Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
wanasiasa waongo,
madaktari waongo, wa kichwa anapasuliwa mguu na wa mguu anapasuliwa kichwa.
Wachina , Wamerekani na Warusi wote waongo,
Wanaume waongo ,
wanawake waongo,
Mashehe waongo,
Wainjilisti na Wachungaji waongo,
Waumini waongo,
Manabii waongo,
Mwajiri muongo, na waajiriwa wake waongo.
Mwalimu muongo na wanafunzi wake waongo.
Kila kitu ni uongo na kila mtu muongo.
Kwanini jamani????
l hate this tabia wajameni.
madaktari waongo, wa kichwa anapasuliwa mguu na wa mguu anapasuliwa kichwa.
Wachina , Wamerekani na Warusi wote waongo,
Wanaume waongo ,
wanawake waongo,
Mashehe waongo,
Wainjilisti na Wachungaji waongo,
Waumini waongo,
Manabii waongo,
Mwajiri muongo, na waajiriwa wake waongo.
Mwalimu muongo na wanafunzi wake waongo.
Kila kitu ni uongo na kila mtu muongo.
Kwanini jamani????
l hate this tabia wajameni.