Ingefaa hata angetumia blog ya Michuzi. Inawezekana!nyie watu wa ikulu tunaombeni taarifa kama watamwonyesha Kkiwete akitoa hotuba Un,asanteni!
Atakuwa live lakini sio katika "vyombo vyao". Kama unajua lini na saa ngapi ataongea unaweza kumvizia hapa:nachotaka kujua je kikwete atakuwa live au watapotezea?au wanaangalia umaarufu na umakini wa mtu?
Ingefaa hata angetumia blog ya Michuzi. Inawezekana!
The embedd code is not in BB but rather HTML, which is not allowed here, as far as I know. Isingekuwa hivyo tungeweza kuweka hiyo webcast ya UNGA hapa bila matatizo, kama vile tunavyofanya videos za Youtube!Mkuu kwa nini mbali huko ...hapa kwetu kwani ni vipi//?
Ameshamaliza, lakini hujakosa kitu. Hamna kipya alichozungumza zaidi ya kuonyesha kuwa kwa hivi sasa wamarekani ndio watemi!Mbona hata huyo Obama mi sijamuona... au sipo duniani?