FENESIHili tunda linaitwaje kwa Kiswahili? Je? Linapatikana Tanzania.
Kwa waliowahi kutumia hili tunda, lina ladha na harufu ya namna gani. Lina virutubisho gani au madhara gani?
View attachment 1989203
View attachment 1989204
View attachment 1989205
View attachment 1989206
View attachment 1989207
Hili sio shelisheli broSheli sheli