Dunia yaombwa imwombee mjukuu wa mandela asijeenda kumfukua babu yake tataa mandela

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,906
21,994
Katika kumalizia jumtatu ya furaha hata kama ujatoka utatoka kesho wazee wa south africa
wameiomba dunia kumwombea yule mjukuu wa mandela asije kumfukua babu yake kama alivyofukua watoto wa mandela

ukiwa kama mpenda amani tunaomba ushiriki usiku huu kumwombea kijana huyu ambae wakati wa maziko alionekana na kama ana njaa ya kukimbia na ule mwili wa babu yake na akuamini kama jamaa wamemshusha kweli babu yake kijijini kule


usiku mwema
 
Lile zee nahisi mama yake aulizwe labda alizaa na kichaa.... jamaa yuko kama jamaa wa kikosi cha mizinga
 
Lile zee nahisi mama yake aulizwe labda alizaa na kichaa.... jamaa yuko kama jamaa wa kikosi cha mizinga

Mbona man unadharau sana??? Kikosi cha Mizinga kimeingiaje ina maana Kala Pina, Msemakweli, Baobao,Gwalu ni vichaa??? acha hizo wewe Tunyanga
 
Yaani tuache kuombea wagonjwa na wenyeshida tumuombee huyo mwehu? Apeleke bange zake huko...afukue aone, tatizo anaebdekezwa sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom