Duniani kuna kipi cha maana mpaka ushukuru wazazi kukuleta?

Upendo ni kitu gani kwani mfano nisingezaliwa ningefahamu nn kuhusu Upendo m nadhani Upendo ni utashi wa viumbe wanaoishi duniani hauna uhusiano na kiumbe ambacho akijafikirika kutokea
Tatizo watu humu hufikiri kwa akili za kufikiaa.
Wanachukulia mambo juujuuu!!
 
Huwa nashangaa kweli watu tukishukuru Wazazi hasa Mama eti kwa kukuleta duniani.
Kuna kipi hasa cha maana huku duniani mpaka uwashukuru hao wazazi?

Yani tumetengeneza kitu kwamba huko ulikokuwepo hapakuwa sehem nzuri kuliko dunian.

Kama dunia kwako imejaa Mateso kwanini isiwe Lawama kwao? Hivi kwanza uliwaomba hao wazazi wakuzae?

Mi naona hakuna haja ya kushukuru mzazi yoyote katika hili. Kwasababu hamkukubaliana kukuleta duniani, walifanya kwa malengo yao, hivyo wao ndio walipaswa kukunyenyekea kukuleta huku.

Maisha hayana maana yoyote ile kwani mwisho wa siku kuna kufa, baada ya kufa kila ulichokifanya hakina maana tena kwako.

Wewe una AKILI kama yangu! Sisi ni matokeo ya starehe zao. Eti mtu anashukuru kuletwa kwenye hii dunia yenye chuki, ubinafsi, mateso, dhuluma, nk.
 
Sisi kwa umoja wetu tunaweza kuifanya dunia tutakavyo hayo maumivu kwa maana ya vita,mateso mbalimbali ni maamuzi yetu pia tukitaka kwa ujumla wetu tunaweza kuwa kinyume chake hapo ndo dhana ya Enlightenment inapoingia
 
Nakumbuka hili swali nilishawahi kuulizwa na mwalimu wangu wa somo la philosophy enzi hizo niko form six...by that time sikuweza hata kuelewa !

This is very wide topic...! It would need a day debate between the experts trying to give a promising answers because one one will find unquestionable answer..

To understand this you should believe in Theism. Theists believe God created the universe and that God had a purpose in doing so. Theists also hold the view that humans find their meaning and
purpose for life in God's purpose in creating...

Car is made for purpose of being driven..

Weapons are made for purpose of being used in war..

Door is purposefully made for allowing passage to the building and acting as security tool on the same...

Human being, we are made in an image of God ! We are 100% related to God...we are made for his fulfilments...

Bado sijaelewa maana ya THEIST/ATHEIST. please dadavua kwa kina na mifano
 
Bado sijaelewa maana ya THEIST/ATHEIST. please dadavua kwa kina na mifano
1.Theist =a person who believe God's existance. (Mtu anayeamini kuwa Mungu yupo/au miungu)

2.Atheist =a person that doesn't believe in existance of God . (Mtu asiyeamini uwepo wa Mungu)

Hapa tuko pamoja sasa?
 
Nimeitathimini hii mada kwa mda na umakini...... Kwakweli ni Mada Nzito.
Kukoment kwahitaji walau hao waliokataa kuzaliwa wachangie tupate ya upande wao then kieleweke...
Dah sijui uliwaza nini mkuu yaani nimecheka sana kwa hili jibu,naomba Mungu aniongezee siku za kuishi ili niendelee kufurahi namna hii ninapokutana na majibu ya hivi.
 
Majibu ni rahisi sana, watu waliofanikiwa kimaisha lazima watashukuru wazazi maana huenda hata mafanikio yao yametokana na wao, wamesomeshwa au labda wamepewa mtaji au hata wamerithi mali. Sisi wenye maisha magumu ndio tunaolalamika na hata kumkosoa Mungu. Sidhani kama mtoa mada angekuwa na maisha mazuri bila stress angeandika uzi huu hapa leo. Lkn uwepo wetu duniani ni mipango ya Mungu kwa sisi tunaoamini uwepo wa Mungu.
 
Ndo maana mtoto akizaliwa tu hua ana lia maana hapa dunian ni uwanja wa fujo, cha ajabu tunaogopa kufa wkt hatupendi kuzaliwa.
 
Huwa nashangaa kweli watu tukishukuru Wazazi hasa Mama eti kwa kukuleta duniani.
Kuna kipi hasa cha maana huku duniani mpaka uwashukuru hao wazazi?

Yani tumetengeneza kitu kwamba huko ulikokuwepo hapakuwa sehem nzuri kuliko dunian.

Kama dunia kwako imejaa Mateso kwanini isiwe Lawama kwao? Hivi kwanza uliwaomba hao wazazi wakuzae?

Mi naona hakuna haja ya kushukuru mzazi yoyote katika hili. Kwasababu hamkukubaliana kukuleta duniani, walifanya kwa malengo yao, hivyo wao ndio walipaswa kukunyenyekea kukuleta huku.

Maisha hayana maana yoyote ile kwani mwisho wa siku kuna kufa, baada ya kufa kila ulichokifanya hakina maana tena kwako.
Hii kiboko kabisa
 
Tuko duniani kwa KUSUDI LA MUNGU! yaani iko sababu ya mimi na wewe kuwepo duniani. Tunapswa tuitafute hiyo sababu ili tuijue na tuiishi !

Hakuna sababu yeyote ya kuwashukuru wazazi, bali tunapaswa kuwaheshimu.

after all, life is treasure regardless its burdens.
Thank you Mkuu!,Blood of Jesus.

You think great.
 
Mm bado naona dunia sio sehem sahihi ya mm kuja. Bora ningeachwa huko
Kumbuka kabla ya kuingizwa tumboni kwa mama ako, ulikuwa ndani ya boxer ya dingi yako ambaye kunyoa vuzi na kufua boxer anadhani ni ubishoo achilia mbali joto kali lenye harufu ya jasho mixer mkojo lililokuwa likikubabua.
 
Huwa nashangaa kweli watu tukishukuru Wazazi hasa Mama eti kwa kukuleta duniani.
Kuna kipi hasa cha maana huku duniani mpaka uwashukuru hao wazazi?

Yani tumetengeneza kitu kwamba huko ulikokuwepo hapakuwa sehem nzuri kuliko dunian.

Kama dunia kwako imejaa Mateso kwanini isiwe Lawama kwao? Hivi kwanza uliwaomba hao wazazi wakuzae?

Mi naona hakuna haja ya kushukuru mzazi yoyote katika hili. Kwasababu hamkukubaliana kukuleta duniani, walifanya kwa malengo yao, hivyo wao ndio walipaswa kukunyenyekea kukuleta huku.

Maisha hayana maana yoyote ile kwani mwisho wa siku kuna kufa, baada ya kufa kila ulichokifanya hakina maana tena kwako.
Una tatizo la akili
 
Huwa nashangaa kweli watu tukishukuru Wazazi hasa Mama eti kwa kukuleta duniani.
Kuna kipi hasa cha maana huku duniani mpaka uwashukuru hao wazazi?

Yani tumetengeneza kitu kwamba huko ulikokuwepo hapakuwa sehem nzuri kuliko dunian.

Kama dunia kwako imejaa Mateso kwanini isiwe Lawama kwao? Hivi kwanza uliwaomba hao wazazi wakuzae?

Mi naona hakuna haja ya kushukuru mzazi yoyote katika hili. Kwasababu hamkukubaliana kukuleta duniani, walifanya kwa malengo yao, hivyo wao ndio walipaswa kukunyenyekea kukuleta huku.

Maisha hayana maana yoyote ile kwani mwisho wa siku kuna kufa, baada ya kufa kila ulichokifanya hakina maana tena kwako.
Mi nashukuru sana maana kwa kuja duniani napata nafasi ya kwenda mbinguni kuishi milele
Ila ni bora kutokuzaliwa kuliko kuishi ktk dhambi kisha uikose mbingu
 
Ila kweli nisingezaliwa haya matatizo yote yasingekuepo ndio maana wenye roho nyepesi wanajinyonga.
Jitaidi usiwe na watoto ili uwe muarobaini wa matatizo yaliyo/yanayokupata kwa kuzaliwa bila kumtuma mtu akuzae kwa hiyo unajuta kuzaliwa na hivyo usiwazae wengine kwa sababu hawajakutuma au sio mjomba?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom