mangi mandara
Member
- Aug 24, 2013
- 64
- 2
Uo ukuda wa wanawake wakuda ivo ndo staki kuona mkuu,yani ata bastola sinunui tena maana nnahasira za balaa hongera ndgu kwa uvumilivu wako utapata ufumbuz wa jambo ili,sina uzoef sana mkuu,pole sana
Tupite zetu kaka, tuwaache vijana wafundishane..
Twenzetu kwenye baa yetu pendwa.
Nadhani umri wangu hauniruhusu kuchangia huu uzi.
Tupite zetu kaka, tuwaache vijana wafundishane..
Ana kibamia kakuta size ya diamond imeingia ukute bibie hata hakunawa.
Nami naungana na wewe kuja kunywa amarula si unajua tena...
Yan jamani me umenichekesha tu kwa mambo uloyafanya!!!.
Na pole kwa mkeo!
Hahahahaha! Jamani msinione wa ajabu nimecheka kwa sababu siku si nyingi mume wng mtarajiwa amekuja kachukia balaa kisa ameota kuna mwanaume kanipigia cm usiku, yani kitendo cha me kumshangaa ulizuka ugomvi ukadumu km siku nne hivi.
Hivi kwann baadhi ya wanaume mnaongozwa kwa hisia bila kufanya uchunguzi wa hicho mnachohisi kwanza?
Hahahahaaaaaa hata mimi nimecheka sana! Niliwahi kupata the same kisa! Eti k imeloa sana leo haiwezekani kuna sperms, nilipigwa sana, lakini sikukubali nilimwambia mama yake wakanipeleka kwa daktari kuthibitisha!
Aliaibika vibaya sana, from there akanipenda na kuniheshimu moja kwa moja!
Dr akatueleza kwenye mzunguko wa mwezi huwa kuna mabadiliko kwenye k. Kuna siku inakuwa dry na kuna baadhi y siku karibu na period K inakuwa ina discharge zaidi! Na ndivyo ilivokuwa.
Matokeo ya akili ndogo kuongoza akili kubwa lols!