Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,404
- 31,384
- Thread starter
- #21
ARTILCE 50 OF LISBON TREATY
Kifungu cha mkataba wa Lisbon, kwa ufupi kinaeleza
Kwanza,nchi inavyoweza kujitoa EU kufuatana na matakwa ya katiba zao
Kwa Uingereza isiyo na katiba rasmi, kura ya maoni iliyofanyika inaeleza hilo
Pili,nchi itakayojitoa itafikisha azimio baraza la Ulaya 'Eurpoean council' litakalofanyia kazi maombi kwa kukasimiwa madaraka na Bunge la Ulaya.
Majadiliano ni namna ya kujitoa na mahusiano ya siku za baadaye na EU
Tatu,Kuitoa kutakuwa na nguvu za kisheria kuanzia siku ya makubaliano, au miaka miwili baada ya hapo na upo uwezekana wa kuongeza muda katika mchakato wa kujitoa
Nne,kutokana na matakwa namba 2 na 3 hapo juu, mwanachama hatashiriki katika baraza la ulaya au kwa maamuzi yanayomhusu
Tano,Nchi ikiomba kujiunga tena itafuata utaratibu wa kifungu 49 cha mkataba huo.
Ieleweke, kura ya maoni peke yake ni mambo ya ndani ya UK,hayahusu ushiriki kwa maana siyo taarifa rasmi kwa umoja wa Ulaya.
Kinachosubiriwa ni taarifa ya UK kujitoa rasmi kufuatana na kifungu 50 cha mkataba. Ingawa kila mmoja anajua UK imejitoa, hakuna barua rasmi.
Barua hiyo ndiyo ita'trigger article 50' kwa mambo manne tulivyoyaorodhesha hapo juu
Cameron alikataa kuanzisha mchakato wa kifungu 50 kutokana na hali ilivyo UK.
Kuna hoja ya EU,UK wakiondoa wahamiaji wa EU,wananchi wake hawatakuwa na 'free movement' katika EU
Hili ndilo linamsumbua Waziri mkuu May. Hoja ya kujitoa ililkuwa kulinda soko dhidi ya Wahamiaji. Kuwaondoa ni ahadi waliyotoa.
EU ikizuia free movement ya waUK,waliokataa kujitoa wata ng'aka dhidi ya serikali yao.
May amesema hata trigger article 50 hadi mwakani licha ya shinikizo la EU.
Maana ya hii ni kuwa UK itaendelea kuwa mwanachama wa EU wakati inajipanga kujitoa. Kumbuka hadi watakapowasilisha article 5 bado ni wananchama
Theresa May anataka kuvuta muda wa kujipanga.
Kadri wanavyochelewa kuanzisha article 5 ndivyo wanavuta muda wa kuwa ndani ya EU wakijianda kuondoka, wenyewe wakisema 'Buy the time'
Tatizo, EU wamechukizwa na wanashinikiza article 50 haraka sana.
Swali, je, Theresa na akina Boris Johnson na Nigel Farage wataharakisha mchakato bila kujua wanakwenda wapi?
Kwa mantiki hii, tuangalie mafunzo yatatokanayo bandiko lijalo
Tusemezane
Kifungu cha mkataba wa Lisbon, kwa ufupi kinaeleza
Kwanza,nchi inavyoweza kujitoa EU kufuatana na matakwa ya katiba zao
Kwa Uingereza isiyo na katiba rasmi, kura ya maoni iliyofanyika inaeleza hilo
Pili,nchi itakayojitoa itafikisha azimio baraza la Ulaya 'Eurpoean council' litakalofanyia kazi maombi kwa kukasimiwa madaraka na Bunge la Ulaya.
Majadiliano ni namna ya kujitoa na mahusiano ya siku za baadaye na EU
Tatu,Kuitoa kutakuwa na nguvu za kisheria kuanzia siku ya makubaliano, au miaka miwili baada ya hapo na upo uwezekana wa kuongeza muda katika mchakato wa kujitoa
Nne,kutokana na matakwa namba 2 na 3 hapo juu, mwanachama hatashiriki katika baraza la ulaya au kwa maamuzi yanayomhusu
Tano,Nchi ikiomba kujiunga tena itafuata utaratibu wa kifungu 49 cha mkataba huo.
Ieleweke, kura ya maoni peke yake ni mambo ya ndani ya UK,hayahusu ushiriki kwa maana siyo taarifa rasmi kwa umoja wa Ulaya.
Kinachosubiriwa ni taarifa ya UK kujitoa rasmi kufuatana na kifungu 50 cha mkataba. Ingawa kila mmoja anajua UK imejitoa, hakuna barua rasmi.
Barua hiyo ndiyo ita'trigger article 50' kwa mambo manne tulivyoyaorodhesha hapo juu
Cameron alikataa kuanzisha mchakato wa kifungu 50 kutokana na hali ilivyo UK.
Kuna hoja ya EU,UK wakiondoa wahamiaji wa EU,wananchi wake hawatakuwa na 'free movement' katika EU
Hili ndilo linamsumbua Waziri mkuu May. Hoja ya kujitoa ililkuwa kulinda soko dhidi ya Wahamiaji. Kuwaondoa ni ahadi waliyotoa.
EU ikizuia free movement ya waUK,waliokataa kujitoa wata ng'aka dhidi ya serikali yao.
May amesema hata trigger article 50 hadi mwakani licha ya shinikizo la EU.
Maana ya hii ni kuwa UK itaendelea kuwa mwanachama wa EU wakati inajipanga kujitoa. Kumbuka hadi watakapowasilisha article 5 bado ni wananchama
Theresa May anataka kuvuta muda wa kujipanga.
Kadri wanavyochelewa kuanzisha article 5 ndivyo wanavuta muda wa kuwa ndani ya EU wakijianda kuondoka, wenyewe wakisema 'Buy the time'
Tatizo, EU wamechukizwa na wanashinikiza article 50 haraka sana.
Swali, je, Theresa na akina Boris Johnson na Nigel Farage wataharakisha mchakato bila kujua wanakwenda wapi?
Kwa mantiki hii, tuangalie mafunzo yatatokanayo bandiko lijalo
Tusemezane