CHAMVIGA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 7,687
- 2,238
Tuliposimama kumtetea Lowassa asimamishwe kuiwakilisha CCM na tukasema Richmond ni skendo iliyotengenezwa kummaliza Lowassa tena kwa misingi ya makundi yakiimani tuliambiwa yy ni fisadi tena akaitwa Fisadi papa na Dr Slaa lakini leo fisadi papa atakuwa akiwakilisha CHADEMA/UKAWA Urais.
Siasa na umalaya hakuna tofauti.
Zitto alisema usimuamini mwanasiasa alikuwa sahihi 100%.
Siasa na umalaya hakuna tofauti.
Zitto alisema usimuamini mwanasiasa alikuwa sahihi 100%.