Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Inashangaza sana ukimsikiliza kiongozi akikuhimiza kuwa tumejenga vituo vya afya, Hospital za kanda, na kuongeza upatikanaji wa madawa umeongezeka.
Leo hii unamkuta kiongozi anasahau maneno yake na kukimbilia kwa sangoma, utamuelewaje? Hongera sana viongozi wetu.
Mtazame kiongozi wetu huyo hapo chini akifanya yake.
Leo hii unamkuta kiongozi anasahau maneno yake na kukimbilia kwa sangoma, utamuelewaje? Hongera sana viongozi wetu.
Mtazame kiongozi wetu huyo hapo chini akifanya yake.