Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Haya mambo hutokea hasa kwa wadada wanaopenda mambo makubwa kuliko uwezo wao. Dada yuko chuo anataka kwenda shopping Dubai, kuendesha gari japo hata iwe IST, aishi kwenye apartment na iPhone 13 pro.
Hapa duniani kuna wazee wana pesa hawajui la kuifanyia. Kumtimizia binti yote haya ni madogo kwake. Mzee ana miaka 60, tena huko Dubai analipa tu gharama lakini hawezi kusafiri na binti.
Matatizo yanakuja pale binti amemaliza chuo na kukutana na mchumba wa umri wake. Anakuja kukutana na wakwe na kugundua baba mkwe ndiye alikua sponsor chuoni.
Wababa wengine ni mafia, wanataka waendelee kula na kijana wake.
Hapa duniani kuna wazee wana pesa hawajui la kuifanyia. Kumtimizia binti yote haya ni madogo kwake. Mzee ana miaka 60, tena huko Dubai analipa tu gharama lakini hawezi kusafiri na binti.
Matatizo yanakuja pale binti amemaliza chuo na kukutana na mchumba wa umri wake. Anakuja kukutana na wakwe na kugundua baba mkwe ndiye alikua sponsor chuoni.
Wababa wengine ni mafia, wanataka waendelee kula na kijana wake.