dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,138
- 3,042
Kubaka tena mtoto wa kumzaa ufungwe miaka kumi??Muacheni amalize kifungo....
Alifungwa miaka kumi na ameshatumikia miaka kumi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kubaka tena mtoto wa kumzaa ufungwe miaka kumi??Muacheni amalize kifungo....
Alifungwa miaka kumi na ameshatumikia miaka kumi
Mahakama za kishenz unawezaji kutoa hukumu without undergoing DNA TEST ili ku verify Kama kweli alimbaka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah malipo ya dhambiWalichukua Mali mama akauza mashamba akaolewa na mtu mwingine watoto wakasambaratika kwahiyo binti kabaki yatima ameona afichue Siri kwamba alisingizia babayake Kwa kushinikizwa na mama yake ili wachukue Mali
Sent using Jamii Forums mobile app
So sad ..Story ya huyo baba imenitoa machozi asubuhi,kama mwanamke na mama nimejiskia vibaya sana ila Mungu ni mwema na ana kusudi kumleta huyo binti kukiri na kusema ukweli kuwa baba yake hakumbaka,hopefully mzee atapata haki yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mwaka 2008 ! hii teknolojia ilishafika uku kwetuMahakama za kishenz unawezaji kutoa hukumu without undergoing DNA TEST ili ku verify Kama kweli alimbaka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio walichukua! ila walisambaratika, mama akaolewa tenaKwa hiyo walichukua hizo mali?
Ataachiwa huru! Maana aliyefanyiwa kitendo amekiri mwenyeweSharia inasemaje hapo? Jamaa ataachiwa huru ama ataendelea kumaliza muda wake
Sio kwa afrika masharikiKwanza mahamaka inabidi wamlipe huyo mzee fedha tasilimu itakayotamkwa na wakili wake katika kesi mpya ya kuishitaki jamuhuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
KenyaKwani hiyo i'shu' ilifanyikia wapi, ni hapa Tz au duniani huko?
Maana 'topiki' yenyewe umeileta bila mkia!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nliikuta inaishia nkaona Baba anasema amesamehe, sikujua muktadha, kumbe ndo hivyo?Msichana anae fahamika kwa jina la "Dorcas" amekiri na kuomba msamaha kwa baba yake kwa kosa la kumsingizia baba yake kuwa ali m-baka.
Inasemekana dorcas alishinikizwa na mama yake kumshataki baba kwa kum-baka ili baba afungwe jela na wao wachukue mali
Kisa iki kilitokea miaka kumi iliyopita na mpaka sasa baba huyo amesha tumikia miaka kumi jela!
Hii ni fedhea nyingine kwa mama zetu.
(samahani kwa uhandishi m-bovu, imeniuma sana)
(Citizen TV Kenya)
Nimeitoa kwa @milard ayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke ni RafikiNliikuta inaishia nkaona Baba anasema amesamehe, sikujua muktadha, kumbe ndo hivyo?
Looh mwanamke kweli si Ndugu yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma vzr thread uelewe....mtoto alishinikizwa na mamake aseme amebakwa
Hivi kwanini wasibadilishe adhabu..baba awe huru mama aingie kifungoni..shetani likubwa hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
kwakweli bora wabadilishe..baba alikua analia huyo mtoto alipokua anahadithia