pisi jacky
Member
- Oct 21, 2020
- 32
- 141
Vijana wetu wa kiume hamjambo, nawasalim ni mim tena mwandiko bila nukta Wala vituo.
Kuna wakaka mi nawaita watoto, bila kujali umri wao yaan n wavulana. unakuta mvulana ana More than 34 years hajaoa, ila kakazana kupost "mwanaume mwenye gari utamkuta unapopaki gari lako" mala nyingi mtu anaepost ivi gari kama sio la mkopo, Basi hela zake Zina chembe chembe za ushilikina.
Vijana wadogo ambao bado hamjao msidanganywe watoto wazuri, kwamba mwanamke mwenye hela ndo mke mwema msidanganywe kabisa Mwanamke ajue kupika, ajue kufua, ukiludi nyumbani hata kama n chumba kimoja kimepangika kinanukia kale sabuni kaunga ka miambili kanaitwa sesotho, kananukia mno. unakuta na kaugali na kamboga ka maboga kamekolea karanga, ameoga mwenyewe kavaa kitenge ulichomnunulia miaka ile.
Naendelea najaribu kusema nini, kama unaoa mwanamke mwenye kipato au shughuli yoyote, be sure 100% kipato Chako kinazidi Cha kwake utanishukulu badae. japo wapo wanawake wachache sana ambao wanakipato kikubwa kuzidi waume zao na wanaheshim sana waume zao nimewaona japo n wachache mno.
Kijana wangu mdogo, mke n msaidizi biblia imesema"ntakupatia msaidizi wa kufanana nae" usigawane majukum na mke wako nusu kwa nusu tena kwa kutamka kabisa mi nafanya ivi na we fanya ivi my friend utaharbu kila kitu.
Ishi na mkeo kwa akili biblia imeagiza, fanya majukum yako 100% bila kulalamika Wala kusema sema, kama kweli ulioa msaidizi hawezi kubali upate shida atasimama mahali pake kama msaidizi.
Mkeo ata awe na mshahara, awe na mamilion, usiache kamwe kumlea kama mwanamke. yaan kama ni hela ya saloon mpe kama n mkoba mnunulie nk. ukitaka kujua a woman is always a woman hata kama ana mikoba mia ukimnunulia wewe atauheshim ule mmoja kuliko yote aliyonayo.
Can u imagine, mwanamke analud kasuka unywele wa laki nane kwa luluz hair pamoja na kubond milion kasolo, umekazana mke wangu umependeza sana jaman ukitaka kumgusa anakwambia niache nilale nimechoka nywele zinauma kumbe mwenzio kabla ya kusukwa alisukwa na baada ya kusukwa alienda tena kusukwa we umekazana wao wao umependeza kama king'ola Cha ambulance.
Tunapoongelea mwanamke ajitume, mala mia apite kwenye nyayo zako. kama n biashara duka ulifungua wewe kama ni kaz bas ulimtafutia wewe. be the source of everything hii itatengeneza gap ndan. kichwa kisimame na ubavu uwe mahali pake sio ubavu upande kichwani.
Ukioa mwanamke ambae umemuonesha upendo wako na umeplay part ako kama mwanaume be sure wakati wa dholuba au anguko lako atachukua usukan. japo wanawake lazima tutakusema sema kidogo Mungu awape moyo mgum but siku zitaenda.
Usimwambie mkeo izi kauli JIONGEZE MI NAFANYA IVI WE FANYA IVI na mengine mengi yanayofana na hayo. atajiongeza kweli na atafanya kweli uliyomgawia, but be sure my friend ukiludi jion utakua unalishwa maganda ya miwa sukari yote washaila wenzio mchana.
Huna hela unataka mkeo afanye Jambo fulan tumia akili Mungu amewaambia, msifie mkeo, mnunulie ata sambusa ficha watoto wasijeiona mpe usiku mkiwa wawili, fanya mautundu yako mtoto wa kiume Mambo yakikolea mwambie tu wife nina shida na iki mke wangu uone kama hutapewa. Sasa mijanaume mingine anasubili pakuche ndo anasema tena kwa kelele mwanamke mjinga sana huwezi jiongeza kila kitu mim jaman!
Fala sana wewe ungepewa miguu miwili tu maana watatu umekushinda na hujui kaz ake
Naconnect VPN ntaludi baada ya muda
Kuna wakaka mi nawaita watoto, bila kujali umri wao yaan n wavulana. unakuta mvulana ana More than 34 years hajaoa, ila kakazana kupost "mwanaume mwenye gari utamkuta unapopaki gari lako" mala nyingi mtu anaepost ivi gari kama sio la mkopo, Basi hela zake Zina chembe chembe za ushilikina.
Vijana wadogo ambao bado hamjao msidanganywe watoto wazuri, kwamba mwanamke mwenye hela ndo mke mwema msidanganywe kabisa Mwanamke ajue kupika, ajue kufua, ukiludi nyumbani hata kama n chumba kimoja kimepangika kinanukia kale sabuni kaunga ka miambili kanaitwa sesotho, kananukia mno. unakuta na kaugali na kamboga ka maboga kamekolea karanga, ameoga mwenyewe kavaa kitenge ulichomnunulia miaka ile.
Naendelea najaribu kusema nini, kama unaoa mwanamke mwenye kipato au shughuli yoyote, be sure 100% kipato Chako kinazidi Cha kwake utanishukulu badae. japo wapo wanawake wachache sana ambao wanakipato kikubwa kuzidi waume zao na wanaheshim sana waume zao nimewaona japo n wachache mno.
Kijana wangu mdogo, mke n msaidizi biblia imesema"ntakupatia msaidizi wa kufanana nae" usigawane majukum na mke wako nusu kwa nusu tena kwa kutamka kabisa mi nafanya ivi na we fanya ivi my friend utaharbu kila kitu.
Ishi na mkeo kwa akili biblia imeagiza, fanya majukum yako 100% bila kulalamika Wala kusema sema, kama kweli ulioa msaidizi hawezi kubali upate shida atasimama mahali pake kama msaidizi.
Mkeo ata awe na mshahara, awe na mamilion, usiache kamwe kumlea kama mwanamke. yaan kama ni hela ya saloon mpe kama n mkoba mnunulie nk. ukitaka kujua a woman is always a woman hata kama ana mikoba mia ukimnunulia wewe atauheshim ule mmoja kuliko yote aliyonayo.
Can u imagine, mwanamke analud kasuka unywele wa laki nane kwa luluz hair pamoja na kubond milion kasolo, umekazana mke wangu umependeza sana jaman ukitaka kumgusa anakwambia niache nilale nimechoka nywele zinauma kumbe mwenzio kabla ya kusukwa alisukwa na baada ya kusukwa alienda tena kusukwa we umekazana wao wao umependeza kama king'ola Cha ambulance.
Tunapoongelea mwanamke ajitume, mala mia apite kwenye nyayo zako. kama n biashara duka ulifungua wewe kama ni kaz bas ulimtafutia wewe. be the source of everything hii itatengeneza gap ndan. kichwa kisimame na ubavu uwe mahali pake sio ubavu upande kichwani.
Ukioa mwanamke ambae umemuonesha upendo wako na umeplay part ako kama mwanaume be sure wakati wa dholuba au anguko lako atachukua usukan. japo wanawake lazima tutakusema sema kidogo Mungu awape moyo mgum but siku zitaenda.
Usimwambie mkeo izi kauli JIONGEZE MI NAFANYA IVI WE FANYA IVI na mengine mengi yanayofana na hayo. atajiongeza kweli na atafanya kweli uliyomgawia, but be sure my friend ukiludi jion utakua unalishwa maganda ya miwa sukari yote washaila wenzio mchana.
Huna hela unataka mkeo afanye Jambo fulan tumia akili Mungu amewaambia, msifie mkeo, mnunulie ata sambusa ficha watoto wasijeiona mpe usiku mkiwa wawili, fanya mautundu yako mtoto wa kiume Mambo yakikolea mwambie tu wife nina shida na iki mke wangu uone kama hutapewa. Sasa mijanaume mingine anasubili pakuche ndo anasema tena kwa kelele mwanamke mjinga sana huwezi jiongeza kila kitu mim jaman!
Fala sana wewe ungepewa miguu miwili tu maana watatu umekushinda na hujui kaz ake
Naconnect VPN ntaludi baada ya muda