Ivyblue
JF-Expert Member
- Jan 5, 2022
- 938
- 2,714
Kutambua tatzo n moja wapo yakufunguka kutoka matatzoni, lkn n vyema ukarud kwa muumba wako kwa imani yako na s kutegemea wanadam(waganga).
Kama ww n muislamu bas rejea mskitin swali na Allah atakufungua vfungo vyako, kama ww n mkristo vivyo hvyo rejea kanisan usali kwa moyo hakikia Yesu atakufungua na vfungo ulivyofungwa.
Wachana na wababu sjui wazee, rud kwa muumba wako. Yangu n hayo tu.
Kama ww n muislamu bas rejea mskitin swali na Allah atakufungua vfungo vyako, kama ww n mkristo vivyo hvyo rejea kanisan usali kwa moyo hakikia Yesu atakufungua na vfungo ulivyofungwa.
Wachana na wababu sjui wazee, rud kwa muumba wako. Yangu n hayo tu.