Dunia Ina Siri nzito sana

Omary Ndama

JF-Expert Member
Apr 16, 2017
3,368
4,056
Toa akilini mwako Kama unaamini kuwa Mungu ndiye husababisha mvua kubwa ,pepo na majanga mbalimbali yatokanayo mafuriko duniani utakuwa upo sayari ya 200 BC,

Rejea kwenye mashindano ya Olimpic ,
Wazungu wamekuja na mtindo wa kutengeneza mvua kali zenye upepo mkali na mbaya zaidi wanazifanyia majaribio kwa nchi maskini tena zisizo na HATIA , Lengo lao moja tu DUNIA yote isaini mkataba wa "mabadiliko ya tabia nchi uliofanyika France,

Zaidi wanasayansi wameenda mbali na kuzuia mvua kwa nchi wanazotaka wao wenyewe sio ajabu Tanzania baada ya miaka 4 mbele hapatakuwa na mvua kwa mwaka mzima na hata ikinyesha ni manyunyu sana, huu mpango unaratibiwa na watu walioona mbali sana kwani chafu tena yenye kumzihaki Mungu,

Kwa neno la Lugha yako tamka kuiombea nchi yako, usije ukasema Omary Ndama hakuwahi kutamka haya, nawapenda sana ndio maana sichoki kuwadadavulia kilichopo na kinachoendelea katika sayari yetu hii, haya mwenye kukubali liombee Taifa lako na mwenye kupuuza comment ujinga wowote nao ni jibu tosha kwa wajinga wenzako
Asubuhi njema...
FB_IMG_1538705109478.jpeg
 
Toa akilini mwako Kama unaamini kuwa Mungu ndiye husababisha mvua kubwa ,pepo na majanga mbalimbali yatokanayo mafuriko duniani utakuwa upo sayari ya 200 BC,

Rejea kwenye mashindano ya Olimpic ,
Wazungu wamekuja na mtindo wa kutengeneza mvua kali zenye upepo mkali na mbaya zaidi wanazifanyia majaribio kwa nchi maskini tena zisizo na HATIA , Lengo lao moja tu DUNIA yote isaini mkataba wa "mabadiliko ya tabia nchi uliofanyika France,

Zaidi wanasayansi wameenda mbali na kuzuia mvua kwa nchi wanazotaka wao wenyewe sio ajabu Tanzania baada ya miaka 4 mbele hapatakuwa na mvua kwa mwaka mzima na hata ikinyesha ni manyunyu sana, huu mpango unaratibiwa na watu walioona mbali sana kwani chafu tena yenye kumzihaki Mungu,

Kwa neno la Lugha yako tamka kuiombea nchi yako, usije ukasema Omary Ndama hakuwahi kutamka haya, nawapenda sana ndio maana sichoki kuwadadavulia kilichopo na kinachoendelea katika sayari yetu hii, haya mwenye kukubali liombee Taifa lako na mwenye kupuuza comment ujinga wowote nao ni jibu tosha kwa wajinga wenzako
Asubuhi njema...View attachment 887035
Acha uongo mbona huko USA, Europe, ASIA tena kule SE, wanakubwa na vimbunga kila mwaka si wangevihamishia huku kwetu? Kasome Typhoon na Catrilina, Earth quakes nk. Dunia imejishape sisi ambao tuna magonjwa kama malaria, HIV and AIDS, Ebola nk hatukumbwi sana na majanga ya asili
 
Acha uongo mbona huko USA, Europe, ASIA tena kule SE, wanakubwa na vimbunga kila mwaka si wangevihamishia huku kwetu? Kasome Typhoon na Catrilina, Earth quakes nk. Dunia imejishape sisi ambao tuna magonjwa kama malaria, HIV and AIDS, Ebola nk hatukumbwi sana na majanga ya asili
Maleria, HIV, Ebola, kifua kikuu wakuongezee na vibunga vya Catrina Afrika SI mtakwisha....one stap by another, saa hizi pambaneni na maradhi ukosefu wa chakula maji Safi na malazi kwanza, utafika muda tu mtaletewa Catrina,na Tsunami, akili ya mtu mweusi Ni fupi Kama maisha ya funza, wewe unaangalia leo wenzio wanaangalia maisha yajayo...
 
Huu ni uwongo kabisa. Hayo magonjwa hata wao wanaugua. Wao ndio huongoza kupatwa majanga ya hali ya hewa,vimbunga,maafuriko.

Tatizo la mtu mweusi ni kutengeneza vi theory kuwa mtu mweupe ni mtu mbaya.
 
Mi ni mwenye kuamini na ninaiombea dunia taifa na nyumba yangu juu ya haya na mengine mengi yajayo.
 
Mungu alichoumba ni mvua naakaiwekea jinsi ijisimamie yenyewe,swala la kwamba inyeshe wapi na isinyeshe wapi ilo ni jambo jingine ambalo hausiani nalo.Hao wazungu unaowasema bado hawawezi kutengeneza kitu ambacho kiko nje ya dunia,navyote vya duniani vina chanzo ambacho ni uumbaji wa Mungu.
 
Ha ha haa umemalizia na neno asubuhi njema as if ulikuwa unagawa vitumbua. Anyway the I trust you. Najiambiaga I suppose to open my mind for extreme possibilities.
 
Katika maajabu makubwa ya mwenyeziMungu ni ishu ya mvua.hakuna anayejua vizuri hii cycle japo tunaisoma kwenye hdrology lakini in Siri kubwa Sana na hata hao wazungu hawana uwezo wa ku disturb
 
Ugonjwa wetu wafrica ndio huu, kiiila jambo ni kulaumu wazungu, tabia za ulalamishi huwa natumia kama kigezo cha mtu mwenye ubongo unaowahi kugota kufikilia no alternatives! Finaly unamalizia watu waombe sana, tuache kumchosha mungu!
 
Toa akilini mwako Kama unaamini kuwa Mungu ndiye husababisha mvua kubwa ,pepo na majanga mbalimbali yatokanayo mafuriko duniani utakuwa upo sayari ya 200 BC,

Rejea kwenye mashindano ya Olimpic ,
Wazungu wamekuja na mtindo wa kutengeneza mvua kali zenye upepo mkali na mbaya zaidi wanazifanyia majaribio kwa nchi maskini tena zisizo na HATIA , Lengo lao moja tu DUNIA yote isaini mkataba wa "mabadiliko ya tabia nchi uliofanyika France,

Zaidi wanasayansi wameenda mbali na kuzuia mvua kwa nchi wanazotaka wao wenyewe sio ajabu Tanzania baada ya miaka 4 mbele hapatakuwa na mvua kwa mwaka mzima na hata ikinyesha ni manyunyu sana, huu mpango unaratibiwa na watu walioona mbali sana kwani chafu tena yenye kumzihaki Mungu,

Kwa neno la Lugha yako tamka kuiombea nchi yako, usije ukasema Omary Ndama hakuwahi kutamka haya, nawapenda sana ndio maana sichoki kuwadadavulia kilichopo na kinachoendelea katika sayari yetu hii, haya mwenye kukubali liombee Taifa lako na mwenye kupuuza comment ujinga wowote nao ni jibu tosha kwa wajinga wenzako
Asubuhi njema...View attachment 887035
Achau uongo we jamaa, tecnolojia zimeanza juzi tu, mvua na majanga vilikuwepo miakamingi sana iliyopita.
 
Toa akilini mwako Kama unaamini kuwa Mungu ndiye husababisha mvua kubwa ,pepo na majanga mbalimbali yatokanayo mafuriko duniani utakuwa upo sayari ya 200 BC,

Rejea kwenye mashindano ya Olimpic ,
Wazungu wamekuja na mtindo wa kutengeneza mvua kali zenye upepo mkali na mbaya zaidi wanazifanyia majaribio kwa nchi maskini tena zisizo na HATIA , Lengo lao moja tu DUNIA yote isaini mkataba wa "mabadiliko ya tabia nchi uliofanyika France,

Zaidi wanasayansi wameenda mbali na kuzuia mvua kwa nchi wanazotaka wao wenyewe sio ajabu Tanzania baada ya miaka 4 mbele hapatakuwa na mvua kwa mwaka mzima na hata ikinyesha ni manyunyu sana, huu mpango unaratibiwa na watu walioona mbali sana kwani chafu tena yenye kumzihaki Mungu,

Kwa neno la Lugha yako tamka kuiombea nchi yako, usije ukasema Omary Ndama hakuwahi kutamka haya, nawapenda sana ndio maana sichoki kuwadadavulia kilichopo na kinachoendelea katika sayari yetu hii, haya mwenye kukubali liombee Taifa lako na mwenye kupuuza comment ujinga wowote nao ni jibu tosha kwa wajinga wenzako
Asubuhi njema...View attachment 887035
Mkuu Ndama, ahsante kwa ujumbe, ila ni lazima upate upinzani mkubwa kutoka kwa wachangiaji kwa kuwa ujumbe wako haujabeba ushahidi wowote kama kithibitisho cha usahihi na ukweli juu ya ujumbe wako.
Fanya hima lete ushahidi watu waufanyie kazi.
Maneno matupu yaso ushahidi hayana uzito.
 
Umenikumbusha waziri flani wa Iran alikuwa analalamikia Marekani kuwa wameifungia isipate mvua,,
Tuchunguze kwanza
Haya mawazo yanatokaga wapi??
 
Sasa kama wao ndo wanatengeneza tuliombee taifa kwa mungu au kwa mzungu?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom