Dunia inajua mlima Kilimanjaro upo Kenya

SYLLOGIST!

JF-Expert Member
Dec 28, 2007
6,696
6,175
According to the Associated Press, "A South African trying to summit Kenya's Mt Kilimanjaro...has died". First and foremost, condolences to the South African family.

Second, let there be no confusion that the deceased died in Tanzania.

And last, we Tanzanians and Africans as a whole demand retraction and apology from Cara Anna of the Associated Press for misleading the world as to the actual country where Mt Kilimanjaro is located.

CARA ANNA... #GetYourFactsRight

2168671d3d7f1f4733ca6d0fa7c90738.jpg


Naomba tuamke watanzania katika hili.

Binafsi sijapendezwa hata kidogo. Mimi sikuwai kufuatilia hizi habari japo zilivuma sana lakini hili gazeti limenitisha kidogo, wakuu wa nchi ni vizuri kupitia na kufanya kazi.

Kama mambo yenyewe kabla ya huo muunganiko (Jumuiya ya Afrika Mashariki) ni hivi.. vipi kama tukiungana?

Mhe. Rais naomba ulichungulie hili swala kwa ukaribu (kikulacho ki nguoni mwako)

Maswali ya msingi kwa watanzania;

1. Kwanini taarifa iseme Kenyan mount?
2. Je, serikali ya Kenya kwa habari kama hii lini iliwahi kukanusha?
3. Je, sisi kitu gani Dunia inatutambua kwa kutusisngizia kama chetu lakini sio?

Viongozi wetu kama mtaliachia hili bila kusema chochote basi watanzania tumelogwa (huo ni mtazamo wangu).
 
Mkuu, hebu tuwekee link ya hio "Associated Press" ili tumpe ukweli huyo Anna
 
Sijui kwanini hii nchi inaonewa hivi; Ziwa Nyasa (lote) liko Malawi; Mt. Kilimanjaro uko Kenya; The Serengeti ni extension ya Tsavo ambayo iko Kenya; 10-mile coastal strip ni mali ya Sultan (Oman/Zanzibar); ukitaka Tanzanite utaipata Kenya; Tanzania hairuhusiwi kutumia maji ya the Victoria - mikataba inakataza; Olduvai Gorge (inapoaminika binadamu wa kwanza aliishi) iko Kenya; Mto Kagera ndio mpaka halali wa Uganda na Tanzania (Idd Amin naye huyo).

Listi inaendelea; skeleton ya mnyama mkubwa zaidi kuwahi kuwepo duniani iko kwenye jumba la makumbusho Ujerumani ikiingizia nchi hiyo mamilioni ya dola kutokana na utalii. Skeleton hii iliibwa Tanganyika. Vyura wa Kihansi (Tanganyika) wamepelekwa Marekani. etc. etc. etc.

Kwanini wengine wanadai sehemu ya Tanganyika au resources za Tanganyika ni mali yao? Sina kumbukumbu ya kinyume chake - Tanganyika ku-claim maeneo au vitu vya nchi nyingine.
 
According to the Associated Press..."A South African trying to summit Kenya's Mt Kilimanjaro...has died"

First and foremost, condolesence to the South African family.

Second, let there be no confusion that the deceased died in Tanzania.

And last, we Tanzanians and Africans as a whole demand retraction and apology from Cara Anna of the Associated Press for misleading the world as to the actual country where Mt Kilimanjaro is located.
CARA ANNA....
#GetYourFactsRight
 
I have checked the link , it's talking about My Kilimanjaro and the death of an athletic . No where Kenya and Tanzania are mentioned. It's only my Kilimanjaro. So what is your problem ?
Here is the very first para of the news:-

JOHANNESBURG (AP) -- A South African trying to summit Kenya's Mount Kilimanjaro to mark Mandela Day has died.
 
Sijui kwanini hii nchi inaonewa hivi; Ziwa Nyasa (lote) liko Malawi; Mt. Kilimanjaro uko Kenya; The Serengeti ni extension ya Tsavo ambayo iko Kenya; 10-mile coastal strip ni mali ya Sultan (Oman/Zanzibar); ukitaka Tanzanite utaipata Kenya; Tanzania hairuhusiwi kutumia maji ya the Victoria - mikataba inakataza; Olduvai Gorge (inapoaminika binadamu wa kwanza aliishi) iko Kenya; Mto Kagera ndio mpaka halali wa Uganda na Tanzania (Idd Amin naye huyo).

Listi inaendelea; skeleton ya mnyama mkubwa zaidi kuwahi kuwepo duniani iko kwenye jumba la makumbusho Ujerumani ikiingizia nchi hiyo mamilioni ya dola kutokana na utalii. Skeleton hii iliibwa Tanganyika. Vyura wa Kihansi (Tanganyika) wamepelekwa Marekani. etc. etc. etc.

Kwanini wengine wanadai sehemu ya Tanganyika au resources za Tanganyika ni mali yao? Sina kumbukumbu ya kinyume chake - Tanganyika ku-claim maeneo au vitu vya nchi nyingine.
charity begins at home! tuanze kuipenda nchi yetu sio kuilaani na kuiita majina ya ajabu ajabu... tupendane sisi kwa sisi! tukiithamini nchi yetu!
 
According to the Associated Press..."A South African trying to summit Kenya's Mt Kilimanjaro...has died"

First and foremost, condolesence to the South African family.

Second, let there be no confusion that the deceased died in Tanzania.

And last, we Tanzanians and Africans as a whole demand retraction and apology from Cara Anna of the Associated Press for misleading the world as to the actual country where Mt Kilimanjaro is located.
CARA ANNA....
#GetYourFactsRight

You must be Mentally blind what does this paragraph means
"JOHANNESBURG (AP) -- A South African trying to summit Kenya's Mount Kilimanjaro to mark Mandela Day has died."

the only thing you did right in ur post is to symphathize with the deceased's family and friends.
If I were Cara, i would have written this first paragraph as follows;
" A South African trying to desummit Kenya's Mt Kilimanjaro, has died"
 
2168671d3d7f1f4733ca6d0fa7c90738.jpg


Naomba tuamke watanzania katika hili binafsi sijapendezwa hata kidogo Mimi sikuwai kufuatilia hizi habari japo zilivuma sana lakini hili gazeti limenitisha kidogo, wakuu wa nchi ni vizuri kupitia na kufanya kazi.

Kama mambo yenyewe kabla ya huo muunganiko ni hivi..vipi kama tukiungana?
Mh. Rais naomba ulichungulie hili swala kwa ukaribu (kikulacho ki nguoni mwako)

Maswali ya msingi kwa watanzania;
1. Kwanini taarifa iseme Kenyan mount?
2. Je serikali ya Kenya kwa habari kama hii lini iliwahi kukanusha?
3. Je sisi kitu gani Dunia inatutambua kwa kutusisngizia kama chetu lakini sio?

Viongozi wetu kama mtaliachia hili bila kusema chochote basi watanzania tumelogwa (huo ni mtazamo wangu)
 
Tulishasema hatuitaji watalii so hakuna haja ya kujitangaza. Mtalii akifika Kenya ndio ataambiwa Mlima upoTZ then watakuja.
 
hahaha mii sihangai chochote hapa..siku moja tupo schipol airport huko netherlands, tukaulizwa nyie wa wapi, tukasema tanzania, jamaa pale wakasema..aahh thats in kenya right?. Tukakenua tuu!..T.T.B hamuitangazi nchi nje..
 
Huu Mlima Kilimanjaro kwanini tusiutangaze kila nchi kwamba Tanzania? Inasikitisha kuona taarifa hii ikiutaja kuwa uko Kenya.

JOHANNESBURG — A South African trying to summit Kenya's Mount Kilimanjaro to mark Mandela Day has died.


A statement from the Nelson Mandela Foundation said details are "sketchy" but that it appeared Gugu Zulu had problems breathing early Monday as his group tried to reach Africa's highest peak.


"We are informed that the medical teams tried everything possible to save his life" as they tried to descend, the statement said.


The foundation said the athlete was part of a Trek4Mandela team hoping to summit to mark Mandela's birthday, a day of volunteer service in South Africa. Authorities said they were climbing in support of girls from disadvantaged communities.


In his last Facebook post, Gugu Zulu on Saturday said, "Am having flu like symptoms and struggling with the mountain but taking it step by step!! Today we managed to see our destination and our camp is literary above the clouds!!"

He was hiking with his wife, Letshego, who descended the 5,895-meter (19,340-foot) mountain with him, the foundation said.

South Africa's sports ministry called Gugu Zulu a "great talented motorsport athlete who excelled on the race course."

http://www.nytimes.com/aponline/2016/07/18/world/africa/ap-af-south-africa-climber-dies.html
upload_2016-7-19_9-53-17.png
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom