EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,083
Angalia hizi picha yupo mwamba rais Putin wa Urusi, yupo mwamba Rais wa China Xi Jinping, na yupo na mwamba Rais Dkt John Magufuli.
Hawa ni baadhi ya Marais Bora kabisa wa kipindi hiki ambao wameyatoa mataifa yao kimasomaso kwenye Uchumi na kujenga mifumo imara. Mifumo imara ya uongozi usio yumbayumba.
Kumbuka kutengeneza mfumo imara wa uongozi usio yumbayumba sio lelemama. Lazima ujifunze mchezo wa tumbu na kutumbua. Bila hivyo huwezi. Huo mchezo ana uweza mwamba Dkt John Magufuli tu na hawa wenzetu Warusi na Wachina.
Warusi wanaona kuwa ili maono ya Taifa lao yakamilike lazima pale juu awepo mtu mbishi Kama Putin na asiyeyumbishwa na mataifa Mengine.
Marais wa aina hii huwa hawazaliwi kila Mara mnaweza mkampata Mara Moja katika kipindi Cha miaka Mia.
China na Urusi wanajua fika wapo kwenye Vita kubwa ya kiuchumi na mataifa Mengine. Watu pekee ambao wameona Wana msimamo na wanaweza kuhimili Vita hiyo ni Marais wao. Angalia China inavyowakaba Marekani kwa sasa, angalia Urusi wanavyoikaba Marekani kwa sasa....
Kwa sasa Tanzania imekuwa tishio kwa nchi nyingi kutokana na misimamo ya mwamba Dkt. Magufuli. Kwasasa Tanzania ni nchi inayo julikana kila pembe ya dunia kwasababu ya Mwamba Dkt John Magufuli.
Watu tukienda ughaibuni tunatembea vifua mbele kama bata kwasababu ya Tanzania ya sasa isiyo na michezo michezo.
Mitano tena kwa Mwamba Dkt John Magufuli.
By Ellyskywilly.
Hawa ni baadhi ya Marais Bora kabisa wa kipindi hiki ambao wameyatoa mataifa yao kimasomaso kwenye Uchumi na kujenga mifumo imara. Mifumo imara ya uongozi usio yumbayumba.
Kumbuka kutengeneza mfumo imara wa uongozi usio yumbayumba sio lelemama. Lazima ujifunze mchezo wa tumbu na kutumbua. Bila hivyo huwezi. Huo mchezo ana uweza mwamba Dkt John Magufuli tu na hawa wenzetu Warusi na Wachina.
Warusi wanaona kuwa ili maono ya Taifa lao yakamilike lazima pale juu awepo mtu mbishi Kama Putin na asiyeyumbishwa na mataifa Mengine.
Marais wa aina hii huwa hawazaliwi kila Mara mnaweza mkampata Mara Moja katika kipindi Cha miaka Mia.
China na Urusi wanajua fika wapo kwenye Vita kubwa ya kiuchumi na mataifa Mengine. Watu pekee ambao wameona Wana msimamo na wanaweza kuhimili Vita hiyo ni Marais wao. Angalia China inavyowakaba Marekani kwa sasa, angalia Urusi wanavyoikaba Marekani kwa sasa....
Kwa sasa Tanzania imekuwa tishio kwa nchi nyingi kutokana na misimamo ya mwamba Dkt. Magufuli. Kwasasa Tanzania ni nchi inayo julikana kila pembe ya dunia kwasababu ya Mwamba Dkt John Magufuli.
Watu tukienda ughaibuni tunatembea vifua mbele kama bata kwasababu ya Tanzania ya sasa isiyo na michezo michezo.
Mitano tena kwa Mwamba Dkt John Magufuli.
By Ellyskywilly.