Siku zote,
Aliepo madarakani ndio huvuruga amani ya nchi au eneo husika. Mwananchi wa kawaida kwa nchi kama Tanzania ni ngumu kuanzisha uasi au kuingia porini aanzishe vita ili atimiziwe madai yake.
Serikali zote duniani ndio zilikua sababu ya machafuko kwenye nchi zao na machafuko hayo huzaa vita isiyokwisha na baadhi ya sababu ni kama ifuatavyo
1. Kunyanyasa na kuonea raia bila sababu ya msingi.
2. Kutotimiza wajibu wake kwa Raia, serikali inapaswa ikusanye mapato, isimamie upangaji wa matumizi sahihi ya mapato.
3. Ugandamizaji wa haki za msingi mfano kujieleza, kusafiri, kuabudu kwa mfano watu wanadai katiba mpya hawana hata silaha lakini wanaonekana wahalifu ukumbuke kuna siku watadai katiba mpya wakiwa na silaha inaweza isiwe leo, kesho au mwaka huu lakini wakichoka ni mbaya sana waruhusu wapige porojo wewe walinde mwisho watachoka tu.
4.Rushwa zilizokithiri yaani wananchi wanasikia tu kiasi fulani kimepotea halafu baada ya muda kiasi fulani kimepotea mwisho wanaona hawa viongozi ni wezi wa mali yetu ya umma hivo wanaamua kubadilika.
5.serikali kutofahamu ugawanaji wa rasilimali kwa usawa yaani inageuka watu fulani wanapelekewa kila kitu huku wengine wakisuasua kama sio walipakodi hii huwachosha wananchi na kuamua kugeuka rasmi.
Itarndelea na sababu hizi ni za kidunia hasa kuzingatia vurugu za maeneo mbalimbali duniani.
Aliepo madarakani ndio huvuruga amani ya nchi au eneo husika. Mwananchi wa kawaida kwa nchi kama Tanzania ni ngumu kuanzisha uasi au kuingia porini aanzishe vita ili atimiziwe madai yake.
Serikali zote duniani ndio zilikua sababu ya machafuko kwenye nchi zao na machafuko hayo huzaa vita isiyokwisha na baadhi ya sababu ni kama ifuatavyo
1. Kunyanyasa na kuonea raia bila sababu ya msingi.
2. Kutotimiza wajibu wake kwa Raia, serikali inapaswa ikusanye mapato, isimamie upangaji wa matumizi sahihi ya mapato.
3. Ugandamizaji wa haki za msingi mfano kujieleza, kusafiri, kuabudu kwa mfano watu wanadai katiba mpya hawana hata silaha lakini wanaonekana wahalifu ukumbuke kuna siku watadai katiba mpya wakiwa na silaha inaweza isiwe leo, kesho au mwaka huu lakini wakichoka ni mbaya sana waruhusu wapige porojo wewe walinde mwisho watachoka tu.
4.Rushwa zilizokithiri yaani wananchi wanasikia tu kiasi fulani kimepotea halafu baada ya muda kiasi fulani kimepotea mwisho wanaona hawa viongozi ni wezi wa mali yetu ya umma hivo wanaamua kubadilika.
5.serikali kutofahamu ugawanaji wa rasilimali kwa usawa yaani inageuka watu fulani wanapelekewa kila kitu huku wengine wakisuasua kama sio walipakodi hii huwachosha wananchi na kuamua kugeuka rasmi.
Itarndelea na sababu hizi ni za kidunia hasa kuzingatia vurugu za maeneo mbalimbali duniani.