Dunia imeenda kasi sana, teknolojia imekuwa kubwa mno watanzania na waafrika bado tupo kwenye dimbwi la usingizi mzito

Samwemgomba

Member
Mar 25, 2019
35
15
Ndugu wana jamvi, amani ya bwana iwe nanyi wote.

Naam dunia imeenda kasi sana, maendeleo ya sayansi na teknolojia ni makubwa sana katika kipindi hichi kuliko wakati wowote mwingine katika historia ya uwepo wetu sisi binaadamu hapa duniani.

Wakati mataifa ya dunia ya kwanza (MAREKANI, CHINA, JAPAN URUSI etc) yakiwa katika ushindani mkubwa wa uvumbuzi mpya wa masuala ya kisayansi na maendeleo ya kiteknolojia huku upande wa pili kwetu "AFRICA" bado tunauchapa usingizi mzito wa PONO.

Ni ukweli kuwa Wamarekani kupitia taasisi yake ya uchunguzi wa ANGA (NASA) wamefika hatua ya kuanzisha makazi katika sayari nyingine Zaidi ya sayari ya dunia tunayoishi kwa sasa! Lakini jambo la kushangaza kabisa Afrika na hususan Tanzania yetu sisi bado tunaendele kukumbatia "MILA" za kipumbavu kabisa ambazo "AT THIS LEVEL" tunaendelea kuendekeza mila za ukeketaji, ulonzi na uchawi usio na faida yeyote una upumbavu mwingine mwingi tu.

Nayazungumza haya kupitia mijadala mbali iliyowasilishwa na wadau wanaofanya kazi katika kupinga aina zote za Unyanyasaji wa Kijinsia(GBV). Mmoja wa wana warsha alieleza kisa kimoja cha kusikitisha ambapo katika moja za wilaya kusini mwa Tanzania zinazopakana na Zambia kilitokea KISA ambacho Yupo binti mmoja alimanusula azikwe hai na mama yake kwa sababu tu kuwa binti huyo ambaye mwaka 2017 alizaliwa kwa njia ya operation na kusababisha kifo cha mama yake mzazi ambae kabla ya kifo cha mama yake mzazi alikuwa na ndugu zake (Dada na kaka) saba ambao walizaliwa kwa njia ya kawaida kabla yake yeye ambae alizaliwa kwa njia ya Operation.

Sasa ndipo kikao cha familia na wana ukoo wa mume wa marehemu walipoazimia binti huyo mwenye siku moja ni balaa na mkosi kwenye ukoo kwa hiyo ni lazima akazikwe na mama yake akiwa hai ili kuepusha mkosi huo.

Baada ya shughuli za maandalizi ya msiba yalipokamilika ndipo binti huyo ambae kwa kipindi hicho alikuwa na siku 1 ikaamuliwa utobolewe mlango au dirisha nyuma ya nyumba ili atolewe huku na asitolewe katika mlango wa kawaida akazikwe akiwa hai.

Mmoja ya watu waliohudhuria mazishi malaika wa Imani akamshukia, alipiga yowe kubwa la uchungu na kulia kwa sauti kubwa sana wakati binti huyo alipokuwa anaviringishwa nguo (vitambaa) ili atumbukizwe kaburini yeye na mama yake!

Akaomba ummati wote na wanafamilia kwa ujumla wampe mtoto huyo akamlee yeye kuliko kumzika na shukrani za pekee na kwa ajabu ya aina yake mama huyo mzalendo akakubaliwa ombi lake la kupewa mtoto huyo ambapo mpaka leo anamlea ila ilibidi ahame Kijiji kwa ajili ya usalama wa mtoto huyo. Kisa ni krefu ila naomba nikiwakilishe kwa ufupi.

Pia yapo matendo mengine mengi ya ajabu sana na MILA za kipumbavu ambazo mpaka sasa bado tunaziendeleza kama Ukeketaji ambapo mmoja ya Mdau alitoa ushuhuda wa mama mmoja ambae anasema yeye kafanyiwa ukeketaji kwa Zaidi ya mara 4 kwenye UKE hivyo basi anasema lile umbile la asili alilozaliwa nalo kama mwanamke halipo katika uhalisia wake kwa Zaidi ya asilia 80%.

Kuna ishu nyingine pia za ajabu sana ambazo si ngeni kwenu wana jamvi ila habari za "TELEZA" huko Kigoma lakini kingine cha ajabu nilichokisikia kwa mara ya kwanza ni tiba za asili zinazotolewa kwa watoto wadogo wenye ugonjwa wa "LAWALAWA" ambapo mtu mzima anamuingizia mtoto mdogo KIDOLE matakaoni na kukizunguusha na kutumia kucha zake kukwangua kuta za (ANUS) Mpaka patoe damu nyingi wakiamini ndio tiba ya ugonjwa huo pamoja na minyoo.

Haya ni baadhi ya mambo machache kati ya mengi yaliyonisukuma ni share na nyinyi wadau kuhusu UAFRIKA na mila za kipumbavu dhidi ya maendeleo makubwa walionayo wenzetu huko kunakoitwa Dunia ya kwanza! achilia mbali ishu za mimba kwa watoto wa shule ubakaji, ndoa za utotoni, ubakaji na ulawiti kwa watoto wadogo! Inafika kipindi Waafrika tubadilike sana tunatia aibu sana kwa kuwa "AT THIS LEVEL OF ADVANCED TECHNOLOY AND SCIENCE" Bado tunafanya vitu as if bado tupo kwenye "OLD STONE AGE"! Sometimes naona ya maneno ya kejeli matusi ya mwanahistoria maarufu aitwae HEGEL dhidi ya waafrika alistahili sana kwetu. Kauli mbiu hebu sasa tuanze kufanyia kazi haya mambo katika family level na hata ngazi ya UKOO! Tupeane elimu!
 
Ndugu wana jamvi, Amani ya bwana iwe nanyi wote.
Naam Dunia imeenda kasi sana, maendeleo ya sayansi na teknolojia ni makubwa sana katika kipindi hichi kuliko wakati wowote mwingine katika historia ya uwepo wetu sisi binaadamu hapa duniani. Wakati mataifa ya dunia ya kwanza (MAREKANI, CHINA, JAPAN URUSI etc) yakiwa katika ushindani mkubwa wa uvumbuzi mpya wa masuala ya kisayansi na maendeleo ya kiteknolojia huku upande wa pili kwetu "AFRICA" bado tunauchapa usingizi mzito wa PONO. Ni ukweli kuwa Wamarekani kupitia taasisi yake ya uchunguzi wa ANGA (NASA) wamefika hatua ya kuanzisha makazi katika sayari nyingine Zaidi ya sayari ya dunia tunayoishi kwa sasa! Lakini jambo la kushangaza kabisa Afrika na hususan Tanzania yetu sisi bado tunaendele kukumbatia "MILA" za kipumbavu kabisa ambazo "AT THIS LEVEL" tunaendelea kuendekeza mila za ukeketaji, ulonzi na uchawi usio na faida yeyote una upumbavu mwingine mwingi tu.
Nayazungumza haya kupitia mijadala mbali iliyowasilishwa na wadau wanaofanya kazi katika kupinga aina zote za Unyanyasaji wa Kijinsia(GBV). Mmoja wa wana warsha alieleza kisa kimoja cha kusikitisha ambapo katika moja za wilaya kusini mwa Tanzania zinazopakana na Zambia kilitokea KISA ambacho Yupo binti mmoja alimanusula azikwe hai na mama yake kwa sababu tu kuwa binti huyo ambaye mwaka 2017 alizaliwa kwa njia ya operation na kusababisha kifo cha mama yake mzazi ambae kabla ya kifo cha mama yake mzazi alikuwa na ndugu zake (Dada na kaka) saba ambao walizaliwa kwa njia ya kawaida kabla yake yeye ambae alizaliwa kwa njia ya Operation. Sasa ndipo kikao cha familia na wana uko wa mume wa marehemu walipoazimia Binti huyo mwenye siku Moja ni Balaa na mkosi kwenye ukoo kwa hyo ni lazima akazikwe na mama yake akiwa hai ili kuepusha mkosi huo.
Baada ya shughuli za maandalizi ya msiba yalipokamilika ndipo binti huyo ambae kwa kipindi hicho alikuwa na siku 1 ikaamuliwa utobolewe mlango au dirisha nyuma ya nyumba ili atolewe huku na asitolewe katika mlango wa kawaida akazikwe akiwa hai. Mmoja ya watu waliohudhuria mazishi malaika wa Imani akamshukia, alipiga yowe kubwa la uchungu na kulia kwa sauti kubwa sana wakati binti huyo alipokuwa anaviringishwa Nguo (vitambaa) ili atumbukizwe kaburini yeye na mama ake!
Akaomba ummati wote na wanafamilia kwa ujumla wampee mtoto huyo akamlee yeye kuliko kumzika na shukrani za pekee na kwa ajabu ya aina yake mama huyo mzalendo akakubaliwa ombi lake la kupewa mtoto huyo ambapo mpaka leo anamlea ila ilibidi ahame Kijiji kwa ajili ya usalama wa mtoto huyo. Kisa ni krefu ila naomba nikiwakilishe kwa ufupi. Pia yapo matendo mengine mengi ya ajabu sana na MILA za kipumbavu ambazo mpaka sasa bado tunaziendeleza kama Ukeketaji ambapo mmoja ya Mdau alitoa ushuhuda wa mama mmoja ambae anasema yeye kafanyiwa ukeketaji kwa Zaidi ya mara 4 kwenye UKE hivyo basi anasema lile umbile la asili alilozaliwa nalo kama mwanamke halipo katika uhalisia wake kwa Zaidi ya asilia 80%.
Kuna ishu nyingine pia za ajabu sana ambazo si ngeni kwenu wana jamvi ila habari za "TELEZA" huko Kigoma lakini kingine cha ajabu nilichokisikia kwa mara ya kwanza ni tiba za asili zinazotolewa kwa watoto wadogo wenye ugonjwa wa "LAWALAWA" ambapo mtu mzima anamuingizia mtoto mdogo KIDOLE matakaoni na kukizunguusha na kutumia kucha zake kukwangua kuta za (ANUS) Mpaka patoe damu nyingi wakiamini ndio tiba ya ugonjwa huo pamoja na minyoo. Haya ni baadhi ya mambo machache kati ya mengi yaliyonisukuma ni share na nyinyi wadau kuhusu UAFRIKA na mila za kipumbavu dhidi ya maendeleo makubwa walionayo wenzetu huko kunakoitwa Dunia ya kwanza! achilia mbali ishu za mimba kwa watoto wa shule ubakaji, ndoa za utotoni, ubakaji na ulawiti kwa watoto wadogo! Inafika kipindi Waafrika tubadilike sana tunatia aibu sana kwa kuwa "AT THIS LEVEL OF ADVANCED TECHNOLOY AND SCIENCE" Bado tunafanya vitu as if bado tupo kwenye "OLD STONE AGE"! Sometimes naona ya maneno ya kejeli matusi ya mwanahistoria maarufu aitwae HEGEL dhidi ya waafrika alistahili sana kwetu. Kauli mbiu hebu sasa tuanze kufanyia kazi haya mambo katika family level na hata ngazi ya UKOO! Tupeane elimu!
katika Africa kuna vitu vinachukuliwa kwa uzito mkubwa sana lakini ndo vina tupumbaza. Kwa mfano Kama dini, kwa Wezetu ambapo dini imeanzia huchukulia dini ni Kama utamaduni tu, hawachulii serious Kama sisi. kitu cha pili ni ndoa za Mke zaidi ya mmoja. ni Tatizo kwa Africa.
 
Nakubaliana nawe lkn tuwekane sawa hapa unao uthibitisho wa nasa kufanikiwa kuanzisha maisha kwenye sayari nyengine..?
Off course yes, NASA kipindi cha OBAMA walipeleka mswaada wa bajeti kwa Raisi ili wawezeshwe kuchimba maji na kutengeneza miundo mbinu ya maji katika sayari ya mwezi, kwa kuwa walionesha kwamba Maisha yanawezekana ila tatizo kubwa ilikuwa ni upatikanaji wa maji, next time ntakuja na proof yake!
 
katika Africa kuna vitu vinachukuliwa kwa uzito mkubwa sana lakini ndo vina tupumbaza. Kwa mfano Kama dini, kwa Wezetu ambapo dini imeanzia huchukulia dini ni Kama utamaduni tu, hawachulii serious Kama sisi. kitu cha pili ni ndoa za Mke zaidi ya mmoja. ni Tatizo kwa Africa.
Offcourse but mimi nalichukulia katika mila zetu nyingine ni za kipumbavu sana atleast hata tungejikita kwenye dini tulizoletewa hazina hayo mambo nafikir kuna tatizo Zaidi ya UAFRIKA!
 
Off course yes, NASA kipindi cha OBAMA walipeleka mswaada wa bajeti kwa Raisi ili wawezeshwe kuchimba maji na kutengeneza miundo mbinu ya maji katika sayari ya mwezi, kwa kuwa walionesha kwamba Maisha yanawezekana ila tatizo kubwa ilikuwa ni upatikanaji wa maji, next time ntakuja na proof yake!
Ha ha! Mkuu kwa hili la nasa utanisamehe bure naipuuza taarifa yako.. huna haja ya kuleta proof! Kuna kitu hujakiweka sawa hivyo Nina mashaka na uelewa wako pamoja na uandishi!!
 
Ulipokosea ni kwenye uchawi na uganga.. Hata wazungu wanao pia!
 
Ulipokosea ni kwenye uchawi na uganga.. Hata wazungu wanao pia!
For sure hata wazungu ni wachawi ila utofauti wa uchawi kati ya mwafrika na mzungu ni kwenye faida, mchawi wa kiafrika sioni faida anayoipata kwa uchawi wake, cause uchawi wake haumsaidii kuishi Maisha mazuri wala kuwa na maendeleo ambayo ni tangible rather than kutesa na kuumiza watu tu
 
Ndugu wana jamvi, amani ya bwana iwe nanyi wote.

Naam dunia imeenda kasi sana, maendeleo ya sayansi na teknolojia ni makubwa sana katika kipindi hichi kuliko wakati wowote mwingine katika historia ya uwepo wetu sisi binaadamu hapa duniani.

Wakati mataifa ya dunia ya kwanza (MAREKANI, CHINA, JAPAN URUSI etc) yakiwa katika ushindani mkubwa wa uvumbuzi mpya wa masuala ya kisayansi na maendeleo ya kiteknolojia huku upande wa pili kwetu "AFRICA" bado tunauchapa usingizi mzito wa PONO.

Ni ukweli kuwa Wamarekani kupitia taasisi yake ya uchunguzi wa ANGA (NASA) wamefika hatua ya kuanzisha makazi katika sayari nyingine Zaidi ya sayari ya dunia tunayoishi kwa sasa! Lakini jambo la kushangaza kabisa Afrika na hususan Tanzania yetu sisi bado tunaendele kukumbatia "MILA" za kipumbavu kabisa ambazo "AT THIS LEVEL" tunaendelea kuendekeza mila za ukeketaji, ulonzi na uchawi usio na faida yeyote una upumbavu mwingine mwingi tu.

Nayazungumza haya kupitia mijadala mbali iliyowasilishwa na wadau wanaofanya kazi katika kupinga aina zote za Unyanyasaji wa Kijinsia(GBV). Mmoja wa wana warsha alieleza kisa kimoja cha kusikitisha ambapo katika moja za wilaya kusini mwa Tanzania zinazopakana na Zambia kilitokea KISA ambacho Yupo binti mmoja alimanusula azikwe hai na mama yake kwa sababu tu kuwa binti huyo ambaye mwaka 2017 alizaliwa kwa njia ya operation na kusababisha kifo cha mama yake mzazi ambae kabla ya kifo cha mama yake mzazi alikuwa na ndugu zake (Dada na kaka) saba ambao walizaliwa kwa njia ya kawaida kabla yake yeye ambae alizaliwa kwa njia ya Operation.

Sasa ndipo kikao cha familia na wana ukoo wa mume wa marehemu walipoazimia binti huyo mwenye siku moja ni balaa na mkosi kwenye ukoo kwa hiyo ni lazima akazikwe na mama yake akiwa hai ili kuepusha mkosi huo.

Baada ya shughuli za maandalizi ya msiba yalipokamilika ndipo binti huyo ambae kwa kipindi hicho alikuwa na siku 1 ikaamuliwa utobolewe mlango au dirisha nyuma ya nyumba ili atolewe huku na asitolewe katika mlango wa kawaida akazikwe akiwa hai.

Mmoja ya watu waliohudhuria mazishi malaika wa Imani akamshukia, alipiga yowe kubwa la uchungu na kulia kwa sauti kubwa sana wakati binti huyo alipokuwa anaviringishwa nguo (vitambaa) ili atumbukizwe kaburini yeye na mama yake!

Akaomba ummati wote na wanafamilia kwa ujumla wampe mtoto huyo akamlee yeye kuliko kumzika na shukrani za pekee na kwa ajabu ya aina yake mama huyo mzalendo akakubaliwa ombi lake la kupewa mtoto huyo ambapo mpaka leo anamlea ila ilibidi ahame Kijiji kwa ajili ya usalama wa mtoto huyo. Kisa ni krefu ila naomba nikiwakilishe kwa ufupi.

Pia yapo matendo mengine mengi ya ajabu sana na MILA za kipumbavu ambazo mpaka sasa bado tunaziendeleza kama Ukeketaji ambapo mmoja ya Mdau alitoa ushuhuda wa mama mmoja ambae anasema yeye kafanyiwa ukeketaji kwa Zaidi ya mara 4 kwenye UKE hivyo basi anasema lile umbile la asili alilozaliwa nalo kama mwanamke halipo katika uhalisia wake kwa Zaidi ya asilia 80%.

Kuna ishu nyingine pia za ajabu sana ambazo si ngeni kwenu wana jamvi ila habari za "TELEZA" huko Kigoma lakini kingine cha ajabu nilichokisikia kwa mara ya kwanza ni tiba za asili zinazotolewa kwa watoto wadogo wenye ugonjwa wa "LAWALAWA" ambapo mtu mzima anamuingizia mtoto mdogo KIDOLE matakaoni na kukizunguusha na kutumia kucha zake kukwangua kuta za (ANUS) Mpaka patoe damu nyingi wakiamini ndio tiba ya ugonjwa huo pamoja na minyoo.

Haya ni baadhi ya mambo machache kati ya mengi yaliyonisukuma ni share na nyinyi wadau kuhusu UAFRIKA na mila za kipumbavu dhidi ya maendeleo makubwa walionayo wenzetu huko kunakoitwa Dunia ya kwanza! achilia mbali ishu za mimba kwa watoto wa shule ubakaji, ndoa za utotoni, ubakaji na ulawiti kwa watoto wadogo! Inafika kipindi Waafrika tubadilike sana tunatia aibu sana kwa kuwa "AT THIS LEVEL OF ADVANCED TECHNOLOY AND SCIENCE" Bado tunafanya vitu as if bado tupo kwenye "OLD STONE AGE"! Sometimes naona ya maneno ya kejeli matusi ya mwanahistoria maarufu aitwae HEGEL dhidi ya waafrika alistahili sana kwetu. Kauli mbiu hebu sasa tuanze kufanyia kazi haya mambo katika family level na hata ngazi ya UKOO! Tupeane elimu!
Mada nzuri ila tenganisha Mila .na uchumi wa kisayansi .mfano masuala ya mila waachie wenyewe .mdharau kwao Ni mjinga .jikite kuchambua tumekwama wapi kisayansi hatuna hata pikipiki iliyotengenezwa Tanzania .tumekwama wapi .,tufanye Nini wewe mtoa mada umekuja na mbinu gani .za kututoa hapa tulipokwama au na wewe Ni sehemu ya tatizo .hatua gani umeanza nazo .je umeweza kubadili hata jamii inayokuzunguka .iende kisayansi wawe wabunifu .na Nini wametengeneza na wamekwama Nini .
 
Ya nini yote hayo kuharibu trillion ya pesa kwa kitu ambacho we all know its imposible

Wacha wamarekani wajitekenye mwishowe watacha

Africa tungepambanana kwanza angalau kupunguza janga la ufukara kwa raia wake

Hayo mengine ni anasa tupu
 
Nafikiri Brother umeni quote ou
Mada nzuri ila tenganisha Mila .na uchumi wa kisayansi .mfano masuala ya mila waachie wenyewe .mdharau kwao Ni mjinga .jikite kuchambua tumekwama wapi kisayansi hatuna hata pikipiki iliyotengenezwa Tanzania .tumekwama wapi .,tufanye Nini wewe mtoa mada umekuja na mbinu gani .za kututoa hapa tulipokwama au na wewe Ni sehemu ya tatizo .hatua gani umeanza nazo .je umeweza kubadili hata jamii inayokuzunguka .iende kisayansi wawe wabunifu .na Nini wametengeneza na wamekwama Nini .
Nafikiri Brother umeni-Quote out of context, mm ni kama nilishikwa na butwaa kwa kuona kwamba wakati nyingine ziko katika hatua za mbali kimaendeleo ya uchumi, sayansi na teknolojia ambapo mijadala inayotawala nchi zao ni hayo masuala makubwa sisi kwetu huku tunajadili "TELEZA" ambapo mtu anajipaka oil chafu anavamia na kuingia usiku na kubaka wanawake akishamaliza anamjeruhi kwa mapanga na visu, the same like Mtoto mchanga alieko hai kutaka kuzikwa kisa eti ni mkosi kwa kuwa amezaliwa kwa njia ya operation na hivyo kupelekea kifo cha mama yake, it was just like mshangao!
 
Nakubaliana nawe lkn tuwekane sawa hapa unao uthibitisho wa nasa kufanikiwa kuanzisha maisha kwenye sayari nyengine..?

Wewe ni mfano wa hao anaowazungumza Mleta huu uzi..

Mkuu, Kwanza unajua kuwa kuna nyumba angani inayoelea, na kila baada ya muda fulani watu wanapelekwa kwenye hiyo nyumba..

Tumia teknologia, ingia Google uliza swali lako utapata jibu, badala ya Kumuuliza mleta huu uzi, yeye hafanyi kazi NASA wala sio American Space Agent
 
Ha ha! Mkuu kwa hili la nasa utanisamehe bure naipuuza taarifa yako.. huna haja ya kuleta proof! Kuna kitu hujakiweka sawa hivyo Nina mashaka na uelewa wako pamoja na uandishi!!
Kitu gani brother, mbona hii sio habari mpya sana kwenye ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia? Suala la tafiti zilizofanywa kuonyesha kuwa Maisha yanawezekana kwenye planet nyingine tofauti na dunia zilishafanywa na nafikiri 2020 up to 2025 kuna safari inaitwa ONE-WAY TRIP TO MARS na watu washajisajili sana wenye MIHELA yao lengo kuu ni kwenda kutalii pamoja na kuangalia uwezekano wa binaadamu kuishi moja kwa moja kwenye sayari ya MAARS! Don't question about my understanding only you should question your understanding cause sio habari mpya kabisa….. See attachment for your refferences
 

Attachments

  • One-WayMissionstoMars (1).pdf
    623.8 KB · Views: 1
Wewe ni mfano wa hao anaowazungumza Mleta huu uzi..

Mkuu, Kwanza unajua kuwa kuna nyumba angani inayoeleza, na kila baada ya muda fulani watu wanapekwa kwenye hiyo nyumba..

Tumia teknologia, ingia Google uliza swali lako utapata jibu, badala ya Kumuuliza mleta huu uzi, yeye hafanyi kazi NASA wala sio American Space Agent
Najua kushinda hata wewe unavyojua na huyo mweka mada,usiwe Kama mwehu Kama hujaelewa uliza sio unaanza kusema upuuzi.. hiyo nyumba unayosema ni ISS international space station,nilishafungua uzi toka zamani nikielezea jinsi ilivyo.. Kuna sehemu mweka mada kayakoroga so hastahiri kupingwa..?
 
Wewe ni mfano wa hao anaowazungumza Mleta huu uzi..

Mkuu, Kwanza unajua kuwa kuna nyumba angani inayoeleza, na kila baada ya muda fulani watu wanapekwa kwenye hiyo nyumba..

Tumia teknologia, ingia Google uliza swali lako utapata jibu, badala ya Kumuuliza mleta huu uzi, yeye hafanyi kazi NASA wala sio American Space Agent
Umemjibu vizuri sana kaka, hivyo vitu vidogo sana havijui halaf an question uelewa wa mtu mwingine!
 
Kitu gani brother, mbona hii sio habari mpya sana kwenye ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia? Suala la tafiti zilizofanywa kuonyesha kuwa Maisha yanawezekana kwenye planet nyingine tofauti na dunia zilishafanywa na nafikiri 2020 up to 2025 kuna safari inaitwa ONE-WAY TRIP TO MARS na watu washajisajili sana wenye MIHELA yao lengo kuu ni kwenda kutalii pamoja na kuangalia uwezekano wa binaadamu kuishi moja kwa moja kwenye sayari ya MAARS! Don't question about my understanding only you should question your understanding cause sio habari mpya kabisa….. See attachment for your refferences
"Ni ukweli kuwa Wamarekani kupitia taasisi yake ya uchunguzi wa ANGA (NASA) wamefika hatua ya kuanzisha makazi katika sayari nyingine Zaidi ya sayari ya dunia tunayoishi kwa sasa"
hapa ndipo ulipokosea.
 
Back
Top Bottom