Duru za Siasa Special: Mgogoro kambi ya Upinzani (CHADEMA)


Mkuu Nguruvi3, nimeupenda mfano wako wa mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa, subject matter ni mtoto, sio kilifanyika nini, lini na wapi, kitendo kilichomtengeneza huyo mtoto!, kidini anaitwa mwana haramu!, kwa Sharia law, haruhusiwi hata kurithi mali!, kama ni wa kike, rukhsa baba yake mzazi kumuoa na kumfanya mke!. Kosa la huyu mtoto ni nini?!. waliofanya uzinifu ni kina nani na anaadhibiwa nani!?, Wazinifu wameadhibiwa kwa uzinifu wao na hatimaye an innocent product ya uzinifu huo, who has nothing to do with kilichofanyika hadi kuzaliwa!. Jee is it real fair kumuandibu mwana haramu kwa makosa ya uzinifu wa wazazi wake?!. Wazinifu wamekiri, mtoto hakuujua uzinifu ule, lakini anayeadhibiwa ni mtoto!, is it fair?!.

Comming back to waraka, mkuu Nguruvi 3, jee umeweza kuelewa chochote kuhusu hii
au nipige darasa zaidi?.

Mkuu Nguruvi3 ukiisha chagua upande, you've chosen your side, and you'll love, guard, keep and defend your choice!, hivi na wewe, of all the people anaamini waraka ulitaka kufanya mapinduzi na sio kulobby for changing the mind set ya wapiga kura?!. Usiuhukumu kwa mtindo wa pakacha la samaki mmoja akioza, wote wameoza!, what was the motive behind ule waraka?, kweli kabisa Mkuu Nguruvi3 with all due respect unaamini kabisa kwa dhati kuwa lengo la waraka ule ni kufanya mapinduzi nje ya electoral system ya Chadema?!.

Nani walitaka kuvuruga chama?, nia ya kukiimarisha chama ili kiweze kuishika ikulu ndiko kuvuruga?, Harakati za kisiasa most of the times zinapangwa kisiasa, lakini mashambulizi ndani ya uwanja wa mapambano, yanatekelezwa kijeshi!, naomba niwasaidie baadhi yetu ambao hatukupata fursa ya kupita jeshini hivyo hawajui mbinu za medani!. Waraka uliandaa a political ambush ya kupata viongozi bora, kabla ambush haijafanywa kwanza inafanyika "rake patrol" inafanywa kwa usiri mkubwa!. Hii ilisha fanyika, kisha inafuta planning phase, askari wa kawaida bado hawaambiwi, na jemedari baada ya kuonekana hawezi kushinda vita, watu mko front line, pia hashirikishwi!, na mkiwa vitani mkajiridhisha jemedari hawezi kuongoza mnapaswa ku take kitu kinaitwa "initiatives" ama mkubali kumvumilia jemedari goigoi mshindwe vita muangamizwe, ama kumuondoa jemedari na 2i/c kuongoza mapambano. Wanaoamua kumuondoa jemedari sio 2i/c bali ni askari wa mstari wa mbele "Kitila, Mwigamba na wengine!, tena kuhakikisha mpango ni wa siri sana, unaohusisha watu wachache sana usually wawili, watatu, baada ya kumueliminate comander, ndipo 21/c anaarifiwa rasmi, kuwa jemedari is no more, he must asume the commanding as the new jemedari, there is no time to negotiate au kuuliza what happened, na yeye akisita, he'll be taken out immediately coming to the 3i/c!. Mpango umetibuliwa kabla ya utekelezaji, ila utekelezaji ulikuwa uwe wa kisiasa kupitia uchaguzi halali ndani ya Chadema sio elimination kama vitani!.

Huko sio kukashifu hizo ni missiles, silaha za maangamizi!. Kati ya vitu vinavyoturudisha nyuma sana sisi Watanzania ni kutokuwa wakweli, kutosimama na ukweli, na kukumbatia uongo na unafiki!, hayo yaliyoelezwa kumhusu "jemedari" ni "calling a spade a spade!", kwani ni uongo?, amezushiwa?, au amesingiziwa?!. Hizo ni hard facts, ukiwa front line, you have to play by the rules!, if you cross the line of fire you are taken out!. Jemedari crosed the line!, he has to be taken out, you just shoot!. Uliprefer wamsifie?, very bright, very honest!, na mwaminifu sana katika ndoa yake?!, au wamfichie aibu yake mtindo wa kimbuni mbuni kuficha kichwa mchangani?!. Kumbuka the scheme ya waraka, was ment to be top secret! not for public consumption!, hivyo hivyo hizo kashfa hazipo!. Hata mimi, nikiwa na wewe tuu peke yetu kwenye chumba au kwenye lift, nikakutukana bila mtu yoyote kusikia, huwezi kunishitaki eti nimekuvunjia heshima!. Ili nikuvunjie heshima, lazima a third part asikie!. According to to the codes of secrecy za waraka ule, its considered only insiders tuu ndio walijua!. Aliyemkashifu jemedari ni aliyeusambaza, na umesambazwa kwa ill motives ili kuwachonganisha waandishi waonekane wahaini!.

Zamani dada zetu na mama zetu, walibakwa sana ila hawakuthubutu kusema to any third part itakuwa ni aibu!, mbakaji huwa ana strike again and again and again kwa sababu mbakwaji would rather keep quite and make it secret ya kubakwa kuliko aibu ya kusema!. Chadema ndio walio leak huo waraka na kumuibisha jemedari wao!.
Siasa ni kama vitani, kuna point ukifika inaitwa "the point of no return" there is no retreat, no surrender, you to fight risasi ya mwisho na tone la mwisho la damu!, this fight, was the fight from within!, huwezi kulikimbia shamba ukawaachia ngedere watafune mahindi!. Nape alipombwatukia Lowassa kwenye issue ya jengo la UVCC nini kilimtokea?!, si alifukuzwa JK akamuokoa!. Alipotangaza vua gamba, nothing was done!, amejiuzulu, si anaendelea ku fight from within!?. Juzi yeye na Kinana walipoibuka na mawaziri mizigo, JK si amewapuuza?!, wamefanya nini?, walipaswa kujiuzulu!, ila wajiuzulu na kuwaachia gedere wamalize shamba?!, its fighting from within!. Si mmemuona Nape kaibuka na ile hangover ya party supremacy ati CCM itawa summons mawaziri na wakuu wa taasisi za umma!?, CCM iwa summon mawaziri hiyo CCM ikiwa ni kama nani?!, kwenye mfumo wa serikali, what the hell is CCM?, Nape anaota ndoto za alinacha mchana kweupe!. Wenye akili na busara baada ya kuona jahazi linakwenda mrama, captain hawezi tena kuongoza jahazi, dawa ni kuabandon jahazi na kujitosa baharini au kum replace captain na kuokoa jahazi?!.

Chama si kina chain of command, ushindwe kumuondoa jemedari, halafu uende kwa wapiganaji usema jemedari hafai?!. Gimme a break!.

Hayo ni mambo ya ndani, au unataka waendelee kumwaga mboga kwa sababu tuu wenzao wamamwaga ugali?!. Mtafute ZITTO, Kitila na Mwigamba watakueleza one to one!. Siku ile nilipopandisha ile thread ya Chadema kunyofoa kipengele cha ukomo wa madaraka kinyemela, I got a call from one of them, (not ZZK), akanieleza ukweli halisi ulivyo na jinsi Dr anavyotoa uongo!, sikuweza kusema Dr. ni muongo kwa sababu, pamoja na yote namheshimu sana tuu!. Kwenye hili sakata kuna mengi hayajasemwa, yakisemwa yote itakuwa ni aibu!, nimeshauri wasiendeleze adding an insult to an injury to the damage that has already done!.
Pasco.

If this post was an opera perfomance i would call it Luciano Pavarotti last perfomance at the New York Metropolitan Opera. Grand in every way. You cut through the inner core of the issue.Well done. I sencerely hope CDM bigwigs are reading this thread.
 
I keep repeating, How can you publicly declare someone is insulting you to the public if you go to great lengths revealing what this person was writing in great secrecy?
What Kitila and Team prepared was never supposed to see the light of day save for stupidity of whoever makes decision at CDM cc.This is something that was stolen from them for God's Sake.wise men said two wrong's dont make it right. Exact opposite of What CDM did here.
For me they crossed a huge line by agreeing to go this low,worse enough they went to all that to reveal things that are 100% true and were supposed to be their internal compass.Another huge mistake all on it's own.
Even the court has to have a warranty to get information from someone.You don't just ambush people like it was the Soviet Russia. It will take a lot of convincing for me to regard CDM in the same light after this debacle. I am sure i am not alone.
Most of us who were tired of CCM are now extremely disappointed by what CDM is turning to be. In any Organization it is a very distressing sign when you have leaders who wants absolute obedience. It says if a group of people always have the same opinion, either one is not doing any thinking at all, or someone is .., you can fill that up.
 
Upo sahihi kabisa waraka ni kumbu kumbu kama usemavyo. Mimi nauangalia kama kichwa cha habari tu ninachozungumzia ni kile alichokisema Mchambuzi (contents,context na intent). Hivyo ninaposema waraka ninamaanisha hayo nas si karatasi ya kumbu kumbu.

Watuhumiwa wangekuwa hawana waraka CDM wasingechukua hatua nina dhani.
Kwasasa ushahidi upo na bado watu hawaamini sijui kama wangeamini kusikia tu.

Ni kwa njia hiyo ZZK amedumu na vurugu 4 kwasababu hakuna ushahidi hata pale anapotajwa na wahusika kama alivyofanya Juliana, Mtela na Ben Saanane.

Ben alipojitoa mhanga hakuwa katika kikao cha chama, nadhani ndivyo ilivyokuwa kwa Lema.
Kama tutakubaliana kuwa kuvamia laptop ilikuwa kosa,
basi kuingia katika vikao halali na kutoa siri au kwenda pembeni kuandika kumbu kumbu zisizokubaliana na vikao hivyo ni uhalifu zaidi.

Unachokiona wewe ni ''mgonjwa'' kufariki kutokana na homa kali(laptop), umesahau kuwa homa ilisababishwa na malaria ya muda mrefu(kuingia katika vikao na kwenda magengeni)

Mkuu utasemaje Kitila na Mwigamba wametoa siri za kikao wakati waliyokuwa wanayajadili hawajamuleeza mtu aliye nje ya kikao?hivi unawezaje kusema kuwa Subset ya set ina association na another set wakati hiyo subset ni mutually exclusive na hizo set nyengine?mathematically isnt this subset still in association with it's parent set?

This was a HUGE blunder by CDM, whatever Mwigamba and Kitila Exchanged between them regarding the state of CDM CC meetings did not fall under leaking of secrets. Unless CDM has proof that these contents were leaked to a third party.So far the only guys who did this are CC themselves. They leaked their own secrets with hopes of badmouthing Kitila and Mwigamba while encapsulating ZITTO who was carefully not Mentioned as participant in the named Waraka.
 
Kimweri;8514917]Mkuu utasemaje Kitila na Mwigamba wametoa siri za kikao wakati waliyokuwa wanayajadili hawajamuleeza mtu aliye nje ya kikao?

hivi unawezaje kusema kuwa Subset ya set ina association na another set wakati hiyo subset ni mutually exclusive na hizo set nyengine?mathematically isnt this subset still in association with it's parent set?

This was a HUGE blunder by CDM, whatever Mwigamba and Kitila Exchanged between them regarding the state of CDM CC meetings did not fall under leaking of secrets.

Unless CDM has proof that these contents were leaked to a third party.So far the only guys who did this are CC themselves. They leaked their own secrets with hopes of badmouthing Kitila and Mwigamba while encapsulating ZITTO who was carefully not Mentioned as participant in the named Waraka.
Mkuu Kimweri , Kwa muda sasa nimewauliza wanajamvi hasa Mkandara na Pasco ambao wanahoja kama yako swali moja, Waraka uliandikwa lini?So far hakuna jibu, iliyopo ni hoja ya waraka ulikuwa wa watu wawili Mwigamba na Kitila.

Nimewahi kuweka mazingira ya kuonyesha waraka uliandikwa kati kati ya June 2013 na kwamba utekelezaji ulikuwa katika hatua za juu. Ili kuthibitisha maneno yangu na kuwathibitishieni kuwa waraka haukuwa siri na ulikuwa katika public domain nitaweka thread mjionee.

Kimweri umesema waraka haukuwa kwa ajili ya Public consumption, mimi nasema Public ilikuwa ina consume waraka.Soma haya.JULY 2013
HAMY-D(July 2013): Mbowe ni mtoto wa kishua, unadhani atakuwa na huruma na watanzania?Mbowe kama hajawahi kuonja suruba ya umaskini, uchungu kwa watu maskini ataupata wapi?
Waraka:Simtu wa kujipenda nafsi na katika kupambana umaskini wa watu badala ya umaskiniwake

HAMY-D :sisi tunataka maskini wenzetu ndio watutoe hapa tulipo na kutupeleka mbele. Birds of the same feathers, flock together!!
Waraka: Matukiomawili yanamwacha uchi katika hili pale alipolitangazia taifa kwambawawakilishi wetu wote hawatachukua posho za vikao halafu yeye na wengine wotewanazichukua hadi leo na kumwacha mtendaji msaidizi peke yake. Na la pililinalofanana na hilo ni pale alipotangaza kutotumia gari la serikali ambalo nila kifahari kisha akalirudia kimya kimya

HAMY-D: Pia, kama Mbowe ana stahili kuliendesha hilo gari, huoni ndio maana serikali ilimpa hili awe nalo? sasa kwanini yeye alirudishe? haafu sasa hizo sababu zake utasikia mara uzalendo, mara nawaulumia wananchi kwani serikali ina matumizi makubwa. Sasa kwanini alichukue wakati tayari alitoasababu za kulikataa? Nikisema Mbowe hana msimamo nitakuwa nimekosea?Last edited by HAMY-D; 12th July 2013 at11:26.
Waraka:Nikubadilisha uongozi wa taasisi haraka iwezekanavyo

HAMY-D: Fanyeni uchaguzi haraka wa ndani ya CDM mumtoe huyu Mbowe, mauaji aliyofanya kwa vijana wetu chini ya uongozi wake yanatosha.
Waraka: Tutahakikisha tuko busy kupost mambo mema na mazuri yatakayokuwa yakifanywa na MM kila wakati na kuzidi kusambaza sifa zake njema kila inapotokea nafasi. Atakayefanya kazi hiyo ni sisi wengine wala si yeye! Pia tutahakikisha kila post ya kumchafua inapatiwa majibu bila kutumia ID yake inayojulikana.

HAMY-D WanaJF, hivi ni kwanini Mbowe asiige siasa za Zitto?
Sikuwahi kumuona Zitto kwenye maandamano yaliyo husisha mauaji au uvunjifu wa amani wa aina yoyote!
Waraka: Uongozi wa sasa wa taasisi yetu umefanya tuonekana kwamba taasisi yetu ipo kwa ajili ya kuvuruga amani ya nchi, Yote hii ni kwa sababu tumekuwa hatuna mbinu mpya za mapambano zinabadilikabadilika zaidi ya maandamano ya kila mara.

Hamy-D: Utajadili maendeleo wakati amani na utulivu vipo hatarini?
Hatuwezi kuijenga nchi wakati kuna kundi la watu linaibomoa nchi kwa kasi.
Amani ni tunu ya taifa letu, ikipotea kuirudisha si jambo dogo.
Ni bora tubaki na dhiki na ufukara wetu ila amani idumishwe. Jambo ambalo MBOWE na Dr Slaa hawaoni kama ni muhimu
Waraka: Watanzania ni watu waliozoe amani na Utulivu
Wakuu maneno hayo yaliandikwa katika mtandao wa JF. Sijui kama mnahitaji ushawishi zaidi kuwa waraka ulikuwa kwa public consumption na public ishaanza ku-consume vema tu na wa;a haikuwa siri tena.

Someni haya ili kujiridhisha au kukanusha kama ninachosema si kweli
OCTOBER 2013 Kabla ya waraka kunaswa
CHADEMA ilisajiliwarasmi mwezi January 1993 na tokea wakati huo imeongozwa na wenyeviti wa taifawawili na aliyepo kwa sasa ni wa tatu. Mzee Edwin Mtei aliongoza kwa miaka mitano tangu mwaka 1993 hadi 1998 na kumwachia Mzee Bob Makani ambaye naye aliongoza kwa miaka mitano hadi mwanzonimwa 2004 na kumwachia Freeman Mbowe ambaye yuko madarakani hadi hivi sasa.
Mbowe aliongoza kwa miaka mitano tangu mwaka 2004 hadi 2009 na kisha akachaguliwatena mwaka 2009 kwa kipindi cha pili. Napenda kwa hatua ya mwanzo kabisa kutambua juhudi za wenyeviti wetu wote waliopita walizozifanya katikakuhakikisha chama chetu kinakua kwa kutumia uwezo wote waliokuwa nao na katikamazingira yaliyowakabili.

Mwaka 1995 chini ya Mzee Mtei tulipata wabunge watatu. Mwaka 2000 chini ya Mzee makani tukapata wabunge wanne mmoja wa viti maalum nakufanya idadi kuwa watano. Mwaka 2005 chini ya Mbowe, tulipata wabunge watanowa kuchaguliwa na viti maalum sita jumla wakawa 11. Mwaka 2010 chini ya Mbowehuyo huyo, wakaongezeka na kuwa 23 na wa viti maalum 25 na kufanya idadi kuwa48 kabla ya kushinda uchaguzi mdogo Arumeru mashariki mwaka jana na kufanyasasa wawe 49.

Tunapopongezajuhudi zao hizi tunahitaji pia kuwapongeza wenyeviti wetu wawili wa kwanzaambao kimsingi waliweka msingi mzuri sana wa kutong'ang'ania madaraka na badalayake kuachia mapema na kumwachia mwingine kidemokrasia bila vurugu. Hawakuwa madikteta na tunawapongeza sana. Walijitahidi sana kutokuwa wapenda madaraka nakimsingi walituwekea utamaduni ambao walitaka wote tuufuate na kujenga chamaimara kinachojali demokrasia na haki ya kila mwanachama. Ni kwa msingi huowaliamua kuandika kabisa katika katiba yetu kwamba kiongozi yeyote katika ngaziyoyote ya kuchaguliwa atakapogombea na kushinda ataongoza kwa kipindi kimojacha miaka mitano na kisha ataweza kugombea na kuongoza kwa kipindi cha pili chamiaka mitano baada yapo hawezi kugombea tena katika nafasi ile ilealiyoitumikia kwa vipindi viwili. Ili kuonyesha kwamba walimaanisha kilewalichokisema, wote wawili hawakuwahi kukaa madarakani kwa vipindi viwilivilivyoruhusiwa katika katiba bali wote wawili walikaa kipindi kimoja kimoja tu.

Lakini kuna matatizo yameanza kujitokeza natusipochukua hatua haraka huko mbele tunaweza kupata shida kubwa. Napendakuainisha matatizo hayo kwa uchache kama ifuatavyo:

Moja, wakatiKatiba ya CHADEMA ikifanyiwa mabadiliko mwaka 2006, mabadiliko hayo hayakugusakipengele kinachomzuia kiongozi kuongoza kwenye nafasi moja kwa zaidi yavipindi viwili vya miaka mitano mitano. Niliyaona makabrasha yaliyogawiwa kwawajumbe wa mkutano mkuu yaliyokuwa na mapendekezo ya Baraza kuu ya mabadilikoya katiba na mkutano mkuu kuyapitisha mapendekezo yale yote. Lakini wakati katibainachapwa chini ya uongozi uliopo, kipengele hicho kiliondolewa kinyemela.Mambo yanayotokea hivi leo yanaonyesha dhahiri kipengele hicho kiliondolewa kwamakusudi kwa maslahi na kwa faida ya viongozi waliopo madarakani kwa sasa. Hikikinaweza kuchukuliwa kama kitendo kidogo lakini kama viongozi wetu wanawezakutokuwa waaminifu katika jambo kama hili, ni dhahiri hawawezi kuaminika nawanaweza kufanya mambo mengine makubwa na yenye athari zisizomithirika kwa chamachetu.

Vitainayoendelea leo kati ya Mbowe na Zitto ya kupigania uenyekiti wa chama katikauchaguzi ujao kiasi cha kuumiza chama, isingekuwepo maana Mbowe alikuwaharuhusiwi kugombea kwa mara ya tatu mfululizo. Kitendo cha Freeman Mbowekutaka kuwa mwenyekiti kwa kipindi cha tatu mfululizo tofauti na msingiwalioujenga waliomtangulia, ni uthibitisho kamili kwamba kile kipengelekiliondolewa kwa maelekezo yake ili baadaye atakapotaka kung'ang'ania madaraka asionekaneanavunja katiba. Mbowe sasa anataka kuwa mwenyekiti wa design ya akina LyatongaMrema, John Cheyo, Chipaka, Makaidi, Mtikila, na kadhalika, jambo ambalo hatupaswikulikubali wana chadema.

Pili nambaya zaidi, anang'ang'ania madarakani wakati ambapo ameishiwa mbinu zakukikuza chama. Enzi zile za 2005 kuelekea 2010 chama kilikuwa kinaishi kwaissues, lakini leo kinaishi kwa matukio. Ni ujinga wa CCM tu kutupatia matukiolakini wakitunyima matukio chama kinakufa. Mbowe siku hizi anafanya kazi kwa kushauriwana vijana waliojaa mihemko kama Lema, Nassari, Wenje na Msigwa. Hawa hawanauwezo wa kukaa chini na kutengeneza mkakati (strategy) wa kuingiza chamamadarakani. Wanachojua ni kufanyia propaganda kila tukio linalotokea na kufanyamikutano ya hadhara, basi! Hatuwezi kuingia madarakani kwa mtindo huu. Hili waasisiwetu waliliona tangu mwanzo na kuamua kuweka kipengele cha ukomo wa uongozikwenye mwongozo katiba ili kiongozi asing'ang'anie kuendelea kuongoza wakatiameshachoka.

Kuchoka kwauongozi wetu kunazidi kujidhahiridha katika mipango program mbalimbali za chamakwa miaka kadhaa sasa. Mfano mwaka 2008 uongozi ulianzisha Operesheni Sangara.Operesheni hiyo ilifanywa katika mikoa kadhaa ya kanda ya ziwa na hatimayeikafa kimya kimya. Hiyo ilikuwa ni baada ya kufa kwa program ya CHADEMA ni tawina CHADEMA ni msingi. Baada ya uchaguzimkuu wa mwaka 2010 kulianzishwa matembezi ya maandamano ambayo nayo yalikuwayakipeleka ujumbe kwa watu na yalipangwa kufanyika mikoa yote na wilaya zote.Kumbukumbu zinaonyesha kwamba yalikuwa yakianzia makao makuu ya mkoa na kwendakwenye wilaya zote. Lakini kumbukumbu hizo zinaonyesha kwamba yalifanyikaMwanza, Musoma, Shinyanga, Kagera na mikoa ya Nyanda za Juu kusini (Mbeya,Iringa, Njombe na Rukwa) kisha nayo yakafa kifo cha mende.

Kisha mwaka2012 likaanzishwa Vuguvugu la Mabadiliko ama Movement for Change (M4C) Hiyoilikuwa inakwenda kwenye mikoa na timu kama nne hivi ambazo kwa ujumlazilitathmini hali ya mtandao na uongozi wa taasisi, kuhamasisha umma kwa njia yamikutano ya hadhara, kuingiza wanachama na kusimika uongozi na hatimaye kufanyamafunzo kwa viongozi. Hiyo ikafanyika Mtwara na Lindi, Morogoro na kishaikaenda kufia Iringa. Mwaka huu 2013 viongozi wetu wamekuja na ugatuajimadaraka kutoka makao makuu ya chama na kupeleka madaraka kwenye kandambalimbali. Program hii ilikufa kabla ya kuanza pale Mwenyekiti Mbowe alipobadilishamaazimio ya Baraza Kuu na kutekeleza matakwa yake ikiwa ni pamoja na kuletasuala la viongozi wa muda kwa muda mrefu badala ya kuajiri waratibu na maofisakama ilivyoazimiwa kwenye Baraza kuu la Januari mwaka huu.

Naamehakikisha anaweka watu wake kwenye uongozi wa muda katika kila kanda kwakuanzisha kitu kinaitwa kuzindua kanda ambacho hakikuwemo kwenye azimio laBaraza kuu na kimekula pesa nyingi kwa yeye mwenyewe kwenda kila kanda na timukubwa ya wakurugenzi na maofisa wa makao makuu waliolipwa posho na gharama zausafiri lukuki. Pesa hizo zilitumika kwa kiwango kikubwa wakati ofisi za kandahazina ruzuku tuliyoipitisha kwenye Baraza kuu na wala ofisi za mikoa, wilayana majimbo hazina hata shilingi ya kuendesha chama. Matokeo yake ni nini? Matokeoyake ni kwamba kile kilichopitishwa na Baraza kuu mwanzoni mwa mwaka ni hewa.Kama huamini tazama ratiba iliyopitishwa na Baraza kuu mwezi Januari mwaka huu:

Januari 2013: Vikao vya Kamati ku u na Baraza kuu. Februari20 13: -Kanda: Kuunda timu za operesheni na kutafuta nyenzo na fedha zaoperesheni, - Makao makuu: kuandaa vifaa, vipeperushi vya ujumbe wa operesheni,mfumo wa utoaji taarifa na mafunzo kwa timu za kanda. Machi 2013: Kutoamafunzo, kwa timu za operesheni za kanda, Kusambaza vitendea kazi katika kanda,Kuteua waratibu na maafisa wa kanda, Kupatikana kwa ofisi za kanda na kupatiwavitendea kazi. Aprili hadi Septemba 2013: Operesheni kikanda, chaguzi zamisingi, matawi, kata, majimbo na wilaya. Oktoba 2013: Kumalizia chaguziza majimbo na wilaya. Novemba 01 - 18, 2013: Chaguzi za mikoa. Desemba2013: Uchaguzi ngazi ya Taifa - Desemba 18: BAWACHA, Desemba 19:BAVICHA na WAZEE, Desemba 20: Kamati kuu, Desemba 21: Barazakuu, Desemba 22: Mkutano mkuu, Desemba 23: Baraza kuu jipya, Desemba24: Kamati kuu mpya. Nani leo anaweza kusimama na kubisha kwambatulichokipitisha kwenye Baraza kuu ni kiini macho kama leo mwezi wa kumitulikuwa tunatakiwa kumalizia chaguzi za majimbo na wilaya lakini hata misingihatujafanya uchaguzi?

Kitendo hiki kwa pekeyake, cha kufeli kwa kila mpango unaoletwa na viongozi wetu katika hatua zautekelezaji unaofanywa na wao wenyewe waleta mpango, ni kiashiria tosha kwambauongozi uliopo umechoka. Nimejitoa mhanga kuwaelimisha wanachadema kote walikoTanzania kujiandaa kufanya mabadiliko makubwa kwenye uongozi wa kitaifa katikauchaguzi watakaoutisha iwe ni mwaka huu ama mwakani ama mwaka keshokutwa.Hatuwezi kuendelea na hawa watu. Tuwape nafasi watulie ili Mbowe afanye vizurikazi yake ya uongozi wa kambi ya upinzani bungeni na Dr. Slaa apate nafasinzuri ya kujiandaa kuja kuwa Rais wa Tanzania
Mkulima masikini ni Mwigamba aliyekamatwa na waraka.
Maneno hayo ambayo ni neno kwa neno kutoka katika waraka yamewekwa hadharani hapa JF.

OCTOBER 19 2013 Ili kutibitisha kuwa mtandao uliozungumziwa katika waraka umekamilka na uliwa kazini Mwigamba akaandika maneno haya
Maskini Mkulima;7605299]Uzuri ni kwamba wale viongozi wa chama mikoani, mawilayani, majimboni, wananielewa vizuri ninayoyaongea. Hawa walevi wanaoniita mamluki hawajawahi kuwa hata makatibu kata wa chama. Ndiyo maana sihangaiki kujibizana nao! Watu kama Tumaini Makene, ofisa habari wa chama badala ya kueleza jinsi chama kitakavyopeleka ripoti kuthibitisha usafi wake katika hili, anakimbilia kuanzisha thread ya kumshambulia Zitto kwa kashfa za uzushi. Na ndio mwamko ninaouona humu ndani. Nyinyi pigeni makelele halafu mtaona wenye chama watakachokifanya. Uongozi unaweza kufanya mazuri lakini ukifika mwisho huwezi kuulazimisha kuendelea. Marcio Maximo aliisaidia sana Taifa Stars, lakini ilifika mahali tukasema uwezo umefika mwisho aondoke. The same kwa Mbowe!
Nawaomba hoja zenu kama ninachokisema ni sahihi au la.
Nasisitiza tena, maneno hayo yaliyomo katika waraka yalishatolewa katika public domain kwa utthibitisho huo hapo juu na kwamba waraka haukuwa siri. Hapo ndipo hoja ya 'intent' inapoingia kuwa hizikuwa kampeni ilikuwa uharibifu uliofungwa katika kasha zuri na kuandikwa mkakati.

Wakuu kama hamtaweza kuja na hoja tofauti kwa uthibitisho basi tufunge pazia na kukubaliana neno 'waraka haukuwa siri' ulishavuja kwa makusudi katika jamii.

 
Harakati za kisiasa most of the times zinapangwa kisiasa, lakini mashambulizi ndani ya uwanja wa mapambano, yanatekelezwa kijeshi!, naomba niwasaidie baadhi yetu ambao hatukupata fursa ya kupita jeshini hivyo hawajui mbinu za medani!. Waraka uliandaa a political ambush ya kupata viongozi bora, kabla ambush haijafanywa kwanza inafanyika "rake patrol" inafanywa kwa usiri mkubwa!. Hii ilisha fanyika, kisha inafuta planning phase, askari wa kawaida bado hawaambiwi, na jemedari baada ya kuonekana hawezi kushinda vita, watu mko front line, pia hashirikishwi!, na mkiwa vitani mkajiridhisha jemedari hawezi kuongoza mnapaswa ku take kitu kinaitwa "initiatives" ama mkubali kumvumilia jemedari goigoi mshindwe vita muangamizwe, ama kumuondoa jemedari na 2i/c kuongoza mapambano. Wanaoamua kumuondoa jemedari sio 2i/c bali ni askari wa mstari wa mbele "Kitila, Mwigamba na wengine!, tena kuhakikisha mpango ni wa siri sana,
Nime prove beyond doubt kuwa mpango huo haukuwa siri. Ulishavuja katika public na kilichokuwa kinafanyika ni kuvuruga wana CDM. Nime prove na naomba usimame na kusema si kweli kwa vithibitisho.
Kama utasema mpango ulikuwa ni siri na haukujulikana inabidi utuambie waraka uliandikwa lini?

Mimi nimetoa proof za kwamba waraka ulikuwepo toka June, tueleze waraka ulikuwepo toka lini.
Kama huna uthibitisho inabidi tukubaliane kuwa waraka haukuwa siri.
 
Mkuu Nguruvi3, No Mater how good Mwenyekiti Mbowe is, amefikia his optimum!, hapo ndipo mwisho wa uwezo wake!, kama ilivyo saturated solution, it can take no more!. Uwezo wa Mbowe ndio umefika mwisho hapo alipoifikisha Chadema!, hawezi kufanya anything new, hivyo hawezi kuipeleka Chadema Ikulu 2015!. Lazima abadilishwe aje mtu vibrant zaidi wa kulisukuma jahazi la Chadema kuelekea ikulu!. Akiendelea kuwepo, Chadema kitakuwa ni chama cha kudumu cha upinzani, kama Lipumba alivyofikia optimum yake!.Pasco.
Ndio maana nasema wenzangu mnaangalia majina na matukio halafu ndipo mnaangalia waraka. Mimi naangalia waraka kwa contents, context na intent.
Hapo ndipo naachama na wengi.

Nimeweka wazi kabisa kuwa suala lililopo mbele ya mjadala huu si nani anafanya vizuri, mwanasiasa gani mzuri, yupi ana akili ndogo nani mwenye PhD au yupi ni magumashi. Suala ni kuangalia njia za waraka ambao siyo siri na zililivyotumika kuuingiza katika public domain kwa njia ya kukimaliza CDM.

Hilo la Mbowe kuwa na uwezo au la, nadhani wana CDM ndio wenye kauli ya mwisho. Kuamua nani ana uwezo nani hana ni suala la uchaguzi na hilo CDM wana haki nalo.
Nashangaa umekimbilia kusoma hukumu badala ya kuwaachi wenyewe.
Huo kama ni utetezi wa waraka nadhani utakuwa umetoka nje ya mstari.

 
Pasco;8505081] Mkuu Nguruvi3, usemayo ni kweli, nitajaribu kuutazama tena na tena huu waraka in broader perspective, sijaweza kubadili mawazo!. Kwangu mimi huu waraka sio uhaini bali ni creation ya "the winning coalition!". Hakuna uhaini wowote kwa sababu hakukuwa na mpango wowote wa kufanya mapinduzi, bali ni mkakati wa kubadili uongozi kwenye chaguzi halali za ndani ya Chadema!.
Waraka unasema hivi ''Uongozi wa sasa wa taasisi yetu umefanya tuonekana kwamba taasisi yetu ipo kwa ajili ya kuvuruga amani ya nchi. Yote hii ni kwa sababu tumekuwa hatuna mbinu mpya za mapambano zinabadilikabadilika zaidi ya maandamano ya kila mara. Kwa kuzingatia utamaduni wa watanzania wa kupenda amani, kuna haja ya kufuta hii taswira na njia rahisi ni kubadilisha uongozi wa taasisi haraka iwezekanavyo''
Pasco: Wale wenye kuona mbali, na wenye nia njema ya dhati na Chadema kuingia ikulu 2015, wameyaona madhaifu yaliyopo!, kuliko kuikosa ikulu, ni bora kufanya mageuzi ya ndani, na ndipo waraka ulipobuniwa!.
Hapana! waraka ni mwendelezo wa juhudi za awali zilizokuwa zinasimamiwa na Kitila na Zitto katika kuleta 'mageuzi'. Jitihada hizo zilifyatuka na njia mbadala ikawa kuandaa waraka. Kundi la masalia ambalo mfadhili wake alikuwa ZZK lingefanikiwa kuleta vurugu kama si Ben Saanane kujitoa mhanaga.

Vurugu za Juliana Shonza zilikuwa zinaungwa mkono na Kitila na ZZK ambao walikuwa na ukaribu sana wa kisiasa na kiutendaji.

Kitila aliandika waraka wa kumtetea Juliana hata pale kila mwenye akili timamu alijua makamu mwenyekiti wa BAVICHA hawezi kuwa mkubwa kuliko mwenyekiti na hawezi kuwa msemaji wa CDM.

 
Pasco: Huko sio kukashifu hizo ni missiles, silaha za maangamizi!. Kati ya vitu vinavyoturudisha nyuma sana sisi Watanzania ni kutokuwa wakweli, kutosimama na ukweli, na kukumbatia uongo na unafiki!, hayo yaliyoelezwa kumhusu "jemedari" ni "calling a spade a spade!", kwani ni uongo?amezushiwa?, au amesingiziwa?!. Hizo ni hard facts
Well, hapa ndipo ninaposema tuangalie waraka kwa contents,context na intent tusitangulize hisia.

Kama jemedari ni malaya hilo siwezi kulizungumzia kwasababu sina facts.

Ninachoweza kuzungumzia ni facts zinazopatikana katika waraka. Hapa nikuonyeshe kuwa ulichokisema kuwa ni hard facts, ni ukweli na kwamba hasingiziwi, waraka umeonyesha kiwango kidogo tofauti na wewe. Soma waraka unasemaje kuhusu umalaya wa Mbowe

waraka :Mpinzaniwetu ni mgumu sana katika kuchangamana na makundi yote ambapo vijana humwonakama si mwenzao kiumri na kifedha, wanawake humwona kama malaya anayependakutumia miili yao kujistarehesha wakati wazee humwona kama mtu anayedhalilishahata nafasi aliyopewa kwa kufanya uhuni waziwazi hata kuvunja ndoa si ya kwaketu bali hata za watu wengine

Halafu waraka huo ambao umemkemea jemedari kwa tabia mbaya unatoa tafsiri tofuati ya umalaya kwa yule 'tunayemtaka' soma hapa

waraka : Katika taasisi zetuhizi ni muhimu sana kuepuka kufanya mambo yote wazi wazi hata kama ni mema amani haki ya mhusika ama si makosa katika jamii tuliyomo. Kuna mambo ambayo nihaki ya mtu mfano mahusiano binafsi ya kimapenzi, kuwa na marafiki wa damukutoka upande mwingine wa utawala, nk. Lakini mambo hayo ni muhimu wakatimwingine ama kwa kiwango fulani yakafanywa kwa siri kuepuka mitazamo potofu kwaunaowaongoza''

Kwamba jemedari alifanya umalaya ni kosa, tunayemtaka akifanya umalaya uwe kwa siri. Hili linaonyesha jinsi gani waraka ulivyoandaliwa hovyo, ulivyokosa maono na ulivyokuwa na nia mbaya.
Sisi tunaouangalia kwa contents, context na intent tumeona hilo, ukitanguliza hisia, mapenzi na mahahba hata kama utausoma waraka miaka 10 hutaweza kuona mambo kama haya
Pasco: jemedari crosed the line!, he has to be taken out, you just shoot!.

Uliprefer wamsifie?, very bright, very honest!, na mwaminifu sana katika ndoa yake?!, au wamfichie aibu yake mtindo wa kimbuni mbuni kuficha kichwa mchangani?!. Kumbuka the scheme ya waraka, was ment to be top secret! not for public consumption!
Kwanza suala la kuwa honest katika ndoa ni la mtu binafsi. Hata hivyo tukilizungumzia kwa waraka nashangaa kwasababu hao waandika waraka mbona hiyo honest, na uaminifu hawana! Nasema kuwa aliye msafi na achukue jiwe awe wa kwanza kumponda'mzinifu'
Pasco naona hilo tuliache maana tutaandika na ku cross line.

Hivi unadhani maneno haya katika waraka yalikuwa na maana gani?
:Katika taasisi zetuhizi ni muhimu sana kuepuka kufanya mambo yote wazi wazi hata kama ni mema amani haki ya mhusika ama si makosa katika jamii tuliyomo. Kuna mambo ambayo nihaki ya mtu mfano mahusiano binafsi ya kimapenzi, kuwa na marafiki wa damukutoka upande mwingine wa utawala, nk. Lakini mambo hayo ni muhimu wakatimwingine ama kwa kiwango fulani yakafanywa kwa siri kuepuka mitazamo potofu kwaunaowaongoza''

Suala la waraka kutokuwa wa public consumption nimelieza kwa uwazi na undani.
Waraka ulishaingizwa katika public domain kabla ya kukamatwa. Soma uzi hapo juu ujiridhishe.

Mwigamba kasema wazi, viongozi wa wilayani walikuwa wanamwelewa akimaanisha kazi ya kueleza waraka ambao yeye alikuwa nao ilishafanyika.

Narudi tena na tena waraka haukuwa siri ulishakuwa katika public.
Kwa anayekataa basi ajibu bandiko langu akionyesha kuwa maneno ya Hammy-D na Mkulima masikini yalifanana na ya waraka kwa bahati mbaya

Kama hakuna anayeza kuthibitisha kama nilivyofanya suala hili la waraka wa siri lifike mwisho isipokuwa tu kwa yule atakayekuwa ameamua kugoma kuelewa.
 
Well, hapa ndipo ninaposema tuangalie waraka kwa contents,context na intent tusitangulize hisia.

Kama jemedari ni malaya hilo siwezi kulizungumzia kwasababu sina facts.

Ninachoweza kuzungumzia ni facts zinazopatikana katika waraka. Hapa nikuonyeshe kuwa ulichokisema kuwa ni hard facts, ni ukweli na kwamba hasingiziwi, waraka umeonyesha kiwango kidogo tofauti na wewe. Soma waraka unasemaje kuhusu umalaya wa Mbowe

waraka :Mpinzaniwetu ni mgumu sana katika kuchangamana na makundi yote ambapo vijana humwonakama si mwenzao kiumri na kifedha, wanawake humwona kama malaya anayependakutumia miili yao kujistarehesha wakati wazee humwona kama mtu anayedhalilishahata nafasi aliyopewa kwa kufanya uhuni waziwazi hata kuvunja ndoa si ya kwaketu bali hata za watu wengine

Halafu waraka huo ambao umemkemea jemedari kwa tabia mbaya unatoa tafsiri tofuati ya umalaya kwa yule 'tunayemtaka' soma hapa

waraka : Katika taasisi zetuhizi ni muhimu sana kuepuka kufanya mambo yote wazi wazi hata kama ni mema amani haki ya mhusika ama si makosa katika jamii tuliyomo. Kuna mambo ambayo nihaki ya mtu mfano mahusiano binafsi ya kimapenzi, kuwa na marafiki wa damukutoka upande mwingine wa utawala, nk. Lakini mambo hayo ni muhimu wakatimwingine ama kwa kiwango fulani yakafanywa kwa siri kuepuka mitazamo potofu kwaunaowaongoza''

Kwamba jemedari alifanya umalaya ni kosa, tunayemtaka akifanya umalaya uwe kwa siri. Hili linaonyesha jinsi gani waraka ulivyoandaliwa hovyo, ulivyokosa maono na ulivyokuwa na nia mbaya.
Sisi tunaouangalia kwa contents, context na intent tumeona hilo, ukitanguliza hisia, mapenzi na mahahba hata kama utausoma waraka miaka 10 hutaweza kuona mambo kama haya Kwanza suala la kuwa honest katika ndoa ni la mtu binafsi. Hata hivyo tukilizungumzia kwa waraka nashangaa kwasababu hao waandika waraka mbona hiyo honest, na uaminifu hawana! Nasema kuwa aliye msafi na achukue jiwe awe wa kwanza kumponda'mzinifu'
Pasco naona hilo tuliache maana tutaandika na ku cross line.

Hivi unadhani maneno haya katika waraka yalikuwa na maana gani?
:Katika taasisi zetuhizi ni muhimu sana kuepuka kufanya mambo yote wazi wazi hata kama ni mema amani haki ya mhusika ama si makosa katika jamii tuliyomo. Kuna mambo ambayo nihaki ya mtu mfano mahusiano binafsi ya kimapenzi, kuwa na marafiki wa damukutoka upande mwingine wa utawala, nk. Lakini mambo hayo ni muhimu wakatimwingine ama kwa kiwango fulani yakafanywa kwa siri kuepuka mitazamo potofu kwaunaowaongoza''

Suala la waraka kutokuwa wa public consumption nimelieza kwa uwazi na undani.
Waraka ulishaingizwa katika public domain kabla ya kukamatwa. Soma uzi hapo juu ujiridhishe.

Mwigamba kasema wazi, viongozi wa wilayani walikuwa wanamwelewa akimaanisha kazi ya kueleza waraka ambao yeye alikuwa nao ilishafanyika.

Narudi tena na tena waraka haukuwa siri ulishakuwa katika public.
Kwa anayekataa basi ajibu bandiko langu akionyesha kuwa maneno ya Hammy-D na Mkulima masikini yalifanana na ya waraka kwa bahati mbaya

Kama hakuna anayeza kuthibitisha kama nilivyofanya suala hili la waraka wa siri lifike mwisho isipokuwa tu kwa yule atakayekuwa ameamua kugoma kuelewa.
Mkuu Nguruvi3, kwanza asante kwa uchambuzi wa kina, nakubaliana na wewe suala la umalaya tuliache, ila waraka kwa upand wa MM haukumaanisha umalaya wa mapenzi ya ile starehe ya wanawake kwa sababu MM bado ni bachelor, hata akitanga tanga ni katika kusaka mchumba, japo nimemnote wakati wote wa kesi, alitulia na his first love ya alipokuwa UDSM na nikimuona nitamshauri aone tuu ili kutulizana!.

Ushauri wa waraka kumhusu MM ni ni ule uswahiba wake na kina Zoka na watu wa CCM!.

Sikubaliani kabisa kuziunganisha hoja za Hamy D na waraka, that was just a coincidence!.

Hebu nisome hapa kwa makini katika uzi wangu huu [h=3]CCM Imechokwa; CHADEMA Haijajipanga! - Jamii Forums
Huu uzi, niliupandisha tarehe 13 November, 2010
na hivi ndivyo nilivyosema kuhusu CCM na Chadema[/h]
Wanabodi,
Nikiwa hapa Dom, nimebahatika kukutana baadhi ya wabunge wapya wa CCM na wa kambi ya upinzani, kujaribu kufahamiana, sio siri, baadhi yao hawana hata substance ya ni nini kilichowafanya washinde, na kwa viti maalum ndio usiseme kabisa!, wengi wao kama si makapi tuu, basi ni vidumu, basi ni kwa ajili ya kutoa huduma na kibinaadamu!, na hili litathibitishwa na michango yao kikao cha Januari.
Kwa hiyo hapa mimi nilikijua "kidumu" tangu 2010?,

Nasisitiza CCM imechokwa, na ule ushindi wa kishindo wa toka Asilimia 80% mpaka asilimia 60% ni uthibitisho tosha, Watanzania wameichoka CCM ila pia hawakuwachagua wapinzani kwa wingi zaidi, kwa sababu wapinzani hawajaonyesha wako tayari kukamata dola.

Najua kwa dhati, japo JK anafurahia ushindi kwa furaha ya machoni, lazima atakuwa na huzuni moyoni kwa kukataliwa na hiyo asilimia 20% kukataliwa ni kukataliwa tuu, kunauma. Hivyo CCM lazima watakaa na kujiuliza kulikoni, huenda wakajipanga upya na kuja kwa mbinu mpya,
Baada tuu ya thread hii haikupita muda CCM wakukaa na kujuiliza kulikoni?, nijidai kuwa CCM waliamua kujiuliza baada ya kusoma JF?. Sasa soma hiki nilichoishauri CCM,
Dawa pekee ya kuitibu CCM, ni kuirevamp CCM completely, task nambari moja ni Makamba should go first with his old guards team. Msisubiri mpaka uchaguzi mkuu wa chama chenu, miaka miwili ijayo (2012), itakuwa too late. If you are to do anything, do it now and fast!. Leteni fresh blood kina January type, Kippi, Nape type and the like ambao wanaweza siasa za kisasa za dot com type.
Baada ya muda sii mrefu, Makamba alipigwa chini, wakamleta Nape, na January!, Jee nichukue credit kuwa CCM wamefuata ushauri wangu?!. Au angalia hapa nimesema nini kuhusu Chadema

Hakuna ubishi, Chadema imenyanyuka, toka wabunge 5 mpaka 22 wa kuchaguliwa tena majimbo ya haja, huku sio kukua bali ni kupaa, tatizo kubwa la Chadema, bado hawajipanga.

Kichama, wanachadema mkubali msikubali, chama chenu japo kipo juu, lakini bado hamjajipanga kwa sura ya kitaifa.
Kwa vile CCM imekaa mkao wa kifo, hii ndio opportunity yenu kujipanga muwe na sura ya kitaifa, Watanzania wawamini wawakabidhi nchi mwaka 2015.

Kwanza Freeman Mbowe, ajiuzulu uenyekiti, ampishe Dr. Slaa kwenye Usukani, Katibu Mkuu mpeni Zitto, hii itaifuta ile dhana ya nepotisim kwenye chama chenu, ili Walioichoka CCM wawafungulie mikono kwa kujitokeza kuwapigia kura 2015.
Nilishauri Freeman aachie, hapa waraka unataka kumng'oa, unaweza pia ukadai niliujua waraka toka 2010?!. All that was only a mere coincidence!.

Sehemu ambayo sitakubaliana kabisa na wewe ni "the motive behind waraka", the manner, and the intent, wewe unasisitiza ule ulikuwa ni uhaini, with ill motive kuivuruga Chadema na ulipangwa kutekelezwa kwa kufanya mapinduzi!.

Mimi nasisitiza waraka haukuwa uhaini, ulipanga in good faith, kuisaidia Chadema kupata jemedari bora kuliko aliyepo kwa nia ya kuimarisha Chadema, mpango mzima ulikuwa ni creation ya "a new wining coalition" ili kupata viongozi bora kupitia the normal electoral process ya uchaguzi wa ndani wa Chadema!.

Kwa msimamo huu, nitaendelea kuamini we have both take sides, you've taken the sides of the wrong notion kuhusu waraka, na mimi naamini ndiye nasimama kwenye true values za ule waraka, kwa maana hiyo tutaendelea kuwa paralell,
hivyo nashauri tukubaliane kutokukubaliana, kila mtu ashikilie msimamo wake, ila siku zote, ukweli hua ndio unaosimama, na utakao simama mpaka mwisho!.

Kama ni ukweli waraka ni uhaini, then, kina Kitila, Mwigamba na Zitto, wamehukumiwa kwa haki, na baada ya kuwatimua wahaini hawa, Chadema itakuwa safi, imara zaidi na itachukua dola 2015!.

Kama hawakuhumiwa kwa haki, "the law of the karma" will take charge na kuishukia Chadema, zitatembea bakora, watenda maovu lazima waadhibiwe tena hapa hapa duniani, na 2015, ikulu watafanya kuisikia tuu kwenye bomba!.

Thanks for a good thread, fikirishi!.

Pasco
 
Mkuu Kimweri , Kwa muda sasa nimewauliza wanajamvi hasa Mkandara na Pasco ambao wanahoja kama yako swali moja, Waraka uliandikwa lini?So far hakuna jibu, iliyopo ni hoja ya waraka ulikuwa wa watu wawili Mwigamba na Kitila.

Nimewahi kuweka mazingira ya kuonyesha waraka uliandikwa kati kati ya June 2013 na kwamba utekelezaji ulikuwa katika hatua za juu. Ili kuthibitisha maneno yangu na kuwathibitishieni kuwa waraka haukuwa siri na ulikuwa katika public domain nitaweka thread mjionee.

Kimweri umesema waraka haukuwa kwa ajili ya Public consumption, mimi nasema Public ilikuwa ina consume waraka.Soma haya.JULY 2013Wakuu maneno hayo yaliandikwa katika mtandao wa JF. Sijui kama mnahitaji ushawishi zaidi kuwa waraka ulikuwa kwa public consumption na public ishaanza ku-consume vema tu na wa;a haikuwa siri tena.

Someni haya ili kujiridhisha au kukanusha kama ninachosema si kweli
OCTOBER 2013 Kabla ya waraka kunaswa
Mkulima masikini ni Mwigamba aliyekamatwa na waraka.
Maneno hayo ambayo ni neno kwa neno kutoka katika waraka yamewekwa hadharani hapa JF.

OCTOBER 19 2013 Ili kutibitisha kuwa mtandao uliozungumziwa katika waraka umekamilka na uliwa kazini Mwigamba akaandika maneno haya Nawaomba hoja zenu kama ninachokisema ni sahihi au la.
Nasisitiza tena, maneno hayo yaliyomo katika waraka yalishatolewa katika public domain kwa utthibitisho huo hapo juu na kwamba waraka haukuwa siri. Hapo ndipo hoja ya 'intent' inapoingia kuwa hizikuwa kampeni ilikuwa uharibifu uliofungwa katika kasha zuri na kuandikwa mkakati.

Wakuu kama hamtaweza kuja na hoja tofauti kwa uthibitisho basi tufunge pazia na kukubaliana neno 'waraka haukuwa siri' ulishavuja kwa makusudi katika jamii.

[/SIZE]

Mkuu nakubaliana na wewe kwa asilimia kubwa, lakini kuna kitu cha msingi sana "we have to set the record straight here". It's very easy to connect the dots backwards. Kama Pasco alivyoainisha huko nyuma, yaliyokuwemo kwenye waraka ni mambo yaliyokuwepo kwenye public domain, actually Kitila and Team can even come out and say that, they were just compiling public domain's temperament.Of which even Pasco can become part of "muandika Waraka".Tuhuma nyingi zilizokuwemo kwenye waraka zinavunja hoja ya waandika waraka kuvujisha siri za vikao vya Chama, kwani Lawama kubwa wanayopewa ni kutoyapeleka haya mambo kwa chama kuyajadili, sasa watavujisha vipi siri za kikao ambacho wanatuhumiwa kutojadili content?Ukitazama kwa makini, na ukiusoma waraka, ukitazama reaction ya viongozi wa CDM sasa hivi, utagundua kuwa yaliyokuwemo kwenye Waraka ni hadithi za kumfunga paka kengele, hakuna aliyekuwa tayari kufanya hivyo, lakini kila mmoja wao kwa umoja wake alikuwa anayafahamu.waandika waraka walipata tu "half-courage" ya kuyaweka wazi.lakini hata wao wameonesha ni jinsi gani waliyokuwa wanayaandika yalikuwa Taboo, kiasi kwamba hayakutakiwa kusemwa na kiongozi wa chama hadharani, hence, matumizi ya pseudonyms na waraka kuwa siri.

Ukitazama kwa makini unagundua kuwa hauwezi kuwatuhumu kwa kuvujisha siri."siri" hizi hazikujadiliwa kwenye vikao.Pia huwezi kuwatuhumu kwa kuandaa uzushi,kuwashambulia viongozi wenzao.Waliyoyaandika hayakuwa mapya,kila mtu aliyafahamu.yalikuwa kwenye public domain siku mingi tu.Pasco shadihi wa hayo.Nani asiyejua Mbowe ni Tajiri mkubwa?nani asiyejua Mbowe na slaa wana mahusiano na wabunge wa viti maaalum?Nani asiyejua Mbowe hana international Exposure?

Ndio maana naendelea kusema, kama CDM wangekuwa na Busara wasingeuweka waraka kuwa public, kwani kwa kufanya hivyo wametuonesha kuwa demokrasia ndani ya Chadema ni Demokrasia yenye mapungufu makubwa.

Siwatetei kina Mwigamba moja kwa moja, lakini Viongozi wa CDM wana makosa makubwa kwenye hili, wao walishika Mpini, wao ndio walikuwa kwenye position ya make or break, and they choose to break, thinking kuwa the public will trust the same people over again.what i have learnt over the years ni kuwa Tanzanians lose their trust fast the same way they gain it.that's why CCM "A" game has always been to tarnish anyone with a squeeky clean image to the public.
 
Itakuwa ni ajabu kweli kuchukua mitazamo ya wananchi au wana JF kuhusu mambo mbali mbali yanayotokea katika nchi hii yetu kama ushahidi wa kujua ni lini waraka umeandikwa. MATHALANI NINAWEZA KUTAFUTA POSTS NYINGI SANA HAPA JF TOKA MWAKA 2006 , ZINAZOZUNGUMZIA MAMBO AMBAYO YANAFANANA NA YALE YALIYOMO KWENYE WARAKA NA NIKAYAPATA, HII HAINA MAANA WARAKA ULIANDIKWA MWAKA 2006!!!.

Nguruvi ametoa ID ya member mmoja kwa jina la Hammy-D. Sijui kama anamfahamu huyo Hammy-D ni nani, isije ikawa kwa sababu Hammy-D ana mitizamo tofauti dhidi ya Chadema moja kwa moja mtu akaconclude kuwa Hammy-D ni mmoja wapo katika kundi la kina Kitila, Je vipi kuhusu Ritz, FaizaFoxy, Simiyu Yetu, je nao ni wana waraka?.

Kitu kingine ni kwamba, kuna tofauti kati ya Waraka as a document, na Mawazo ya mtu yanayopelekea kuunda waraka, bila shaka Muunda waraka atakuwa na mtizamo wa kisiasa unaoendana na yale yaliyomo kwenye waraka. KWA HIVYO BASI NI DHAHIRI NA NI RAHISI MTU MWENYE MTIZAMO FULANI AKATOA MAONI YAKE KWA NJIA NYINGINE KABLA HATA YA KUUWEKA MTIZAMO WAKE KATIKA WARAKA!. Ninaamini Kama Tungepata kufahamu ID zote alizokuwa akitumia Mwigamba au Kitila katika mitandao ya jamii (Achilia mbali ID ya Masikini Mkulima ambayo Mwigamba alikiri kuwa ni yake) bila shaka tungeona kabisa kwamba maoni yake yanaakisi kiasi kikubwa yale yaliyomo katika waraka. HII HAIMAANISHI KWAMBA TAYARI WARAKA USHAEXIST. KWA HIYO NI VIGUMU KUJUA EXACTLY WARAKA ULIANDIKWA LINI, MPAKA WAO WENYEWE KINA MWIGAMBA WATUELEZE!.

Kuna Thread humu ndani ilikuwa ikiitwa "Chadema Must Reform" ilianzishwa na Rev Kishoka, mle ndani kuna michango mingi sana ya wana JF ambayo baadhi ya michango yake inaakisi mambo yaliyomo kwenye waraka!.

Kuna Waraka wa Marehemu Chacha Wangwe, mle ndani kuna mambo yanayoendana na yale yaliyomo kwenye Waraka wa kina Mwigamba, Je Waraka wa kina Mwigamba ulianza kuandikwa tokea enzi za Chacha na kumalizwa kuandikwa mwaka 2013?.

Na pia ni vigumu kujua kwamba Waraka uliandikwa siku moja, au katika mlolongo wa siku n.k
Ndiyo Maana Zakumi akasema, WARAKA Iikuwa ni njia ya kuyaweka katika maandishi malengo ya watu wenye dhamira fulani.

Waraka ule Hauna tatizo, Tatizo ni Ruzuku za chama, ni ukosefu wa dira wa Mwenyekiti, ni ukosefu wa maadili wa mwenyekiti pamoja na exposure, ni kushindwa kukifanya chama kuwa cha hoja badala ya matukio, hizo ndizo ishu za kudiscuss, Waraka is just a vision put on the paper!!. Kina Kitila walikuwa smart enough kujua kuwa the establishment will try to extinguish the fire of change, na badala yake itatumia advantage ya power ili kuendeleza status quo. ndiyo maana the like minded wakaja na plan, plan ambayo imekuwa aligned katika misingi ya chama ili kutafuta ushawishi ndani ya chama na hatimaye kukirudisha/kukiweka chama katika msitari, na haya yangefanyika katika uchaguzi ndani ya chama.

Mwenyekiti amekuwa muoga bila sababu na kwa bahati mbaya saga hii imemuharibia Mwenyekiti kisiasa na pia kukiyumbisha chama sana. ndiyo maana hatimaye wanatumia bilioni Moja kukodi madege kwa kampeni ya wiki moja, wakati hawana Ofisi nzuri na bora mikoana, hawana vitendea kazi vya kutosha kama magari ya chama,computer, fenicha etc. Kiufupi ni kwamba wangeboresha vitu hivyo wangeweza kuwafikia watu wengi sana na kwa muda mrefu ujao, badala ya hii populist measure ya helicopters!. Tazama hata makao makuu yenyewe hayaendani na hadhi ya Chama kikuu cha upinzani kinachotaka kushika dola!
 
Jamani mbona mnahamisha goli kila wakati?
Nimeweka maneno ya wahusika nikilinganisha na waraka neno kwa neno.
Ni sehemu tu, laiti kama mnekwenda mbali zaidi msingeweza kusema ni 'concidence'.

Pili, nimeweka waraka wa Mwigamba kama ' masikini mkulima' neno kwa neno nikinukuu hata tarehe. Hili hamsemi ni coincidence hata kidogo. Hamkanushi kwasababu hakuna mahali pa kuhamishia goli.

Ninashindwa kuelewa kwasababu nikiwauliza waraka umeandikwa lini, wenzangu hamna majibu. Nikiwaonyesha umeandikwa lini mnakataa na kuhamisha goli.
Please hebu tujaribu kuwa honest.
Mimi sipo kutetea mtu au watu nipo kuweka haya mambo wazi kabisa.

Pasco na Gamba la Nyoka, nilete ID nyingine ambayo ina maneno kama hayo tena?
Nilishafanya homework yangu vizuri na kujiridhisha.


Pasco soma tena maneno yafauatayo maana unahamisha goli tena. Waraka umemuusia MM hata kama anajihusisha na mapenzi iwe kwa siri. Soma

Katika taasisi zetuhizi ni muhimu sana kuepuka kufanya mambo yote wazi wazi hata kama ni mema amani haki ya mhusika ama si makosa katika jamii tuliyomo.

Kuna mambo ambayo nihaki ya mtu mfano mahusiano binafsi ya kimapenzi, kuwa na marafiki wa damukutoka upande mwingine wa utawala, nk. Lakini mambo hayo ni muhimu wakatimwingine ama kwa kiwango fulani yakafanywa kwa siri kuepuka mitazamo potofu kwaunaowaongoza''

Waraka unamuasa MM akifanya mapenzi iwe siri, halafu waraka huo huo unalaani mapenzi kwa wengine na kuita umalaya.Uniambie waraka huo ulikuwa wa kisiasa na kwa lengo la kisiasa! Too low, abysmal, poor and shame!!

Unapokataa kuwa waraka haukusema jinsi ya kuhifadhi umalaya kwa MM unahamisha goli.
Naomba tuishie hapa kwa suala hilo, likijadiliwa kwa uwazi litaleta matatizo katika nyumba za watu.


 
Jamani mbona mnahamisha goli kila wakati?
Nimeweka maneno ya wahusika nikilinganisha na waraka neno kwa neno.
Ni sehemu tu, laiti kama mnekwenda mbali zaidi msingeweza kusema ni 'concidence'.

Pili, nimeweka waraka wa Mwigamba kama ' masikini mkulima' neno kwa neno nikinukuu hata tarehe. Hili hamsemi ni coincidence hata kidogo. Hamkanushi kwasababu hakuna mahali pa kuhamishia goli.

Ninashindwa kuelewa kwasababu nikiwauliza waraka umeandikwa lini, wenzangu hamna majibu. Nikiwaonyesha umeandikwa lini mnakataa na kuhamisha goli.
Please hebu tujaribu kuwa honest.
Mimi sipo kutetea mtu au watu nipo kuweka haya mambo wazi kabisa.

Pasco na Gamba la Nyoka, nilete ID nyingine ambayo ina maneno kama hayo tena?
Nilishafanya homework yangu vizuri na kujiridhisha.


Pasco soma tena maneno yafauatayo maana unahamisha goli tena. Waraka umemuusia MM hata kama anajihusisha na mapenzi iwe kwa siri. Soma

Katika taasisi zetuhizi ni muhimu sana kuepuka kufanya mambo yote wazi wazi hata kama ni mema amani haki ya mhusika ama si makosa katika jamii tuliyomo.

Kuna mambo ambayo nihaki ya mtu mfano mahusiano binafsi ya kimapenzi, kuwa na marafiki wa damukutoka upande mwingine wa utawala, nk. Lakini mambo hayo ni muhimu wakatimwingine ama kwa kiwango fulani yakafanywa kwa siri kuepuka mitazamo potofu kwaunaowaongoza''

Waraka unamuasa MM akifanya mapenzi iwe siri, halafu waraka huo huo unalaani mapenzi kwa wengine na kuita umalaya.Uniambie waraka huo ulikuwa wa kisiasa na kwa lengo la kisiasa! Too low, abysmal, poor and shame!!

Unapokataa kuwa waraka haukusema jinsi ya kuhifadhi umalaya kwa MM unahamisha goli.
Naomba tuishie hapa kwa suala hilo, likijadiliwa kwa uwazi litaleta matatizo katika nyumba za watu.
Mkuu Nguruvi3, sijahamisha goli, nilichosema malaya ni yule mwenye ndoa yake akaenda nje!, they were very right kumuita hivyo walivyomuita!. MM kwa vile hana any commitment, akipita pita ni justified kuwa ni ndege anayeruka ruka kutafuta pa kutua!. Ndege mwenye tundu lake, akiendelea kuputapita ni kutangatanga!.

Pasco.
 
Mkuu Nguruvi3, sijahamisha goli, nilichosema malaya ni yule mwenye ndoa yake akaenda nje!, they were very right kumuita hivyo walivyomuita!. MM kwa vile hana any commitment, akipita pita ni justified kuwa ni ndege anayeruka ruka kutafuta pa kutua!. Ndege mwenye tundu lake, akiendelea kuputapita ni kutangatanga!.
Pasco.
Bado unahamisha goli, endapo hoja ya umalaya inahusishwa na uongozi wa chama, kwanini hoja ya mapenzi kwa 'tunayemtaka' ipewe uhalali tukijua itahusishwa na chama pia.

The bottom line ni kuwa mapenzi na uongozi havijengi taswira nzuri kwa mujibu wa waraka regardless nani anafanya hivyo. Double standards zina matatizo na ndicho chanzo cha kusema waraka ni too low, haukuandikwa kama muongozo wa kisiasa bali chuki za kujenga uhalali fulani.
 
Itakuwa ni ajabu kweli kuchukua mitazamo ya wananchi au wana JF kuhusu mambo mbali mbali yanayotokea katika nchi hii yetu kama ushahidi wa kujua ni lini waraka umeandikwa. MATHALANI NINAWEZA KUTAFUTA POSTS NYINGI SANA HAPA JF TOKA MWAKA 2006 , ZINAZOZUNGUMZIA MAMBO AMBAYO YANAFANANA NA YALE YALIYOMO KWENYE WARAKA NA NIKAYAPATA, HII HAINA MAANA WARAKA ULIANDIKWA MWAKA 2006!!!.

Nguruvi ametoa ID ya member mmoja kwa jina la Hammy-D. Sijui kama anamfahamu huyo Hammy-D ni nani, isije ikawa kwa sababu Hammy-D ana mitizamo tofauti dhidi ya Chadema moja kwa moja mtu akaconclude kuwa Hammy-D ni mmoja wapo katika kundi la kina Kitila, Je vipi kuhusu Ritz, FaizaFoxy, Simiyu Yetu, je nao ni wana waraka?.

Kitu kingine ni kwamba, kuna tofauti kati ya Waraka as a document, na Mawazo ya mtu yanayopelekea kuunda waraka, bila shaka Muunda waraka atakuwa na mtizamo wa kisiasa unaoendana na yale yaliyomo kwenye waraka. KWA HIVYO BASI NI DHAHIRI NA NI RAHISI MTU MWENYE MTIZAMO FULANI AKATOA MAONI YAKE KWA NJIA NYINGINE KABLA HATA YA KUUWEKA MTIZAMO WAKE KATIKA WARAKA!. Ninaamini Kama Tungepata kufahamu ID zote alizokuwa akitumia Mwigamba au Kitila katika mitandao ya jamii (Achilia mbali ID ya Masikini Mkulima ambayo Mwigamba alikiri kuwa ni yake) bila shaka tungeona kabisa kwamba maoni yake yanaakisi kiasi kikubwa yale yaliyomo katika waraka. HII HAIMAANISHI KWAMBA TAYARI WARAKA USHAEXIST. KWA HIYO NI VIGUMU KUJUA EXACTLY WARAKA ULIANDIKWA LINI, MPAKA WAO WENYEWE KINA MWIGAMBA WATUELEZE!.

Kuna Thread humu ndani ilikuwa ikiitwa "Chadema Must Reform" ilianzishwa na Rev Kishoka, mle ndani kuna michango mingi sana ya wana JF ambayo baadhi ya michango yake inaakisi mambo yaliyomo kwenye waraka!.

Kuna Waraka wa Marehemu Chacha Wangwe, mle ndani kuna mambo yanayoendana na yale yaliyomo kwenye Waraka wa kina Mwigamba, Je Waraka wa kina Mwigamba ulianza kuandikwa tokea enzi za Chacha na kumalizwa kuandikwa mwaka 2013?.

Na pia ni vigumu kujua kwamba Waraka uliandikwa siku moja, au katika mlolongo wa siku n.k
Ndiyo Maana Zakumi akasema, WARAKA Iikuwa ni njia ya kuyaweka katika maandishi malengo ya watu wenye dhamira fulani.

Waraka ule Hauna tatizo, Tatizo ni Ruzuku za chama, ni ukosefu wa dira wa Mwenyekiti, ni ukosefu wa maadili wa mwenyekiti pamoja na exposure, ni kushindwa kukifanya chama kuwa cha hoja badala ya matukio, hizo ndizo ishu za kudiscuss, Waraka is just a vision put on the paper!!. Kina Kitila walikuwa smart enough kujua kuwa the establishment will try to extinguish the fire of change, na badala yake itatumia advantage ya power ili kuendeleza status quo. ndiyo maana the like minded wakaja na plan, plan ambayo imekuwa aligned katika misingi ya chama ili kutafuta ushawishi ndani ya chama na hatimaye kukirudisha/kukiweka chama katika msitari, na haya yangefanyika katika uchaguzi ndani ya chama.

Mwenyekiti amekuwa muoga bila sababu na kwa bahati mbaya saga hii imemuharibia Mwenyekiti kisiasa na pia kukiyumbisha chama sana. ndiyo maana hatimaye wanatumia bilioni Moja kukodi madege kwa kampeni ya wiki moja, wakati hawana Ofisi nzuri na bora mikoana, hawana vitendea kazi vya kutosha kama magari ya chama,computer, fenicha etc. Kiufupi ni kwamba wangeboresha vitu hivyo wangeweza kuwafikia watu wengi sana na kwa muda mrefu ujao, badala ya hii populist measure ya helicopters!. Tazama hata makao makuu yenyewe hayaendani na hadhi ya Chama kikuu cha upinzani kinachotaka kushika dola!
Sasa kama hujui waraka uliandikwa lini unapataje courage ya kusema waraka ulikuwa ni siri na haukuingia katika public domain. Unawezaje kutetea hilo ukijua hujui waraka uliandikwa lini.

Pili, kufanana kwa mawazo ni tofauti na kufanana kwa neno kwa neno.
Nimeonyesha kuwa mawazo yanaweza kushabihiana lakini uwasilisha wa mawazo hayo huwa na tofauti.Kwa msingi huo nimenukuu neno hadi neno ili kutotoa nafasi ya ninyi kuleta sababu kama hizi za sasa hivi. Mnahamisha goli.

Tatu, Unesena maneno haya ''Waraka ule Hauna tatizo, Tatizo ni Ruzuku za chama, ni ukosefu wa dira wa Mwenyekiti, ni ukosefu wa maadili wa mwenyekiti pamoja na exposure, ni kushindwa kukifanya chama kuwa cha hoja badala ya matukio, hizo ndizo ishu za kudiscuss''

Nashangaa kwasababu ni nyie nyie mnaosema CDM imekuwa ya watu fulani tu.
Well, sina uhakika na hilo ninachokiona ni kuwa uhalali wa watu hao mnautoa ninyi kama unavyosemeka hapo juu.

Mwenyekiti ni kiongozi tu wa kuratibu shughuli za taasisi.
CDM kama taasisi haipaswi kusubiri na kumtumai Mbowe aandike dira,vision au atende maadili.
Yeye ni mtu na si taasisi na kumtegemea kama mtu ni yale yale mnaoyakataa kuhusu CDM kuhodhiwa na watu.

Katika kutafuta utetezi mnajikuta katika kujichanganya. Leo Mbowe ni tatizo kwasababu anahodhi chama, that being said and done tunasoma tena maoni ya watu kuhusu CDM kukosa dira na maadili kwasababu ya Mbowe. Where is your position, mtahamisha magoli hadi lini.

 
Nguruvi unazungumzia sana Context katika hoja yako kwamba ni mojawapo ya kigezo cha uchambuzi wako juu ya mada hii.
Tukirudi katika context juu ya suala la umalaya versus mahusiano binafsi. Ni nini context ya maneno hayo.

Tukiangalia Mwenyekiti yeye ana ndoa, ana commitment ya kisheria (kiapo cha ndoa), kwa vyovyote hata akitembea na mtu mmoja tu nje ya ndoa amevunja commitment NA KWA SHERIA ZETU ZA NDOA AKIKAMATWA UGONI ANA KESI YA KUJIBU MAHAKAMNI KWA SABABU UGONI NI KINYUME CHA SHERIA!.

Tukiachilia mbali hilo, NINAAMINI M1, NA M3 WANAWAJUA VIZURI SANA KUHUSU MM PAMOJA NA MWENYEKITI, BILA SHAKA WANAJUA VIDOSHO VYA MWENYEKITI NA VIDOSHO VYA MM, NASHAWISHIKA KUSEMA MAHUSIANO BINAFSI YA MM HAYAJAFIKIA LEVEL YA KUITWA MALAYA!!!. LAU KAMA MIMI NA WEWE NGURUVI HATUJUI UNDANI WA KUHUSU HILO BASI MWIGAMBA ANAWEZA KUTUFAHAMISHA!!.

Ila ni dhahiri, kuchezea wanawake ovyoovyo siyo jambo jema na la kujivunia, AKINA M1 NA M3 WAMELIONA HILO NA WAMETAMBUA UMUHIMU WA KIONGOZI MKUU KUWA CLEAN, NA KWAO USAFI WA MAADILI WA KIONGOZI MKUU NI MOJAWAPO WA NYENZO YA KUIFANYA TAASISI IAMINIKE, IKUBALIKE (KUNA WATANZANIA WANAPIGA KURA KWA KUANGALIA MISINGI YA MAADILI YA VIONGOZI WANAOOMBA KURA).

Sasa tusiwalaumu Kina M3 na M1 kwa hoja yao hiyo, bali sisi kama Great thinkers ni lazima tuwajibu kwa hoja. HOJA KAIKA KIPENGELE HIKI NI MAADILI YA VIONGOZI , JE UMALAYA NI ISHU AU SIYO ISHU. HILI NDO JAMBO LA KUANGALIA BADALA YA KUANGALIA NANI KAITWA MALAYA NA NANI HAJAITWA!. BY THE WAY KUNA USHAHIDI WA KUTOSHA KATIKA WARAKA MAPUNGUFU YA MM YAKITAJWA WAZIWAZI, BILA SHAKA HATA MM HAKUPENDA ALIVYOANIKWA MLE!!

Ni lazima tuangalie Moyo wa waraka, Moyo wa waraka ni Kufanya "Mabadiriko chanya kwa Kubadili Uongozi wa juu, kuondoa mambo ya bussiness as usual, na kukirudisha chama katika katiba,Taswira njema mbele ya umma, nidhamu ya matumizi, na kukipa nguvu ya hoja".

Unaweza kudhani kuwa kina Mwigamba walikusudia kumtukana Mwenyekiti kwa kumuita Malaya, lakini Infact huenda walikuwa wanasema kweli!. NA BILA SHAKA HILO LIKAWA LINAWAKERA KWELI KWELI KINA MWIGAMBA KWA KUWA WANAAMINI HILO LINAHARIBU TASWIRA YA CHAMA MBELE YA UMMA NA HIVYO KUCHELEWESHA UKOMBOZI!. tuliangalie hilo katika context ya Hoja badala ya context ya Matusi ambayo naamini hawakukusudia hivyo!
 
Mkuu nakubaliana na wewe kwa asilimia kubwa, lakini kuna kitu cha msingi sana "we have to set the record straight here". It's very easy to connect the dots backwards. Kama Pasco alivyoainisha huko nyuma, yaliyokuwemo kwenye waraka ni mambo yaliyokuwepo kwenye public domain, actually Kitila and Team can even come out and say that, they were just compiling public domain's temperament.Of which even Pasco can become part of "muandika Waraka".Tuhuma nyingi zilizokuwemo kwenye waraka zinavunja hoja ya waandika waraka kuvujisha siri za vikao vya Chama, kwani Lawama kubwa wanayopewa ni kutoyapeleka haya mambo kwa chama kuyajadili, sasa watavujisha vipi siri za kikao ambacho wanatuhumiwa kutojadili content?

Ukitazama kwa makini, na ukiusoma waraka, ukitazama reaction ya viongozi wa CDM sasa hivi, utagundua kuwa yaliyokuwemo kwenye Waraka ni hadithi za kumfunga paka kengele, hakuna aliyekuwa tayari kufanya hivyo, lakini kila mmoja wao kwa umoja wake alikuwa anayafahamu.

waandika waraka walipata tu "half-courage" ya kuyaweka wazi.
lakini hata wao wameonesha ni jinsi gani waliyokuwa wanayaandika yalikuwa Taboo, kiasi kwamba hayakutakiwa kusemwa na kiongozi wa chama hadharani, hence, matumizi ya pseudonyms na waraka kuwa siri.

Ukitazama kwa makini unagundua kuwa hauwezi kuwatuhumu kwa kuvujisha siri."siri" hizi hazikujadiliwa kwenye vikao.Pia huwezi kuwatuhumu kwa kuandaa uzushi,kuwashambulia viongozi wenzao.Waliyoyaandika hayakuwa mapya,kila mtu aliyafahamu.yalikuwa kwenye public domain siku mingi tu.Pasco shadihi wa hayo.Nani asiyejua Mbowe ni Tajiri mkubwa?nani asiyejua Mbowe na slaa wana mahusiano na wabunge wa viti maaalum?Nani asiyejua Mbowe hana international Exposure?

Ndio maana naendelea kusema, kama CDM wangekuwa na Busara wasingeuweka waraka kuwa public, kwani kwa kufanya hivyo wametuonesha kuwa demokrasia ndani ya Chadema ni Demokrasia yenye mapungufu makubwa.

Siwatetei kina Mwigamba moja kwa moja, lakini Viongozi wa CDM wana makosa makubwa kwenye hili, wao walishika Mpini, wao ndio walikuwa kwenye position ya make or break, and they choose to break, thinking kuwa the public will trust the same people over again.what i have learnt over the years ni kuwa Tanzanians lose their trust fast the same way they gain it.that's why CCM "A" game has always been to tarnish anyone with a squeeky clean image to the public.
Mkuu Kimweri , hoja yangu kwa upande wa kuvujisha siri za vikao imejikita kwa Mwigamba ambaye ni mshiriki mkubwa wa waraka. Wakati Laptop inakamatwa Mwigamba alikuwa ana post habari za kikao. Sijui hilo ni jema !

Umeleta point nzuri sana kuhusu kumfunga paka kengele, half courage na taboo kwa waandika waraka.
Hili ndilo nimekuwa nalisema kilas siku kuwa waandika waraka hawakuwa tayari kuleta mageuzi ya kweli ndani ya CDM

Ingalikuwa hivyo wangefanya yafuatayo
1. Kupeleka katika vikako, wakikataliwa watoke nje wakiwa na ushahidi wa kuzuiwa kusema
2. Kujiuzulu nafasi zao ili wasiwe panya bali simba wa kumfunga paka kengele.
3. Kutumia mikutano kusema wanachodhani si sahihi bila kujali hatma.
Leo wangekuwa mashujaa

Walichokosea
Kuingia katika vikao wasivyo viamini na kufikia maamuzi wasiokubaliana nayo huku wakiwa na vikao vyao. Walikuwa wanafanya u-spy badala ya kuchochea mabadiliko wakiwa viongozi.
Si kwamba ni unafiki bali ni upungufu mkubwa wa uongozi.
Kiongozi haongozi kutokea uani, anatangulia akibainisha misimamo,wapi anadhani watu waelekee.

Kuhusu CC niliwahi kusema kuna maamuzi yalifanyika kwa jazba nika sema tatizo la kina ZZK ni la muda mrefu. Uongozi umeshindwa kumrejesha katika mstari kwasababu kuu mbili

1. Yeye ni sehemu ya uongozi na bado alikuwa anahitajika kwa CDM kwa mujibu wao
2. Kukosekana kwa ushahidi hata pale penye ushahidi na ZZK amekuwa anatumia hoja ya kugombea kama kinga.Sijui kama leo kuna mtu angeamini chochote kwa kusikia tu bila kuona.

Nilisema kabla ya CC kuwa independent organ ingekuwa na utulivu zaidi wa kulishughulikia tatizo kuliko wana CC kwasababu zifuatazo

1. Kuna watu wameguswa moja kwa moja si kwa hoja bali wingu la matusi.
Mbowe atajisikiaje akijua kuwa public ishaambiwa kuwa ana akili ndogo n.k.
Lema atajisikiaje akisikia kuwa yeye ni 'Kichaa wa Arusha'

2. Wajumbe wengine walihamaki kufahamu kuwa ndani yao wapo wenzao waliokuwa wanawaona kama mazezeta.Mipango ya maandamano inapangwa kumbe kuna sympathizers wa Polisi wanapoua au kujeruhi wanachama wao. Kwamba kuna watu wapo tayari kuuza wenzao kwasababu tu kuna 'tunayemtaka'

3. Kundi lililokasirishwa na ukweli kuwa hivi Kitila aliyepewa dhamana kubwa ya chama anaweza kuwa katika usaliti wa kiwango hicho. Nasema usaliti kwasababu hana sababu za kutoshauri chama chao. Kuna wengine wanasema this is too much, ZZK anahujumu chama kila wakati na anapewa pass, yeye ni nani na kwanini.

Matokeo ya hayo ni 'knee jerk reaction' ambayo inaweza kwenda either way.
Knee jerk reaction hutokea pasipokufahamu hapo ndipo tunaona glass zinavunjwa, fulani katandikwa ngumi n.k.

Ukweli kuwa hawa watu walikuwa wanakusanya concern za watu ingekuwa ni nzuri endapo wangesimama na kusema hadharani. Au pia wangejiuzulu nafasi zao na kubaki wakipanga mkakati wa uchaguzi, hilo ni jambo la kawaida kabisa. Lakini wakiwa viongozi na kuchukua hatua za half courage tena wakijificha ni udhaifu wa hali ya juu sana.

Kama mshauri wa chama na naibu katibu mkuu hawataweza kusimama na kuvunja taboo hadharani wanataka uongozi ili wafanye nini? Tayari kushindwa kuvunja taboo ni failure katika leadership 'tunayemtaka' angekuwa na ujasiri gani wa kurudisha chama katika mstari kama taboo tu hakuweza.



 
Nguruvi unazungumzia sana Context katika hoja yako kwamba ni mojawapo ya kigezo cha uchambuzi wako juu ya mada hii.
Tukirudi katika context juu ya suala la umalaya versus mahusiano binafsi. Ni nini context ya maneno hayo.

Tukiangalia Mwenyekiti yeye ana ndoa, ana commitment ya kisheria (kiapo cha ndoa), kwa vyovyote hata akitembea na mtu mmoja tu nje ya ndoa amevunja commitment NA KWA SHERIA ZETU ZA NDOA AKIKAMATWA UGONI ANA KESI YA KUJIBU MAHAKAMNI KWA SABABU UGONI NI KINYUME CHA SHERIA!.

Tukiachilia mbali hilo, NINAAMINI M1, NA M3 WANAWAJUA VIZURI SANA KUHUSU MM PAMOJA NA MWENYEKITI, BILA SHAKA WANAJUA VIDOSHO VYA MWENYEKITI NA VIDOSHO VYA MM, NASHAWISHIKA KUSEMA MAHUSIANO BINAFSI YA MM HAYAJAFIKIA LEVEL YA KUITWA MALAYA!!!. LAU KAMA MIMI NA WEWE NGURUVI HATUJUI UNDANI WA KUHUSU HILO BASI MWIGAMBA ANAWEZA KUTUFAHAMISHA!!.

Ila ni dhahiri, kuchezea wanawake ovyoovyo siyo jambo jema na la kujivunia, AKINA M1 NA M3 WAMELIONA HILO NA WAMETAMBUA UMUHIMU WA KIONGOZI MKUU KUWA CLEAN, NA KWAO USAFI WA MAADILI WA KIONGOZI MKUU NI MOJAWAPO WA NYENZO YA KUIFANYA TAASISI IAMINIKE, IKUBALIKE (KUNA WATANZANIA WANAPIGA KURA KWA KUANGALIA MISINGI YA MAADILI YA VIONGOZI WANAOOMBA KURA).

Sasa tusiwalaumu Kina M3 na M1 kwa hoja yao hiyo, bali sisi kama Great thinkers ni lazima tuwajibu kwa hoja. HOJA KAIKA KIPENGELE HIKI NI MAADILI YA VIONGOZI , JE UMALAYA NI ISHU AU SIYO ISHU. HILI NDO JAMBO LA KUANGALIA BADALA YA KUANGALIA NANI KAITWA MALAYA NA NANI HAJAITWA!. BY THE WAY KUNA USHAHIDI WA KUTOSHA KATIKA WARAKA MAPUNGUFU YA MM YAKITAJWA WAZIWAZI, BILA SHAKA HATA MM HAKUPENDA ALIVYOANIKWA MLE!!

Ni lazima tuangalie Moyo wa waraka, Moyo wa waraka ni Kufanya "Mabadiriko chanya kwa Kubadili Uongozi wa juu, kuondoa mambo ya bussiness as usual, na kukirudisha chama katika katiba,Taswira njema mbele ya umma, nidhamu ya matumizi, na kukipa nguvu ya hoja".

Unaweza kudhani kuwa kina Mwigamba walikusudia kumtukana Mwenyekiti kwa kumuita Malaya, lakini Infact huenda walikuwa wanasema kweli!. NA BILA SHAKA HILO LIKAWA LINAWAKERA KWELI KWELI KINA MWIGAMBA KWA KUWA WANAAMINI HILO LINAHARIBU TASWIRA YA CHAMA MBELE YA UMMA NA HIVYO KUCHELEWESHA UKOMBOZI!. tuliangalie hilo katika context ya Hoja badala ya context ya Matusi ambayo naamini hawakukusudia hivyo!
Ndugu yangu unachotaka kunishawishi hapa ni kuwa kuna 'kamimba kadogo na Mimba kamili' wenyewe wanasema 'little bit pregnant'

Nimesema kuwa hoja za waraka bado hizinionodi katika ukweli kuwa naungalia waraka katika hali zote.
Unaposema kuna malaya kwasababu ameoa utakuwa huna ufahamu wa def ya umalaya.
Ni hivi umalaya ni umalaya tu hakuna umalaya wa sheikh, askofu n.k.

Ukisoma waraka kwa macho angavu bila kitambaa cheusi utaona waandikaji wamekerwa sana na tabia ya mwenyekiti inayoathiri taswira ya chama. Halafu wanajisahau na kumshauri 'tunayemtaka' afanye uzinifu kwa siri sana kwasababu uzinifu una nafuu kuliko umalaya! real.

Na hapa tunaona Pasco akisema yule hajaoa akiruka ruka na vibinti vya BAVICHA au akina mama wabunge ni kughafilikiwa lakini haina athari katika taswira.

Gamba la Nyoka anasema aaa! 'tunayemtaka' anaweza kufanya uzinifu kidogo tu 'one night stand' muhimu ajifiche lakini akionekana haina taabu sana kama mwenyekiti.
Real,waungwana kuna classification za uzinifu kweli!

Point ni kwamba waraka upo vague ukiusoma una ji contradict sana.
Nikupe kionjo kingine, waraka unasema mwenyekiti ana akili ndogo na elimu ya magumashi hafai kabisa kuongoza. Waraka huo huo unasema 'tunayemtaka' hana busara na ana jazba.
Kwamba unaodoa mwiba kwa ku replace na msumari. Waraka huo!

Waraka unasema mwenyekiti anatengeneza makundi ndani ya chama.
Waraka umeshindwa kuelewa kuwa Kitila na ZZK wanatengeneza makundi kwa kutumia waraka.
Tena unampamba 'tunayemtaka' hana makundi, uongo mkubwa, ZZ ndiyte mwenye Masalia 7, Juliana, Kafulila n.k.

Usomeni waraka muone jinsi unavyojichanga, kama kuna kitu too low nimekisoma siku za karibuni waraka umeshinda.
 
Bado unahamisha goli, endapo hoja ya umalaya inahusishwa na uongozi wa chama, kwanini hoja ya mapenzi kwa 'tunayemtaka' ipewe uhalali tukijua itahusishwa na chama pia.

The bottom line ni kuwa mapenzi na uongozi havijengi taswira nzuri kwa mujibu wa waraka regardless nani anafanya hivyo. Double standards zina matatizo na ndicho chanzo cha kusema waraka ni too low, haukuandikwa kama muongozo wa kisiasa bali chuki za kujenga uhalali fulani.

Kama haya ni mambo yaliyotakiwa yabaki ndani ya pazia, CC ya Chadema kwa nini waliyaruhusu yatoke nje?obviously Kitila Mkumbo na mwigamba hawakuleak waraka ule kama viongozi wa Chama.In other words, hawaku-validate tetesi za watu mtaani. walio-validate hayo ni CC ya CDM wenyewe.

nakubalina na wewe kila sehemu, kasoro hapa kwa kusema lawama za tabia chafu za kina mbowe wapewe kina Kitila.especially wakati sio wao walio-leak waraka.

Najua utasema Member wa JF ame-post umalaya wa Mbowe. Tukienda kwa tance hiyo basi Familia ya Kikwete watakuwa Drug lords(refer Hekaya za Jason bourne), Ridhiwani atakuwa Bilionea, na Kinana atakuwa Jangili wa Kuuwa Tembo. Hakuna aliyehukumiwa kwa lolote juu ya haya. Ila ikitokea siku Kina Nape mfano wakatoa Waraka kuyasema haya, then yatakuwa Validate in the face of Public Domain.
 
Ndugu yangu unachotaka kunishawishi hapa ni kuwa kuna 'kamimba kadogo na Mimba kamili' wenyewe wanasema 'little bit pregnant'

Nimesema kuwa hoja za waraka bado hizinionodi katika ukweli kuwa naungalia waraka katika hali zote.
Unaposema kuna malaya kwasababu ameoa utakuwa huna ufahamu wa def ya umalaya.
Ni hivi umalaya ni umalaya tu hakuna umalaya wa sheikh, askofu n.k.

Ukisoma waraka kwa macho angavu bila kitambaa cheusi utaona waandikaji wamekerwa sana na tabia ya mwenyekiti inayoathiri taswira ya chama. Halafu wanajisahau na kumshauri 'tunayemtaka' afanye uzinifu kwa siri sana kwasababu uzinifu una nafuu kuliko umalaya! real.

Na hapa tunaona Pasco akisema yule hajaoa akiruka ruka na vibinti vya BAVICHA au akina mama wabunge ni kughafilikiwa lakini haina athari katika taswira.

Gamba la Nyoka anasema aaa! 'tunayemtaka' anaweza kufanya uzinifu kidogo tu 'one night stand' muhimu ajifiche lakini akionekana haina taabu sana kama mwenyekiti.
Real,waungwana kuna classification za uzinifu kweli!

Point ni kwamba waraka upo vague ukiusoma una ji contradict sana.
Nikupe kionjo kingine, waraka unasema mwenyekiti ana akili ndogo na elimu ya magumashi hafai kabisa kuongoza. Waraka huo huo unasema 'tunayemtaka' hana busara na ana jazba.
Kwamba unaodoa mwiba kwa ku replace na msumari. Waraka huo!

Waraka unasema mwenyekiti anatengeneza makundi ndani ya chama.
Waraka umeshindwa kuelewa kuwa Kitila na ZZK wanatengeneza makundi kwa kutumia waraka.
Tena unampamba 'tunayemtaka' hana makundi, uongo mkubwa, ZZ ndiyte mwenye Masalia 7, Juliana, Kafulila n.k.

Usomeni waraka muone jinsi unavyojichanga, kama kuna kitu too low nimekisoma siku za karibuni waraka umeshinda.

Ndugu Nguruvi3 , unasema mimi na Pasco tunahamisha magoli LAKINI UKWELI NI KWAMBA WEWE NDIYE UNAYEBADILI YALIYOANDIKWA KATIKA WARAKA NA KUTUNGA YA KWAKO, MFANO HAKUNA MAHALI KATIKA WARAKA PENYE HIYO SENTENSI NILIYOIWEKEA RANGI NYEKUNDU. hakuna mahali kwenye WARAKA PANAPOSEMA TUNYEMTAKA HANA BUSARA, HAKUNA!. HAYO MANENO UMEYATUNGA MWENYEWE.

infact waraka unasema hivi na ninanukuu "
Ana uwezo wa kuchangamana na makundi yote ambapo vijana humwona kama mwenzao, wanawake humwona kama mtetezi wao wakatiwazee humwona kama kijana mwenye busaraanayeweza kuelekeza kama kiongozi".

Ni vyema tunapojadili Waraka huu, tuzungumze kile kitu halisi kilichozungumzwa ndani, na kama tunatumia maneno yetu halisi tueleze bila kuumba umba maana zetu zisizokusudiwa na Waraka.


Kuhusu Hoja uliyoitaja hapo juu, Jibu lake ni kwamba Waandishi wa waraka walikuwa wakifanya SWOT Analysis, waliainisha mapungufu ya Mwenyekiti na Wakaainisha Mapungufu ya Zitto. Kisha wakapima Nguvu na Udhaifu, Nguvu zikashinda. Kiufupi ni kwamba walikuwa honest katika analysis yao!.



Mathalani madhaifu ya Zitto waliyoainisha kwa uwazi kabisa ni haya!


Udhaifu wa tunayemtaka:
Maneno yake mara nyingine hayazingatii anayazungumza katika mazingira gani na hivyo kuwasha masikio ya wanataasisi jambo linalompunguzia kukubalika kwake taratibu.

Kama ilivyo kwa maneno, kuna matendo pia ambayo mara nyingine huyafanya bila kuzingatia mazingira na wasikilizaji wake na hivyo kupunguza imani ya wana taasisi kwake.

Hali ya ndoa ya tunayemtaka kutoeleweka msimamo wake

Kuna wakati tunayemtaka hu-respondkwa taharuki kubwa dhidi ya mashambulizi yanayoelekezwa kwake jambo linalomfanya achukue maamuzi yasiyo sahihi kwa wakati huo. Kwa kifupi kuna wakati tunayemtaka huonekana kufanya maamuzi kwaemotion zaidi badala ya kutulia kwanza na kutafakari kwa kina ikiwa ni pamoja na kutafuta ushauri kwa wenzake kabla ya kurespond.

Jambo lililoelezwa katika ‘d' hapo juu humfanya tunayemtaka wakati mwingine kuonekana ana jazba sana kwa sababu akishataharuki na kuchukua maamuzi akingali kwenye taharuki huwa ni rahisi sana kuonekana anajibu mapigo kwa jazba sana.

Ustahimilivu: yaliyotajwa katika ‘d' na ‘e' hapo juu yanaashiria tunayemtaka si mstahimilivu sana sifa ambayo inahitajika sana kwa kiongozi.

Uwazi: Katika taasisi zetu hizi ni muhimu sana kuepuka kufanya mambo yote wazi wazi hata kama ni mema ama ni haki ya mhusika ama si makosa katika jamii tuliyomo. Kuna mambo ambayo ni haki ya mtu mfano mahusiano binafsi ya kimapenzi, kuwa na marafiki wa damu kutoka upande mwingine wa utawala, nk. Lakini mambo hayo ni muhimu wakati mwingine ama kwa kiwango fulani yakafanywa kwa siri kuepuka mitazamo potofu kwa unaowaongoza

na Nguvu Strength) za Wanayemtaka yaani Zitto ni Hizi

Uimara wa tunayemtaka:
Ingawa si mmoja wa waasisi wa taasisi yetu, lakini ni mwana taasisi mkongwe akiwa amejiunga na taasisi yetu miaka miwili tu tangu ianzishwe na mwaka mmoja tangu isajiliwe rasmi na serikali.

Zaidi ya kuwa mwanataasisi mkongwe, hajawahi kujiunga na taasisi nyingine hapo kabla. Alijiunga na taasisi hii kabla hata haijajulikana kwa watu na alibaki kuwa mwana taasisi mwaminifu hata pale taasisi zingine zilipoonekana kuwa imara na maarufu zaidi ya hii.

Kutokana na vipengele ‘a' na ‘b' hapo juu, hakuna mtu hata mmoja anayeweza kusema mtu huyu alikuja kwenye taasisi yetu kwa ajili ya kutafuta maslahi kama vile uwakilishi kwenye chombo chetu kikuu cha uwakilishi hapa nchini.

Ni mvumilivu sana. Katika jitahada za wakuu waliopo kuhakikisha wanaendelea kukalia viti vyao, wamejitahidi sana kumpaka matope lakini amevumilia. Mahali ambapo wengine wangeshakata tamaa na kuhama taasisi, yeye alibaki kuvumilia mpaka imefikia wana taasisi wa ngazi za chini waliokuwa wanadanganywa kwamba mtu huyu ni msaliti, wameanza sasa kushtuka.
Ana historia nzuri ya utendaji uliotukuka ndani na nje ya chombo cha uwakilishi.

Ana uwezo mkubwa wa uelewa wa mambo mbalimbali ya uchumi, jamii, utamaduni, michezo, nk. Uwezo wake unachagizwa si tu na elimu yake ya darasani bali pia vipaji na akili ya kuzaliwa.

Ni mzalendo wa hali ya juu anayeipenda nchi yake kwa moyo wa dhati. Amethibitisha hilo kwa namna anavyolitetea taifa letu katika medani za kimataifa na jinsi anavyolipigania ndani dhidi ya mafisadi na wasiolitakia mema taifa letu. Ni mwakilishi pekee aliyekuwa tayari kukosa mishahara ya miezi kadhaa kwa kuamua kusimamia ukweli kwamba kuna ufisadi ulifanyika mpaka akasimamishwa uwakilishi wake kwa mikutano kadhaa ya chombo chetu cha uwakilishi.

Katika kuzidi kuonyesha alivyo mzalendo tunaweza kusema hapa kwamba ni kiongozi pekee kutoka upande huu ambaye ameonekana sana kwenye mambo ya kitaifa kwa mfano kulipigania taifa letu katika mambo ya kimchezo, kutumia gharama zake kwenda nje ya nchi na kujifunza mambo mbalimbali yanayoweza kulisaidia taifa katika sekta nyeti kama mafuta, gesi na madini, nk bila kusahau kwamba amekuwa ndiye mwakilishi pekee aliyeongoza katika kuibua kashfa nyingi na nzito za ubadhirifu ndani ya serikali hata kufikia mawaziri kadhaa kufukuzwa kazi.

Mambo hayo tuliyoyataja kwenye vipengele ‘e', ‘f', ‘g' na ‘h' yamemfanya kuwa kiongozi wa kwanza kuwa maarufu sana katika taasisi yetu aliyewapiku hata viongozi wa serikali kwa umaarufu. Hii ya umaarufu ni sifa muhimu sana linapokuja suala la uchaguzi.

Uwezo wake wa kujieleza kwa kujenga hoja pale anapopewa nafasi. Hata pale anapokuwa amepakwa sana matope na wenzake, anapopewa nafasi ya kujieleza huweza kuwashawishi watu wengi wanaomsikiliza. Hii itamsaidia sana siku ya kujieleza mbele ya kikao cha uchaguzi ambapo ataweza kupangua hoja zote dhaifu za kumpaka matope.

Ana uwezo wa kuchangamana na makundi yote ambapo vijana humwona kama mwenzao, wanawake humwona kama mtetezi wao wakati wazee humwona kama kijana mwenye busara anayeweza kuelekeza kama kiongozi.

Ana mahusiano mema na mazuri na viongozi wa ngazi za chini kutokana na ziara nyingi alizozifanya na kukutana na viongozi wa ngazi za chini akiwa katika kuijenga taasisi hii. Mahusiano haya mazuri yanachagizwa na jinsi anavyotumia muda wa kuongea na viongozi wa ngazi za chini kuzungumza kwa lugha ya upole na kuelekeza viongozi wenzake bila kuwaonyesha dharau.

Si mtu wa kujipenda nafsi na katika kupambana umaskini wa watu badala ya umaskini wake, alifikia kuzikataa posho wanazolipwa wawakilishi wakati wakitekeleza majukumu ambayo kwayo wanalipwa na kuiomba ofisi ya chombo hicho kuzipeleka posho hizo kwa watu maskini.

Ana limu nzuri sana aliyoipata katika vyuo vinavyoeleweka kitaifa na kimataifa
Ni kijana na hii ni taswira njema kwa sababu taasisi yetu inaungwa mkono sana na vijana






NARUDIA TENA, HIYO WALIYOFANYA NI SWOT ANALYSIS, NJIA YA KISOMI YA KULINGANISHA MADHAIFU NA NGUVU ILI KUFANYA MAAMUZI SAHIHI, NI JUKUMU LETU MIMI NA WEWE NDUGU NGURUVI KUSEMA, IWAPO LABDA SWOT ANALYSIS HAIKUFANYIKA VYEMA, AU LABDA PARAMETERS ZILIZOTUMIKA HAZIFAI AU HAZITOSHI AU VICE-VERSA. LAKINI KUCHUKULIA UAINISHAJI WA PARAMETERS HIZO KAMA ETI NI CONTRADICTION YA MANTIKI KUSUDIWA NI KUTOKUFAHAMU VIZURI LENGO LA SWOT ANALYSIS HUSIKA LILIKUWA NINI.

KWA MAONI YANGU, HUU WARAKA NI WA KIZALENDO, NI WARAKA CHANYA, UNAOWEKA MBELE SI TU MUSTAKBALI WA CHAMA BALI TAIFA KIUJUMLA, NA NI MIONGONI MWA DOCUMENTS AMBAZO NINGEPENDEKEZA WANAOJIFUNZA STRATERGIES ZA MABADILIKO CHANYA KATIKA VYAMA VYA KIDEMOKRASIA KUSOMA!. NA UMENIPA IMANI KUBWA KWAMBA TANZANIA TUNA VICHWA VINAVYOWEZA KUTULETEA DEMOKRASIA YA KWELI!. BINAFSI NINGEKUWA MM NINGEUPOKEA MPANGO WA WARAKA MARA MOJA!
 
Back
Top Bottom