tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,672
- 19,187
Hi hataree mimi nlishamuahidi mdada katikatika ya mechi ntamfungulia duka cku 3 bdae ananikumbusha vipi ahadi yetu....nkamwambia utakua umekosea no sio mimi
Tena aweke picha ya makanikia maana wengi hatuyajuiWeka Picha
Jamaa Jana kamuahidi demu wake kumnumnulia kiwanda cha kuchenjua makanikiaHi hataree mimi nlishamuahidi mdada katikatika ya mechi ntamfungulia duka cku 3 bdae ananikumbusha vipi ahadi yetu....nkamwambia utakua umekosea no sio mimi
sasa dude lianze kuwataja wote wanaokuwa akili zero wakati wa tendo la ndoa halafu ukute ndio wanaokana hilo humu kwenye comments za hii threadDude limeamshwa
Nazjaz sijakuona humu kitambo.
Huyu ni expatriate wa mambo ya pesa... Ha ha ha... Hujambo miss Chagga?Hapana
Wewe ni Expatriate wa mambo ya chini
Hatujasema mume wako ni mbumbumbu Mahondaw......Ila kutokana na mavitus unayompa gauge ya akili yake inashuka mpaka minus.Weeeeeeh Weeeeeeh Weeeeeeh Smart911 ni jembee hatarious my king ana akili kupita nyingi maelezo
sijambo mkuu shikamoo.. mwambie bwanaHuyu ni expatriate wa mambo ya pesa... Ha ha ha... Hujambo miss Chagga?
Akili zetu huwa tunazitumbukiza na dushe mule ndani, ktk mechi akili huamia kichwa cha chini. Hivyo tuwaulize nyie mnawekaga nini humo mpaka dushe linatolewa akili na akili kwa jumla inapotea.*UFUNUO KTK TENDO LA NDOA..!!*
Kuna tofauti kubwa baina ya mwanamke na mwanaume wanapokuwa katika tendo la ndoa.
MWANAMKE:
1) Aibu huongezeka
2) Nguvu za mwili humuishia na mwili hulegea
3) Uwezo wa kufikiria huongezeka na kufika (to themaximum)
MWANAUME:
1) Aibu hutoweka kabisa
2) Nguvu za mwili huongezeka
3) Uwezo wa kufikiria(IQ) hushuka na kufikia zero! (hasa anapokuwa kileleni).
Katika hayo kuna mambo
tunajifunza:
a) Kumbe ndio maana vitabu vya mungu vinasema (mwanamume) aziniye na mwanamke hana akili kabisa; kwa
sababu kimaumbile na kisaikolojia uwezo wa kufikiri hutoweka!
b) Kama mwanamke anakuwa na uwezo mkubwa wa kufikiria (to the maximum) na mwanamume akili
na uwezo wa kufikiria vinashuka (to zero), bila shaka unaweza ukatambua kwa nini Samson “asingesalimika”
Kwa namna yeyote ile mbele ya Delila!
Nadhani wanaume tunapata somo letu
hapa;
“Mwanamke unaempa mwili wako kupitia tendo la ndoa, ikiwa ana nia mbaya ni rahisi mno kukumaliza kiulaiiiiiiiiiiiniiiiiiii”. Katikati ya tendo hili (akili yako inapokuwa sifuri) unaweza kujikuta unakabidhi mshahara wote!
Unaweza kujikuta unaahidi kumnunulia gari wakati hata pikipiki imekushinda!
Unaweza kuikana familia yako mchana kweupe!
Na asikwambie mtu; “Ahadi unazozitoa katikati ya tendo hili zina nguvu kubwa kuanzia ulimwengu wa roho hadi katika fikra. Ndio maana ukidakwa na ukajikuta umeropoka ahadi, ujue huo ni msala na hilo litakuganda mpaka ujute!”.
Pengine la muhimu (kwa wote) ni kujitahidi kuheshimu miili yetu na inapotolewa kutumika basi iwe ni “sadaka ya amani na haki” kwa wale wa halali na wanaostahili.
Mungu awabariki sana ...