Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Kiongozi gani wa kamati kuu aliyethibitisha hivyo?

Naona akili inagoma kabisa kukubali ukweli daahh! Siyo wewe pro-Chadema wengi hawajui chakufanya hata hawa waliokupa like kwenye hiyo twit ambayo haijulikani ni ya nani.

Angalia hii video ya UKAWA hapa chini.
https://www.youtube.com/watch?v=E4ZEVneG3vs&feature=youtube_gdata_player




MASWALI.

Mnamualika au mnamkaribishaVyama vilikuwa vinasema Lowassa ni dhaifu, leo amekua Imara?Mnamkaribisha kuingia chama gani maana UKAWA ina vayama vingi?Akikubali kujiunga na nyinyi leo hii mtakubali agombee nafasi ya urais?Lini mtamtambulisha mgombea wenu urais?
 
Ulimsikia akiongea kumkaribisha Lowasa?

Kiongozi gani wa kamati kuu aliyethibitisha hivyo?

Tundu Antiphas Lissu

Edward Lowassa anajiunga na CHADEMA na atakuwa mgombea urais wa CHADEMA na wa UKAWA. Lowassa is perhaps the most controversial and divisive political figure in the country right now. Na amekuwa hivyo kwa muda mrefu. Sisi CHADEMA tulimweka kwenye Orodha ya Mafisadi kutokana na kuhusika kwake na Kashfa ya Richmond mwaka 2007. Kwa hiyo swali halali kabisa ambalo lazima tulijibu kwa ufasaha ni hili: kwa nini tumekubali, sio tu kumpokea kama mwanachama, bali kumpa heshima ya kuwa mgombea wetu wa urais.

Na kwa nini washirika wetu wa UKAWA nao wamemkubali kuwa mgombea wao wa urais??? Jibu ni kwamba tupo katika kipindi na mazingira ya kipekee ya kisiasa katika nchi yetu. Kwa mara ya kwanza katika historia yetu kama taifa, tunaona mfumo tawala ukipasuka vipande vipande. Kwa mara ya kwanza tunaona CCM ikipasuka katikati. Na mtu aliyeipasua CCM na mfumo tawala ni Edward Lowassa. Sisi CHADEMA tumefanya kazi kubwa ya kujenga chama tangu 2010.

Tuna wagombea wengi na bora katika majimbo mengi ya uchaguzi na ngazi ya madiwani kuliko ambavyo tumewahi kuwa nao kwa miaka yote ya nyuma. Hata hivyo, ni ukweli pia kwamba kuna maeneo mengi ya nchi ambako tuko dhaifu sana. Kwa kuingia kwake CHADEMA na UKAWA, Lowassa anayaingiza maeneo hayo kwenye ulingo wa kisiasa and very much within our reach. Na Lowassa ataiporomosha CCM kwa sababu ana nguvu kubwa ndani ya chama hicho kuliko mwanasiasa mwingine yeyote.

Katika mazingira ya sasa ya kipekee, tunahitaji kuamua nani ni adui mkubwa zaidi wa nchi yetu na ustawi wake: Edward Lowassa mtuhumiwa wa ufisadi au CCM na mfumo tawala ambao unajenga mazingira yanayostawisha na kulinda ufisadi. Sisi Chadema na UKAWA tumeamua kuwa adui yetu mkubwa wa sasa na siku zote ni CCM na mfumo tawala. Tumemkaribisha Edward Lowassa kwa sababu kuwepo kwake kutaharakisha kuiangamiza CCM na mfumo tawala. Tunaomba wananchi mtuelewe na kutuunga mkono.


Alinda, Nguruvi3, Mchambuzi, Ritz,Mkandara, Tujitegemee, Mzee Mwanakijiji

Hakika hawakukosea waliosema tuweke akiba ya maneno maana hapana shaka hapa panahitaji sana ujasiri wa kiuwendawazimu kuyaramba matapishi huku ukiwaangalia watu machoni.
attachment.php
 

Tundu Antiphas Lissu

Edward Lowassa anajiunga na CHADEMA na atakuwa mgombea urais wa CHADEMA na wa UKAWA. Lowassa is perhaps the most controversial and divisive political figure in the country right now. Na amekuwa hivyo kwa muda mrefu. Sisi CHADEMA tulimweka kwenye Orodha ya Mafisadi kutokana na kuhusika kwake na Kashfa ya Richmond mwaka 2007. Kwa hiyo swali halali kabisa ambalo lazima tulijibu kwa ufasaha ni hili: kwa nini tumekubali, sio tu kumpokea kama mwanachama, bali kumpa heshima ya kuwa mgombea wetu wa urais.

Na kwa nini washirika wetu wa UKAWA nao wamemkubali kuwa mgombea wao wa urais??? Jibu ni kwamba tupo katika kipindi na mazingira ya kipekee ya kisiasa katika nchi yetu. Kwa mara ya kwanza katika historia yetu kama taifa, tunaona mfumo tawala ukipasuka vipande vipande. Kwa mara ya kwanza tunaona CCM ikipasuka katikati. Na mtu aliyeipasua CCM na mfumo tawala ni Edward Lowassa. Sisi CHADEMA tumefanya kazi kubwa ya kujenga chama tangu 2010.

Tuna wagombea wengi na bora katika majimbo mengi ya uchaguzi na ngazi ya madiwani kuliko ambavyo tumewahi kuwa nao kwa miaka yote ya nyuma. Hata hivyo, ni ukweli pia kwamba kuna maeneo mengi ya nchi ambako tuko dhaifu sana. Kwa kuingia kwake CHADEMA na UKAWA, Lowassa anayaingiza maeneo hayo kwenye ulingo wa kisiasa and very much within our reach. Na Lowassa ataiporomosha CCM kwa sababu ana nguvu kubwa ndani ya chama hicho kuliko mwanasiasa mwingine yeyote.

Katika mazingira ya sasa ya kipekee, tunahitaji kuamua nani ni adui mkubwa zaidi wa nchi yetu na ustawi wake: Edward Lowassa mtuhumiwa wa ufisadi au CCM na mfumo tawala ambao unajenga mazingira yanayostawisha na kulinda ufisadi. Sisi Chadema na UKAWA tumeamua kuwa adui yetu mkubwa wa sasa na siku zote ni CCM na mfumo tawala. Tumemkaribisha Edward Lowassa kwa sababu kuwepo kwake kutaharakisha kuiangamiza CCM na mfumo tawala. Tunaomba wananchi mtuelewe na kutuunga mkono.


Alinda, Nguruvi3, Mchambuzi, Ritz,Mkandara, Tujitegemee

Hakika hawakukosea waliosema tuweke akiba ya maneno maana hapana shaka hapa panahitaji sana ujasiri wa kiuwendawazimu kuyaramba matapishi huku ukiwaangalia watu machoni.


Ingia hapa https://www.jamiiforums.com/great-thinkers/860405-2015-uchaguzi-mkuu-na-hatma-ya-nchi.html hakuna ambacho hatujasema..

Kutoa maoni ni haki yangu, na kwa hilo huwa siangalii nani anafanya nini na kwanini, ninatoa mchango wangu kulingana na jinsi ninavyoona. Msimamo wangu juu ya Lowassa huko wazi lakini hilo halizui viongozi kuchukua maamuzi magumu kwa manufaa ya chama (ingawaje sikubaliani nao na kura yangu ya urais kamwe siwezi kumpa Lowassa ingawaje uwezekano wa Lowassa kuchukua nchi ni mkubwa)

Wazo tu: Kama Ukawa wakifanya ujinga wa kumsimamisha Lowassa kuwa mgombea urais wao basi uwezekano wa CCM kumfungulia mashataka ya ufisadi, rushwa, matumizi mabaya ya madaraka ni mkubwa na mwisho wa siku hakutakuwa na mgombea wa Ukawa bali CCM. Sijui kama wamefikiri hili swala au walichofikiria ni jinsi ya kugawana madaraka????@Tumaini Makene , Ben Saanane
 

Tundu Antiphas Lissu

Edward Lowassa anajiunga na CHADEMA na atakuwa mgombea urais wa CHADEMA na wa UKAWA. Lowassa is perhaps the most controversial and divisive political figure in the country right now. Na amekuwa hivyo kwa muda mrefu. Sisi CHADEMA tulimweka kwenye Orodha ya Mafisadi kutokana na kuhusika kwake na Kashfa ya Richmond mwaka 2007. Kwa hiyo swali halali kabisa ambalo lazima tulijibu kwa ufasaha ni hili: kwa nini tumekubali, sio tu kumpokea kama mwanachama, bali kumpa heshima ya kuwa mgombea wetu wa urais.

Na kwa nini washirika wetu wa UKAWA nao wamemkubali kuwa mgombea wao wa urais??? Jibu ni kwamba tupo katika kipindi na mazingira ya kipekee ya kisiasa katika nchi yetu. Kwa mara ya kwanza katika historia yetu kama taifa, tunaona mfumo tawala ukipasuka vipande vipande. Kwa mara ya kwanza tunaona CCM ikipasuka katikati. Na mtu aliyeipasua CCM na mfumo tawala ni Edward Lowassa. Sisi CHADEMA tumefanya kazi kubwa ya kujenga chama tangu 2010.

Tuna wagombea wengi na bora katika majimbo mengi ya uchaguzi na ngazi ya madiwani kuliko ambavyo tumewahi kuwa nao kwa miaka yote ya nyuma. Hata hivyo, ni ukweli pia kwamba kuna maeneo mengi ya nchi ambako tuko dhaifu sana. Kwa kuingia kwake CHADEMA na UKAWA, Lowassa anayaingiza maeneo hayo kwenye ulingo wa kisiasa and very much within our reach. Na Lowassa ataiporomosha CCM kwa sababu ana nguvu kubwa ndani ya chama hicho kuliko mwanasiasa mwingine yeyote.

Katika mazingira ya sasa ya kipekee, tunahitaji kuamua nani ni adui mkubwa zaidi wa nchi yetu na ustawi wake: Edward Lowassa mtuhumiwa wa ufisadi au CCM na mfumo tawala ambao unajenga mazingira yanayostawisha na kulinda ufisadi. Sisi Chadema na UKAWA tumeamua kuwa adui yetu mkubwa wa sasa na siku zote ni CCM na mfumo tawala. Tumemkaribisha Edward Lowassa kwa sababu kuwepo kwake kutaharakisha kuiangamiza CCM na mfumo tawala. Tunaomba wananchi mtuelewe na kutuunga mkono.


Alinda, Nguruvi3, Mchambuzi, Ritz,Mkandara, Tujitegemee, Mzee Mwanakijiji

Hakika hawakukosea waliosema tuweke akiba ya maneno maana hapana shaka hapa panahitaji sana ujasiri wa kiuwendawazimu kuyaramba matapishi huku ukiwaangalia watu machoni.
attachment.php
Mkuu Kapwela.

Jogoo anawika akishaona mwanga tu, muweke kwenye kiza hatawika.
 
Last edited by a moderator:

Tundu Antiphas Lissu

Edward Lowassa anajiunga na CHADEMA na atakuwa mgombea urais wa CHADEMA na wa UKAWA. Lowassa is perhaps the most controversial and divisive political figure in the country right now. Na amekuwa hivyo kwa muda mrefu. Sisi CHADEMA tulimweka kwenye Orodha ya Mafisadi kutokana na kuhusika kwake na Kashfa ya Richmond mwaka 2007. Kwa hiyo swali halali kabisa ambalo lazima tulijibu kwa ufasaha ni hili: kwa nini tumekubali, sio tu kumpokea kama mwanachama, bali kumpa heshima ya kuwa mgombea wetu wa urais.

Na kwa nini washirika wetu wa UKAWA nao wamemkubali kuwa mgombea wao wa urais??? Jibu ni kwamba tupo katika kipindi na mazingira ya kipekee ya kisiasa katika nchi yetu. Kwa mara ya kwanza katika historia yetu kama taifa, tunaona mfumo tawala ukipasuka vipande vipande. Kwa mara ya kwanza tunaona CCM ikipasuka katikati. Na mtu aliyeipasua CCM na mfumo tawala ni Edward Lowassa. Sisi CHADEMA tumefanya kazi kubwa ya kujenga chama tangu 2010.

Tuna wagombea wengi na bora katika majimbo mengi ya uchaguzi na ngazi ya madiwani kuliko ambavyo tumewahi kuwa nao kwa miaka yote ya nyuma. Hata hivyo, ni ukweli pia kwamba kuna maeneo mengi ya nchi ambako tuko dhaifu sana. Kwa kuingia kwake CHADEMA na UKAWA, Lowassa anayaingiza maeneo hayo kwenye ulingo wa kisiasa and very much within our reach. Na Lowassa ataiporomosha CCM kwa sababu ana nguvu kubwa ndani ya chama hicho kuliko mwanasiasa mwingine yeyote.

Katika mazingira ya sasa ya kipekee, tunahitaji kuamua nani ni adui mkubwa zaidi wa nchi yetu na ustawi wake: Edward Lowassa mtuhumiwa wa ufisadi au CCM na mfumo tawala ambao unajenga mazingira yanayostawisha na kulinda ufisadi. Sisi Chadema na UKAWA tumeamua kuwa adui yetu mkubwa wa sasa na siku zote ni CCM na mfumo tawala. Tumemkaribisha Edward Lowassa kwa sababu kuwepo kwake kutaharakisha kuiangamiza CCM na mfumo tawala. Tunaomba wananchi mtuelewe na kutuunga mkono.


Alinda, Nguruvi3, Mchambuzi, Ritz,Mkandara, Tujitegemee, Mzee Mwanakijiji

Hakika hawakukosea waliosema tuweke akiba ya maneno maana hapana shaka hapa panahitaji sana ujasiri wa kiuwendawazimu kuyaramba matapishi huku ukiwaangalia watu machoni.
attachment.php
Ikiwa CCM tayari imeshapasuka kuna haja gani ya kumchagua Lowassa agombee Urais? Maana huko CCM hawezi kurudi na huku hata akinyimwa kugombea Urais haitabadilisha kitu CCM imeshapasuka! na zile hadith mlizotuaminisha juu yake ndio zitamzika kabisa!. Haiwezekani kabisa mtu alokuwa kundi ama kiongozi wa List of Shame leo ndiye awe mtu wa kugombea Urais upande wa Utakatifu..Hii habari hata siwezi kuifikiria vema.. Katika mageuzi yoyote yoyote ya Kisiasa sijawahi kusikia yule mtu alokuwa Kingpin na Wanted ndiye anakuja kuwa mwokozi wa watu!...
 
Kwa ndugu Nguruvi3:

Pokea salaam nyingi kutoka kwangu. Hama baada ya salaam ningependa unifahamishe mambo mawili au matatu kuhusiana na matukio yanayoendelea hivi sasa ya uchaguzi.

Kwanza ningependa msimamo wako kuhusiana na tetesi za Lowassa kujiunga na CDM. Je kuna ukweli ndani yake? Au ni tetesi tu?

Pili kama kuna ukweli, je uoni kuwa inabidi uanzishe thread mpya. Kichwa cha thread hiyo LOWASSA ni mpini wa CDM wa kuiua CCM.

Tatu kama Zitto alikuwa mchu wa madaraka ndani ya CDM, je Lowassa atakuwa katika ngazi gani?

Wako katika kusukuma gurudumu la maendeleo,

Z10.
 
Kwa ndugu Nguruvi3:

Pokea salaam nyingi kutoka kwangu. Hama baada ya salaam ningependa unifahamishe mambo mawili au matatu kuhusiana na matukio yanayoendelea hivi sasa ya uchaguzi.

Kwanza ningependa msimamo wako kuhusiana na tetesi za Lowassa kujiunga na CDM. Je kuna ukweli ndani yake? Au ni tetesi tu?

Pili kama kuna ukweli, je uoni kuwa inabidi uanzishe thread mpya. Kichwa cha thread hiyo LOWASSA ni mpini wa CDM wa kuiua CCM.

Tatu kama Zitto alikuwa mchu wa madaraka ndani ya CDM, je Lowassa atakuwa katika ngazi gani?

Wako katika kusukuma gurudumu la maendeleo,

Z10.
Masalaam, mie bukheri shukrani kunijulia hali muungwana

Kuhusu yanayoendelea
1 Tuyachukulie kama tetesi hadi yatakapojidhihiri, Hata hivyo nina haya ya kusema

Kumbu kumbu katika uzi huu na nyingine tumesema wazi bila kificho kuhusu tetesi hizi na kuweka mtazamo wetu.

Hatuoini mwisho mzuri wala kukubali hoja kwa vigezo vyovyote kuhusu Lowassa tena tukitoa sababu (Rejea mabandiko na nyuzi zilizomhusuLowass) na kama utahiotaji nukuu tufahamishane


2 Kuhusu kuanzisha uzi, hakika ushauri huo mzuri sana. Sijui wanajmvi wanasema kuhusu hili.
Tupo radhia mardhiatani kutenda hayo. Naomba ushauri wako


3 Kama Zitto alikuwa na uchu, hilo halizui mwingine kuwa nauchu na wala halitetei uchu wake.

Hapa tunasema ‘take the bull by the horns'

Wakatabahu

Wako katika ukweli


 
Ikiwa CCM tayari imeshapasuka kuna haja gani ya kumchagua Lowassa agombee Urais? Maana huko CCM hawezi kurudi na huku hata akinyimwa kugombea Urais haitabadilisha kitu CCM imeshapasuka! na zile hadith mlizotuaminisha juu yake ndio zitamzika kabisa!. Haiwezekani kabisa mtu alokuwa kundi ama kiongozi wa List of Shame leo ndiye awe mtu wa kugombea Urais upande wa Utakatifu..Hii habari hata siwezi kuifikiria vema.. Katika mageuzi yoyote yoyote ya Kisiasa sijawahi kusikia yule mtu alokuwa Kingpin na Wanted ndiye anakuja kuwa mwokozi wa watu!...
Intriguing question
 
Naanza kwa kukiri; simpendi Lowassa lakini siipendi CCM zaidi! Kujiuzulu kwa Lowassa katika uongozi hakukutupa ahueni hata kidogo na badala yake ufisadi ulizidi kushamiri. Kwa sasa naishia hapo ila nashauri tuvute subira tukichukua tahadhari kwa kuweka akiba ya maneno na bila kusahau kwamba tumefika njia panda...tukielekea kusiko hatutakuwa na wa kumlaumu zaidi ya sisi wenyewe na tuwe tayari kuzibeba hizo lawama.
 
Naanza kwa kukiri; simpendi Lowassa lakini siipendi CCM zaidi! Kujiuzulu kwa Lowassa katika uongozi hakukutupa ahueni hata kidogo na badala yake ufisadi ulizidi kushamiri. Kwa sasa naishia hapo ila nashauri tuvute subira tukichukua tahadhari kwa kuweka akiba ya maneno na bila kusahau kwamba tumefika njia panda...tukielekea kusiko hatutakuwa na wa kumlaumu zaidi ya sisi wenyewe na tuwe tayari kuzibeba hizo lawama.
Mkuu Lowassa was the master mind muda wote wa Ufisadi CCM. Ndiye alokuwa akichagua baraza la mawaziri hata baada ya JK kubadilisha mara tatu. Ndiye alokuwa kinara wa miradi mingi ya kuuza ardhi na majumba. Ndiye alokuwa akichukua 10% ya kila deal nchini hata iwe Tsh 500.

Hili la JK kumgeuka ndilo limemuuma kuliko kila kitu na hasira zake zote ni kwa JK, sio CCM yote japo walomwaga haswa ni CC ya kina Mkapa na Mwinyi na wazee wa kamati kuu na madili ambao wanaijua siri kubwa ya huyu mtu kuliko nyie. Hawa wote walijua Lowassa atahamia CDM wakishamwaga na bado wakamwaga tena vibaya sana na kumuaibisha! Hamuoni kama CCM imeshajiandaa kwa tukio hili na nani huko CCM atakubali Lowassa awe rais wa nchi hii alipe kisasi kwao maana wanamjua kwa visasi!. yeye hataki kuwa rais kwa sababu ya mageuzi ila anataka kutimiza ndoto yake na kuwaonyesha watu kuwa yeye ni zaidi yao ni Mungu mtu!.

Kwa hiyo, Mnachojaribu hapa kupigania ni kushindwa kuelewa kwamba JK anamaliza muda wake, sio rais tena na wote wana kinga kulingana na katiba ya mwaka 1977. Mnapopambana na CCM ina maana EL angekuwa na siri zote za CCM ktk uchaguzi ambazo zingewaletea Ushindi labda, lkn mnategemea Umaarufu wake kuwapa ushindi. Hivi tujiulize bila kumung'unya maneno, Hivi Umaarufu wa Lowassa unatokana na nini haswa? Uongozi bora? kama sio Ufisadi zaidi kipi. Rostam ana sifa gani haswa!.. Chenge ana sifa gani haswa! Nchimbi, Sophia Simba au Kingunge maana hawa wote ni maarufu nchini.

Ebu nambie sifa zake za Uongozi ambazo kweli wananchi wanazifahamu na kumpendea kiasi kwamba wanaamini kwamba yeye ndiye ataweza kuiondoa CCM madarakani na kuleta UTAWALA MPYA..Hii sifa yake mmeipata wapi? Kaandika kitabu gani ama hotuba gani ilowavutia wananchi juu yake afadhali hata ya Makamba!. Kweli wewe unategemea kuiondoa CCM madarakani kupitia Lowassa of all people?. Mbona mmeifanya safari ya Magufuli kuwa rahisi zaidi! Jamani jamani JK aliwahi sema mkiambiwa kitu, changanyeni na za kwenu!..
 
Kwa ndugu Nguruvi3:

Pokea salaam nyingi kutoka kwangu. Hama baada ya salaam ningependa unifahamishe mambo mawili au matatu kuhusiana na matukio yanayoendelea hivi sasa ya uchaguzi.

Kwanza ningependa msimamo wako kuhusiana na tetesi za Lowassa kujiunga na CDM. Je kuna ukweli ndani yake? Au ni tetesi tu?

Pili kama kuna ukweli, je uoni kuwa inabidi uanzishe thread mpya. Kichwa cha thread hiyo LOWASSA ni mpini wa CDM wa kuiua CCM.

Tatu kama Zitto alikuwa mchu wa madaraka ndani ya CDM, je Lowassa atakuwa katika ngazi gani?

Wako katika kusukuma gurudumu la maendeleo,

Z10.

Thread za hisia hizi wala hazina value wala ukweli wwote, kisa ni chuki tu kwa bwana zitto

Mungu ni mwema haujachukua siku si nyingi, Nguruvi anaanza kuelewa nini maana ya siasa! he has learned it in a hard way

Mbowe kusema kila alichomsingizia zitto that was dirty politics kulinda nafasi yake

Leo nguruvi anajikakamua sasa, kwa hili jukwaa....aliaminishwa, akaamini, hakutaka kutumia akili ya kawaida tu! yaani ile common sense

Mag3 naona naye anakuja kama mbowe ! CCM ndio tatizo! Mag3 huyu huyu?? au mwingine?


kuna nyakati hautakiwi kupelekeshwa na wanasiasa, unajisimamia

Thread hii haikuwa na kichwa wala miguu, ilijaa hisia na chuki
 
Thread za hisia hizi wala hazina value wala ukweli wwote, kisa ni chuki tu kwa bwana zitto

Mungu ni mwema haujachukua siku si nyingi, Nguruvi anaanza kuelewa nini maana ya siasa! he has learned it in a hard way

Mbowe kusema kila alichomsingizia zitto that was dirty politics kulinda nafasi yake

Leo nguruvi anajikakamua sasa, kwa hili jukwaa....aliaminishwa, akaamini, hakutaka kutumia akili ya kawaida tu! yaani ile common sense

Mag3 naona naye anakuja kama mbowe ! CCM ndio tatizo! Mag3 huyu huyu?? au mwingine?


kuna nyakati hautakiwi kupelekeshwa na wanasiasa, unajisimamia

Thread hii haikuwa na kichwa wala miguu, ilijaa hisia na chuki
Nasimama kuhesabiwa na wala sitasema jingine isipokuwa hili. Zitto anajenga siasa za ukabila na ukanda.

Siasa hizo zimeshindwa kwasababu mwelekeo wa kisiasa kwake ni mgumu.

Maswahiba wake kama Arif wameshindwa kuungana naye. Wanaokimbia hawaendi kwake.

Umma umekataa siasa za chuki dhidi ya kanda na makabila. Siasa muflisi za kutaka kuchonganisha Wananchi.

Leo anahutubia mikutano vichochoroni na kwingine haeni kabisa.

Hiyo ni testmony kuwa umma haukubaliani na siasa zake za kilaghai.

Pamoja na hayo, bado umma unahoji kuhusu mengi dhidi yake

Well, unasema sikutumia akili. Kama ni hivyo iweje wewe mwenye akili bado upo hapa unasoma na kuchangia?
Jaribu kumuuliza mheshimiwa kama kweli hatutumii akili, atakujibu

Siasa tunaielewa sana ndiyo maana upo hapa unasoma kila siku.

Nakuhakikishia tunaielewa 'mzee' wako anajua hilo

Tunasimama kuhesabiwa kwa hoja na tunazitetea kwa mantiki.

Hatujaenda chooni kuandika waraka, tunaadika duru na unasoma pamoja na 'mzee'

Hoja yako kuhusu Zitto haitetewi na jingine isipokuwa majibu kuhusu Zitto.

Matatizo ya wengine hayamfanyi Zitto awe safi.

Kama anatuhumiwa asimame ajibu, vinginevyo atakumbana na nguvu ya hoja na nguvu ya umma iliyomweka mahali ambapo leo si habari tena.
 
Mkuu Lowassa was the master mind muda wote wa Ufisadi CCM. Ndiye alokuwa akichagua baraza la mawaziri hata baada ya JK kubadilisha mara tatu. Ndiye alokuwa kinara wa miradi mingi ya kuuza ardhi na majumba. Ndiye alokuwa akichukua 10% ya kila deal nchini hata iwe Tsh 500.

Hili la JK kumgeuka ndilo limemuuma kuliko kila kitu na hasira zake zote ni kwa JK, sio CCM yote japo walomwaga haswa ni CC ya kina Mkapa na Mwinyi na wazee wa kamati kuu na madili ambao wanaijua siri kubwa ya huyu mtu kuliko nyie. Hawa wote walijua Lowassa atahamia CDM wakishamwaga na bado wakamwaga tena vibaya sana na kumuaibisha! Hamuoni kama CCM imeshajiandaa kwa tukio hili na nani huko CCM atakubali Lowassa awe rais wa nchi hii alipe kisasi kwao maana wanamjua kwa visasi!. yeye hataki kuwa rais kwa sababu ya mageuzi ila anataka kutimiza ndoto yake na kuwaonyesha watu kuwa yeye ni zaidi yao ni Mungu mtu!.

Kwa hiyo, Mnachojaribu hapa kupigania ni kushindwa kuelewa kwamba JK anamaliza muda wake, sio rais tena na wote wana kinga kulingana na katiba ya mwaka 1977. Mnapopambana na CCM ina maana EL angekuwa na siri zote za CCM ktk uchaguzi ambazo zingewaletea Ushindi labda, lkn mnategemea Umaarufu wake kuwapa ushindi. Hivi tujiulize bila kumung'unya maneno, Hivi Umaarufu wa Lowassa unatokana na nini haswa? Uongozi bora? kama sio Ufisadi zaidi kipi. Rostam ana sifa gani haswa!.. Chenge ana sifa gani haswa! Nchimbi, Sophia Simba au Kingunge maana hawa wote ni maarufu nchini.

Ebu nambie sifa zake za Uongozi ambazo kweli wananchi wanazifahamu na kumpendea kiasi kwamba wanaamini kwamba yeye ndiye ataweza kuiondoa CCM madarakani na kuleta UTAWALA MPYA..Hii sifa yake mmeipata wapi? Kaandika kitabu gani ama hotuba gani ilowavutia wananchi juu yake afadhali hata ya Makamba!. Kweli wewe unategemea kuiondoa CCM madarakani kupitia Lowassa of all people?. Mbona mmeifanya safari ya Magufuli kuwa rahisi zaidi! Jamani jamani JK aliwahi sema mkiambiwa kitu, changanyeni na za kwenu!..

Huwa tunamisimamo totaufti lakini katika swala la Lowassa tuko pamoja..

Nimejiuliza sana tena sana huyu Lowassa tunayeambiwa kuwa ana ushawishi, huu ushawishi unatokana na nini? Ni pesa zake, ni hoja zake au ni utendaji wake?

Na huyu Lowassa anagombea kupitia Chadema/Ukawa kwa vile ameshawishika na sera za hivyo vyama au ni ule ubabe wa kutaka kuwaonyesha CCM kuwa hata mimi ninaweza?
Je ni lini Lowassa amecha ufisadi? ni lini Lowassa ameacha kutumia madaraka yake vibaya? (rejea uchaguzi wa serikali za mitaa)
Huyu Lowassa tunayeambiwa kuwa ni mchapakazi alikuwa wapi kutetea watanzania wakati wa swala la Escrow? huyu mzee hakunyanyua hata mdomo, alikuwa wapi kuwatetea watanzania katika swala la katiba mpya?

Mzee hata kuongea hawezi, kujenga hoja hawezi, rushwa imemjaa, kupenda madaraka ndo husiseme, leo hii ndio Hero wa Chadema/Ukawa..
Huu ni unafiki wa viongozi wetu.

Hakuna maamuzi ambayo yamenisikitisha kama haya ya Lowassa. Kitendo cha kumkaribisha Chadema kwangu mimi ilikuwa ni nuksi tosha. Mbowe Slaa, Myika, Salum, Tundu Lissu haya ni maamuzi mabaya ambayo hayajawahi kutokea.

Hivi mmejiuliza baada ya uchaguzi iwepo mtashindwa Chadema itakuwa katika hali gani?
 
Naanza kwa kukiri; simpendi Lowassa lakini siipendi CCM zaidi! Kujiuzulu kwa Lowassa katika uongozi hakukutupa ahueni hata kidogo na badala yake ufisadi ulizidi kushamiri. Kwa sasa naishia hapo ila nashauri tuvute subira tukichukua tahadhari kwa kuweka akiba ya maneno na bila kusahau kwamba tumefika njia panda...tukielekea kusiko hatutakuwa na wa kumlaumu zaidi ya sisi wenyewe na tuwe tayari kuzibeba hizo lawama.
Huwezi kutenganisha amani na uhuru wa kweli..
 
  1. Lowassa was the master mind muda wote wa ufisadi ccm
  2. (Lowassa)ndiye alokuwa akichagua baraza la mawaziri hata baada ya jk kubadilisha mara tatu.
  3. (Lowassa)ndiye alokuwa kinara wa miradi mingi ya kuuza ardhi na majumba.
  4. (Lowassa)ndiye alokuwa akichukua 10% ya kila deal nchini hata iwe tsh 500.
  5. (Lowassa)hili la jk kumgeuka ndilo limemuuma kuliko kila kitu na hasira zake zote ni kwa jk,
  6. (Lowassa)walomwaga haswa ni cc ya kina mkapa na mwinyi na wazee wa kamati kuu na madili ambao wanaijua siri kubwa ya huyu mtu kuliko nyie.
  7. hawa wote walijua lowassa atahamia cdm wakishamwaga na bado wakamwaga tena vibaya sana na kumuaibisha!
  8. hamuoni kama ccm imeshajiandaa kwa tukio hili na nani huko ccm atakubali lowassa awe rais wa nchi hii alipe kisasi kwao maana wanamjua kwa visasi!.
  9. yeye hataki kuwa rais kwa sababu ya mageuzi ila anataka kutimiza ndoto yake na kuwaonyesha watu kuwa yeye ni zaidi yao ni mungu mtu!.
Kabla sijatia neno ningpenda kujua wachangiaji wengine wanayachukuliaje haya madai yako mkuu;


cc: Waberoya, Nguruvi3, Alinda, JokaKuu, Zakumi, Ritz, Mchambuzi, ZeMarcopolo, zumbemkuu, Mzee Mwanakijiji, gfsonwin, Sikonge, MTAZAMO, suleiman, Mwalimu, Pasco, TUJITEGEMEE, Adharusi, Barubaru, Pipiro,
 
Nasimama kuhesabiwa na wala sitasema jingine isipokuwa hili. Zitto anajenga siasa za ukabila na ukanda.

Siasa hizo zimeshindwa kwasababu mwelekeo wa kisiasa kwake ni mgumu.

Maswahiba wake kama Arif wameshindwa kuungana naye. Wanaokimbia hawaendi kwake.

Umma umekataa siasa za chuki dhidi ya kanda na makabila. Siasa muflisi za kutaka kuchonganisha Wananchi.

Leo anahutubia mikutano vichochoroni na kwingine haeni kabisa.

Hiyo ni testmony kuwa umma haukubaliani na siasa zake za kilaghai.

Pamoja na hayo, bado umma unahoji kuhusu mengi dhidi yake

Well, unasema sikutumia akili. Kama ni hivyo iweje wewe mwenye akili bado upo hapa unasoma na kuchangia?
Jaribu kumuuliza mheshimiwa kama kweli hatutumii akili, atakujibu

Siasa tunaielewa sana ndiyo maana upo hapa unasoma kila siku.

Nakuhakikishia tunaielewa 'mzee' wako anajua hilo

Tunasimama kuhesabiwa kwa hoja na tunazitetea kwa mantiki.

Hatujaenda chooni kuandika waraka, tunaadika duru na unasoma pamoja na 'mzee'

Hoja yako kuhusu Zitto haitetewi na jingine isipokuwa majibu kuhusu Zitto.

Matatizo ya wengine hayamfanyi Zitto awe safi.

Kama anatuhumiwa asimame ajibu, vinginevyo atakumbana na nguvu ya hoja na nguvu ya umma iliyomweka mahali ambapo leo si habari tena.

Nguruvi3,

Naona umepanic ghafla nakukumbusha tu weka maneno ya akiba maandiko yako dhidi ya Zitto siyo msahafu.
 
Last edited by a moderator:
Kama ni Mtoto ataitwa CCM Imepasuka, basi sasa hivi Mama yake ana mimba ya miezi 5.

Ukidhani mimba ya miezi 5 ni Mtoto tayari, basi kwenye siasa lazima ujuwe, wiki moja ni ndefu sana.

Mwezi jana, Lowassq alikuwa kavaa magwanda ya CCM akiwa na ma-CCM wenzake, leo yupo UKAWA.

Kwenye maisha lazima ujuwe kutumia nafasi zinazotokea ila tu ujuwe kujitetea kwa nini umefanya hivyo.

Naungana na wanaosema "Simpendi Lowassa ila CCM siipendi zaidi" CCM inazaliwa, Lowassa bado kijana sana.

Hauwezi kumbebesha mizigo yote ya Ufisadi Lowassa. Escrow wamekomba, yeye akiwa pembeni.

Tatizo hapa litabaki ni li-CCM. Nina hakika hata Mzimu wa Mwalimu huko uliko, unafurahia kuokoka kwa Lowassa.

Ila kwa wanaodhani Lowassa atakuwa Rais, basi wakumbuke Goli La Mkono la Nape Nnauye.

CCM watafanya kila aina ya udanganyifu hadi Magufuli awe Rais ila bungeni, Ukawa watapeta.

Means justfy the ends? Msafiri kafi*ri au kakiri? Siasa ndivyo zilivyo.

Hawa walisutana hadi wakawa hawawezi kuangaliana, wiki kadhaa baadaye wakawa ofisini pamoja......

16debate.1-600.jpg


Ikiwa CCM tayari imeshapasuka kuna haja gani ya kumchagua Lowassa agombee Urais? Maana huko CCM hawezi kurudi na huku hata akinyimwa kugombea Urais haitabadilisha kitu CCM imeshapasuka! na zile hadith mlizotuaminisha juu yake ndio zitamzika kabisa!. Haiwezekani kabisa mtu alokuwa kundi ama kiongozi wa List of Shame leo ndiye awe mtu wa kugombea Urais upande wa Utakatifu..Hii habari hata siwezi kuifikiria vema.. Katika mageuzi yoyote yoyote ya Kisiasa sijawahi kusikia yule mtu alokuwa Kingpin na Wanted ndiye anakuja kuwa mwokozi wa watu!...
 
Kabla sijatia neno ningpenda kujua wachangiaji wengine wanayachukuliaje haya madai yako mkuu;


cc: Waberoya, Nguruvi3, Alinda, JokaKuu, Zakumi, Ritz, Mchambuzi, ZeMarcopolo, zumbemkuu, Mzee Mwanakijiji, gfsonwin, Sikonge, MTAZAMO, suleiman, Mwalimu, Pasco, TUJITEGEMEE, Adharusi, Barubaru, Pipiro,


Mkuu,

Hii thread ni ya Zitto na ACT. Tukiingiza Lowassa sana tunaweza kupoteza dira.

Hata hivyo kwa vile umeuliza nitajibu kwa ufupi.

Mpaka sasa it is clear kwamba Lowassa anaiendesha Chadema kwa remote control. Hatujui alianza lini kuiendesha kwa remote. Sasa hivi ndio tunaona hadharani lakini inawezekena alishaanza miaka mingi tu.

Katika sakata hili anayesikitisha zaidi ni Dr. Slaa. Yeye ndio anakatwa ili aingizwe Lowassa. Yaani Slaa atalazimika kukiri mbele ya umma wa watanzania kuwa Lowassa anafaa zaidi kuongoza nchi kuliko yeye. Hii ni karma inayompata Slaa.

Katika uchaguzi kila mgombea ana nafasi fulani ya kushinda. Iwapo watanshinda, basi watapata fursa ya kujipaka rangi mbalimbali za kupendeza na kuonekana mashujaa, ila ikitokea wakashindwa basi Chadema itakuwa na wakati mgumu unaotokana na interna power struggle. Hii ni kwa sababu watu anaokuja nao Lowassa wako makundi mawili , kundi la kwanza ni matajiri wanaotaka uhakika wa deal zao na kundi la pili ni wanasiasa opportunists wanaotaka vyeo. Wakipata serikali kutakuwa na vyeo vingi vya kugawana. Iwapo watashindwa uchaguzi itabidi wagawane vyeo vya ndani ya chama tu. Hapo ndipo itakuwa kimbembe. Matokeo ya kimbembe hicho sio lazima yawe mabaya, lakini ni mtikisiko unaoweza kurudisha nyuma sana upinzani nchini.
 
Back
Top Bottom