Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 21,994
Katika kumalizia jumtatu ya furaha hata kama ujatoka utatoka kesho wazee wa south africa
wameiomba dunia kumwombea yule mjukuu wa mandela asije kumfukua babu yake kama alivyofukua watoto wa mandela
ukiwa kama mpenda amani tunaomba ushiriki usiku huu kumwombea kijana huyu ambae wakati wa maziko alionekana na kama ana njaa ya kukimbia na ule mwili wa babu yake na akuamini kama jamaa wamemshusha kweli babu yake kijijini kule
usiku mwema
wameiomba dunia kumwombea yule mjukuu wa mandela asije kumfukua babu yake kama alivyofukua watoto wa mandela
ukiwa kama mpenda amani tunaomba ushiriki usiku huu kumwombea kijana huyu ambae wakati wa maziko alionekana na kama ana njaa ya kukimbia na ule mwili wa babu yake na akuamini kama jamaa wamemshusha kweli babu yake kijijini kule
usiku mwema