Daisy Llilies
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,017
- 2,154
Dada anaongelea ubingwa wake wa kutoa mimba kama Pele anavyoongelea magoli aliyofunga.Daisy usishuke banaaa
Kwani we haujawahi kukutana na kiti OG?
Asipomuoa huyu atakua anamuonea she is super honest😂😂😂
hizo za siku 1 au 2 za masharo itakuwa
Jinsi alivyo tu, anaonekana kiuno feni..Asipomuoa huyu atakua anamuonea she is super honest
hakika!Asipomuoa huyu atakua anamuonea she is super honest
naunga mkono hoja!Jinsi alivyo tu, anaonekana kiuno feni..
ndio maisha ya mjini hayo dada yng, siku hizi mimba zinachomolewa kwa wingi kama vile jinsi zinavyochomekwa kwa fujo.Dada anaongelea ubingwa wake wa kutoa mimba kama Pele anavyoongelea magoli aliyofunga.
Baadae tunaenda kukesha kwa Gwajima, praying for miracle of the fruit of the womb.ndio maisha ya mjini hayo dada yng, siku hizi mimba zinachomolewa kwa wingi kama vile jinsi zinavyomechokwa kwa fujo.
Daaahhhh we acha tu, mwisho wa siku ni kupanga foleni kusubiria upako wakati upako wao ndio wanauchomoa katika kipindi hiki cha kula bata.Baadae tunaenda kukesha kwa Gwajima, praying for miracle of the fruit of the womb.
Hii issue tunaweza kuiangalia kwa upana, mara nyingi kwenye society ambako ngono haifanywi kama kitega uchumi wasichana wanapata mimba kwa u naive. Matokeo yake ni teenage pregnancy.Daaahhhh we acha tu, mwisho wa siku ni kupanga foleni kusubiria upako wakati upako wao ndio wanauchomoa katika kipindi hiki cha kula bata.
Sasa hivi hakuna cha teenage pregnancy wala nini, Mabinti wengi wanaopata mimba na kuzichomoa ni kuanzia miaka 18 na kuendelea, unamkuta binti mpk anafikisha miaka 25 tyr ameshafanya abortion zaidi 3Hii issue tunaweza kuiangalia kwa upana, mara nyingi kwenye shule society ambako ngono haifanywi kama wasichana wanapata mimba kwa u naive. Matokeo yake ni teenage pregnancy.
Hii inamaana kama jamii tume fail kwenye sex educationSasa hivi hakuna cha teenage pregnancy wala nini, Mabinti wengi wanaopata mimba na kuzichomoa ni kuanzia miaka 18 na kuendelea, unamkuta binti mpk anafikisha miaka 25 tyr ameshafanya abortion zaidi 3