mapugilo
Senior Member
- Oct 9, 2012
- 128
- 30
hahahahahah, nyeusi itabaki kuwa nyeusi kuuUnamuunga mkono kwa vitendo kama ambavyo huwa mnautangazia umma kuwa mnaandamana kumpongeza?
hahahahahah, nyeusi itabaki kuwa nyeusi kuuUnamuunga mkono kwa vitendo kama ambavyo huwa mnautangazia umma kuwa mnaandamana kumpongeza?
Ha ha haUnamuunga mkono kwa vitendo kama ambavyo huwa mnautangazia umma kuwa mnaandamana kumpongeza?
Mkuu nilikuwa nataka na mimi, nitoe yangu ila Avatar yako na ulichokiandika ni jibu tosha #JF_miaka_10000000000Sijaambulia lolote zaidi ya kwamba, ulikua China na sasa upo USA na wewe ni mfanya biashara ambae unapanga jioni ifike ukamtafute Mange ili mpate lunch au dinner..... ambapo pia haujui kwamba wakati huo utakua ni muda wa chakula gani....
Halafu eti Trumph wa Africa wakat huyo mjamaa huko tu kimeoMkuu, mkono mtupu haulambwi. Weka ushahidi nasi tujivunie Rais wetu. Habari kama yako hazifai kuwa porojo tupu. Hapo Calfonia upo mtaa gani?
Lakini wewe maneno yako yanakaribiana na ukweliMkuu, mimi mwenyewe katika pitapita zangu huku naona watu wanamsifia na wanamkubali kweli Lissu, haswa kwa kutokukubali kinyamaza na kusimamia kidete haki ya kutoa maoni!
Je utaniamini kwa haya maneno matupu?
Nimekuonyesha tu, jinsi gani hata mimi naweza kujikunja nikaandika mtu fulani anasifiwa kumbe sio ukweli, ni mahaba yangu tu!
MCHEWWWWWWWWWWWWWWWWWWRais huyu mzalendo kumbe anakubalika mno, hayuko peke yake. Nimepitapita states kadhaa za Marekani, sasa niko calfonia yapata wiki sasa, nikiwa nimetokea China kwenye shughuli zangu za kibiashara.
Jamaa ana make headlines vibaya mno hasa ishu ya kulinda rasilimali za nchi hasa madini wanamkubali mno. Huku USA nimewaambia natoka East Africa wanauliza Tanzania? Wanauliza, are you from the country of TRUMPH OF AFRICA? or from Nigeria?
Yaani nchi za Africa zinazojulikana huku duniani ni Tanzania kwa sababu ya Magufuli na Nigeria. Bado nipo nipo hapa, baadae jioni nataka nimtafute dada yangu Mange kwa lunch au dinner nipige naye story.
Yeyote aliyepo huku anichek tubadilishane mawazo.
Rais huyu mzalendo kumbe anakubalika mno, hayuko peke yake. Nimepitapita states kadhaa za Marekani, sasa niko calfonia yapata wiki sasa, nikiwa nimetokea China kwenye shughuli zangu za kibiashara.
Jamaa ana make headlines vibaya mno hasa ishu ya kulinda rasilimali za nchi hasa madini wanamkubali mno. Huku USA nimewaambia natoka East Africa wanauliza Tanzania? Wanauliza, are you from the country of TRUMPH OF AFRICA? or from Nigeria?
Yaani nchi za Africa zinazojulikana huku duniani ni Tanzania kwa sababu ya Magufuli na Nigeria. Bado nipo nipo hapa, baadae jioni nataka nimtafute dada yangu Mange kwa lunch au dinner nipige naye story.
Yeyote aliyepo huku anichek tubadilishane mawazo.
Hata south africa hawaijui?Rais huyu mzalendo kumbe anakubalika mno, hayuko peke yake. Nimepitapita states kadhaa za Marekani, sasa niko calfonia yapata wiki sasa, nikiwa nimetokea China kwenye shughuli zangu za kibiashara.
Jamaa ana make headlines vibaya mno hasa ishu ya kulinda rasilimali za nchi hasa madini wanamkubali mno. Huku USA nimewaambia natoka East Africa wanauliza Tanzania? Wanauliza, are you from the country of TRUMPH OF AFRICA? or from Nigeria?
Yaani nchi za Africa zinazojulikana huku duniani ni Tanzania kwa sababu ya Magufuli na Nigeria. Bado nipo nipo hapa, baadae jioni nataka nimtafute dada yangu Mange kwa lunch au dinner nipige naye story.
Yeyote aliyepo huku anichek tubadilishane mawazo.
Rais huyu mzalendo kumbe anakubalika mno, hayuko peke yake. Nimepitapita states kadhaa za Marekani, sasa niko calfonia yapata wiki sasa, nikiwa nimetokea China kwenye shughuli zangu za kibiashara.
Jamaa ana make headlines vibaya mno hasa ishu ya kulinda rasilimali za nchi hasa madini wanamkubali mno. Huku USA nimewaambia natoka East Africa wanauliza Tanzania? Wanauliza, are you from the country of TRUMPH OF AFRICA? or from Nigeria?
Yaani nchi za Africa zinazojulikana huku duniani ni Tanzania kwa sababu ya Magufuli na Nigeria. Bado nipo nipo hapa, baadae jioni nataka nimtafute dada yangu Mange kwa lunch au dinner nipige naye story.
Yeyote aliyepo huku anichek tubadilishane mawazo.
Mkuu, mkono mtupu haulambwi. Weka ushahidi nasi tujivunie Rais wetu. Habari kama yako hazifai kuwa porojo tupu. Hapo Calfonia upo mtaa gani?
Heshimu unachokiamiji wewe, ushangilie kwa lipi??Kama mtanzania mzalendo, nitafurahi na kurukaruka kwa shangwe. Rais ni wetu sote.