Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,615
- 17,607
Dah muhenga kwa hiyo ni kazi ya mama P cute b kukukata kucha ? Huwezi kufanya mwenyewe ?Alaumiwe mke wake hapo. Ameshindwa kazi
Ndio maana naona kuna jamaa anaitwa 4G ananyemelea mama
Dah muhenga kwa hiyo ni kazi ya mama P cute b kukukata kucha ? Huwezi kufanya mwenyewe ?Alaumiwe mke wake hapo. Ameshindwa kazi
Ndio kama hao wanaokatwa kucha kwa kulipia. Eti wanaogopa kujikata. 😀😀😀Wengine wameenda wapi?
Mkuu sio wote tunaweza kufanya mwenzetu kashindwa hata hilo dogoSasa Mkuu majukumu yote yakiwa ya mke unadhani kila jukumu litatekelezeka basi, zaidi madhara yake yatakuwa kama hayo sasa.
Nionavyo jambo dogo kama hilo mulifanye tu ikitokea nafasi imepatikana basi tutawakata tu.
Uzembe wake Mkuu na kujiendekeza tu sababu akiamua hata dkk 20 nyingi ameshamaliza.Mkuu sio wote tunaweza kufanya mwenzetu kashindwa hata hilo dogo
Anatumia hela yake mkuuUzembe wake Mkuu na kujiendekeza tu sababu akiamua hata dkk 20 nyingi ameshamaliza.
Sababu sidhani kama anapata cha zaidi pale zaidi ya kukatwa kucha na kuosha miguu pekee.
Hivyo na wewe unaeza tumia za kwako Mkuu kwa njia hiyo anayotumia huyo Me mwenzio?Anatumia hela yake mkuu
Mkuu nitakuwa najidhalilisha sana na kuwadhalilisha wenzanguHivyo na wewe unaeza tumia za kwako Mkuu kwa njia hiyo anayotumia huyo Me mwenzio?
Hahah huko kujifanya mna mambo mengi ndio hapo hapo michepuko inapopataga credits.Hapo sawa jirani. Japo niseme kuoa sio mwanzo wa ulemavu. Sababu Mke anaweza kuwa busy na kazi, akirudi nyumbani yuko busy na familia hata asikumbuke kama Mume kucha zimekuwa kubwa.
Hivyo inapobidi wenye wake mujikate tu na sio kuogopa viwembe jirani.
Hahah dont count on every every word.
Hapo unakuta anachekacheka ovyo kwa kufurahia mtekenyoIngekuwa funza sura ingeonyesha Mkuu. Lakini hapo jamaa anaonekana kastarehe kabisa.
Hahahhh.. Amewaonea wivuHao hupenda kusema tumia hela ikuzoee au hela ikutunze sio wewe uitunze, anataka apate raha ambayo wanawake huwa wanapata pindi wanapakwa rangi
😀😀Hahahhh.. Amewaonea wivu
Afadhali umelijua hilo Mkuu.Mkuu nitakuwa najidhalilisha sana na kuwadhalilisha wenzangu
Aah! Jirani saa ingine hata huwa kufanya yote hakusaidii.Hahah huko kujifanya mna mambo mengi ndio hapo hapo michepuko inapopataga credits.
Muwe makini mkumbuke mna ushindan mkubwa saana from small house
😂😂😂Hapo unakuta anachekacheka ovyo kwa kufurahia mtekenyo
Kuna mtu ananiita?Labda anatolewa funza,
Binadamu ni mchakato muache awe
Nimekumbuka posts za emmyta. That avatar is superb!Sasa Mkuu majukumu yote yakiwa ya mke unadhani kila jukumu litatekelezeka basi, zaidi madhara yake yatakuwa kama hayo sasa.
Nionavyo jambo dogo kama hilo mulifanye tu ikitokea nafasi imepatikana basi tutawakata tu.