini Mexico italipa Ukuta, leo wanaolipa ni US.
Kinachoangaliwa ni kuwa, Russia walifanya hayo wenyewe au wakiwa na msaada wa watu wa ndani?
Kuna uthbitisho wa collusions kwa kuangalia watu na kampeni hasa mkutano wa Trump Tower
Hata hivyo collusion si crime kwa mujibu wa wanasheria. Crime ni itakapokuwa ni conspiracy
Tusemezane