Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,291
Lakini pia mazingira ya 2016 ni tofauti na sasa. Wakati ule alikuwa Trump businessman ambaye wengi walimpa benefit of doubt. Je, watu hao bado watatoa benefit hiyo tena?
Ili kupata jibu la swali hilo, inabidi kuangalia Trump alirun 2016 kwa campaign-promises zipi, zilizompa hiyo benefit of doubt vs kwa sasa hivi 2020 anarun kwa campaign promises zipi.
Sijafuatilia sana, lakini inaonekana kama vile Trump anasema Biden Term = Seattle-on-Steroids ... Whatever happened in Democrat-led cities and states during these crises, is harbinger of what which is to come during Biden's Term.
Is that true? Will it work on Trump's favor or will it backfire on him spectacularly?