Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,323
- 217,344
Inadaiwa amerejea kinyemela au kwa lugha ya kistaarabu amerejea kimya kimya , halafu karejea peke yake , Haifahamiki mwenzake kamuacha wapi .
Dkt. Slaa amerejea Tanzania baada ya kustaafu ubalozi kwenye nchi moja huko ng'ambo.
Natoa pongezi kwake kwa kuamua kukumbuka alikotoka.