KENYA: Binti akiri kumsingizia babake kumbaka na kupelekea afungwe kifungo cha maisha

Msichana anae fahamika kwa jina la "Dorcas" amekiri na kuomba msamaha kwa baba yake kwa kosa la kumsingizia baba yake kuwa ali m-baka.

Inasemekana dorcas alishinikizwa na mama yake kumshataki baba kwa kum-baka ili baba afungwe jela na wao wachukue mali

Kisa iki kilitokea miaka kumi iliyopita na mpaka sasa baba huyo amesha tumikia miaka kumi jela!

Hii ni fedhea nyingine kwa mama zetu.

(samahani kwa uhandishi m-bovu, imeniuma sana)

(Citizen TV Kenya)

Nimeitoa kwa @milard ayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Nliikuta inaishia nkaona Baba anasema amesamehe, sikujua muktadha, kumbe ndo hivyo?
Looh mwanamke kweli si Ndugu yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu kinauma dunia hii kama kusingiziwa na hakuna wa kukusikiliza akakuamini...utabaki kulia na Mungu tu bila japo itachukua mda atakusikia.
Ndo mana hata amri kumi mojawapo inasema usimshuhudie jirani yako uongo..Mungu anayajua maumivu ya kusingiziwa..
kwakweli bora wabadilishe..baba alikua analia huyo mtoto alipokua anahadithia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom