Maskni Wa Akili
Member
- Mar 19, 2008
- 98
- 24
Mwenzenu Nimeoa nina Mke ila hatujabahatika kupata mtoto hata mmoja. Ndoa yetu ilikuwa nzuri sana hadi niliporudi Jana jioni. Kawaida Ijumaa nawahi kurudi.
Nimefika nikamkuta wife kaandaa Menu kama kawaida, Nkaoga kwanza na kuamua nifaidi haki yangu kwanza alafu ndo nipige msosi niangalie TV. Cha kushangaza wajameni si nikakuta K*ma ya mke wangu Imetanuka Vilivyo. Nkawasha Tochi ya simu na taa nimulike vizuri nkakuta Mke wangu kaingiliwa tena na jamaa mwenye LiMguu la Mtoto. Nilipomuuliza kwanza alidhani natania ila alivyoona nimekasirika ile mbaya alikataa katakata na kuapa viapo Vyote vya mungu wake.
Nijuavyo mimi mke wangu Muaminifu, sijawahi kukuta hata msg ya ajabu kwenye simu yake wala kumhisi vibaya au kuona dalili zozote kuwa anatoka nje ya ndoa. Nyumbani tupo wawili tu nyumba nzima. (Tumepanga Upande Wote). Kila alivyozidi kukataa alinitia hasira kali sana. Kwa hasira ugomvi ulikuwa Mkubwa kiasi kwamba hadi ilivyofikia saa 3 usiku nkawa nshamfukuza. Alivyokataa kuondoka usiku ule Kipigo kilifuata (Sijawahi kumpiga Mke Wangu toka nimuoe). Nlimpiga vibao, makofi, n.k mpaka akawa analia kwa sauti kubwa sana huku akielekea nje. Alivyofika Nje ya nyumba nlifunga mlango na yeye akaa mlangoni pale huku Kilio kikizidi akiwa analalamika namuonea.
Ilivyofika mida ya saa tano Usiku nikamtupia begi lake la nguo nje alipo na kumuamuru arudi kwa aliye mto*ba. Aliendelea kulia kwa muda wa lisaa lizima tena huku bado akisisistiza namuonea. Hadi saa sita kama na nusu usiku huruma kidogo kwa mbali iliniingia nkamfungulia mlango aingie na mimi nikachukua begi langu la nguo na kusepa. Yeye aliingia ndani na hapa kilio kilizidi sana alivyoniona naondoka.
Hadi naandika hivi sasa nipo kwa mshkaji na nyumbani kwangu napaona Pachungu. K*ma ya mke wangu naijua toka tuko wapenzi kabla sijamuoa sijawahi kuiona kubwa vile. Nahakika katumbukizwa Limti. Sijalala hata chembe na wala usingizi sina, Asikwambie mtu Mke anauma jamani.
Nia yangu ni Kumuandikia Talaka asubuhi hii na kumpa dereva Tax apeleke huku nikimpa siku Saba za kuondoka pale nyumbani. Nina karatasi na Peni mbele yangu, mkono unatetemeka kila ninavyoshika peni, machozi hayaniishi na wala hata sijui talaka inaandikwaje. Siamini kwamba huu ndio mwisho wetu. Ndoa yetu ni ya Kiislam na hali niliyonayo sasa najuta Kuoa wala sidhani kama ntakuja kuoa tena.
Hadi jana usiku nlikuwa na Imani Mungu kanipa kila kitu, kazi inayonipa hela ya kula, furaha ndani ya moyo wangu sasa nimeamini mungu Kaninyima MKE muaminifu. Ndugu zangu wanampenda mke wangu alafu wote wapole, hivyo watashauri nimsamehe tuuu nawajua. Kushirikisha ndugu naona kichefuchefu labda watu baki kama nyie waungwana embu niambieni mngekuwa nyinyi mngefanyaje? Kichwa kinaniambia niandike talaka ingawa moyo na mwili haswa mkono wa kulia vinasita. Na huku kulia ninakolia kila wakati sijui ntajizuia vipi.
Nimefika nikamkuta wife kaandaa Menu kama kawaida, Nkaoga kwanza na kuamua nifaidi haki yangu kwanza alafu ndo nipige msosi niangalie TV. Cha kushangaza wajameni si nikakuta K*ma ya mke wangu Imetanuka Vilivyo. Nkawasha Tochi ya simu na taa nimulike vizuri nkakuta Mke wangu kaingiliwa tena na jamaa mwenye LiMguu la Mtoto. Nilipomuuliza kwanza alidhani natania ila alivyoona nimekasirika ile mbaya alikataa katakata na kuapa viapo Vyote vya mungu wake.
Nijuavyo mimi mke wangu Muaminifu, sijawahi kukuta hata msg ya ajabu kwenye simu yake wala kumhisi vibaya au kuona dalili zozote kuwa anatoka nje ya ndoa. Nyumbani tupo wawili tu nyumba nzima. (Tumepanga Upande Wote). Kila alivyozidi kukataa alinitia hasira kali sana. Kwa hasira ugomvi ulikuwa Mkubwa kiasi kwamba hadi ilivyofikia saa 3 usiku nkawa nshamfukuza. Alivyokataa kuondoka usiku ule Kipigo kilifuata (Sijawahi kumpiga Mke Wangu toka nimuoe). Nlimpiga vibao, makofi, n.k mpaka akawa analia kwa sauti kubwa sana huku akielekea nje. Alivyofika Nje ya nyumba nlifunga mlango na yeye akaa mlangoni pale huku Kilio kikizidi akiwa analalamika namuonea.
Ilivyofika mida ya saa tano Usiku nikamtupia begi lake la nguo nje alipo na kumuamuru arudi kwa aliye mto*ba. Aliendelea kulia kwa muda wa lisaa lizima tena huku bado akisisistiza namuonea. Hadi saa sita kama na nusu usiku huruma kidogo kwa mbali iliniingia nkamfungulia mlango aingie na mimi nikachukua begi langu la nguo na kusepa. Yeye aliingia ndani na hapa kilio kilizidi sana alivyoniona naondoka.
Hadi naandika hivi sasa nipo kwa mshkaji na nyumbani kwangu napaona Pachungu. K*ma ya mke wangu naijua toka tuko wapenzi kabla sijamuoa sijawahi kuiona kubwa vile. Nahakika katumbukizwa Limti. Sijalala hata chembe na wala usingizi sina, Asikwambie mtu Mke anauma jamani.
Nia yangu ni Kumuandikia Talaka asubuhi hii na kumpa dereva Tax apeleke huku nikimpa siku Saba za kuondoka pale nyumbani. Nina karatasi na Peni mbele yangu, mkono unatetemeka kila ninavyoshika peni, machozi hayaniishi na wala hata sijui talaka inaandikwaje. Siamini kwamba huu ndio mwisho wetu. Ndoa yetu ni ya Kiislam na hali niliyonayo sasa najuta Kuoa wala sidhani kama ntakuja kuoa tena.
Hadi jana usiku nlikuwa na Imani Mungu kanipa kila kitu, kazi inayonipa hela ya kula, furaha ndani ya moyo wangu sasa nimeamini mungu Kaninyima MKE muaminifu. Ndugu zangu wanampenda mke wangu alafu wote wapole, hivyo watashauri nimsamehe tuuu nawajua. Kushirikisha ndugu naona kichefuchefu labda watu baki kama nyie waungwana embu niambieni mngekuwa nyinyi mngefanyaje? Kichwa kinaniambia niandike talaka ingawa moyo na mwili haswa mkono wa kulia vinasita. Na huku kulia ninakolia kila wakati sijui ntajizuia vipi.