Duru za siasa: Chama cha ACT-Wazalendo Mpini wa CCM kumaliza upinzani(?)

Alinda,

Pengine wewe unachanganyikiwa na maneno ya Mchambuzi ambaye leo kapindua na anazungumzia National Savings, akidai kwamba hata nchi ikipokea misaada ni savings za watu huko nje kwa sabau tu kasoma!..Mimi simuelewi kabisa anapokuja na haya maswala la kutafsiri Capital ni kitu gani wakati hakuulizwa. Hata wewe kama huna Mtaji, ukaenda kopa kwa watoa mikopo ukaweka nyumba yako rehani huwezi kudai kwa urahisi kuwa hizi ni savings zako nje wakati unadaiwa fedha zile na umeweka nyumba rehani. na mkopo huu hauhusiani na mshahara wako bali unategemea biashara ulotaka kufungua itaweza kutrudisha mkopo huo ukarudishiwa nyumba yako.

Huyu jamaa yangu anatupa tafsiri lakini asieleze kwa kina jinsi gani mkopo wako unaweza kuwa muhari kwako pamoja na kwamba una kazi isipokuwa azungumzie biashara ama huduma unayotaka kuwekeza. halfu huyu huyu anazungumzia IMF kwa ubaya wake wakati ukimgeuza huku anasema hizi ni savings na kuanza kuzielezea kama vile kaulizwa..

Ubishi wangu na Mchambuzi unaweza nipeleka nikasema ama nikaandika vitu ambavyo sikutaka kusema kwa sababu sijui namna ya kujieleza mnavyotaka nyie. Haya mtazame sasa anashindwa kunielewa kuhusu Pato la taifa na Kodi, japo nimemuwekea link ya video ambayo inazungumzia uchangiaji wa Pato la Taifa (what we invested in) na Kodi itatokana na kile tulochowekeza after gaining profit.

Pengine anataka nimwambie tena akaisikilize kisha anambie ni wapi walipozungumzia kodi kama anavyodai yeye. Tunapozungumzia Chai hyuwezi ku isolate sukatri ndio ikawa mjadala wa Chai hapo ndipo nisipokubaliana naye. Chai ni Chai tuzungumzie Chai na unywaji wake sio kurudisha nyuma kuhusu upatikanaji wa sukari au sukari ni kitu gani. nani alouliza sukari inapatikana vipi!

Alinda una biashara yako wewe na unapotazama maendeleo yake huwezi kuondoa matumizi yako wewe nyumbani tokana na mafao ya biashara yako ukavaa vizuri, ukala vizuri ukaendesha gari kubwa yote ni kutokana na uwekezaji wako haina maana nguo hizo pia tuziweke katika mazungumzo japo tunajua pasipo kula usingeenda kazini kesho. Kama tunazungumzia Biahsra yako tuzungumzie biashara yako nisichotaka miye ni kuanza kusema pasipo gari ungefikaje kazini, sijui ungekuwaje..Sijui kama mnanielewa..


Alinda unaweza fungua Biashara ya kuuza chakula Bandari, lakini kutokana na uchanga wa Biashara ikakuchukua miaka mitatu kuanza kupata faida. Kutokana na hasara ya biashara hutalipa kodi, hii hainamaana huna mchango katika pato la Taifa laa hasha unachangia. Utakapoweza kupata faida na ukalipa kodi utakuwa umeongeza mchango wa Pato hilo vile vile lakini huwezi chukua Kodi kama kielelezo cha Pato la taifa ndicho nachomkatalia Mchambuzi..

Sipendi kuendelea na ubishi huu kwa sababu haunipeleki popote zaidi ya kujikuta nazungumza vitu ambavyo sikupenda ama vinatuondoa katika mjadala.

NB:- Umesema nakuja na vioja sio. basi kwa kutumia KODI kama mnavyoitangaza nawaomba mtuambie - KWA NINI WATANZANIA NI MASKINI ilhali nchi tao ni tajiri (GDP kubwa inayoonyesha)
 
Mchambuzi,

Kama unataka tuzungumzie Kodi bila shaka Kiongozi mkuu (Supreme au sio?) amezungumzia haya sana akiwa CDM na hata baada ya kuondoka jinsi gani serikali inapoteza mapato makubwa ya kodi ambayo yangeweza kukuza mfuko wa serikali. Aliweka hoja kubwa kuwa ni hii misahama ya kodi na jinsi gani mikataba mibovu inayowekwa pasipo kuzingatia mahitaji ya wananchi (buzwagi). Haya yote tunayajua sote lakini kutofanya hivyo hakumaanishi kwamba wananchi wa Shinyanga ndio watakosa mpango bora wa maendeleo yao kwa kile kilichopatikana ama kwa sababu serikali imetoa isamaha hiyo.

Kama tumeweza panga mipango ya Billioni 15 kwa matumizi ya serikali ya mwaka 20115/16 lakini kama tungekuwa hatuna misamaha hii na mfumo mbovu wa ukusanyaji kodi serikali ingeweza kukusanya let's say Billioni 30, hivyo makadirio na bajeti yake kwa mwaka 2015/16 kukua kwa sababu wanategemea kukusanya zaidi. Lakini hatuwezi kujenga sababu katika mapungufu hayo kuwa sababu kwa nini wananchi wa Shinyanga hawana maendeleo kwa sababu ya kukosekana hizo Kodi wala haijibu hoja ya Shinyanga inayochangia kiasi kikubwa cha pato la Taifa (tulokuwa nalo) kuwa ndio maskini zaidi.

Binafsi sioni mahusano kabisa na hoja hii kwa sababu nazingati kile tulichokuwa nacho, kimepatikana vipi na ugawaji wa pato hilo umezua makundi gani..Ile video itazame tena na tena kisha fikiria Shinyanga kama moja ya mikoa inayochangia 1/3 tuseme badala ya kundi la watu tuipe mikoa ya Dar, Mwanza, Mbeya, Shinyanga, Mara, Arusha, Mtwara, Kilimanjaro kuwa ipo katika lile kundi, mikoa mingine ndio katika hilo fungu la 2/3 Iweje katika mgao wa katika keki ya Taifa Shinyanga iwe upande wa 90% wakati Dar, Arusha na Kilimanjaro zipo kundi la 10%. Kwa maana ya kwamba Shinyanga nayo ilitakiwa kuwa kundi la 10%, haina maana Kilimanjaro na Arusha zitolewe katika kundi hilo.

Kweli sote tunakubali kwamba kama serikali ingeweka kodi kwa migodi ya madini kama Barrick, ikaondoa misamaha isiyokuwa na tija kwetu, serikali hii ingekusanya kodi zaidi lakini kodi hiyo haina maana ni ya Shinyanga bali ni ya Taifa na kutokana na ugawaji mbovu wa Pato la Taifa inawezekana kabisa Shinyanga isingefaidika bado vile vile kwa sababu hakuna mfumo bora unaozingatia ugawaji wa michango ya pato la kwa kila mkoa. Ni mfumo huu mbovu unaotupeleka hadi matatizo tulokuwa nayo na Zanzibar katika muungano. Ni sawa na kusema bwana Mlevi asiyehudumia watoto hata akipewa mshahara mkubwa zaidi pengine ndio atazidisha ulevi mkwa sababu hana vipaumbele vinavyojulikana. Swala lililopo ni kwa nini asihudumie watoto wake ipaswavyo kwa kiwango alichokuwa nacho, iweje tutegemee akipata zaidi ndio atakuwa msafi!.

Mkuu umefanya mtihani na kufuzu kwa point 4, lakini wapo wanafunzi wengine walofuzu kwa mtihani kwa point 6 hadi 9. halafu wewe usichaguliwe kujiunga na masomo ya juu kwa kunakosa gani ukauliza sababu ukwaweka ushahidi kuwa Mkandara alopata point 6 kachaguliwa, Adharusi mwenye point 5 kachaguliwa iweje miye nisichaguliwe? je hii ina maana kwamba hukupenda uchaguzi wa Mkandara na Adharusi au unataka nawe upewe haki yako kwa kuwa na point 4 ili ukasoma masomo ya juu!..
 
NB:- Umesema nakuja na vioja sio. basi kwa kutumia KODI kama mnavyoitangaza nawaomba mtuambie - KWA NINI WATANZANIA NI MASKINI ilhali nchi tao ni tajiri (GDP kubwa inayoonyesha)

Oh, Lord, so measure or indicator of wealth is GDP? IS wealth distributed by GDP? Kama ulikuwa haujui, redistribution of wealth happens through taxation, not GDP. Kubali tu Mkandara kwamba umekosa hoja, ili kwa pamoaj tuendelee na mjadala wa sote sisi kuzidi kujifunza.
 
Oh, Lord, so measure or indicator of wealth is GDP? IS wealth distributed by GDP? Kama ulikuwa haujui, redistribution of wealth happens through taxation, not GDP. Kubali tu Mkandara kwamba umekosa hoja, ili kwa pamoaj tuendelee na mjadala wa sote sisi kuzidi kujifunza.
Yeah GDP ni indicator ya Utajiri, nenda katazame Nigeria ambayo ni tajiri ina GDP ukubwa gani halafu linganisha na Tanzania? Sizungumzii kupanda kwa GDP toka mwaka ulopita bali ukubwa wa GDP unaashiria Utajiri wa nchi. Katazame nchi tajiri Afrika utakuta Ukubwa GDP ndio kielelezo.

Sasa ikiwa Utajiri huo hauna mfumo bora wa ugawaji ndio matatizo ya Biafra yalitokea na yanaendela kutokea, hii haina maana GDP ya Nigeria inaonyesha uongo.

haya nambie nimezungumzia wapi redistribution of Wealth? kwanza nani alokwambia redistribution of wealth unafanywa na Taxes unajua maana ya redistribution? Kwa nchi hizi tunazoishi baada ya ku file Tax na ukaonekana una kipato chini ya kiwango fulani hurudishiwa Tax ulizowalipa. Redistribution of wealth mara nyingi ni kuchukua kutoka kwa matajiri na kuwarudishia wananchi maskini inaweza kupitia sadaka, Taxes wakapunguziwa maskini au kurudishiwa, welfare, na hata kutaifisha zipo njia nyingi na tofauti inategema chama na sera zake wametumia njia gani.

Kwa hiyo sielewi kabisa unachozungumzia mkuu wangu na hukawii kuruka viunzi kutafuta wapi Mkandara amekosea kuandika wakati hutaki wewe kukubali tunachozungumzia hapa ni kwa nini Shinaynga yenye mchango mkubwa wa pato la taifa una watu maskini sana.. Hizo sababu za ukusanyaji wa kodi hata siku moja haziwezi kubadilisha ukweli..
 
Yeah GDP ni indicator ya Utajiri, nenda katazame Nigeria ambayo ni tajiri ina GDP ukubwa gani halafu linganisha na Tanzania? Sizungumzii kupanda kwa GDP toka mwaka ulopita bali ukubwa wa GDP unaashiria Utajiri wa nchi. Katazame nchi tajiri Afrika utakuta Ukubwa GDP ndio kielelezo.

Sasa ikiwa Utajiri huo hauna mfumo bora wa ugawaji ndio matatizo ya Biafra yalitokea na yanaendela kutokea, hii haina maana GDP ya Nigeria inaonyesha uongo.

haya nambie nimezungumzia wapi redistribution of Wealth? kwanza nani alokwambia redistribution of wealth unafanywa na Taxes unajua maana ya redistribution? Kwa nchi hizi tunazoishi baada ya ku file Tax na ukaonekana una kipato chini ya kiwango fulani hurudishiwa Tax ulizowalipa. Redistribution of wealth mara nyingi ni kuchukua kutoka kwa matajiri na kuwarudishia wananchi maskini inaweza kupitia sadaka, Taxes wakapunguziwa maskini au kurudishiwa, welfare, na hata kutaifisha zipo njia nyingi na tofauti inategema chama na sera zake wametumia njia gani.

Kwa hiyo sielewi kabisa unachozungumzia mkuu wangu na hukawii kuruka viunzi kutafuta wapi Mkandara amekosea kuandika wakati hutaki wewe kukubali tunachozungumzia hapa ni kwa nini Shinaynga yenye mchango mkubwa wa pato la taifa una watu maskini sana.. Hizo sababu za ukusanyaji wa kodi hata siku moja haziwezi kubadilisha ukweli..
Africa is home to some of the richest countries in the world, in part due to its oil-rich soil and human capital. With GDPs going up as high as $594.257 Billion.According to statistics provided by the-International Monetary Fund-(IMF), these are currently, according to the figures provided at the time, the Top 10 richest countries in Africa.1. Nigeria: GDP – $594.257 billionThe most populous country in Africa is a major contender on this list, its manufacturing sector being the third largest in Africa while it contributes a considerable share of the world’s oil. Taking into account this country’s population of 170 million, Nigeria is on track to becoming one of the 20 largest economies in the world by-2020.
 
Yeah GDP ni indicator ya Utajiri, nenda katazame Nigeria ambayo ni tajiri ina GDP ukubwa gani halafu linganisha na Tanzania? Sizungumzii kupanda kwa GDP toka mwaka ulopita bali ukubwa wa GDP unaashiria Utajiri wa nchi. Katazame nchi tajiri Afrika utakuta Ukubwa GDP ndio kielelezo.

Sasa ikiwa Utajiri huo hauna mfumo bora wa ugawaji ndio matatizo ya Biafra yalitokea na yanaendela kutokea, hii haina maana GDP ya Nigeria inaonyesha uongo.

haya nambie nimezungumzia wapi redistribution of Wealth? kwanza nani alokwambia redistribution of wealth unafanywa na Taxes unajua maana ya redistribution? Kwa nchi hizi tunazoishi baada ya ku file Tax na ukaonekana una kipato chini ya kiwango fulani hurudishiwa Tax ulizowalipa. Redistribution of wealth mara nyingi ni kuchukua kutoka kwa matajiri na kuwarudishia wananchi maskini inaweza kupitia sadaka, Taxes wakapunguziwa maskini au kurudishiwa, welfare, na hata kutaifisha zipo njia nyingi na tofauti inategema chama na sera zake wametumia njia gani.

Kwa hiyo sielewi kabisa unachozungumzia mkuu wangu na hukawii kuruka viunzi kutafuta wapi Mkandara amekosea kuandika wakati hutaki wewe kukubali tunachozungumzia hapa ni kwa nini Shinaynga yenye mchango mkubwa wa pato la taifa una watu maskini sana.. Hizo sababu za ukusanyaji wa kodi hata siku moja haziwezi kubadilisha ukweli..

Facts:

1. GDP is not the correct indicator of wealth.

2. You can be a resource rich country but still poor because wealth haven't been created and redistributed.
3. Wealth redistribution is not done via GDP but taxation.
4. GDP doesn't take into account of how income is distributed.
5. Mnaendelea kujichanganya. Awali Neno "pato" mlitumia on both GDP and taxes. Sasa mnatumia neno "utajiri" kuelezea both rich and wealth.
6. What's key in economics is "wealth of nations", of which taxation is key in its redistribution.

Changamoto za shinyanga, Kilimanjaro etc Ndio zipo hapo.

Nitarudi kufafanua.

Cc Ritz
 
Last edited by a moderator:
Facts:

1. GDP is not the correct indicator of wealth.

2. You can be a resource rich country but still poor because wealth haven't been created and redistributed.
3. Wealth redistribution is not done via GDP but taxation.
4. GDP doesn't take into account of how income is distributed.
5. Mnaendelea kujichanganya. Awali Neno "pato" mlitumia on both GDP and taxes. Sasa mnatumia neno "utajiri" kuelezea both rich and wealth.
6. What's key in economics is "wealth of nations", of which taxation is key in its redistribution.

Changamoto za shinyanga, Kilimanjaro etc Ndio zipo hapo.

Nitarudi kufafanua.

Cc Ritz
The-Gross Domestic Product (GDP)-is a measure of economic activity for a country as a whole.- GDP, and related figures like per capita GDP or inflation-adjusted GDP, are frequently referenced in economics and news sources, especially in the context of development economics, and especially in news sources discussing economic downturns or booms.- GDP is so dominant that the general term-“growth”-is usually implicitly assumed to mean growth of GDP.Economics, contrary to popular belief, is not the study of money or financial systems-per se, but rather, the study of resource use and distribution in human society.- Definitions of economics, including those in most mainstream economics textbooks, emphasize economics as the study of the choices people and groups of people make, particularly in contexts involving scarce resources.
 
Last edited by a moderator:
YES, GDP is a good indicator of improving quality of life.

GDP will affect your GDP per capita. GDP per capita is when they divide the total GDP by the number of people in that country. A rise in GDP per capita will also translate into a rise of productivity. The reason for that is that the more that you produce, the more you sell. It gives you an idea of what the people are engaged in. GDP per capita can be used as an indicator of standard of living as well. One can conclude that having a higher GDP per capita will be interpreted as having a higher standard of living. Now what can one conclude about a country with low GDP? You can assume that they don't have the best infrastructure.

Cc; Mchambuzi
 
Last edited by a moderator:
YES, GDP is a good indicator of improving quality of life.

GDP will affect your GDP per capita. GDP per capita is when they divide the total GDP by the number of people in that country. A rise in GDP per capita will also translate into a rise of productivity. The reason for that is that the more that you produce, the more you sell. It gives you an idea of what the people are engaged in. GDP per capita can be used as an indicator of standard of living as well. One can conclude that having a higher GDP per capita will be interpreted as having a higher standard of living. Now what can one conclude about a country with low GDP? You can assume that they don't have the best infrastructure.

Cc; Mchambuzi

How does one benefit from GDP Per Capita? Can you give us one example of a person who has benefited from GDP Per Capita and his or her quality of life has improved?
 
Last edited by a moderator:
The-Gross Domestic Product (GDP)-is a measure of economic activity for a country as a whole.- GDP, and related figures like per capita GDP or inflation-adjusted GDP, are frequently referenced in economics and news sources, especially in the context of development economics, and especially in news sources discussing economic downturns or booms.- GDP is so dominant that the general term-“growth”-is usually implicitly assumed to mean growth of GDP.Economics, contrary to popular belief, is not the study of money or financial systems-per se, but rather, the study of resource use and distribution in human society.- Definitions of economics, including those in most mainstream economics textbooks, emphasize economics as the study of the choices people and groups of people make, particularly in contexts involving scarce resources.

Oh my lord. How is this relevant to the facts I presented earlier? Can you crash my facts one by one in an analytical way instead of copy and paste? What you have above doesn't make sense in the context of what I argued earlier. It's relevant only in a complete different context.

What's interesting about you Ni kwamba, ukikwama hoja, unapotea, ukirudi, unarudi na copy and paste.
 
Facts:

1. GDP is not the correct indicator of wealth.

2. You can be a resource rich country but still poor because wealth haven't been created and redistributed.
3. Wealth redistribution is not done via GDP but taxation.
4. GDP doesn't take into account of how income is distributed.
5. Mnaendelea kujichanganya. Awali Neno "pato" mlitumia on both GDP and taxes. Sasa mnatumia neno "utajiri" kuelezea both rich and wealth.
6. What's key in economics is "wealth of nations", of which taxation is key in its redistribution.

Changamoto za shinyanga, Kilimanjaro etc Ndio zipo hapo.

Nitarudi kufafanua.

Cc Ritz
1. And what is the correct Indicator of a country's Wealth? maana usije kuwa unazungumzia kupanda kwa GDP kwa mwaka badala ya total GDP ya Nchi kama alviyoonyesha Ritz hapo juu kuhusu Nigeria kuwa na 594.257 billion. Utasemaje hii sio Indicator? au unazungumzia Utajiri kwa maana Tanzania mwaka jana 2014 GDP imepanda kwa asilimia 7 hivyo sisi ni/sio matajiri? hakuna anayesema hivi maanake lazima tuelewane hapa tunazungumzia nini.

2. Mkuu hizi ni facts zako kwa sababu wealth ni Utajiri hata kama utajiri wa nchi ama dunia umeshikwa na kundi la watu wachache iwe asilimia 1 ama 10 (wealth =Assets - Liabilities). Facts za dunia 10% of the richest control more than half of the world wealth!. Hawa ni matajiri and this is the fact (hali halisi ilivyo leo). Na ile video ingekusaidia kuona hoja inayodai kwamba Utajiri wao sio lazima uwe na Inequality na wameonyesha redistribution inavyotokea. Sipendi kurudia tena maneno yle yale...

Huwezi kuwa rich halafu ukawa maskini, you either rich or Poor period. Wewe unazungumzia ukiwa na kipato (income) kikubwa unaweza kuwa maskini kwa sababu ya matumizi makubwa. Yes unaweza kuwa na mshahara wa Millioni 11 kama wabunge wetu, lakini matumizi yako yakawa makubwa kuliko hizo millioni 11, hivyo utakuwa ktk maskini kama kina Lissu. Utajiri ni Assets - Liabilities..

3. Redistribution of wealth ndio mgao wa keki ambao unatuonyesha kwa kila nchi. Tatizo lako Mchambuzi unatumia kitabu kutazama swala hili wakati mimi natazama hali halisi ya Tanzania. Hata katika hali hiyo nimekufuata na kukuonyesha ile video wakionyesha redistribution of wealth inavyotokana sijaona mahala ukaikosoa pengine ningekuelewa vizuri point yako.

Halafu basi hata tukifuata vitabu na nchi zenye mfumo bora wa kiuchumi na Kiutawala hutokea hivi:- Unapoona GDP kubwa ina maana Utajiri wa nchi hiyo, automatically itakuwa na Mchango mkubwa ktk Pato lake la taifa na pia mchango mkubwa wa kodi katika mfuko wa serikali, hii inatokana na mfumo bora wa kiutawala na ukusanyaji kodi sio solemba. Tazama California, Texas au New York, Ontario, BC ama Alberta na vitongoji vyake GDP kubwa ina maana pato kubwa na kodi zao wanalipa kubwa. Kwenye Utajiri utakuta economic activities zaidi, more wana contribute katika Pato la taifa, wanalipa tax zaidi na ndivyo returns katika maendeleo ya wananchi. hakuna kinyume laa sivyo kuna mfumo mbovu tu.

And talking about reditribution, Sisi ndio kabisa hatuamini katika utawala wa majimbo, Kimfumo toka zamani Utajiri unaopatikana Shinyanga au Mtwara ni utajiri wetu wote na utaijenga nchi nzima. Serikali itapanga vipaumbele vyake ili kupambana na Umaskini nchini na sio Shinyanga wala Mtwara. Hii ndio hali halisi ya kimfumo tulokuwa nayo na zamani wakati wa mwalimu tuliijenga nchi hii kwa misingi ya sisi sote ni maskini hatuwezi kugawana umaskini wala kuachia mabepari na makabaila wa invest. Serikali ndio ilokuwa ikiwekeza ktk miradi ya maendeleo hawakujitoza kodi, Tulihitaji tu Uzalendo wa kusaidiana kama jamii moja. Hivyo rasilimali na maliasili zetu ziliwekezwa ili kusambaza maendeleo badala ya kundi dogo kumiliki Utajiri huo.

Lakini leo mfumo huo ama utaratibu huo umeweza kuzaa Mafisadi ambao kwa ushenzi wao tunayaona matokeo kama ya Shinyanga kuwa maskini zaidi halafu tunajenga kundi la matajiri wachache kupitia siasa. In fact huwezi kukuta jimbo au Mkoa ktk nchi za wenzetu unaochangia zaidi pato la taifa lakini ukakuta inachangia kidogo tax. Hapa hapa kama wewe msomi ungesema wait a minute, something is very wrong!.. haiwezekani Mkoa kama Shinyanga wenye kuchangia zaidi Pato la Taifa halafu wachangie Tax kidogo kuliko mikoa yenye pato dogo.

Kinadharia haina explanation hata kidogo, wala kiuchumi haikubaliki isipokuwa tunakuja gundua kumbe serikali imeyapa mashirika makubwa ya nje misamaha japo yanachuma kwetu na kuchangia Pato la taifa. Tanznaia imekuwa shamba la Bi. kizee unaingia maskini unatoka tajiri. Shirika kama Barrick linachangia uchumi na maendeleo ya Canada kuliko Tanzania, na Mwadui Diamond wanachangia uchumi na maendeleo ya South Afrika kuliko Tanzania kwa sababu sio tu hawalipi kodi hata mzunguko wa mapato yao unafanyika nchi za nje. Kwa maana hiyo basi tunaweza sema Shinyanga wanaibiwa lakini Kilimanjaro wanaonewa kwa sababu huwezi kuwa na mchango mdogo katika Pato la Taifa, halafu ukalipa kodi kubwa kuliko mkoa wenye pato kubwa!

Mwisho, nimalize kwa kusema hivi, hapa hatuzungumzii vitabu vya Economics vinasema nini wala uchumi wa Marekani au UK wenye mifumo bora bali tunazungumzia hali halisi ya Tanzania ambayo tax unazolipa wewe, mimi na wengine wote (wanazokusanya TRA) zinatumiwa kwenye recurrent expenditure yaani Matumizi ya kawaida ya serikali.

Kwa hiyo sioni kwa nini bado unatumia neno Redistubution inafanywa na Taxes wakati unajua nchini hazifanywi na tax isipokuwa matumizi yote ya lazima na maendeleo ya serikali tunategemea misaada na mikopo. Basket yetu ya bajeti imejaa misaada na mikopo kuendesha maendeleo ya nchi maana hata hizo tax tunazolipa hazitoshi kuendesha matumizi ya kawaida ya serikali hii kubwa. Kwa nini bado unaendelea kutumia vitabu ambapo in reality inaonyesha tunaishi kwa misaada na mikopo (madeni). Tunaibiwa hata hiyo misaada na mikopo kwenye RADA, BUZWAGI, MEREMETA, EPA, ESCROW you name it na yasemekana miradi ya madini viongozi wetu wana share zao.

Kwa hiyo hapa hatu deal na FACTS bali tuna deal na REALITY (Hali halisi)
 
UPDATE

Tumesema katika uzi huu kuwa, kutakuwepo na hama hama ya watu kuelekea uchaguzi. Hilo litakuwa na athari chanya na hasi kutokana na mtu anapoangalia.

Uzi huu ulizungumzia namna Makamu mwenyekiti wa Chadema zama hizo, Arifu alivyojiuzulu haraka kufuatia fukuza ya wanachama. Hoja yake ilikuwa kutoridhishwa na hatua zilizochukuliwa. Makamu Mwenyekiti alikuwa anaunga mkono kambi ya Kiongozi mkuu wa ACT aliyekuwa matatizo wakati huo.

Hii si mara kwanza, migogoro mingi iliyofukuta mzee huyo alikuwa upande wa kiongozi mkuu.
Na wala hilo si tatizo, kwasababu ana maono na maoni yake, mapenzi na upendo wa kile anachoamini, ni haki yake

Tulitarajia atakapoondoka atamfuata kiongozi mkuu. Leo kachukua kadi ya kurudi CCM.

Hapo ndipo maswali yanapotokea, je, si kweli CCM ilikuwa na mipini yake upinzani?

Tunawezaje kueleza utata uliopo wa Chadema, ACT, CCM kwa kumuangalia mh Arif alipo?



Tusemezane
 
Wanaukumbi.

Chadema ni mpini wa CCM kuumaliza upinzani.


Mwenyekiti wa CHADEMA taifa mh. Freemam Mbowe amemkaribisha Lowassa kujiunga na CHADEMA hakibagui mtu ili mradi tu afuate kanuni na taratibu za chama.

Source: Tanzania Daima, Mwananchi.

Lema naye kasema yake kwenye hizi video mbili anakuambia safari ya matumaini inaendelea msililize vizuri anaongea kwa uchungu sana kuhusu Lowasssa.


https://youtu.be/cvhglzdnp3g

https://youtu.be/2Pqi7EKVEPM

CC: Mkandara JokaKuu Mag3 Barubaru Gamba la Nyoka
 
Last edited by a moderator:
Wanaukumbi.

Chadema ni mpini wa CCM kuumaliza upinzani.


Mwenyekiti wa CHADEMA taifa mh. Freemam Mbowe amemkaribisha Lowassa kujiunga na CHADEMA hakibagui mtu ili mradi tu afuate kanuni na taratibu za chama.

Source: Tanzania Daima, Mwananchi.

Lema naye kasema yake kwenye hizi video mbili anakuambia safari ya matumaini inaendelea msililize vizuri anaongea kwa uchungu sana kuhusu Lowasssa.


https://youtu.be/cvhglzdnp3g

https://youtu.be/2Pqi7EKVEPM

CC: Mkandara JokaKuu Mag3 Barubaru Gamba la Nyoka

..doesnt make sense to me.

..kinachopingwa hapa ni vyama vya upinzani kupokonyana wanachama na kuhujumiana.

..lowassa angekuwa ni mwanachama wa chama kimojawapo cha upinzani, halafu cdm wakawa wanajaribu kumrubuni, then hoja yako ingekuwa na mashiko.
 
Last edited by a moderator:
..doesnt make sense to me.

..kinachopingwa hapa ni vyama vya upinzani kupokonyana wanachama na kuhujumiana.

..lowassa angekuwa ni mwanachama wa chama kimojawapo cha upinzani, halafu cdm wakawa wanajaribu kumrubuni, then hoja yako ingekuwa na mashiko.
Kwa hiyo hamna tatizo Mbowe kumlilia Lowassa kujiunga na Chadema?

Hili hoja iwe na mashiko nani haiukubali wewe au Nguruvi3, Mag3, Mchambuzi Alinda au nani?

Chadema mtafanyaje sasa kwenye ile orodha ya mafisadi mliyoitoa pale Mwembe Yanga na kuwafahamisha watanzania kuwa Lowassa ni fisadi leo hoja ya ufisadi haina mashiko tena.
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • 1438007019580.jpg
    1438007019580.jpg
    45.4 KB · Views: 98
Back
Top Bottom