TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,820
- 22,948
Nitashukuru sana kama vipande hivi vya maoni yako ungeviongezea na mifano ili kurahisisha tuelewe kwa ufasaha maoni yako. Natanguliza shukrani.1)...mawazo kinzani yanapewa tafsiri ya uadui, Taifa ...2)...ambalo maongezi ya kawaida kabisa yanarekodiwa na kusambazwa, Taifa ambalo viongozi wanategemea mtu mmoja ndo awe.muamuzi wa kila kitu kwa kuogopa/kudhubutu kuchukua maamuzi ambayo hata mbeleni wakiulizwa basi wanaweza kusimama na kuyatetea. .....