stardust JK
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,975
- 4,207
Hii ni zaidi ya futuhi dahhhh...
HahahhhhhhNikiwasema wakwe zangu najua sintakanyaga bukoba
Ingekuwa funza sura ingeonyesha Mkuu. Lakini hapo jamaa anaonekana kastarehe kabisa. 😀😀😀Labda anatolewa funza,
Binadamu ni mchakato muache awe
Ila kuna wanaume wanapenda dezo aisee.Huenda anakatwa kucha
Soon tutaunga mkono serekali kwa kuanzisha kiwanda chavDuuh! Hatari sana.
Ila hao ndio wanafanya huyo jamaa ajira yake iwe ya kuendelea.
Alaumiwe mke wake hapo. Ameshindwa kaziIla kuna wanaume wanapenda dezo aisee.
Hiyo namba mbili Mkuu kwani mwenyewe anashindwa nini sasa. Si akate tu kama mke yuko busy?1.Huyu ni mwanume wa Dar
2.mke wake huwa yuko busy Instagram hana muda wa kumsafisha miguu na kumkata kucha.
3. kwenye meza ya pembeni kuna jamaa la mkoani limeingia Dar jana limebaki limehamaki linatamani likamkate jamaa makofi.
Itakuwa bora zaidi jirani. Japo naona katika Wateja Me ndio watakuwa wengi zaidi. 😀😀Soon tutaunga mkono serekali kwa kuanzisha kiwanda chav
Hao hupenda kusema tumia hela ikuzoee au hela ikutunze sio wewe uitunze, anataka apate raha ambayo wanawake huwa wanapata pindi wanapakwa rangi😄😄Ila kuna wanaume wanapenda dezo aisee.
Jirani!! Hivyo wasio na wake wanastahili kuwa wanafanyiwa hivyo? Au sijakuelewa?Alaumiwe mke wake hapo. Ameshindwa kazi